Mbunge Mrisho Gambo Akasirika Vibaya Mbele ya RC Makonda, DC "Asinichokonoe Sitaki Kugombana Na..
Vložit
- čas přidán 29. 05. 2024
- Mbunge Mrisho Gambo Akasirika Vibaya Mbele ya RC Makonda, DC "Asinichokonoe Sitaki Kugombana Na..
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
#MBUNGEGAMBO #MRISHOGAMBO #gambovsmakonda
#rcmakondaarumeru
#ARUSHAYASIMAMA #MKASAWAKUSIKITISHA #RCMAKONDA #rcmakondamonduli #rcmakondamonduli #MAKONDALIVE #makonda #makondaleo #makondakaratu #karatu - Zábava
Sisi wengine hatuko Arusha , lakini tuna fuatilia habari za Arusha kwajili ya makonda tuuu nahao walio dhulumiwa hakizao , wala sio kwaajili ya Gambo, wala Huyo Dc kwanza wengine tuna muona kwajili ya makonda, hawa wote wanatembelea nyota ya Rc Makonda , kama umeona wanatembelea nyota ya Rc Makonda, weka like za kutosha,
Wakuu WA mikoa 😮wote fanyen hivyo
Daa natamani mama angenipa ukuu wa mkoa ningefanya kazi kwa weledi kama wewe mh. Makonda ila sio mwanasiasa daa
Hawatembelei nyota wanasaport
T M U...
Team Makonda Ukombozi...
Mungu azidi kuwatangulia....kuwalinda na kuwaongoza...
Makonda ni mtumishi wa Mungu aliye hai, asante mama Samia kwa hii zawadi...Ma ko mda❤
Makonda anaulizi wa Mungu na Mungu akuongoze.
Your my best natamani niwe mkuu wa mkoa nifanye kazi kama wewe makonda
Hongera sana Mhe Rais Samia Suluhu Hasani Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mke wangu jamani mpenzi wangu kwa ueledi wako na usikivu maendeleo ya Arusha na Nchi nzima yanaonekana Mhe daktari Rais Samia Suluhu Hasani mke wangu jamani mpenzi wangu.
Kazi hii Kama itafanywa na Wakuu wote wa Mikoa nchini basi nchi hii ingefika mbali sana!lkn inaonesha wazi kwamba viongozi wengi hawaungi mkono kazi hii adhimu na muhimu kwa wananchi.Hivyo ni vyema Mh Rais akafanya uteuzi moya kwa Wakuu wa Mikoa
Dr Samia,shikamoo mama yangu,nakuomba huyu makonda umtengue Mara kwa Mara na umteue Mara kwa Mara,namaanisha Kila mkoa ahudumu hata kwa miezi miwili miwili na sisi Mara huku tumfaidi ili mamungu watu wayapishe maendeleo na migogoro ziishe.ahsante.
Mnafik tu mbon we umewahi kuwa mkuu wa mkoa lkn hukufanya kitu?ebu muache makonda apge kazi tunatamn makonda akae arusha milele
Ktk comment zotw Yako ndo nzuri kuliko Zote
😂yan gambo mkorofi
Supana juu ya Supana 😂😂😂
Kaka Mungu akubariki,wewe ni mtu wa Mungu
Allah atakulimda kwakweli
Ss kwanini viongozi wote msifuate mfano wa Kijana mwenzetu mzalendo Mako yaani mpaka apite mako ndio mshituke 💪🏽🙏🏼TZ inamambo kweli kweli Mungu akutangulie Mh.Makonda utakuwa Rais imekuwa mitano mitano mitano tena🤣🤣🤣🤣🤣
Gambo jifunze kazi kwa Rc makonda
Hiyo ni nyota ya makonda na mungu wake makonda ipo siku utakuwa rais wa nchi hii
Ni kweli
Asante….. Dr. Rais Samia Oyeeeeee Arusha
Nikipata ukuu wa wilaya tu....
Nitafuata nyayo zako Makonda.
Makonda MUNGU AKUTANGULIE MKUU WANGU nimekuelewa SANA 🙏🙏🙏🙏
Mheshimiwa makonda ipo siku ,mwezi,mwaka atakuwa raisi wa Tanzania hii
Congratulaton leader
Makonda salute
Makonda mungu akubaliki tunamuomba samiya akulente mwanza kunaukilitimba wahaki mzawanyoge kama arusha
Kusema ukweli hata mimi nilikuwa simuelewi Gambo ila baada ya kuona haya yote yanayoibuka baada ya makonda ya ubadhilifu kiukweli Gambo was and he is right Arusha kuna shida ya wizi wa pesa
Jmn mbona ana majungu huyu Gambo?
Hatar sana
Huyu Gambo ni mkorofi jmn
Hii ndio kazi tunayoitaka wananchi chama na viongozi wetu wafanye.
Gambo anatengeneza shida
Makonda atakuja kuwa l Raisi wa nchi hii Yani alipata nafasi hata kula watu wasilige apewe tu uraisi makondaaaa mungu ampe jhai yajayo yanafurahisha
Makonda ishiiiii
Ni vyema Makonda akabaki kuwa mkuu wa Mkoa wa Arusha ila Mbunge hapana.
Kama mrijuwa machinga wanateseka nahio migogoro mrifanya nini muda wote
On fact GAMBO
Kiki za uchaguzi ngoja uchaguzi upite mtaona kitakachoendelea
Mhe mbunge nimekuelewa kwa lugha ya kufikisha ujumbe wako kwa jamii
Mpenda majunguuuu
Huyu makonda awe mtu anayetaka ugonvi na watanzania hatukubali ambao si raia wa nchi ndiyo wanaotamani makonda wapishane hao hatuwataki waende kwenye nchi yao
Make sure kiwango cha barabara kinakuwa kama zile barabara za Maguful ziwe imara maana nyingi zinakuwa sio imara
Gambo aache kujikomba
Huyu Gambo hovyo kabisa boya tu
Arusha wamepata Rais
Kagambo ni kanafikk sanaa na kichonganishi. Na hakuna chochote alichowah kufanya
KWANI AGIZO LA MACHINGA KUFURUSHWA LILIKUWA NI AGIZO LA RAIS
Manene unafaa kuwa rais wetu uchaguzi ujao
Piga spana makonda mimi nina paiprench na tailiva sijui nikuletee hapo mkuu uwapige kweli kweli
nilichogundua baadhi ya viongozi wa ccm wanafki sana 😢 huyu jamaa anasifia tu na yeye alishawahi kuwa mkuu wa mkoa mbona hujafanya kama anavyofanya makonda? makonda hana ata miezi mitano lakin anavyowajibika ni kwa moto kila mahali arusha, yaani inavutia sana huyu makonda ni raisi wangu miaka kadhaa mbeleni
Huyu makonda anastahili kupewa nchi tu.
We gambo ulikua mkuu wa mkoa hapo mbona hukufanya chochote acha kupiga siasa hapo mwezi wa 10 kuna uchaguzi ndio maana unadanganya watu
Mrisho Gambo unaona namna kazi zinavyofanywa na RC Makonda?? Je wewe uliwahi kuwasadia Wananchi kwa lipi zaidi ya kulinda cheo??
Kwani huyu ndo arikuwa mkuu wa mkoa kabura ya makonda
@@khadjamhozyamkuu Kuna R na L daah Sasa arikua kabra ndonini
new magufuli wewe ni jpm mpya wa badae
We Mambo ulifanya nini
Wambie mitalo yote ifunikwe isikae wazi
Taka huku ni shida gari hazipiti
Huyu Gambo??? ni
Watu
Makonda jembe
Tuko pamoja na makonda wewe ulizaliwa kuwa kiongozi na Wala siyo uongozi wa kujifunza
Gambo wewe ni hamna kitu, kajeuri na kakorofi sana, wewe ndo uliyesababisha leo hii arusha tusiwe na stand kubwa.
Enzi ukiwa mkuu wa mkoa ulikuwa na bifu kubwa na mkurugenzi wako mkawa mnagombana kila mtu akitaka stand ijengwe eneo analotaka yeye. Hadi pesa zikarudi hazina na magufuli ndo akaja kuwasuluhisha na akawasema sana kwa kuwacheleweshea maendeleo wana arusha.
huyo dc ana mapito makubwa...huyo gambo nidhamu mbovu ccm wanatakiwa wamuajibishe kwenye kamati ya nidhamu
Sasa leo hii gambo unaugomvi na dc. Hii inaonesha wewe ni mkorofi. Unapenda migogoro