Rais Museveni aapa kuwanyoosha Gen Z waliokamatwa kwa kuandamana alaani 'Ukoloni Mamboleo'

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Komentáře • 75

  • @Mumewangu
    @Mumewangu Před měsícem +16

    Awatokomeze wote nakupenda mseven kwa kutokomeza mashoga

  • @mdl6463
    @mdl6463 Před měsícem +2

    Mungu ibariki 🇹🇿 TANZANIA
    Mungu ibariki 🌍 AFRICA

  • @FranckDaniel-cc5rg
    @FranckDaniel-cc5rg Před měsícem +4

    Safi

  • @alimomade2712
    @alimomade2712 Před měsícem +11

    Big up Museven, and Sky

  • @nshimirimanacedrick2006
    @nshimirimanacedrick2006 Před měsícem +1

    sio kenya alipigana vita vikubwa mandamano kwake hilo swala ndogo

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 Před měsícem +12

    Tena Awatokomeze Kabisa Shelia Kufuata Muhimu

    • @user-zm8nq6xv8o
      @user-zm8nq6xv8o Před měsícem

      Lakini Sheria za mungu mnaacha 😅😅 haya nimaajabu kwakweli.

    • @Hamisi8465
      @Hamisi8465 Před měsícem +1

      Shelia inasemaje😂😂hakuna uhuru wa kuandamana?!

  • @user-qq6mv6vh3e
    @user-qq6mv6vh3e Před měsícem +4

    Mseveni amesema musicheze na moto 😂😂😂

  • @MS.independent8934
    @MS.independent8934 Před měsícem +5

    Wata nyooshwa kweli mzee achezagi huyo sio Ruto 😂😂

    • @jumakibwana1810
      @jumakibwana1810 Před měsícem

      Uelewa wako ni kidogo Katiba ya kenya ni tofauti na katiba za inchi nyingi za africa wengi wao ikiwemo tz bado wanatumia katiba ya mkoloni tu but Kenya ni tofauti kabisa so huwezi mfananisha Ruto na Mseveni kila mmoja hawa katiba ndio inamuongoza

    • @nyembomajid1262
      @nyembomajid1262 Před měsícem

      museveni anaongoza Kwa ubavu ao lugha rahisi ni ditecta ruto ao Kenya ina democratia ...Mimi kuwa shauri vijana wetu kutoka uganda wasijaribu Tena wavumilie shida atakapo Toka mzee maisha itakua shwali

    • @victorguapo7827
      @victorguapo7827 Před měsícem

      @@nyembomajid1262museveni n mwanajeshi hes a 4 star general

  • @hemedjackson2261
    @hemedjackson2261 Před měsícem +12

    Huyu sio Ruto 😂😂😂 ohooo, mjomba ana akili zake peke yake mchaa huu

  • @brianbaltazar6198
    @brianbaltazar6198 Před měsícem +2

    Big up museveni

  • @JohnCage-we6tp
    @JohnCage-we6tp Před měsícem +8

    Ni Sawa kujibishwa ila huyu mtu kashapat ten dah 1986 yupo madarakn mpak leo yup madaraj duh miaka 38 mpak leo ni yeye t Alf hao west anawatukan wamulizi kitu

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 Před měsícem +1

      @@JohnCage-we6tp
      Inabowa kwa kweli kisha mwanae mku wa jensi, mke wake sijuwi mshauri wa raisi.

    • @jaymwinyi6957
      @jaymwinyi6957 Před měsícem +1

      ​@@sonnyr1899😂😂😂Uganda bado wako ukoloni

  • @MohammediKihimbwa-bj4pf
    @MohammediKihimbwa-bj4pf Před měsícem +4

    Baada ya uganda kukataa ushoga ndiyo wanaanzisha maandamano ao wasfrica feki wanyoshee

    • @Hamisi8465
      @Hamisi8465 Před měsícem

      Unajua maana ya corruption ama kizungu kimekupita

  • @eddechriss2664
    @eddechriss2664 Před měsícem +1

    Tatizo la M7 ni kushindwa tu kudhibiti rushwa, lakini ni kiongozi mwenye misimamo mizuri sana kwa mustakbali wa Uganda na hata Africa

  • @hamisramadhan-eb3ie
    @hamisramadhan-eb3ie Před měsícem +3

    Mi naungamukono huu niujinga sisiwa africa tunajali utu wamtu hatuwezi uendelea kutumika namashoga wakigeni 😢

  • @mtulivu-ir1nq
    @mtulivu-ir1nq Před měsícem +4

    Big up sana museven🔥🔥🔥

  • @reubenkissinga5802
    @reubenkissinga5802 Před měsícem +3

    Wanapewa Kesi ya Uhaini,,,jela Maisha au kunyongwa

  • @rizikimohamed2449
    @rizikimohamed2449 Před 29 dny

    Duuuuh yani balaaa tuu

  • @worldhappiness1181
    @worldhappiness1181 Před měsícem +2

    Anaijia siasa, we unafikir hata Kenya angekuwepo Uhuru yangetokea yale.Rais lazima iwe na Sura mbl, ukiruhusu watu wakuchukulie mnyonge, umepotea. Watakuzoea ndo yale watu wanaenda kula Ikulu.

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 Před měsícem

      Hamna mwananchi ambae hajamchoka huyu rais. Yuko madarakani karibia miaka 40 sasa na nchi imedidimia kiuchumi

  • @user-ui5zo9re8b
    @user-ui5zo9re8b Před měsícem +3

    Atawauwa

  • @ndikumanaismail5419
    @ndikumanaismail5419 Před měsícem

    Tunataka mabadiliko Museveni ameshakawiya sana madarakani na akuna chochote kinachobadilika watu wanatesekatu apishe wangine

  • @ramadhankakai7303
    @ramadhankakai7303 Před měsícem

    Mnaishi na Rais mmoja miaka karibia 40 kwani ni baba yenu mzazi? Huu ujinga tuliumaliza na Kenya toka enzi za Moi na mbwa wenzake

  • @ndiiyolazaro1125
    @ndiiyolazaro1125 Před měsícem +10

    Mseven sio mtu wa kumchezea😅

  • @Khalidniya380
    @Khalidniya380 Před měsícem

    Nashangaa watu wanasupport maandamano Kenya na mnapinga maandamano ya Uganda bure nyinyi kabisa

  • @SaraphinaKidoti-qe7gi
    @SaraphinaKidoti-qe7gi Před měsícem +3

    Apo kumbe mzee yupo sahihi wazungu wathenge sana

    • @Hassan_Mengi
      @Hassan_Mengi Před měsícem +3

      Yupo sahihi kivp? Huyu ni kibaraka wa hao hao wazungu anaowatukana. Huu ujanja wake yy na Kagame wa Rwanda asieujua nani!? Mzee ameona kinachoendelea Kenya, ameona nguvu ya umma noma sana haiwez, ameogopa kupinduliwa na vijana wake sasa ni kutoa jumbe za vitisho na kusingizia nchi zingine😂

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 Před měsícem +1

      Unayaamini maneno yake akikwambia ni watu wa nje? Mtu amekaa miaka 40 madarakani kuna mwananchi yupi ambae hajamchoka?

  • @kiatu
    @kiatu Před měsícem +2

    Nchi iko kwenye mavumbi baado anadhani yeye ni rais bora.

  • @MursalLusinde
    @MursalLusinde Před měsícem +1

    Hawa waganda wamekurupukaa kwa kuiga ya kenya wanashindwa kujua kwamba kule kenya kinacho walinda waandamanaji ni katiba yao inaruhusu kufanya hivo.. hawa wenzetu walipaswa wajiulize kwanza ule ujasiri wa watu wa kenya na kiburi wanavitoa wap.? Jibu ni katiba yao inawalinda na inaruhus maandamano ya amani kwa wananchi kma hawana imani na serikali yao.. je waganda walilijua hili kabla kuandamana.? Wamelichuma janga bila shaka itatoka adhabu kali iwe fundisho.. ukilichuma janga utalila mwenyew aise

  • @ndikumanaismail5419
    @ndikumanaismail5419 Před měsícem

    Museveni yeye sio mungu kubakihapo milele kwa nn sasa iwehivo? Ufisadi ahuwezikuisha Africa mpaka mtuajitoleye kama magufuli wamesha tunyonya sana wanainchi wanateseka Sana tunaishia inchizawatu kwasababu ya viyongoziwetu wabaya

  • @raulianraphael6853
    @raulianraphael6853 Před měsícem

    Safi sana Mzee wetu kama mkoloni chin ya Malikia wametutawala zaid ya miaka 100 why waone mzawa wa nchi huru ndan ya nchi yake alioilinda Aman kwa kipindi chote alichokaa madarakan miaka >35 kua hafai kakaa mda mrefu
    Issue s miaka mingap
    Issue n Aman kwanza
    Maendeleo,mshikamano nausawa
    Vp uwe na Mabadirishano ya viongoz alafu aman iwe kama Maji jungian
    Angalia Congo,Somalia na Sudan
    Alaf mnipe jibu Democracy imesaidia nn apo
    Na kama Issue n kukaa sana madarakan bas nchi kama Kenya na Africa kusini wanao bad Irish viongoz maisha yangekua kama peponi wananchi wasingekua wanalia kila siku

  • @emanuelmaraki9758
    @emanuelmaraki9758 Před měsícem

    Kwani katiba ya Uganda inasemaje Iko sikuu Yao maisha yanaendaa

  • @alimkumbukwa8363
    @alimkumbukwa8363 Před měsícem

    Uyu anjfichia kwenye kukatza ushoga Lkn serkl yke n haina jipya ata kidg

  • @ndikumanaismail5419
    @ndikumanaismail5419 Před měsícem

    Mandamano iyondodawa yao kunabaki Congo napo tumechoka na Rwanda pia na Burundi pia watu wanatesekasa viyongozi wetu niwatunishi wa mabepari namanisha mabeberu

  • @yahayahussein3224
    @yahayahussein3224 Před měsícem

    Kiukweli mseveni ni raisi mwenye msimamo wa nch yake hongera sana hata sisi tz hakuna kikundi wala watu wanaweza kutuharibia amani acha wakenya watumike hawajui kijacho kwamba nikibaya sana

  • @hasanimkamba8377
    @hasanimkamba8377 Před měsícem

    daah kweli huyo mwamba sio ruto

  • @abdulyabdunuru1476
    @abdulyabdunuru1476 Před měsícem +1

    Ila mzee sasa amezeeka apishe na wengine

  • @hajjiomary2383
    @hajjiomary2383 Před měsícem

    Wanyoshe kenya wanataniwa na kuaribu nchi

  • @khamis9187
    @khamis9187 Před měsícem

    Jiangalie museven yasikutokee ya albashir na mugabe..bora uachie mamlaka kabla hujadhalilika..

  • @alimkumbukwa8363
    @alimkumbukwa8363 Před měsícem

    Aaaa uyu rais bn anzngua

  • @DeusRobart
    @DeusRobart Před měsícem

    mwamba huyuapa🕺

  • @user-rc2ye4ri6t
    @user-rc2ye4ri6t Před měsícem

    Waugunda na wa tz niwaoga

    • @user-ex6sh1rl4d
      @user-ex6sh1rl4d Před měsícem

      Sawa ila faham wezi ndio uwoga hawana munaandamana kenya au munaiba

  • @zainajirani5296
    @zainajirani5296 Před měsícem

    Sikiliza kero za Wananchi wako

  • @Hassan_Mengi
    @Hassan_Mengi Před měsícem +2

    Mu7 anaogopa kupinduliwa😂

  • @khamis9187
    @khamis9187 Před měsícem

    Uganda hakuna tofauti na nchi nying za africa, zaidi ya miaka30 museven upo madarakani, nini umekifanya tofaut na nchi nyengine.

  • @eleven-in5qw
    @eleven-in5qw Před měsícem

    Umesoma hiyo nakala kwa mda mrefu saana na naana ikiwa fupi

  • @Hamisi8465
    @Hamisi8465 Před měsícem

    Wanamuogopa bure mzee... Wangejitokeza wengi kama ilivyokuwa kenya angekamata wangapi

    • @Ryannkae
      @Ryannkae Před měsícem

      Sindio

    • @jameskilasa759
      @jameskilasa759 Před měsícem +1

      Kenya iko kwenye ukolon inaongozwa na wazungu na kenya sio uganda mzee

    • @Hamisi8465
      @Hamisi8465 Před měsícem

      @@jameskilasa759 Acha ushamba... Unajua ukoloni... Museveni ni mkoloni tosha

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 Před měsícem +5

    Aise hizi koo zakuchukuwa nchi kuwa mali yao 😢😢 wanabowa

  • @user-ui5zo9re8b
    @user-ui5zo9re8b Před měsícem

    Iko muwaji utawauwa suko muwaji

  • @yasminoluoch169
    @yasminoluoch169 Před měsícem

    WENYE MMASEMA HUYU SI RUTO KOMAAAAAA ...EA MKO NYUMA BUT KENYA TULIBADILISHA KATIBA NA TUNAJUA HSKI ZETU SO MPUZI KAMA MSEVENI ATA YY ANGEKUWA KENYA TUNGEMNYOOOSHA....

  • @johnmichaellukindo21
    @johnmichaellukindo21 Před měsícem +1

    Uwongo mkubwa etie wahusika kutoka nje 👎 arriba demokrasia!

  • @kidatokassim7616
    @kidatokassim7616 Před měsícem +1

    Watu wanaenda kuekelewa makosa wasioyajua huko kortini Gen Z ya Uganda hawana bahati

  • @godfreyjob6063
    @godfreyjob6063 Před měsícem

    😂😂😂😂

  • @jumashedafa
    @jumashedafa Před měsícem

    Ngoj wanyooshwe...hapa unaend kupewa kesi tu mf; uvunjifu wa amani, uhaini, uharibifu wa mali za umma, uhujumu uchumi n.k...Yan hawa wanafanywa kama case study ili nawe ujue kama huamin nenda barabaran nawe ukawe teaching aids

  • @djafro8729
    @djafro8729 Před měsícem +3

    Kweli musevi ni dictator

  • @joshuajofrey9832
    @joshuajofrey9832 Před měsícem

    𝑀𝑢𝑠𝑒𝑣𝑒𝑛 𝑖𝑠 𝑡ℎ𝑒 𝐵𝑒𝑠𝑡 𝑙𝑒𝑎𝑑𝑒𝑟 𝑖𝑛 𝐸𝑎𝑠𝑡 𝑎𝑛𝑑 𝐶𝑒𝑛𝑡𝑟𝑎𝑙 𝐴𝑓𝑟𝑖𝑐𝑎🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤