MAPYA YAIBUKA SAKATA LA KUKAMATWA KWA MADADA POA/ WANAHARAKATI WAMSHUKIA DC UBUNGO
Vložit
- čas přidán 16. 06. 2024
- #JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►CZcams: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
Dada pokea maua yako ❤️💐
Dada Anajua Kujieleza Kuliko Mwana Habar
Hajui kujieleza ila ni mbishi tu anasimamia itikadi zake potofu
Ahsante sana Marry kwa kusimamia haki za wanawake wenzio👍 mkuu wa wilaya ya Ubungo ameshindwa kusimamia soko la mbogamboga pale mbezi luis ambako ajali inaweza kutokea na kuleta madhala makubwa!
this lady is really brave, she talked straight forward & she is absolutely right to each words she said , maongezi yake ni ukweli kabisa
You and her, your minds are twisted up
Mwanaume Ananyanyaswa Na Mke Wake Akienda Kwa Hawa Dada Poa Na Elfu 5,Yake Anamaliza Upwiru Wake Maisha Yanaendelea.
Na wewe huyo unaemuendea kwa elfu 5 pia unamnyanyasa kwa nini usimuowe ukamueka ndani kama kushaona anauwezo wa kumaliza haja zako ndio maana wanawake hatuolewi kwa kuwa mushajiwekea mukashalipa elfu 5 unakojoa ndio maana maradhi hayeshi mwanamke mmoja anatiwa na wanaume 100 kila mmoja na size yake ndio maana wanawake shida ndogo ndogo haziishi za zinaa na hiyo zinaa pekee ni ufukara
Dada upo sahihi sana
Ni wanafiki wasiojitambua ndo hawajamuelewa huyu dada,
Dada upo sahihi!! Njia iliyotumika si sahihi!!
Huyu mama kaongea jambo zito sana. Ukimsikiliza juu juu unaweza usimwelewe lakini ukituliza akili zako utagundua ni mama jasiri na mwenye uelewa mkubwa sana. Hongera sana dadangu.
Nikweli dada
Akili kubwa
Hilo tendo linafanywa na watu wawili, so hata wanaume sisi tunashiriki kuvunja maadili, ni bora wateja wao wangekamatwa pia.
Hao ndio wanachangia kuharibika kwa mabintu weengi wakiwa katika umri mdogo na wewe dada Mungu anakuona huna huruma kwa hiyo unataka wewe ujiuze na binti yako ajiuze hii hapana bwana.mogope Mungu
Dada kaupiga mwingi, halafu dada anajibu maswali kwa kujiamini kupita kiasi, mimi naona dada yuko sawa kabisa.
Upo sahihi dada
Dada yupo sahihi sana.
Hongera dada kwa kuatetea wanaojiuza kwa sababu ya ugumu .
Kweli kabisa unavo sema dada haohao palace ni wateja wao na kuna watu mpaka majumbani mwao wajiuza simu tu zinafanya kazi hapo umesema dada nakupa mkono👍🏻🇰🇪
Dada uko sahihi asilimia 100
Dada bora umeongea nakupenda bure..
Tz Selikali ni shida sana Umalaya upo Duniani .
Mdada uko vizuri, mtetezi kwelikweli,ni uonevu tu, muwawezeshe alafu tuone km watarudia
Makasino kwa kuwa wamiliki wana vibali wanauza miili ila kwa kuwa ni levo ya kati jambo lipo na makahaba na wanunuzi wapo na watu hawakamatwi
Anatetea upuuzi, Oporation ifanyike. Hugo naye itakuwa ndio Shughuli zake
Mungu saidia. Sana tunaangamia Kwa kukoswa maalifa
Nakupa hongera sana dada wamekosea sana
Dah kweli dada unaongea ukweli Mama Samia kipindi Cha mashoga aliongea kauli gani juu ya mashoga na ni mwanamke was kislam na anajua dini ilisemaje ni kiumiza wanyonge tu dah Tanzania hii mmmh
Mimi nakuunga mkono sana ni mtoto gani wa kiongozi ana jiuza ? Ni kwa sababu maisha yao ni mazuri lakini kwa sababu sio watoto wao hawafanyi ndio hivyo
Well said🙌
Dada mpake huyoo chawa WA ccm mwambie ukweli wanao jiuzwa wamebalikiwa na serikali hii ya ccm maisha magumu sana Kodi nyingi ajira Amna wasomi dada zetu awana ajira hili Jambo limetengenezwa na ccm kamateni mafisadi sio hawa dada powa msidanganye watu kuwa Kuna mikopo ni uwongo wakikopa wafanye biashara gani wakati Kodi ushuru Kila Kona mnazaririsha jamii bule
Huyo dada kachanganyikiw huyo naye ndo haohao tu
Ukiwa na mihemko huwezi kumuelewa huyu dada!
Asante sana Mama uko sawa kabisa
Hata kwa YESU waliwaonea wanawake kwa sababu hawajui kukimbia sana. Jiandaeni kumlaki BWANA.
Kama yule mkuu wilaya mwenzake kamfila yule mwanfunzi baada ya kudili na machoko unadili na watoa uduma ya wateja na isitoshe ata uyu mkuu wa wilaya mnunuzi
Wasomi wenu wanavyo-reason. Bora kuwa mjinga kuliko kuwa na elimu feki.
Hapa Mungu wanamtafuta Zaidi hawa aonywaye mara nyingi akishupaza shingo atavunjika ghafla. Ndio wanakimbushwa kuwa wabadilike sio hao tu Mungu kawasaidia wawakumbushe warudi wakumbuke. Kabla tuko mwisho tukumbuke. Wapendwa Yesu Anarudi kiama inakimbizwa kuja haraka. Tupone tujiandae.
Kujiuza ni kujidhalilisha tayari, kupigwa picha au kukamatwa ni kupinga kujidhalilisha na kama kuna udhalilishaji ni sehemu na harakati za kupinga kujidhalilisha kwa wanawake.
Mbona mashoga hamuwakamati awu mashoga ndio wanamaadili
Binafsi nimekuelewa dada
Na si hapa tu nenda kule dodoma ujionee watunga sheria wanachokifanya kwa hao watu mkawakamate
Hata role model wangu paul makonda afanyagi huu upumbavu
Mbona hawajaenda kwenye makasino?
Huyuuu dada anaakiliii sanaaaa
Kila MTU kazini kwake lazma aoneshe Akili nyingi ama kujitetea.
Kama huna D mbili huwez kumuelewa huyu dada kabsa
Wewe na huyo dada digrii zenu mmezipata pamoja
Huyo dada ni noma.Muone hata yeye alivyo vaa. Ukahaba hauwezi kuisha kwa utetezi huu.
Yesu alipoletewa mwanamke aliyefanya uzinzi walidai kwamba lazima apigwe mawe kulingana na sheria ya Musa, alisema, ambaye hana dhambi yoyote na awe wa kwanza kutupa jiwe, washitaki wote walikimbia.
Wewe unauza
Wewe dada yaani wewe wataka uchafu uendelee sio vizuri unavyosema hakuna udhalilishaji hapo usiseme upuuzi 😢😢😢😢😊
Sio uchafu hao hawapo sawa kisaiklojia inatakiwa elimu Kambi maalum niwahanga tu na wakiwa vzur wapew mitaji kwa mkopo sawa na Teja umemkuta anavuta unga unampeleka soba sio jela
Huyu dada nae anajiuza
@@IvanSaid-ef8tbbasi siwawapeleke huko ktk kambi zao wawape ushauri! Sio kutetea uchafu, hapa sio Marekani
@@GeofreyKalo-ot3weHuyo Dada anaakili nyingi kuliko zako
Hongera sana sana mkuu wa wilaya ya ubungo endelea kupambana nao mwenyezi mungu atakulinda
Amin
Watumishi wa Mungu amkeni, angalieni jinsi mambo maovu yanavyo simuliwa kijasiri, Alafu ninyi mnahubiri kana kwamba hamuoni hatari, nawaambia ukweli iko siku dunia hii itavunwa. Mungu nakuomba amsamehe dada huyu kwa sababu hajui anenalo. Serikali endeleeni kuifanya kazi njema ya kuwaokoa watu katika mambo yote yasiyofaa hatakama watu wanawakataza, kazi njema italipwa na Mungu. Serikali imeonyesha mfano mwema wahubiri kemeeni dhambi acheni kuhubiri mambo mepesi hamjatumwa hayo.
Mkuu wa wilaya alikuwa anatafuta umaalufu lakini umaalufu umebuma
Dada mungu akubariki sanaaa,unatakiwa uwe mkuu wa mkoa wa dar kwa upeo wako
Anatakiwa awe mkuu wa wanao jiuza Tanzania nzima
Usichafue sirikali kwa sababu ya Umalaya wako . Tadhali !!!!!
Huyo Dada ni noma.
Dada uko vizuri. Igia chadema , tuokoe nchi yetu.nchi ilishaoza hawajui cha kufanya wajinga ccm.
Kwer bhana dada anajitambua huyu hafati mihemko ya machawa
Hivi wale wanaoiba huko serikalini ni maadili huwa wanakamatwa au?
Na hata mm nimeuliza mbn kuna wizi w madini na gesi yetu mbn hatuwakamati wazungu
Kwanza Huyo Mwaandishi Hapo Alipo Ameshakutamani Halafu Ameshasimamisha Kampe Kimoja Chapu.
😅
Kiukweli sio vizuri kwa uyu mkuu wa wilaya sio vizuri malaya Dunia nzima wapo uyu. Mkuu wa wilaya ana kazi ya kufanya kenge
Uko na point dada
mmmmmh wadada bn 😂😂 mungu anawaona
Dada nakukubali sana Kwa kuwatetea wanawake ambao nizadi ya asilimia 80 hivyo nakuomba ugombee uongozi tafuta chama chochote isipokua CCM tunakuunga mkono sana kwa ukweli usiokuws na kificho well done.
Chama gani achague
Wewe mama ni mshenzi sana utakubali mwanao atoe hiyo huduma ya ngono au ww ubatoa iyo huduma tukutafute Acha ujinga wewe
Mbona casino hawakamatwi na hao wakubwa wanawanunua
Wewe huna akili
Dada anaongea kweli mbona kwa vigogo wanaiba na picha hawapigwi kwenye mitandao hatuwaoni na mahakamani hawafikishwi
Sister ur very smart ...
Mkuu wa wilaya ni sifa ya kijinga
Malaya akimuuzia mzungu hotel kubwa ni halali ila Malaya akimuuzia mswahili tandale ni haramu, hakuna mkamilifu tusihukumu wanyonge
Very good interview Naomba Jina La huyu dada yuko na MADINI kichwani
Dada huyo yupo sahihi ,,ivi jamani kuna ajira tz ,,kama wamekubaliana wawili tatizo liko wapi ,,ivi hawa wadada kwani wanabaka,, serikali ijitafakari,, huo ni uzalilishaji kwa hawa wadada
Huyu dada yuko Sawa anaongea ukweli mtupu
Kabisa ni kudhalilishana
Huyu dada hayupo sawa usimtetea anayoongea ni ujinga tu, usitetee kosa hata kama amefanya mtoto wako au ndugu yako.
@@jumamohamed3168
Mimi namshangaa huyo dada yy kizazi chake ataridhika wakakae foleni pale wakijiuza au anaongea kwa vile wale sio ndugu zake hakuna biashara ya vile kwa siku unabadilisha vichwa vya wanaume tofauti
Dada apo uko SawA niwazalilishaji
Kazi nzuri sana @JamboTV. Well said dada Mary!
Huyu sista thinks differently… bravo!
Huyu dada ni geneus
Wewe dada inaonekana na wewe ndio kazi yako. Kazi ya kipato ni jukumu lako ridhikeni na mnavyopata. Mnataka mambo makubwa. Fanyeni hata vibarua. Ukitaka kufanya mema fanya kwa kujiheshimu na kumheshimu Mungu. Usiseme sababu hakuna mwema useme huna sababu ya kutenda mema. Wamebarikiwa hao waliokamatwa, inawezekana ni fursa kwao wanapewa na Mungu kujirekebisha. Waislamu na Wakristo wote hawakubaliani. Pia hao wanajidharirisha wenyewe kwa kuvaa vibaya na kwenda barabarani.
Yani wewe dada hata muonekano wako haupo sawa.
Dada uko sawa
Huyu dada Mary ni kichwa sana
Uyo muhasilika wanakuwaga wabishinkahaba uyooo
Ww mama sijakuelewq inamaana hakuna kazi za kufanya mpaka kujiuza yy amesh8ndwa kujusitili wao wamsitili nn ngoja naambao hawajashikwa wapate funzo wanachukua vijana wanaalibu nakuwapa maradhi .
Sawa kabisaaa shda sio watyu kujiuza shda serikali imefanya nn
Dada yuko sahihi sana,,huo ni uzalilishaji..sio sahihi,,,wanaonewa,,,,kwa ajili ya umaskini wao,,oparation fanyeni selikarini huko kwa watu wanaohujumu uchumi ,, na kutuibia mali za serikali...na hao wadada poa hawatumii siraha unaenda mwenyewe.....
Serikal ya ccm ni serikali ya kiki maisha inatengeneza maisha magumu kwa wananchi wa chini halafu wakati kuna baadhi ya viongozi wa serikali wanafuja fedha za umma hawachukuliwi hatua hafu wanakimbilia kukamata watu wa chini kwamba hawana maadili
Alafu pia huyo mkuu wa wilaya ameona hicho ndo kitu kila siku anatuletea ubungo yote hicho ndo kaona pia ndo atamaliza hiyo biashara au walijaribu wenzake wameshindwa hao madada poa wana majukum amalize dawa za kulevya ma kero zingne ubungo
Mbona kuna wezi selikalin kibao tu tatizo lipo maisha magumu
Dada ni social analyst.
Respect my sister
Huyo dada yupo sawa anachosema
Hongera biti
Yani mama unanipata vzr sana!
Kauka nae huyu mwandishi.
Kwanza mwanamka yyte hajiuzi,bali anauza huduma.
Shida DC alitolewa vijijini akapelekwa mjini anataka kjulikana mbona CAG alitoa ripoti hazifanyiwi kazi
Kafanyeni kazi
Wewe dada acha kutetea zinaa kazi zipo nyingi vijijini tatizo ninyi dada zetu mnakimbilia mijini mkidhani ndiyo Kuna maisha mazuri ili hali hamna vyanzo na mnaona kujiuza ndiyo mtaji. Ebu tujiulize mama zetu wangekua hivyo tungezaliwa kweli?
Huyu mdada mwana harakati ana point. Lazima asikilizwe. The truth ni kwamba Mwizi wa mali ya umma, fisadi, waongo, wanyanyasaji raia, wabakaji, mashoga nk. Wote wapo kwenye kapo moja la kutokuwa na maadili. 1 corithians 6:9. Sijawahi kuona maadili ktk taifa letu. Theres non. Tunamhitaji sana mungu kama taifa na sio tuu madada poa
Huyu dada anachambua kisomi halafu kijamii zaidi njia inayotumika kuwasaka siyo yakusitiliana kabisa
This ladies is very intelligent 👌 prostitution is everywhere but practiced differently they just target poor people......
Wewe mama acha umalaya tubu kwa Mwenyezi Mungu uzinzi ni moja ya dhambi mbya sana, zinaa ni uchafu na njia iliyo mbaya sana, wewe pampja na wanawake wenzako heshima ya mwanamke ni ndoa na ikikosekana ndoa fuata misingi ya dini lkn sio uzinzi, jee heshima ya mwanamke ni kujidhalilisha kwa kuanika uchi wake kuufunua mwili wake kwa kila mwanaume, mwanamke anatakiwa kufunua uchi wake kwa anayestahiki yaani kwa mume wake, hakuna biashara halali kwenye uzinzi, wewe mwanamke uzinzi, acha kushjiisha wanawake wenzako wafanye uzinzi kwa kisingizio cha maisha, unatoa kisingizio cha utu hivi hujui kuwa mwanamke kujifunua kwa kila mwanaume huko ni kujiondoa ktk utu, acha kutetea uchafu zinaa ni uchafu na njia iliyo mbaya, wewe mwanamke unayehojiwa ktk video clip hii acha kutetea uchafu wa zinaa kwa kisingizio cha utu
Huna cha mwenyezi Mungu wewe bali unafuata bendera ..dada kichwa sana kilichoiva apewe maua yake
Bila zinaa usingezaliwa
Kuna hoja hapa ya udhalilishaji wa watu masikini huku maeneo ya matajiri kwenye mahoteli makubwa malaya wamejaa,na wanajiuza hadharani.
Huko mitaani hapa Dar wanaojiuza,ni maelfu, na jamii na serekali inajua ,na inapaswa ,kutafuta namna Bora ya kuwaondoa mapema, kabla ya kujikuta,kwenye maisha haya ya kujiuza.
Hebu wale mlio wasafi, semeni tufanye nini, kuwasadia ndugu zetu Hawa.
Dada unaongea fact sana
Well said 👏 serikali ya tz iache kunyanyasa watu 😢 hiyo ni kazi ya mtu na mwili wake ni halali yake hata walio kwenye ndoa wamenunuana ila kwa punguzo la bei 😂 ila lejaleja ni hiyo ya madada poa na hata kwenye mpenzi akikumiliki lazima atoe hela ila pia kwa punguzo la bei ..wawaache watu wafanye yao wakakamate magay huko na wezi wa serikali.
Dada nimekupenda mno .uko sahihi sana .kama hapa ni kinyume na maadili je wizi ni maadili yetu?
Wewe dada nawe ni muuzaji mungu anakuona ushasema ngono he ni wapi mungu anaaalalisha binadamu kujiuzaa
Ila huyo dada ni wa hovyo sana, kamati ya maadili imwite imhoji,
Wewe ni mmoja wao