Mbunge Mrisho Gambo Akasirika Vibaya Mbele ya RC Makonda, DC "Asinichokonoe Sitaki Kugombana Na..

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 05. 2024
  • Mbunge Mrisho Gambo Akasirika Vibaya Mbele ya RC Makonda, DC "Asinichokonoe Sitaki Kugombana Na..
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    #MBUNGEGAMBO #MRISHOGAMBO #gambovsmakonda
    #rcmakondaarumeru
    #ARUSHAYASIMAMA #MKASAWAKUSIKITISHA #RCMAKONDA #rcmakondamonduli #rcmakondamonduli #MAKONDALIVE #makonda #makondaleo #makondakaratu #karatu
  • Zábava

Komentáře • 67

  • @DeogratiusAndrew-zi7zv
    @DeogratiusAndrew-zi7zv Před 29 dny +18

    Sisi wengine hatuko Arusha , lakini tuna fuatilia habari za Arusha kwajili ya makonda tuuu nahao walio dhulumiwa hakizao , wala sio kwaajili ya Gambo, wala Huyo Dc kwanza wengine tuna muona kwajili ya makonda, hawa wote wanatembelea nyota ya Rc Makonda , kama umeona wanatembelea nyota ya Rc Makonda, weka like za kutosha,

    • @TwalibHusseinteni-qz8tb
      @TwalibHusseinteni-qz8tb Před 29 dny +2

      Wakuu WA mikoa 😮wote fanyen hivyo

    • @user-yk5gm5qj4u
      @user-yk5gm5qj4u Před 27 dny

      Daa natamani mama angenipa ukuu wa mkoa ningefanya kazi kwa weledi kama wewe mh. Makonda ila sio mwanasiasa daa

    • @salumsimai642
      @salumsimai642 Před 26 dny

      Hawatembelei nyota wanasaport

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts Před 29 dny +11

    T M U...
    Team Makonda Ukombozi...
    Mungu azidi kuwatangulia....kuwalinda na kuwaongoza...
    Makonda ni mtumishi wa Mungu aliye hai, asante mama Samia kwa hii zawadi...Ma ko mda❤

  • @EgallSamsam
    @EgallSamsam Před 29 dny +7

    Makonda anaulizi wa Mungu na Mungu akuongoze.

  • @user-yk5gm5qj4u
    @user-yk5gm5qj4u Před 28 dny +3

    Your my best natamani niwe mkuu wa mkoa nifanye kazi kama wewe makonda

  • @AbdilahiMriri
    @AbdilahiMriri Před 27 dny +2

    Hongera sana Mhe Rais Samia Suluhu Hasani Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mke wangu jamani mpenzi wangu kwa ueledi wako na usikivu maendeleo ya Arusha na Nchi nzima yanaonekana Mhe daktari Rais Samia Suluhu Hasani mke wangu jamani mpenzi wangu.

  • @AliSalim-yu4mo
    @AliSalim-yu4mo Před 29 dny +3

    Kazi hii Kama itafanywa na Wakuu wote wa Mikoa nchini basi nchi hii ingefika mbali sana!lkn inaonesha wazi kwamba viongozi wengi hawaungi mkono kazi hii adhimu na muhimu kwa wananchi.Hivyo ni vyema Mh Rais akafanya uteuzi moya kwa Wakuu wa Mikoa

  • @user-ix9fv5xq1h
    @user-ix9fv5xq1h Před 27 dny

    Dr Samia,shikamoo mama yangu,nakuomba huyu makonda umtengue Mara kwa Mara na umteue Mara kwa Mara,namaanisha Kila mkoa ahudumu hata kwa miezi miwili miwili na sisi Mara huku tumfaidi ili mamungu watu wayapishe maendeleo na migogoro ziishe.ahsante.

  • @samwelshedrack631
    @samwelshedrack631 Před 29 dny +11

    Mnafik tu mbon we umewahi kuwa mkuu wa mkoa lkn hukufanya kitu?ebu muache makonda apge kazi tunatamn makonda akae arusha milele

  • @kilogreekachananawatuwasio4054

    Supana juu ya Supana 😂😂😂

  • @williammassana
    @williammassana Před 27 dny

    Kaka Mungu akubariki,wewe ni mtu wa Mungu

  • @MzeeAbdallah-gx9sd
    @MzeeAbdallah-gx9sd Před 29 dny +2

    Allah atakulimda kwakweli

  • @mkambamaulid447
    @mkambamaulid447 Před 29 dny +2

    Ss kwanini viongozi wote msifuate mfano wa Kijana mwenzetu mzalendo Mako yaani mpaka apite mako ndio mshituke 💪🏽🙏🏼TZ inamambo kweli kweli Mungu akutangulie Mh.Makonda utakuwa Rais imekuwa mitano mitano mitano tena🤣🤣🤣🤣🤣

  • @user-ob2ik5gy1b
    @user-ob2ik5gy1b Před 29 dny +1

    Gambo jifunze kazi kwa Rc makonda

  • @HashimuAbubakar-ej8gc
    @HashimuAbubakar-ej8gc Před 29 dny +4

    Hiyo ni nyota ya makonda na mungu wake makonda ipo siku utakuwa rais wa nchi hii

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 Před 29 dny

    Asante….. Dr. Rais Samia Oyeeeeee Arusha

  • @mpambanajitz7026
    @mpambanajitz7026 Před 28 dny

    Nikipata ukuu wa wilaya tu....
    Nitafuata nyayo zako Makonda.
    Makonda MUNGU AKUTANGULIE MKUU WANGU nimekuelewa SANA 🙏🙏🙏🙏

  • @kudramkoma8438
    @kudramkoma8438 Před 27 dny +1

    Mheshimiwa makonda ipo siku ,mwezi,mwaka atakuwa raisi wa Tanzania hii

  • @nkwabidonald4277
    @nkwabidonald4277 Před 29 dny +1

    Congratulaton leader

  • @RehemaBukuku
    @RehemaBukuku Před 27 dny

    Makonda salute

  • @MasungaJooji
    @MasungaJooji Před 29 dny

    Makonda mungu akubaliki tunamuomba samiya akulente mwanza kunaukilitimba wahaki mzawanyoge kama arusha

  • @zariadunia6328
    @zariadunia6328 Před 29 dny +1

    Kusema ukweli hata mimi nilikuwa simuelewi Gambo ila baada ya kuona haya yote yanayoibuka baada ya makonda ya ubadhilifu kiukweli Gambo was and he is right Arusha kuna shida ya wizi wa pesa

  • @sabinahobe3478
    @sabinahobe3478 Před 29 dny +3

    Jmn mbona ana majungu huyu Gambo?

  • @user-nr8gx1vs6t
    @user-nr8gx1vs6t Před 24 dny

    Hatar sana

  • @sabinahobe3478
    @sabinahobe3478 Před 29 dny +2

    Huyu Gambo ni mkorofi jmn

  • @AsiaNgoleka
    @AsiaNgoleka Před 27 dny

    Hii ndio kazi tunayoitaka wananchi chama na viongozi wetu wafanye.

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 Před 28 dny +1

    Gambo anatengeneza shida

  • @edrisalusonge4141
    @edrisalusonge4141 Před 27 dny

    Makonda atakuja kuwa l Raisi wa nchi hii Yani alipata nafasi hata kula watu wasilige apewe tu uraisi makondaaaa mungu ampe jhai yajayo yanafurahisha

  • @JoyceManyuka-ot7sg
    @JoyceManyuka-ot7sg Před 28 dny

    Makonda ishiiiii

  • @tumainiellyimo4657
    @tumainiellyimo4657 Před 27 dny

    Ni vyema Makonda akabaki kuwa mkuu wa Mkoa wa Arusha ila Mbunge hapana.

  • @khadjamhozya
    @khadjamhozya Před 29 dny +1

    Kama mrijuwa machinga wanateseka nahio migogoro mrifanya nini muda wote

  • @albartdastani3412
    @albartdastani3412 Před 29 dny +1

    On fact GAMBO

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle Před 29 dny +1

    Kiki za uchaguzi ngoja uchaguzi upite mtaona kitakachoendelea

  • @user-tu9ps9kr2o
    @user-tu9ps9kr2o Před 28 dny

    Mhe mbunge nimekuelewa kwa lugha ya kufikisha ujumbe wako kwa jamii

  • @princesschii4090
    @princesschii4090 Před 29 dny

    Mpenda majunguuuu

  • @EzekiaMyila
    @EzekiaMyila Před 25 dny

    Huyu makonda awe mtu anayetaka ugonvi na watanzania hatukubali ambao si raia wa nchi ndiyo wanaotamani makonda wapishane hao hatuwataki waende kwenye nchi yao

  • @namsamson3443
    @namsamson3443 Před 27 dny

    Make sure kiwango cha barabara kinakuwa kama zile barabara za Maguful ziwe imara maana nyingi zinakuwa sio imara

  • @MarthaGambaloya
    @MarthaGambaloya Před 28 dny

    Gambo aache kujikomba

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 Před 28 dny

    Huyu Gambo hovyo kabisa boya tu

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula Před 28 dny

    Arusha wamepata Rais

  • @laizermaasai6759
    @laizermaasai6759 Před 29 dny

    Kagambo ni kanafikk sanaa na kichonganishi. Na hakuna chochote alichowah kufanya

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle Před 29 dny

    KWANI AGIZO LA MACHINGA KUFURUSHWA LILIKUWA NI AGIZO LA RAIS

  • @mgalulamatongo4079
    @mgalulamatongo4079 Před 28 dny

    Manene unafaa kuwa rais wetu uchaguzi ujao

  • @dismaslalubare4196
    @dismaslalubare4196 Před 29 dny

    Piga spana makonda mimi nina paiprench na tailiva sijui nikuletee hapo mkuu uwapige kweli kweli

  • @user-qv8qo3ff3q
    @user-qv8qo3ff3q Před 26 dny

    nilichogundua baadhi ya viongozi wa ccm wanafki sana 😢 huyu jamaa anasifia tu na yeye alishawahi kuwa mkuu wa mkoa mbona hujafanya kama anavyofanya makonda? makonda hana ata miezi mitano lakin anavyowajibika ni kwa moto kila mahali arusha, yaani inavutia sana huyu makonda ni raisi wangu miaka kadhaa mbeleni

  • @aganolamotoeliya2027
    @aganolamotoeliya2027 Před 28 dny

    Huyu makonda anastahili kupewa nchi tu.

  • @OdenBidili-lj5qi
    @OdenBidili-lj5qi Před 29 dny

    We gambo ulikua mkuu wa mkoa hapo mbona hukufanya chochote acha kupiga siasa hapo mwezi wa 10 kuna uchaguzi ndio maana unadanganya watu

  • @upendoeliya9329
    @upendoeliya9329 Před 29 dny +2

    Mrisho Gambo unaona namna kazi zinavyofanywa na RC Makonda?? Je wewe uliwahi kuwasadia Wananchi kwa lipi zaidi ya kulinda cheo??

    • @khadjamhozya
      @khadjamhozya Před 29 dny

      Kwani huyu ndo arikuwa mkuu wa mkoa kabura ya makonda

    • @user-mb2ln1et5w
      @user-mb2ln1et5w Před 28 dny

      ​@@khadjamhozyamkuu Kuna R na L daah Sasa arikua kabra ndonini

  • @khatibumtaki7425
    @khatibumtaki7425 Před 29 dny +1

    new magufuli wewe ni jpm mpya wa badae

  • @odhiambojames8578
    @odhiambojames8578 Před 29 dny

    We Mambo ulifanya nini

  • @lawrencegwerino1656
    @lawrencegwerino1656 Před 28 dny

    Wambie mitalo yote ifunikwe isikae wazi

  • @abaskhatoon9425
    @abaskhatoon9425 Před 28 dny

    Taka huku ni shida gari hazipiti

  • @sarahjames2287
    @sarahjames2287 Před 29 dny

    Huyu Gambo??? ni

  • @ElishaOisso
    @ElishaOisso Před 29 dny

    Watu

  • @priscairene4605
    @priscairene4605 Před 26 dny +1

    Makonda jembe

  • @user-vs3kd5wr7z
    @user-vs3kd5wr7z Před 27 dny

    Tuko pamoja na makonda wewe ulizaliwa kuwa kiongozi na Wala siyo uongozi wa kujifunza

  • @baruaninombo291
    @baruaninombo291 Před 29 dny +1

    Gambo wewe ni hamna kitu, kajeuri na kakorofi sana, wewe ndo uliyesababisha leo hii arusha tusiwe na stand kubwa.
    Enzi ukiwa mkuu wa mkoa ulikuwa na bifu kubwa na mkurugenzi wako mkawa mnagombana kila mtu akitaka stand ijengwe eneo analotaka yeye. Hadi pesa zikarudi hazina na magufuli ndo akaja kuwasuluhisha na akawasema sana kwa kuwacheleweshea maendeleo wana arusha.

  • @fredmbossa-kc3qn
    @fredmbossa-kc3qn Před 29 dny

    huyo dc ana mapito makubwa...huyo gambo nidhamu mbovu ccm wanatakiwa wamuajibishe kwenye kamati ya nidhamu

  • @baruaninombo291
    @baruaninombo291 Před 29 dny

    Sasa leo hii gambo unaugomvi na dc. Hii inaonesha wewe ni mkorofi. Unapenda migogoro