Kweli yaani mtu kila siku unakuta unaenda kuangalia taarifa ya habari labda kuna ajira, unanunua bando kila siku upo mtandaoni labda kuna Updates za ajira ila wapi,God bless you 💪 Generali mstaafu Mabeyo
Huwezi tengeneza ajiri huku ukibinafsisha na kukodisha na kuuza maliasili tulizo nazo......lasilimali ndizo huzalisha ajira nyingi....ziko wapi lasilimali zilizo mikononi mwa nchi na wazawa sasa....ni ndoto kufanya mageuzi ya kiuchumi na ajira kwa fikra za kukaribisha wawekezaji wakwapuaji
Tamko zito kutoka kwa Generali Mstaafu Mabeho, "Tz ibadirike iendane na mabadiliko ya Kimataifa ya Dunia ya Kiuchumi, tusifanye kimazoea...". Kumbuka Generali Mabeho amenukuu mwanafalsa mwanajeshi wa Kichina, ambayo nchi yake (China) ndio inaongoza kwa sasa Kiuchumi Duniani. Hivyo Generali Mabeho anaishauri Tz (kupitia Rais Samia), kubadilika na kuachana na kukumbatia Mashirika ya fedha ya Kimagharibi ya IMF na WB.
Wenzie ndo wanapata ulaji humo, hiyo misaada na mikopo inakuwaga accounted for? Huyo cig huwa anakagua hiyo mikopo na misaada? Huko ndo raisi na mawaziri husika wanakula hela tena wanazipiga kweli kweli.
Mabeyo hana kitu kipya zaidi kumsifia Rais na kufurahiya nafasi aliyopewa. Mashirika gani anayosema yapo vizuri? Zaidi ya sasa wamepewa nafasi ya kuiba. CIG anasema mashirika fedha zinapotea hata shirika la ndege ambalo limenunuliwa ndege za kutosha ambazo zimekuwa za kupanda viongozi. Hawa viongozi walikuwa wazalendo wakati wa Magufuri kwa sababu ilikuwa lazima upewi nafasi. Sasa hivi kigezo ni kumsifu Rais na kumshauri vizuri. Kama tumasema hatuwezi hata kuendesha bandari tunawezaje kuendana na mabadiliko ya kidunia ambayo mabeyo anasema? Yanayotoka moyoni huitaji kuandika kwenye kalatasi mabeyo amepewa kalatasi asome ili watudanganye. Sio mabeyo yupo kwenye bodi au kamati ya kuamisha na kuandaa wamasai bandia kusema wamasai wamekubali kuamishwa wakati sio kweli? Maneno hayatudanganyi wakati matendo tunayaona.
Ameuza mali za Inchi ya Tanganyika mnasifu nini? Mnasifu ili muendelee kuwa wenye viti vya board. Acheni kutufanya watumwa wenu. Inchi hii ni yetu wote.
Kunyamaza ni hekima, ukiona mtu analalamika saana ujue anakwepa majukumu yake, fanya kazi Kijana acha Malalamiko, Bakharesa amepewa hela na nani? Familia ya MO dewji wamepewa hela na Serikali? Acha hizo kuwa serious na maisha
Mkutano wa gawio, je nikiasi gani kina gharimu serikali na wananchi kuandaa mikutano kama hii? Na matokeo yake kunyima maendeleo kwa watanzania walio wengi
Asante kwa maneno mazuri mheshimiwa maana kauli MBIU ya kupata ajira wasema nasafi za kazi vigezo uwe na uzoefu wa miaka mitatu sasa vijana wamesomea kazi husika badala ya kupewa nafasi wanaambiwa uzoefu miaka mitatu je uzoefu huo unapatikana wapi
MMi ni mzalendo wa tanzania kutoka Tanga tanzania 2sije tukaungana na NATO wala kufanya biashara yeyote ile maana wzungu wanatunyonyasan wa africa sana Haswa haoo wmarecani na Engeland 2sikubali watutawale kivyovyote vile 2kiamua Tanzania 2naweza ASANTE, 8:56 iv
Kuna mda kwa uchache wa akili yangu ninahisi kama UZARENDO upo JESHINI je ni mimi tu au hata nyinyi wenzangu???? Maana huyu jamaa anaongea point lkn kwa upole na utii wa hali ya juu
Yan ivi hawez kugombea urais....hawa ndo u magufuli....tumekatishwa...tunataka mtu atakaendeleza ideas za Magu. Ila Mama anajitahid sana ku balance maendeleo na democrasia
Nakusifu ndugu Mabeyo kwa kuwa mkweli ingawa umekuwa too polite katika risala yako. Ungekuwa more direct kusudi Raisi apate picha kamili na mazito uliyoyasema. Raisi kazi hikes na watu wengi ambao hawapo serious na maisha ya Watanzania. Hawajaisoma dunia ni wapi inaelekea na nini au vipi tutumie raslimali zetu kuboresha maisha ya watanzania. Raisi umetukosea sana kuwapa mataifa ya nje raslimali zetu kuu na wazichukue burebure kwao na wakazichakate huko. Ungepigilia msumari tujenge viwanda Tanganyika, tuongeze thamani ya maligafi yetu badala ya kuwaruhusu wakachakate kwao na kukosesha Watanganyika wengi ajira nchini hasa vijana wa Somali a kazi. Kuwafukuza Wamasai na kupora ardhi na mifugo yao na kuwaruhusu wageni kuchukua ardhi zetu na kuwekeza huko. Hızı na haya maeneo ambayo ni Prime nchini kiuchumi ni makosa makubwa sana sana bila hata kuwahusisha wamasai ambao ndizo ardhi zao ni ki yüme cha sheria kikatiba ya nchi yetu na ningeshauri zirudishwe kwa Wamasai. Tumetoa raslimali kuu zote na bado hatuna dola na hii haieleweki hata kidogo. Mungu ibariki Tanzania. Wabariki viongozi wetu wakuu na kuheshimu madaraka yao na kufanya maamuzi magumu wakimtumainia Mungu kwa manufaa ya watanzania kwanza kabla ya mtu meingine yeyote. Mungu wabariki watanzania , uwalinde na kuwaongoza vyema. Amina.
Vijana wengi hawana ajira, wengi wao hasa wa kiume wamekuwa walevi na watumiaji wa madawa ya kulevya na wa kike wamekuwa wakitumia miili yao kwa njia ambazo siyo sahihi kujiingizia kipato. Tutafakari kwa kina kesho ya taifa letu na vijana hao.
Mama Samia sio kila mtu anaweza kuwa mkurugenzi wa ikulu hiyo nafasi muhimu mno angalia huyo mtoto anavyojikanyaja hapo ovyo kabisa unajaza teuzi zako zingine HAZIELEWEKI kabisa
Kwa nini Mabeyo usichukuwe nchi???? Hakuna waziri yeyote anayeelewa anachofanya zaidi ya kupenda vyeo tu, inakuwaje nchi haina $$??? Wafanya biashara watafanyaje kazi???? Kama BOT hawana pesa za kuwawezesha wafanya biashara kuendeleza nchi kiuchumi??? Hizo Dollars haziko available kwa wananchi lakini wao wanazo za kutumia Dubai, Uingereza na hapa Marekani wanakuja kila mara kwa matumbuzi tu hakuna la maana, something need to be done
Raisi ndo kiongozi mkuu kama halioni hilo, wasaidizi wake wanajilia hakutaka kuyachukua mazuri ya aliyemuachia akaamua kuwakumbatia mafisadi. Watu WA kupato cha chini wanaumia kulipa Kodi na maisha magumu walio juu wanateleza, machawa nao ndo wanabugia hela za nchi kila kukicha. Angechukua nchi Magu alivyofariki kama alishindwa ndo basi tena.
Nchi masikini kutokufanya biashara eti zitegemee kodi tu kuendesha nchi ni natural fault! Tax bases za nchi zilizoendelea zinatosha lakini zetu hazitoshi kabisa hivyo lazima kukopa na kuumiza wananchi kwa kodi kubwa. Serikali iache uvivu iwekeze kwenye management and administration ya makampuni yake ifanye biashara na itakua tajiri.
Ubinafsishaji wa rasilimali za nchi ni tatizo Moja kubwa kwasababu Rushwa ndio huchukua mkondo hapo, Mzee mkapa alijaribu kufanya hivyo na kwenye kitabu cha maisha yake alichokiandika alikiri alifanya makosa makubwa kuruhusu ubinafsishaji, huwezi ruhusu kubinafsisha na hakuna taasisi huru kukagua aina huo wa uwekezaji kama una tija kwa taifa letu. Wananchi wa ngorongoro wamegeuzwa kuwa watumwa ndani ya nchi Yao kwasababu ya biashara ya cabon credit
Acheni kuwafanya watanganyika wanaipenda nchi yao hawajui mnachokifanya kazi kusifiana Mbona hataki kubadilisha katiba? Jamani nyie viongozi kuanzia rais hayo matumbo yenu hayashibi? Kwa nini mnawatesa watanaganyika Tunaomba Mungu aingilie kati na mkutane na nguvu Za Mungu ndiyo mtambue maovu yenu mnayoyafanya mtayalipa hapa hapa duniani Shame on you
Tatizo wageni wameshika nafasi za vijana wetu wapo kibao mishahara yao mikubwa akiajiriwa mtanzania anapewa mishahara mdogo 😢😢😢 nenda kwenye makampuni uone wageni walivyo wengi wakija wanasimama nyuma ya fundi wakishajua wanakuwa ndio mafundi wakuu
Unemployment aisee ni kitu kidg alf mataifa yote yenye migogoro chanzo ni iko ndio maana marekani ina vitengo vingii sana vya jeshi ili wengi wenye elimu ya kawaida waendee kujiungaa jeshi. Na kupunguza hatri kubwa uasi kwenye nchi
Yote bla bla tu. Kama hamtawaadhibu wala rushwa, wafujaji na wavunja sheria, kutaifisha mali zao, kuwalazimisha warudishe walichokiiba, kuwaweka jela miaka 12 na viboko 24....hakuna mabadiliko wala kunguru. Bla bla tu Kujenga nchi ni vita. Hakuna nchi imejengwa kwa lele mama, maneno matamu ya kusifiana!
Chamsingi na mhim nikwamba hizi Ajila ina takiwa mtu akistafu akae nyumbani siyo kuteuliwa tena ale pesheni hizo na fasi wachukue wengine mnabadilishana tu vyeo pekeenu
Mabwege ndio wanafurahia huu upuuzi, wananchi wako hoi afu kazi kusifiana tu upuuzi kabisa. Mkiambiwa nchi imeuzwa bado vichwa vigumu. Watanzania wengi yaani mmelala sana. Mkipakwa mafuta kwa nyuma ya chupa tayari msharizika mpaka muibiwe ndio muelewe yaani serikali inaruhusu makodi kibao tena ya wizi tu afu mnafurahia!!!
Best is best ever ,be blessed mabeyo umesema facts sana na kiongozi imara mara zote daima.
Kweli yaani mtu kila siku unakuta unaenda kuangalia taarifa ya habari labda kuna ajira, unanunua bando kila siku upo mtandaoni labda kuna Updates za ajira ila wapi,God bless you 💪 Generali mstaafu Mabeyo
Huwezi tengeneza ajiri huku ukibinafsisha na kukodisha na kuuza maliasili tulizo nazo......lasilimali ndizo huzalisha ajira nyingi....ziko wapi lasilimali zilizo mikononi mwa nchi na wazawa sasa....ni ndoto kufanya mageuzi ya kiuchumi na ajira kwa fikra za kukaribisha wawekezaji wakwapuaji
a hapo bado sijaona jipya
kweli ila kama una miaka 40+ hauna haki ya kuhoji kitu hii nchi kwasababu umeshaona marais wote na kama hatuna pesa tutulie by Chalamila.
Akili yako bado haijapevuka au bado una umri mdogo hufahamu mtizamo wa ubinafsishaji!
Shida haipo apo kaka
Niboresha mfumo wa elumu tu bc tukisha kua na uelewa mzur kila ktu tutaweza kukifanya kwa ubora
@@salehothman6144 😢😢😢
Very Softly/Politely Spoken BUT The Message delivered is Very Strong!!...You can feel the Silence & Attention from the Audience.
Best Boy in Tanzania. General VSM
He is not a boy he's a Man@@geey7893
Abusolutely....This Man is A Gentleman❤❤❤
Mh. Mabeyo umestaafu umefanya kazi zako vizuri lkn ongea ukweli nchi sahiz iko ovyo hakuna chamageuzi wakati nchi inaizwa hiii
Haya ndio maneno sasa
Asante mabeo nyinyi ndo wazarendo awamu hii haitaki wazarendo
Uzalendo wa nn 😂😂😂
Kabisa
........tunataka fomu mbili za uchaguzi ndani ya cCm ya afande na mama wa bandari
Afande atamgaragaza traveller hadi huruma. Matokeo yatakuwa kama ifwatavyo;
Afande 98.9%
Traveller 1.1%
Mabeyo once again 💯
Uko vizuri sana ungefaa kuwa raisi wa tz tungekua vizuri sana tugenenepa
Hayo ni mawazo yako .
Akili Huna wewe,kila anayeongea vizuri kwako anafaa kuwa rais
Nae akiwa rais mtamlaumu kuliko samia
Tamko zito kutoka kwa Generali Mstaafu Mabeho, "Tz ibadirike iendane na mabadiliko ya Kimataifa ya Dunia ya Kiuchumi, tusifanye kimazoea...". Kumbuka Generali Mabeho amenukuu mwanafalsa mwanajeshi wa Kichina, ambayo nchi yake (China) ndio inaongoza kwa sasa Kiuchumi Duniani. Hivyo Generali Mabeho anaishauri Tz (kupitia Rais Samia), kubadilika na kuachana na kukumbatia Mashirika ya fedha ya Kimagharibi ya IMF na WB.
Ahh!! kumbe na G. Mabeyo naye ameongea
Wenzie ndo wanapata ulaji humo, hiyo misaada na mikopo inakuwaga accounted for? Huyo cig huwa anakagua hiyo mikopo na misaada? Huko ndo raisi na mawaziri husika wanakula hela tena wanazipiga kweli kweli.
Wanataka kusikia kilichopo moyoni mwake
unahuakika na ulisemalo😮
Mabeyo hana kitu kipya zaidi kumsifia Rais na kufurahiya nafasi aliyopewa. Mashirika gani anayosema yapo vizuri? Zaidi ya sasa wamepewa nafasi ya kuiba. CIG anasema mashirika fedha zinapotea hata shirika la ndege ambalo limenunuliwa ndege za kutosha ambazo zimekuwa za kupanda viongozi. Hawa viongozi walikuwa wazalendo wakati wa Magufuri kwa sababu ilikuwa lazima upewi nafasi. Sasa hivi kigezo ni kumsifu Rais na kumshauri vizuri. Kama tumasema hatuwezi hata kuendesha bandari tunawezaje kuendana na mabadiliko ya kidunia ambayo mabeyo anasema? Yanayotoka moyoni huitaji kuandika kwenye kalatasi mabeyo amepewa kalatasi asome ili watudanganye. Sio mabeyo yupo kwenye bodi au kamati ya kuamisha na kuandaa wamasai bandia kusema wamasai wamekubali kuamishwa wakati sio kweli? Maneno hayatudanganyi wakati matendo tunayaona.
Yupo vizuri sana,Mungu azidi kukuoigania
Safi sana nchi yangu/yetu.Safi sana mhe Rais mama yangu/yetu.Hongera sana mkuu mstaafu(Mabeyo)Afande Mabeyo kwa speech nzuri.
Ni mama yako sio mama yetu.mm nina mama yangu anaitwa Mariath sio samia
Bro mi mama yangu,coz kanitangulia kuzaliwa napia kiongozi wa nchi yangu.So nampenda napia namuheshimu sana kwenye maisha yangu.
Bandari zimeuzwa, misitu imeuzwa, unasema nini Gereli😢😢😢watu wananyanyaswa kwenye ardhi zao wanafukuzwa kwenye ardhi yao😥😥😥
Nyiebado hamjauzwa kwani,
Acha upinzani wewe hatukuelewi kabisaa
Wauze tu
Ameuza mali za Inchi ya Tanganyika mnasifu nini? Mnasifu ili muendelee kuwa wenye viti vya board. Acheni kutufanya watumwa wenu. Inchi hii ni yetu wote.
Kunyamaza ni hekima, ukiona mtu analalamika saana ujue anakwepa majukumu yake, fanya kazi Kijana acha Malalamiko, Bakharesa amepewa hela na nani? Familia ya MO dewji wamepewa hela na Serikali? Acha hizo kuwa serious na maisha
@@ndukulusudikucho_we ni mpumbav kabisa, mnaturudisha kwenye utumwa
Duu
@@ndukulusudikucho_kweli aisee😂😂😂❤❤❤
@@ndukulusudikucho_ Unaongea usenge
Mkuu wetu wa Chuo Mungu Akubariki Amen
Mungu ibariki tanzania huwa naumia Sana inchi inakila kitu lakini watu wake wanaishi maisha magumu Sana
Yaani sijui mwisho wa haya mateso ni lini??
Kafanye kazi,Acha kulalamika hutatoboa
@@walidmgonja3644 sawa mwenye Kazi
He speaks like Philip Mpango
Mungu akupe maisha marefu Mabeyo🎉🎉🎉🎉
Na tatizo la watu wengi hawataki kustafu wanangangania madalaka wao vijana hawatapata ajira kamwe
Wewe kwa mtazamo wako, wazee gani waondoke, na vijana gani ambao wewe unaona wana faa kuchukua hizo nafasi unazozisema? Baada ya kulaumu toa Ushauri.
Wanakua howi kweli wasaidie mkuu nimefulahi kuona umepewa nafas mkuu wetu good you
Mungu akutunze baba padre, Amen sana.
.... well said bro afande
Point muhimu
I love you my father...
Plan is key to success
Mzee ushauri wako nizuri sana tuige kwa kaka wa bukinafaso sisi ni matajir tupambanie nchibyetu
Maliasili zimeenda
Zimeenda na yeye ndio mwenyekiti wa bodi.
Kwel bro turhole oyeee
Umenena
Ndugai Mungu akubariki popote ulipo, Mungu ibariki Tanzania mungu ibariki Africa.
Kampe na mkundu
@@Mumewangu ukimpa wewe inatosha
AIBU NA FEDHEHA KUTOA MATUSI...MDOMO MCHAFU!
@@emanuelleopod3949 wewe ndie shoga manake unampenda mwanaume mwenzako na kumsifia
Movie mpya
Pamoja na kujiamini lakini umejaliwa unyenyevu nakupendaga sana mkuu venance mungu akutunze na ikimpendeza natamani siku mona uwe rais wa Tanzania 🙏🙏
Bukina Faso ndo ina uongozii Bora majeshii ndo Kila kitu
Idd Amin hakuwa mwanajesh Nkurunzinza hakuwa mwanajesh Kabira hakuwa mwanajesh Mzee kikwete hakuwa mwanajesh Mzee mseven sio mwanajesh hacha kukalili
Ni bora wajeshi kuliko hawa raia wapuuzipuuzi
💪
Great
Tukutane 2025 ,,hii nchi inahitaji mabadiriko
Mkutano wa gawio, je nikiasi gani kina gharimu serikali na wananchi kuandaa mikutano kama hii? Na matokeo yake kunyima maendeleo kwa watanzania walio wengi
Asante kwa maneno mazuri mheshimiwa maana kauli MBIU ya kupata ajira wasema nasafi za kazi vigezo uwe na uzoefu wa miaka mitatu sasa vijana wamesomea kazi husika badala ya kupewa nafasi wanaambiwa uzoefu miaka mitatu je uzoefu huo unapatikana wapi
Tanzaniaaaa korongoniiiii
Ferry Tu pale kigamboni serikali pana pesa nyingi panahitaji utendaji thabiti
Dar ni karibu na Zanzibar, heheeee, Dodoma oyeeeee, DP World oyeeeee, musukuma oyeeeee!
Points mbili MUHIMU
1. Ajira
2. Namna ya kupata wajumbe wa Bodi
Lakini MHUSIKA hajaelewa japo Amejitahidi kupiga makofi
MMi ni mzalendo wa tanzania kutoka Tanga tanzania 2sije tukaungana na NATO wala kufanya biashara yeyote ile maana wzungu wanatunyonyasan wa africa sana Haswa haoo wmarecani na Engeland 2sikubali watutawale kivyovyote vile 2kiamua Tanzania 2naweza ASANTE, 8:56 iv
Kuna mda kwa uchache wa akili yangu ninahisi kama UZARENDO upo JESHINI je ni mimi tu au hata nyinyi wenzangu???? Maana huyu jamaa anaongea point lkn kwa upole na utii wa hali ya juu
Yan ivi hawez kugombea urais....hawa ndo u magufuli....tumekatishwa...tunataka mtu atakaendeleza ideas za Magu. Ila Mama anajitahid sana ku balance maendeleo na democrasia
Mama ni wa hovyo sana
Nakusifu ndugu Mabeyo kwa kuwa mkweli ingawa umekuwa too polite katika risala yako. Ungekuwa more direct kusudi Raisi apate picha kamili na mazito uliyoyasema. Raisi kazi hikes na watu wengi ambao hawapo serious na maisha ya Watanzania. Hawajaisoma dunia ni wapi inaelekea na nini au vipi tutumie raslimali zetu kuboresha maisha ya watanzania. Raisi umetukosea sana kuwapa mataifa ya nje raslimali zetu kuu na wazichukue burebure kwao na wakazichakate huko. Ungepigilia msumari tujenge viwanda Tanganyika, tuongeze thamani ya maligafi yetu badala ya kuwaruhusu wakachakate kwao na kukosesha Watanganyika wengi ajira nchini hasa vijana wa Somali a kazi. Kuwafukuza Wamasai na kupora ardhi na mifugo yao na kuwaruhusu wageni kuchukua ardhi zetu na kuwekeza huko. Hızı na haya maeneo ambayo ni Prime nchini kiuchumi ni makosa makubwa sana sana bila hata kuwahusisha wamasai ambao ndizo ardhi zao ni ki yüme cha sheria kikatiba ya nchi yetu na ningeshauri zirudishwe kwa Wamasai. Tumetoa raslimali kuu zote na bado hatuna dola na hii haieleweki hata kidogo.
Mungu ibariki Tanzania. Wabariki viongozi wetu wakuu na kuheshimu madaraka yao na kufanya maamuzi magumu wakimtumainia Mungu kwa manufaa ya watanzania kwanza kabla ya mtu meingine yeyote. Mungu wabariki watanzania , uwalinde na kuwaongoza vyema.
Amina.
Asante mzee mimi sikusoma sana lakini nimekuelewa sanaaa,
Wanajeshi sku zote wamenyooka sana
Hawataki uchawa chawa🙏🙏
Hapo kazi ni kusifiana tu hakuna laziada
Mmm tunamwitaji Mungu
👀
Hapo muhusika hata hajakuelewa. Woiiiiii😢😢😢
“Natumaini umeelewa vyema”😂
Chistine.Rais kaiza nini lete ushahidi hapa acha maneno yasio na utafiti.Tofautisha kuuza na kiwwkeza
We una faidka ndio mana walewalee
Kilichobaki rubani apoteze ndeg2 muishie,,,Kam wenzen wak kenya,malaw,iran,,,,
Safi sana
Hata wale tuliowaamini wametugeuka, kweli hii ndio Tanzania.Eti wako bega kwa bega na wewe!Wakina nani hao!?
Msaliti ni Nani ?
Huwa wanalewa madaraka,ukimpa nchi atageuka kama kinyonga.
Kibaya zaidi mtu badala asemee nafsi yake yeye anajumuisha watu wote
Vijana wengi hawana ajira, wengi wao hasa wa kiume wamekuwa walevi na watumiaji wa madawa ya kulevya na wa kike wamekuwa wakitumia miili yao kwa njia ambazo siyo sahihi kujiingizia kipato. Tutafakari kwa kina kesho ya taifa letu na vijana hao.
Sana mwamba umeupiga mwinga umewambiliapo
Hakika , vijana wengi tushapotea , hatuoni umuhimu wa elimu ,zaidi ya maumivu tu ya kusota na makaratasi ya vyeti😢🇹🇿🙌
Duh!yan mung tusaidie umechkua wazalendo umetuachia majambazi yanauza nchi kwafaida zao wenyew
Na tanesco nao watafutiwe washindani kibiashara Ili serikali ipate Kodi.
Anastahili kuwa Rais
Mama Samia sio kila mtu anaweza kuwa mkurugenzi wa ikulu hiyo nafasi muhimu mno angalia huyo mtoto anavyojikanyaja hapo ovyo kabisa unajaza teuzi zako zingine HAZIELEWEKI kabisa
Peter alitoka jela kwa kuhujumu uchumi akapewa board member Reli mpya, hiyo inakuwaje. Nchi imeoza
Mabeyo hoyeeeeeeee
Kwa nini Mabeyo usichukuwe nchi???? Hakuna waziri yeyote anayeelewa anachofanya zaidi ya kupenda vyeo tu, inakuwaje nchi haina $$??? Wafanya biashara watafanyaje kazi???? Kama BOT hawana pesa za kuwawezesha wafanya biashara kuendeleza nchi kiuchumi??? Hizo Dollars haziko available kwa wananchi lakini wao wanazo za kutumia Dubai, Uingereza na hapa Marekani wanakuja kila mara kwa matumbuzi tu hakuna la maana, something need to be done
Raisi ndo kiongozi mkuu kama halioni hilo, wasaidizi wake wanajilia hakutaka kuyachukua mazuri ya aliyemuachia akaamua kuwakumbatia mafisadi. Watu WA kupato cha chini wanaumia kulipa Kodi na maisha magumu walio juu wanateleza, machawa nao ndo wanabugia hela za nchi kila kukicha. Angechukua nchi Magu alivyofariki kama alishindwa ndo basi tena.
Uyu anafaa kua rahisi au Ata awe mshauri wa raishi pia itasaidia nchi kwenda mbele
@@MsAggie5
Raisi anajitahid sana lkn mitazamo inatofautiana ila umeongea ktu cha maana sanaa
@@AbdulRahmanAliy-sr7gw hilo la awe msaidizi wake hata Mimi naliunga mkono, angemsaidia vzr
@@AbdulRahmanAliy-sr7gwAnajitahidi kufanya nini ndugu ? Kilasiku tunakopa nini umekiona?
Mama alimstaafisha kijanja maana anajua huyu ni mzalendo hataki makando kando
Nchi masikini kutokufanya biashara eti zitegemee kodi tu kuendesha nchi ni natural fault! Tax bases za nchi zilizoendelea zinatosha lakini zetu hazitoshi kabisa hivyo lazima kukopa na kuumiza wananchi kwa kodi kubwa. Serikali iache uvivu iwekeze kwenye management and administration ya makampuni yake ifanye biashara na itakua tajiri.
Viatu vya Ibrahim ni vikubwa mno.
Na hilo gaiwo ni kwa kila mtanzaniaa au ni kwe nyinyi wenyewe wenye nnchi.
Uzeni hii nchi yote mrizike washenzi
Naona kama majaliwa anapotea taratibu
nchi ya ahadi 😭😭📞💔
duuh
na mleta roboti😂😂
Mabeo ni muhujumu wa jeshi hakupandisha wanajeshi vyoo na alikuwa anapendelea jamaa zake tu tunamkumbuka Gen Mwamnyange
Wew ni mwanajesh? Na je kama ndio kwa nn ukwenda kamat za jesh kulalamika? Kama sio unalalamikia vip vyeo vya jesh na wewe ukiwa na shughr nyingne??
Apandishe Vyoo gani tena ndugu
@@emanuelleopod3949 soma vizur utaona niliye mjibu Mzee
Wezo ao
5:35
Ubinafsishaji wa rasilimali za nchi ni tatizo Moja kubwa kwasababu Rushwa ndio huchukua mkondo hapo, Mzee mkapa alijaribu kufanya hivyo na kwenye kitabu cha maisha yake alichokiandika alikiri alifanya makosa makubwa kuruhusu ubinafsishaji, huwezi ruhusu kubinafsisha na hakuna taasisi huru kukagua aina huo wa uwekezaji kama una tija kwa taifa letu. Wananchi wa ngorongoro wamegeuzwa kuwa watumwa ndani ya nchi Yao kwasababu ya biashara ya cabon credit
Generali anaongea kwa nidhamu na mpangilio wa kimantiki,yaani anavutia huchoki kumsikiliza,zaidi maudhui yake ....pokea maua yako CDF mstaafu .
........cdf(Chief of defense forces)the former one,sijuwi kama huyoo mama amekuelewa
Uaminifu hapa haupo bali uchawa tu ili wachaguliwe kuwa kwenye board ili waweze kuwasifu mbona hujatueleza mafanikio yo yote ya hayo mashirika?
Wamesikiliza sikio la kulia yametokea sikio la kushoto basi tenaàa ng'oo
Tumpe nchi uyu jamaa atatupeleka nchi yaahadi na hana uroho mtu wamanasana uyo
Vitendo ndio muhimu
Yeye si ndio anahamisha wamasai? Usisikilize maneno ya kupangwa kwenye kalatasi tizama matendo ndugu yangu.
Mama hongera sanaaaaa
Vijan upep umegeuk saiv mpo na mabeyoo😂😂😂😂 kisa kagusia ajira za vijan
Acheni kuwafanya watanganyika wanaipenda nchi yao hawajui mnachokifanya kazi kusifiana
Mbona hataki kubadilisha katiba?
Jamani nyie viongozi kuanzia rais hayo matumbo yenu hayashibi?
Kwa nini mnawatesa watanaganyika
Tunaomba Mungu aingilie kati na mkutane na nguvu Za Mungu ndiyo mtambue maovu yenu mnayoyafanya mtayalipa hapa hapa duniani
Shame on you
Tatizo wageni wameshika nafasi za vijana wetu wapo kibao mishahara yao mikubwa akiajiriwa mtanzania anapewa mishahara mdogo 😢😢😢 nenda kwenye makampuni uone wageni walivyo wengi wakija wanasimama nyuma ya fundi wakishajua wanakuwa ndio mafundi wakuu
Unemployment aisee ni kitu kidg alf mataifa yote yenye migogoro chanzo ni iko ndio maana marekani ina vitengo vingii sana vya jeshi ili wengi wenye elimu ya kawaida waendee kujiungaa jeshi. Na kupunguza hatri kubwa uasi kwenye nchi
Wana nchi tuna taka katiba mpya
Uyu ndio kauza nchi......
Hamna jipya,uyo ndo katufikisha uku
Nchi inauzwa,rasilimali zinauzwa ninyi mpo kusifia tu kupongeza uozo unaofanywa na serikali ya ccm!
Hii inachekesha sana
UTumwa kitu kibaya Sana watu wenye Uzalendo waku Ripi ganiA hiri Taifa Awa Takiwi Apo mna sapo kila kitu Bira kujuA mna sapoti matatizo
Yote bla bla tu. Kama hamtawaadhibu wala rushwa, wafujaji na wavunja sheria, kutaifisha mali zao, kuwalazimisha warudishe walichokiiba, kuwaweka jela miaka 12 na viboko 24....hakuna mabadiliko wala kunguru. Bla bla tu
Kujenga nchi ni vita. Hakuna nchi imejengwa kwa lele mama, maneno matamu ya kusifiana!
Akuna uzalendo hiichii tunaleteana muvi tuu😅
maneno kuntu
Chamsingi na mhim nikwamba hizi Ajila ina takiwa mtu akistafu akae nyumbani siyo kuteuliwa tena ale pesheni hizo na fasi wachukue wengine mnabadilishana tu vyeo pekeenu
huyo madam ndo kachukua nafasi ya zuhura yunus??
Zuhura yunus haonekani
Haonekani kwenye tukio kubwa Kama hili
Yaan viongozi wa bongo mwamba anatospeech wanajikuta wanajua kunote kumbe unafikii hamna ata kinachoandikwa!
Mabwege ndio wanafurahia huu upuuzi, wananchi wako hoi afu kazi kusifiana tu upuuzi kabisa. Mkiambiwa nchi imeuzwa bado vichwa vigumu. Watanzania wengi yaani mmelala sana. Mkipakwa mafuta kwa nyuma ya chupa tayari msharizika mpaka muibiwe ndio muelewe yaani serikali inaruhusu makodi kibao tena ya wizi tu afu mnafurahia!!!
Nani sasa hao vijana hawana kazi alafu wakati huo huo wako bega kwa bega na huo raisi wenu