MABEYO AONGEA KWA UCHUNGU, ATOA KAULI NZITO KWA RAIS SAMIA, "WANAHANGAIKIA AJIRA, WAMEKOSA MWELEKEO"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 10. 06. 2024
  • #UhondoTV #Uhondo

Komentáře • 229

  • @GeorgeNtauka
    @GeorgeNtauka Před 4 dny +2

    Best is best ever ,be blessed mabeyo umesema facts sana na kiongozi imara mara zote daima.

  • @cefr.1gstat621
    @cefr.1gstat621 Před 16 dny +5

    Kweli yaani mtu kila siku unakuta unaenda kuangalia taarifa ya habari labda kuna ajira, unanunua bando kila siku upo mtandaoni labda kuna Updates za ajira ila wapi,God bless you 💪 Generali mstaafu Mabeyo

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 Před 17 dny +40

    Huwezi tengeneza ajiri huku ukibinafsisha na kukodisha na kuuza maliasili tulizo nazo......lasilimali ndizo huzalisha ajira nyingi....ziko wapi lasilimali zilizo mikononi mwa nchi na wazawa sasa....ni ndoto kufanya mageuzi ya kiuchumi na ajira kwa fikra za kukaribisha wawekezaji wakwapuaji

    • @eddynaeem6708
      @eddynaeem6708 Před 16 dny

      a hapo bado sijaona jipya

    • @athumanfuko199
      @athumanfuko199 Před 16 dny

      kweli ila kama una miaka 40+ hauna haki ya kuhoji kitu hii nchi kwasababu umeshaona marais wote na kama hatuna pesa tutulie by Chalamila.

    • @salehothman6144
      @salehothman6144 Před 15 dny +1

      Akili yako bado haijapevuka au bado una umri mdogo hufahamu mtizamo wa ubinafsishaji!

    • @AbdulRahmanAliy-sr7gw
      @AbdulRahmanAliy-sr7gw Před 14 dny

      Shida haipo apo kaka
      Niboresha mfumo wa elumu tu bc tukisha kua na uelewa mzur kila ktu tutaweza kukifanya kwa ubora

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 Před 12 dny

      @@salehothman6144 😢😢😢

  • @ThomasMcha-jk5yt
    @ThomasMcha-jk5yt Před 17 dny +19

    Very Softly/Politely Spoken BUT The Message delivered is Very Strong!!...You can feel the Silence & Attention from the Audience.

    • @geey7893
      @geey7893 Před 17 dny +2

      Best Boy in Tanzania. General VSM

    • @damianmcba9525
      @damianmcba9525 Před 17 dny

      He is not a boy he's a Man​@@geey7893

    • @jacobd.kasofu2204
      @jacobd.kasofu2204 Před 16 dny +1

      Abusolutely....This Man is A Gentleman❤❤❤

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi9809 Před 15 dny +2

    Mh. Mabeyo umestaafu umefanya kazi zako vizuri lkn ongea ukweli nchi sahiz iko ovyo hakuna chamageuzi wakati nchi inaizwa hiii

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 Před 17 dny +12

    Haya ndio maneno sasa

  • @MasumbukoNgata
    @MasumbukoNgata Před 17 dny +19

    Asante mabeo nyinyi ndo wazarendo awamu hii haitaki wazarendo

  • @agastokissatu2667
    @agastokissatu2667 Před 16 dny +7

    ........tunataka fomu mbili za uchaguzi ndani ya cCm ya afande na mama wa bandari

    • @David-if6nk
      @David-if6nk Před 8 dny

      Afande atamgaragaza traveller hadi huruma. Matokeo yatakuwa kama ifwatavyo;
      Afande 98.9%
      Traveller 1.1%

  • @johnsonchonja4032
    @johnsonchonja4032 Před 17 dny +5

    Mabeyo once again 💯

  • @user-ig6pg6oz9i
    @user-ig6pg6oz9i Před 17 dny +10

    Uko vizuri sana ungefaa kuwa raisi wa tz tungekua vizuri sana tugenenepa

    • @jumamohamed3168
      @jumamohamed3168 Před 15 dny +1

      Hayo ni mawazo yako .

    • @walidmgonja3644
      @walidmgonja3644 Před 15 dny +1

      Akili Huna wewe,kila anayeongea vizuri kwako anafaa kuwa rais

    • @hemed4064
      @hemed4064 Před 13 dny

      Nae akiwa rais mtamlaumu kuliko samia

  • @stephenndagalla8183
    @stephenndagalla8183 Před 18 dny +40

    Tamko zito kutoka kwa Generali Mstaafu Mabeho, "Tz ibadirike iendane na mabadiliko ya Kimataifa ya Dunia ya Kiuchumi, tusifanye kimazoea...". Kumbuka Generali Mabeho amenukuu mwanafalsa mwanajeshi wa Kichina, ambayo nchi yake (China) ndio inaongoza kwa sasa Kiuchumi Duniani. Hivyo Generali Mabeho anaishauri Tz (kupitia Rais Samia), kubadilika na kuachana na kukumbatia Mashirika ya fedha ya Kimagharibi ya IMF na WB.

    • @edsonnelson4464
      @edsonnelson4464 Před 18 dny +2

      Ahh!! kumbe na G. Mabeyo naye ameongea

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Před 17 dny +3

      Wenzie ndo wanapata ulaji humo, hiyo misaada na mikopo inakuwaga accounted for? Huyo cig huwa anakagua hiyo mikopo na misaada? Huko ndo raisi na mawaziri husika wanakula hela tena wanazipiga kweli kweli.

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 Před 17 dny +1

      Wanataka kusikia kilichopo moyoni mwake

    • @mekajamtv9603
      @mekajamtv9603 Před 17 dny +1

      unahuakika na ulisemalo😮

    • @husseinmkanga7794
      @husseinmkanga7794 Před 17 dny +1

      Mabeyo hana kitu kipya zaidi kumsifia Rais na kufurahiya nafasi aliyopewa. Mashirika gani anayosema yapo vizuri? Zaidi ya sasa wamepewa nafasi ya kuiba. CIG anasema mashirika fedha zinapotea hata shirika la ndege ambalo limenunuliwa ndege za kutosha ambazo zimekuwa za kupanda viongozi. Hawa viongozi walikuwa wazalendo wakati wa Magufuri kwa sababu ilikuwa lazima upewi nafasi. Sasa hivi kigezo ni kumsifu Rais na kumshauri vizuri. Kama tumasema hatuwezi hata kuendesha bandari tunawezaje kuendana na mabadiliko ya kidunia ambayo mabeyo anasema? Yanayotoka moyoni huitaji kuandika kwenye kalatasi mabeyo amepewa kalatasi asome ili watudanganye. Sio mabeyo yupo kwenye bodi au kamati ya kuamisha na kuandaa wamasai bandia kusema wamasai wamekubali kuamishwa wakati sio kweli? Maneno hayatudanganyi wakati matendo tunayaona.

  • @obedmghase5238
    @obedmghase5238 Před 17 dny +2

    Yupo vizuri sana,Mungu azidi kukuoigania

  • @jogoomohamed2652
    @jogoomohamed2652 Před 17 dny +4

    Safi sana nchi yangu/yetu.Safi sana mhe Rais mama yangu/yetu.Hongera sana mkuu mstaafu(Mabeyo)Afande Mabeyo kwa speech nzuri.

    • @abdulhakeem959
      @abdulhakeem959 Před 16 dny

      Ni mama yako sio mama yetu.mm nina mama yangu anaitwa Mariath sio samia

    • @jogoomohamed2652
      @jogoomohamed2652 Před 16 dny +1

      Bro mi mama yangu,coz kanitangulia kuzaliwa napia kiongozi wa nchi yangu.So nampenda napia namuheshimu sana kwenye maisha yangu.

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana2152 Před 17 dny +17

    Bandari zimeuzwa, misitu imeuzwa, unasema nini Gereli😢😢😢watu wananyanyaswa kwenye ardhi zao wanafukuzwa kwenye ardhi yao😥😥😥

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Před 17 dny +19

    Ameuza mali za Inchi ya Tanganyika mnasifu nini? Mnasifu ili muendelee kuwa wenye viti vya board. Acheni kutufanya watumwa wenu. Inchi hii ni yetu wote.

    • @ndukulusudikucho_
      @ndukulusudikucho_ Před 17 dny +5

      Kunyamaza ni hekima, ukiona mtu analalamika saana ujue anakwepa majukumu yake, fanya kazi Kijana acha Malalamiko, Bakharesa amepewa hela na nani? Familia ya MO dewji wamepewa hela na Serikali? Acha hizo kuwa serious na maisha

    • @ladislausngoyinde4384
      @ladislausngoyinde4384 Před 17 dny +2

      ​@@ndukulusudikucho_we ni mpumbav kabisa, mnaturudisha kwenye utumwa

    • @jesusiscoming237
      @jesusiscoming237 Před 17 dny

      Duu

    • @simonmalegesi414
      @simonmalegesi414 Před 17 dny

      ​@@ndukulusudikucho_kweli aisee😂😂😂❤❤❤

    • @mimiraia2531
      @mimiraia2531 Před 16 dny +1

      @@ndukulusudikucho_ Unaongea usenge

  • @EnockKisigo
    @EnockKisigo Před 5 dny

    Mkuu wetu wa Chuo Mungu Akubariki Amen

  • @lucaschisamalo2852
    @lucaschisamalo2852 Před 16 dny +2

    Mungu ibariki tanzania huwa naumia Sana inchi inakila kitu lakini watu wake wanaishi maisha magumu Sana

  • @simonphabiano9050
    @simonphabiano9050 Před 16 dny +2

    He speaks like Philip Mpango

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5zt Před 16 dny +1

    Mungu akupe maisha marefu Mabeyo🎉🎉🎉🎉

  • @AbdallahBakar-oc3ue
    @AbdallahBakar-oc3ue Před 17 dny +12

    Na tatizo la watu wengi hawataki kustafu wanangangania madalaka wao vijana hawatapata ajira kamwe

    • @sskondopoleani9616
      @sskondopoleani9616 Před 17 dny +2

      Wewe kwa mtazamo wako, wazee gani waondoke, na vijana gani ambao wewe unaona wana faa kuchukua hizo nafasi unazozisema? Baada ya kulaumu toa Ushauri.

  • @halimakhalid134
    @halimakhalid134 Před 5 dny

    Wanakua howi kweli wasaidie mkuu nimefulahi kuona umepewa nafas mkuu wetu good you

  • @MichaelKingazi-wm7xj
    @MichaelKingazi-wm7xj Před 16 dny

    Mungu akutunze baba padre, Amen sana.

  • @agastokissatu2667
    @agastokissatu2667 Před 16 dny

    .... well said bro afande

  • @joelgabrieljuma1906
    @joelgabrieljuma1906 Před 17 dny

    Point muhimu

  • @MPOYOLAFILMS
    @MPOYOLAFILMS Před 15 dny

    I love you my father...

  • @daudibukwimba4226
    @daudibukwimba4226 Před 17 dny

    Plan is key to success

  • @user-sr4ig4sl8y
    @user-sr4ig4sl8y Před 18 dny +15

    Mzee ushauri wako nizuri sana tuige kwa kaka wa bukinafaso sisi ni matajir tupambanie nchibyetu

  • @pauloropian2367
    @pauloropian2367 Před 18 dny +6

    Ndugai Mungu akubariki popote ulipo, Mungu ibariki Tanzania mungu ibariki Africa.

    • @Mumewangu
      @Mumewangu Před 17 dny

      Kampe na mkundu

    • @emanuelleopod3949
      @emanuelleopod3949 Před 17 dny

      ​@@Mumewangu ukimpa wewe inatosha

    • @user-sl1ko9me7u
      @user-sl1ko9me7u Před 17 dny

      AIBU NA FEDHEHA KUTOA MATUSI...MDOMO MCHAFU!

    • @Mumewangu
      @Mumewangu Před 17 dny

      @@emanuelleopod3949 wewe ndie shoga manake unampenda mwanaume mwenzako na kumsifia

  • @MtamboMovies
    @MtamboMovies Před 16 dny

    Movie mpya

  • @joycemkeka3769
    @joycemkeka3769 Před 16 dny

    Pamoja na kujiamini lakini umejaliwa unyenyevu nakupendaga sana mkuu venance mungu akutunze na ikimpendeza natamani siku mona uwe rais wa Tanzania 🙏🙏

  • @user-uo9kk7kn9z
    @user-uo9kk7kn9z Před 17 dny +2

    Bukina Faso ndo ina uongozii Bora majeshii ndo Kila kitu

    • @user-jn2qj5wf6c
      @user-jn2qj5wf6c Před 17 dny +2

      Idd Amin hakuwa mwanajesh Nkurunzinza hakuwa mwanajesh Kabira hakuwa mwanajesh Mzee kikwete hakuwa mwanajesh Mzee mseven sio mwanajesh hacha kukalili

    • @David-if6nk
      @David-if6nk Před 8 dny

      Ni bora wajeshi kuliko hawa raia wapuuzipuuzi

  • @barakamusapolekidoti957
    @barakamusapolekidoti957 Před 17 dny +2

    💪

  • @frankalfredy4991
    @frankalfredy4991 Před 16 dny

    Great

  • @mfalmekaitaba2425
    @mfalmekaitaba2425 Před 17 dny +1

    Tukutane 2025 ,,hii nchi inahitaji mabadiriko

  • @deohaule8161
    @deohaule8161 Před 17 dny +3

    Mkutano wa gawio, je nikiasi gani kina gharimu serikali na wananchi kuandaa mikutano kama hii? Na matokeo yake kunyima maendeleo kwa watanzania walio wengi

  • @stanmasnon5152
    @stanmasnon5152 Před 17 dny

    Asante kwa maneno mazuri mheshimiwa maana kauli MBIU ya kupata ajira wasema nasafi za kazi vigezo uwe na uzoefu wa miaka mitatu sasa vijana wamesomea kazi husika badala ya kupewa nafasi wanaambiwa uzoefu miaka mitatu je uzoefu huo unapatikana wapi

  • @lugelosanga5798
    @lugelosanga5798 Před 17 dny +3

    Tanzaniaaaa korongoniiiii

  • @vanessastafford6426
    @vanessastafford6426 Před 17 dny +1

    Ferry Tu pale kigamboni serikali pana pesa nyingi panahitaji utendaji thabiti

  • @AdamSaffi211
    @AdamSaffi211 Před 17 dny +1

    Dar ni karibu na Zanzibar, heheeee, Dodoma oyeeeee, DP World oyeeeee, musukuma oyeeeee!

  • @MarksevenTz
    @MarksevenTz Před 14 dny

    Points mbili MUHIMU
    1. Ajira
    2. Namna ya kupata wajumbe wa Bodi
    Lakini MHUSIKA hajaelewa japo Amejitahidi kupiga makofi

  • @modrikabdallah
    @modrikabdallah Před 15 dny +1

    MMi ni mzalendo wa tanzania kutoka Tanga tanzania 2sije tukaungana na NATO wala kufanya biashara yeyote ile maana wzungu wanatunyonyasan wa africa sana Haswa haoo wmarecani na Engeland 2sikubali watutawale kivyovyote vile 2kiamua Tanzania 2naweza ASANTE, 8:56 iv

  • @kakamau0384
    @kakamau0384 Před 4 dny

    Kuna mda kwa uchache wa akili yangu ninahisi kama UZARENDO upo JESHINI je ni mimi tu au hata nyinyi wenzangu???? Maana huyu jamaa anaongea point lkn kwa upole na utii wa hali ya juu

  • @williamkavuta8066
    @williamkavuta8066 Před 16 dny +2

    Yan ivi hawez kugombea urais....hawa ndo u magufuli....tumekatishwa...tunataka mtu atakaendeleza ideas za Magu. Ila Mama anajitahid sana ku balance maendeleo na democrasia

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm Před 17 dny +2

    Nakusifu ndugu Mabeyo kwa kuwa mkweli ingawa umekuwa too polite katika risala yako. Ungekuwa more direct kusudi Raisi apate picha kamili na mazito uliyoyasema. Raisi kazi hikes na watu wengi ambao hawapo serious na maisha ya Watanzania. Hawajaisoma dunia ni wapi inaelekea na nini au vipi tutumie raslimali zetu kuboresha maisha ya watanzania. Raisi umetukosea sana kuwapa mataifa ya nje raslimali zetu kuu na wazichukue burebure kwao na wakazichakate huko. Ungepigilia msumari tujenge viwanda Tanganyika, tuongeze thamani ya maligafi yetu badala ya kuwaruhusu wakachakate kwao na kukosesha Watanganyika wengi ajira nchini hasa vijana wa Somali a kazi. Kuwafukuza Wamasai na kupora ardhi na mifugo yao na kuwaruhusu wageni kuchukua ardhi zetu na kuwekeza huko. Hızı na haya maeneo ambayo ni Prime nchini kiuchumi ni makosa makubwa sana sana bila hata kuwahusisha wamasai ambao ndizo ardhi zao ni ki yüme cha sheria kikatiba ya nchi yetu na ningeshauri zirudishwe kwa Wamasai. Tumetoa raslimali kuu zote na bado hatuna dola na hii haieleweki hata kidogo.
    Mungu ibariki Tanzania. Wabariki viongozi wetu wakuu na kuheshimu madaraka yao na kufanya maamuzi magumu wakimtumainia Mungu kwa manufaa ya watanzania kwanza kabla ya mtu meingine yeyote. Mungu wabariki watanzania , uwalinde na kuwaongoza vyema.
    Amina.

  • @suleimansadalla5606
    @suleimansadalla5606 Před 15 dny

    Asante mzee mimi sikusoma sana lakini nimekuelewa sanaaa,

  • @williamboniphace5887
    @williamboniphace5887 Před 17 dny +1

    Wanajeshi sku zote wamenyooka sana
    Hawataki uchawa chawa🙏🙏

  • @TitoRufizi-xb2ub
    @TitoRufizi-xb2ub Před 16 dny

    Hapo kazi ni kusifiana tu hakuna laziada

  • @HappyMsuya-og7ok
    @HappyMsuya-og7ok Před 15 dny

    Mmm tunamwitaji Mungu

  • @Mpapyrizy
    @Mpapyrizy Před 17 dny +1

    👀

  • @susanndanshau1185
    @susanndanshau1185 Před 15 dny

    Hapo muhusika hata hajakuelewa. Woiiiiii😢😢😢

  • @sawegasper9670
    @sawegasper9670 Před 17 dny

    “Natumaini umeelewa vyema”😂

  • @joscamwoshezi2986
    @joscamwoshezi2986 Před 17 dny +1

    Chistine.Rais kaiza nini lete ushahidi hapa acha maneno yasio na utafiti.Tofautisha kuuza na kiwwkeza

    • @RomanMwinyi
      @RomanMwinyi Před 14 dny

      We una faidka ndio mana walewalee

  • @Kelvinjoseph-jz7kq
    @Kelvinjoseph-jz7kq Před 17 dny +1

    Kilichobaki rubani apoteze ndeg2 muishie,,,Kam wenzen wak kenya,malaw,iran,,,,

  • @kichenjekichenje2072
    @kichenjekichenje2072 Před 17 dny +6

    Hata wale tuliowaamini wametugeuka, kweli hii ndio Tanzania.Eti wako bega kwa bega na wewe!Wakina nani hao!?

  • @edsonkahesi8603
    @edsonkahesi8603 Před 17 dny +1

    Vijana wengi hawana ajira, wengi wao hasa wa kiume wamekuwa walevi na watumiaji wa madawa ya kulevya na wa kike wamekuwa wakitumia miili yao kwa njia ambazo siyo sahihi kujiingizia kipato. Tutafakari kwa kina kesho ya taifa letu na vijana hao.

  • @Sakina-pr3ly
    @Sakina-pr3ly Před 14 dny

    Sana mwamba umeupiga mwinga umewambiliapo

  • @user-qi5ii4pq5m
    @user-qi5ii4pq5m Před 15 dny

    Hakika , vijana wengi tushapotea , hatuoni umuhimu wa elimu ,zaidi ya maumivu tu ya kusota na makaratasi ya vyeti😢🇹🇿🙌

  • @BoniphasLukas
    @BoniphasLukas Před 16 dny

    Duh!yan mung tusaidie umechkua wazalendo umetuachia majambazi yanauza nchi kwafaida zao wenyew

  • @juvenalismnali1901
    @juvenalismnali1901 Před 17 dny +2

    Na tanesco nao watafutiwe washindani kibiashara Ili serikali ipate Kodi.

  • @emmanuellangoi5654
    @emmanuellangoi5654 Před 16 dny

    Anastahili kuwa Rais

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi9809 Před 15 dny

    Mama Samia sio kila mtu anaweza kuwa mkurugenzi wa ikulu hiyo nafasi muhimu mno angalia huyo mtoto anavyojikanyaja hapo ovyo kabisa unajaza teuzi zako zingine HAZIELEWEKI kabisa

  • @AdamSaffi211
    @AdamSaffi211 Před 17 dny

    Peter alitoka jela kwa kuhujumu uchumi akapewa board member Reli mpya, hiyo inakuwaje. Nchi imeoza

  • @amonimbalya2779
    @amonimbalya2779 Před 13 dny

    Mabeyo hoyeeeeeeee

  • @edsonmwinami3187
    @edsonmwinami3187 Před 17 dny +12

    Kwa nini Mabeyo usichukuwe nchi???? Hakuna waziri yeyote anayeelewa anachofanya zaidi ya kupenda vyeo tu, inakuwaje nchi haina $$??? Wafanya biashara watafanyaje kazi???? Kama BOT hawana pesa za kuwawezesha wafanya biashara kuendeleza nchi kiuchumi??? Hizo Dollars haziko available kwa wananchi lakini wao wanazo za kutumia Dubai, Uingereza na hapa Marekani wanakuja kila mara kwa matumbuzi tu hakuna la maana, something need to be done

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Před 17 dny +1

      Raisi ndo kiongozi mkuu kama halioni hilo, wasaidizi wake wanajilia hakutaka kuyachukua mazuri ya aliyemuachia akaamua kuwakumbatia mafisadi. Watu WA kupato cha chini wanaumia kulipa Kodi na maisha magumu walio juu wanateleza, machawa nao ndo wanabugia hela za nchi kila kukicha. Angechukua nchi Magu alivyofariki kama alishindwa ndo basi tena.

    • @AbdulRahmanAliy-sr7gw
      @AbdulRahmanAliy-sr7gw Před 17 dny +2

      Uyu anafaa kua rahisi au Ata awe mshauri wa raishi pia itasaidia nchi kwenda mbele

    • @AbdulRahmanAliy-sr7gw
      @AbdulRahmanAliy-sr7gw Před 17 dny

      ​@@MsAggie5
      Raisi anajitahid sana lkn mitazamo inatofautiana ila umeongea ktu cha maana sanaa

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Před 17 dny

      @@AbdulRahmanAliy-sr7gw hilo la awe msaidizi wake hata Mimi naliunga mkono, angemsaidia vzr

    • @husseinmkanga7794
      @husseinmkanga7794 Před 17 dny

      ​@@AbdulRahmanAliy-sr7gwAnajitahidi kufanya nini ndugu ? Kilasiku tunakopa nini umekiona?

  • @RubenGodfrey-mf6hk
    @RubenGodfrey-mf6hk Před 8 dny

    Mama alimstaafisha kijanja maana anajua huyu ni mzalendo hataki makando kando

  • @patrickmtunguja3201
    @patrickmtunguja3201 Před 17 dny +2

    Nchi masikini kutokufanya biashara eti zitegemee kodi tu kuendesha nchi ni natural fault! Tax bases za nchi zilizoendelea zinatosha lakini zetu hazitoshi kabisa hivyo lazima kukopa na kuumiza wananchi kwa kodi kubwa. Serikali iache uvivu iwekeze kwenye management and administration ya makampuni yake ifanye biashara na itakua tajiri.

  • @leahmgunda4154
    @leahmgunda4154 Před 17 dny +2

    Viatu vya Ibrahim ni vikubwa mno.

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 Před 16 dny

    Na hilo gaiwo ni kwa kila mtanzaniaa au ni kwe nyinyi wenyewe wenye nnchi.

  • @mejjalomayan9792
    @mejjalomayan9792 Před 17 dny

    Uzeni hii nchi yote mrizike washenzi

  • @Mr_king_st
    @Mr_king_st Před 16 dny

    Naona kama majaliwa anapotea taratibu

  • @MaridadiRashidilikwesoLikweso

    nchi ya ahadi 😭😭📞💔
    duuh

  • @josiahlwakatare3701
    @josiahlwakatare3701 Před 17 dny +1

    na mleta roboti😂😂

  • @juliusmlula1658
    @juliusmlula1658 Před 17 dny +1

    Mabeo ni muhujumu wa jeshi hakupandisha wanajeshi vyoo na alikuwa anapendelea jamaa zake tu tunamkumbuka Gen Mwamnyange

    • @user-jn2qj5wf6c
      @user-jn2qj5wf6c Před 17 dny

      Wew ni mwanajesh? Na je kama ndio kwa nn ukwenda kamat za jesh kulalamika? Kama sio unalalamikia vip vyeo vya jesh na wewe ukiwa na shughr nyingne??

    • @emanuelleopod3949
      @emanuelleopod3949 Před 17 dny

      Apandishe Vyoo gani tena ndugu

    • @user-jn2qj5wf6c
      @user-jn2qj5wf6c Před 17 dny

      @@emanuelleopod3949 soma vizur utaona niliye mjibu Mzee

  • @temekepamoja2757
    @temekepamoja2757 Před 17 dny

    Wezo ao

  • @mosesgodfrey4143
    @mosesgodfrey4143 Před 16 dny

    5:35

  • @seneu.2128
    @seneu.2128 Před 17 dny

    Ubinafsishaji wa rasilimali za nchi ni tatizo Moja kubwa kwasababu Rushwa ndio huchukua mkondo hapo, Mzee mkapa alijaribu kufanya hivyo na kwenye kitabu cha maisha yake alichokiandika alikiri alifanya makosa makubwa kuruhusu ubinafsishaji, huwezi ruhusu kubinafsisha na hakuna taasisi huru kukagua aina huo wa uwekezaji kama una tija kwa taifa letu. Wananchi wa ngorongoro wamegeuzwa kuwa watumwa ndani ya nchi Yao kwasababu ya biashara ya cabon credit

  • @gosbertireneus5558
    @gosbertireneus5558 Před 17 dny +3

    Generali anaongea kwa nidhamu na mpangilio wa kimantiki,yaani anavutia huchoki kumsikiliza,zaidi maudhui yake ....pokea maua yako CDF mstaafu .

  • @agastokissatu2667
    @agastokissatu2667 Před 16 dny

    ........cdf(Chief of defense forces)the former one,sijuwi kama huyoo mama amekuelewa

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Před 17 dny +3

    Uaminifu hapa haupo bali uchawa tu ili wachaguliwe kuwa kwenye board ili waweze kuwasifu mbona hujatueleza mafanikio yo yote ya hayo mashirika?

  • @user-ig6pg6oz9i
    @user-ig6pg6oz9i Před 17 dny

    Wamesikiliza sikio la kulia yametokea sikio la kushoto basi tenaàa ng'oo

  • @user-fo9jw2gb2h
    @user-fo9jw2gb2h Před 17 dny +5

    Tumpe nchi uyu jamaa atatupeleka nchi yaahadi na hana uroho mtu wamanasana uyo

    • @Mumewangu
      @Mumewangu Před 17 dny

      Vitendo ndio muhimu

    • @husseinmkanga7794
      @husseinmkanga7794 Před 17 dny

      Yeye si ndio anahamisha wamasai? Usisikilize maneno ya kupangwa kwenye kalatasi tizama matendo ndugu yangu.

  • @salehesalehe2967
    @salehesalehe2967 Před 17 dny

    Mama hongera sanaaaaa

  • @faidhamyovela179
    @faidhamyovela179 Před 12 dny

    Vijan upep umegeuk saiv mpo na mabeyoo😂😂😂😂 kisa kagusia ajira za vijan

  • @Globalpeace123
    @Globalpeace123 Před 17 dny +1

    Acheni kuwafanya watanganyika wanaipenda nchi yao hawajui mnachokifanya kazi kusifiana
    Mbona hataki kubadilisha katiba?
    Jamani nyie viongozi kuanzia rais hayo matumbo yenu hayashibi?
    Kwa nini mnawatesa watanaganyika
    Tunaomba Mungu aingilie kati na mkutane na nguvu Za Mungu ndiyo mtambue maovu yenu mnayoyafanya mtayalipa hapa hapa duniani
    Shame on you

  • @user-lr7em1ch8g
    @user-lr7em1ch8g Před 13 dny

    Tatizo wageni wameshika nafasi za vijana wetu wapo kibao mishahara yao mikubwa akiajiriwa mtanzania anapewa mishahara mdogo 😢😢😢 nenda kwenye makampuni uone wageni walivyo wengi wakija wanasimama nyuma ya fundi wakishajua wanakuwa ndio mafundi wakuu

  • @ms123ru
    @ms123ru Před 14 dny

    Unemployment aisee ni kitu kidg alf mataifa yote yenye migogoro chanzo ni iko ndio maana marekani ina vitengo vingii sana vya jeshi ili wengi wenye elimu ya kawaida waendee kujiungaa jeshi. Na kupunguza hatri kubwa uasi kwenye nchi

  • @RomanMwinyi
    @RomanMwinyi Před 14 dny

    Wana nchi tuna taka katiba mpya

  • @temekepamoja2757
    @temekepamoja2757 Před 17 dny +1

    Uyu ndio kauza nchi......

  • @SamwelMbeye
    @SamwelMbeye Před 16 dny

    Hamna jipya,uyo ndo katufikisha uku

  • @usembiphonedar5632
    @usembiphonedar5632 Před 17 dny +2

    Nchi inauzwa,rasilimali zinauzwa ninyi mpo kusifia tu kupongeza uozo unaofanywa na serikali ya ccm!

  • @Antelius-ew6it
    @Antelius-ew6it Před 17 dny

    Hii inachekesha sana

  • @user-ls1es8sd1s
    @user-ls1es8sd1s Před 17 dny

    UTumwa kitu kibaya Sana watu wenye Uzalendo waku Ripi ganiA hiri Taifa Awa Takiwi Apo mna sapo kila kitu Bira kujuA mna sapoti matatizo

  • @Nedjadist
    @Nedjadist Před 16 dny

    Yote bla bla tu. Kama hamtawaadhibu wala rushwa, wafujaji na wavunja sheria, kutaifisha mali zao, kuwalazimisha warudishe walichokiiba, kuwaweka jela miaka 12 na viboko 24....hakuna mabadiliko wala kunguru. Bla bla tu
    Kujenga nchi ni vita. Hakuna nchi imejengwa kwa lele mama, maneno matamu ya kusifiana!

  • @GeofreyMwandanji-ot2lf
    @GeofreyMwandanji-ot2lf Před 17 dny +2

    Akuna uzalendo hiichii tunaleteana muvi tuu😅

  • @mwanagwakyala3213
    @mwanagwakyala3213 Před 17 dny +2

    maneno kuntu

  • @kedricksiame6167
    @kedricksiame6167 Před 16 dny

    Chamsingi na mhim nikwamba hizi Ajila ina takiwa mtu akistafu akae nyumbani siyo kuteuliwa tena ale pesheni hizo na fasi wachukue wengine mnabadilishana tu vyeo pekeenu

  • @gosbertireneus5558
    @gosbertireneus5558 Před 17 dny +2

    huyo madam ndo kachukua nafasi ya zuhura yunus??

  • @richardalex7296
    @richardalex7296 Před 17 dny

    Yaan viongozi wa bongo mwamba anatospeech wanajikuta wanajua kunote kumbe unafikii hamna ata kinachoandikwa!

  • @DavidMMKing
    @DavidMMKing Před 16 dny

    Mabwege ndio wanafurahia huu upuuzi, wananchi wako hoi afu kazi kusifiana tu upuuzi kabisa. Mkiambiwa nchi imeuzwa bado vichwa vigumu. Watanzania wengi yaani mmelala sana. Mkipakwa mafuta kwa nyuma ya chupa tayari msharizika mpaka muibiwe ndio muelewe yaani serikali inaruhusu makodi kibao tena ya wizi tu afu mnafurahia!!!

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Před 17 dny +2

    Nani sasa hao vijana hawana kazi alafu wakati huo huo wako bega kwa bega na huo raisi wenu