UTEUZI WA MAREHEMU NA MIRADI HEWA TUSIYOIJUA!

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 06. 2024
  • Mifumo yetu ya uteuzi ni imara na makini kiasi gani?
  • Hudba

Komentáře • 147

  • @judyngowi391
    @judyngowi391 Před měsícem +8

    Magufuli alikuwa makini sana, kipindi chake harukuyaona haya, sasa hivi hamna umakini, wanakula kwa urefu wa kamba zao

  • @elioimer8423
    @elioimer8423 Před měsícem +21

    Uko sahihi Kabisa , ndio maana Makonda anaonekana ni mkombozi katika kutatua matatizo ya wananchi wakati matatizo hayo yanaletwa na wenyewe hao hao wanaotawala . Inaitwa kiini macho , kuwalaghai wananchi katika matatizo yao ionekane kuwa ni mabingwa kwa faida yao wapate sifa ya Bure na kukwepa lawama.

    • @Alkebulan-Afrika
      @Alkebulan-Afrika Před měsícem +7

      Haswaa!.
      Unajitekenya halafu unacheka mwenyewe.

    • @rogersiddy
      @rogersiddy Před měsícem +8

      Point nzuri sana aisee pongezi kwako maoni yako tuko pmj kimawazo aisee🤝👍👏👏👏👏👏👏

    • @fadhilimsafiri216
      @fadhilimsafiri216 Před měsícem +5

      Makonda alipita nchi nzima... Nenda kafuatilie zile kero kama zilitatuliwa. Jibu hazikutatuliwa kwa sababu ndizo zile zile ameenda kuzikuta akiwa mkuu wa mkoa.

    • @faustinedeogratias4337
      @faustinedeogratias4337 Před měsícem

      Ktk eneo langu kauli moja ya Makonda iliweza kutatua jambo moja sugu lilodum tangu kido cha jpm​@@fadhilimsafiri216

    • @hakiyangu
      @hakiyangu Před měsícem +7

      ​@@fadhilimsafiri216 wanatenda haya yote kwa kua watanganyika ni waoga sana na waliowengi hawaoni mbali wanaona palepale walipo

  • @loishiyesamwel1374
    @loishiyesamwel1374 Před měsícem +7

    Kumteau Marehemu na kumpa nafasi ya kuja kuongoza ni udhaifu mkubwa Sana, unaodhihirisha jinsi tunavyowapata viongozi wasio hakikiwa,
    Na kupelekea kuendelea kufanya teuzi kila mwezi,
    Madhara yake ni Taifa kuendelea kakosa Watendaji halisi,😅😅😅 unaweza kucheka lkn ndani yake Pana huzuni.

    • @sosmakanya4901
      @sosmakanya4901 Před měsícem +1

      Kuteua marehemu si jambo dogo mimi nimecheka japo sio mazuri

  • @madreks253
    @madreks253 Před měsícem +3

    Kuna uozo mkubwa ndani ya serikali....viongozi wezi tu, wamesha uza nchi kwa wakoloni...Watanzania mmelala...

  • @carolinenicholaus8363
    @carolinenicholaus8363 Před měsícem +3

    Nchi hii hatuulizi unajua nini! Tunauliza anakujua nani😂

  • @alexanderjey257
    @alexanderjey257 Před měsícem +15

    Kiukwelll samia kafel Sana, kwel nimeamin ,,,,

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji Před měsícem

      HAFI WAGALATIA NDIO WANAKUFA MAPEMA SABABU YA WIZI NA DHULUMA NA GONGO😢😢😢😢😢😢😢😢

    • @whatisthetruth.8793
      @whatisthetruth.8793 Před měsícem

      Hana sifa wala uwezo kuongoza sio kuku bali hata mabata

    • @whatisthetruth.8793
      @whatisthetruth.8793 Před měsícem

      ​@@OmmyJames-xn7ji weee pagani kabusu jiwe kaabah . 😂😂😂

  • @philemonmagesa5548
    @philemonmagesa5548 Před měsícem +11

    Duh! Rais kateua marehemu

  • @peterkanja4765
    @peterkanja4765 Před měsícem +13

    Samia umeingia kwenye giness-book mwenyewe kwa kuteuwa merehemu shame on you!.

    • @ndogoroedson199
      @ndogoroedson199 Před měsícem

      Acheni ujinga! Mbona mnakuwa wapumbavu kiasi hicho! Mh rais anapelekewa majina ya wateuliwa na aliyeteuliwa alikuwa mzima cku anaenda kuripoti akapata ajali rais anahusikaje hapo? Acheni upumbavu hiv hapo kuna ajabu rais alimteua akiwa mzima kenge kabisa ni mamaku tu ninyi pamoja na m?ungumzaji ni ujinga

    • @elishasimon2039
      @elishasimon2039 Před měsícem

      Mbona povu sana ​@@ndogoroedson199

  • @TzTimes
    @TzTimes Před měsícem +7

    Uchambuzi mzuri sana. Big up father!

  • @abdallahkiliaki3744
    @abdallahkiliaki3744 Před měsícem +3

    Ni kweli hili limetokea? Ni kweli? "Mbombo ngafu"!

  • @kessydieselengineers3205
    @kessydieselengineers3205 Před měsícem +5

    Ingetakuwa Kila nafasi ya uongozi waombe kazi kulingana na taaluma yake

  • @HenryKisusi
    @HenryKisusi Před měsícem +3

    HAKIKA TUNAHITAJI MFUMO MZURI, LAZIMA TUANZE KUWA KATIBA MPYA YA NCHI NA TUME HURU YA UCHAGUZI!
    MWANA DIPLOMASIA NIMEKUELEWA VIZURI SANA! 🙏🏻

  • @VicentMjema
    @VicentMjema Před měsícem +2

    Nikweli mh makonda ni mkombozi lakini swali linakuja je hayo matatizo yana sababishwa ninani na serekali ipi na anaye y

  • @rogatkisanga7496
    @rogatkisanga7496 Před měsícem +7

    Kweli umenena! Ukisikiliza habari za uteuzi serikalini utadhani mheshimiwa rais ana kazi moja tu ya kuteua wafanyakazi serkalini nchi nzima!

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 Před měsícem +3

    Tatizo ni wale wale wanapeana kijiti...

  • @MagrethMallya-we8ui
    @MagrethMallya-we8ui Před měsícem +1

    Hii nchi ni ngumu jamani, kwani kazi ya raisi ni kuteua na kutengua? Mungu atufanyie wepesi.

  • @sospeterodhiambo6869
    @sospeterodhiambo6869 Před měsícem +2

    Hakika umenena sahihi kbs Katiba Mpya ndo jawabu

  • @samwelshepa8443
    @samwelshepa8443 Před měsícem +1

    Yote Kwa yote bado haiko sawa huenda ukisema kuwe na mfumo wa uteuzi ukaishia kuwanufaisha kundi fulani kama inavyoonekana Kwa sasa. Ni kuwe na mkakati wa kusafisha na kubadilisha kabisa namna ya utawala na mfumo mzima Kwa kuzingatia malengo na dira ya kweli ya nchi. Wengi wanaoteliwa imeonekana wanafanya ibada kuheshimu mfumo uliopo na kutokuwa na uzalendo wala uchungu wa kuendeleza nchi. Na hiki kitandawili ni kigumu na hatujui panya yupi atajitoa mhanga kumfunga kengele paka.

  • @user-tm6gv9kp7v
    @user-tm6gv9kp7v Před měsícem +3

    Ila nchi yetu bhna hatari😂😂😂

  • @dismasmtui729
    @dismasmtui729 Před měsícem +5

    Hivi unaweza kuteua mtu bila kuwasiliana naye?!. Je akikataa huo uteuzi?!.

    • @hoseasteven6241
      @hoseasteven6241 Před měsícem

      kaka nchi hii uteuliwe ukatae utajuta, kuna yule baba alikuwa kiongozi wa chama cha walimu alikataa teuzi ya ras ya kuwa dc ameshambuliwa sijui kama hakufukuzwa kazi

    • @johnmichaellukindo21
      @johnmichaellukindo21 Před měsícem

      Yuko ndani kwa kesi ya wizi mamilioni kibao ya jumuiya ya walimu

  • @noelnjementi8511
    @noelnjementi8511 Před měsícem +3

    Tunakupenda sn sn ila wambie chadema Sela yakugawa Tanzania ktk majimbu hapana iyo ndio wanainchi wameshidwa kuichaguwa chadema

    • @stephenndagalla8183
      @stephenndagalla8183 Před měsícem +5

      Taja mojawapo ya nchi yenye utawala wa majimbo yenye mfumo mbovu wa uteuvi wa Viongozi wa Serikali. Kama hauujui utawala wa majimbo unavyo fanya kazi, ni vema uombe uelimishwe FAIDA na HASARA zake kisha uwe na uchaguzi mpana aina ya.utawala uliopo/uliouzoea na ile wa majimbo. Usiishi kimazoea. Mfano wa nchi zenye utawala wa majimbo; Kenya, Afrika ya Kusini, USA, Ujerumani, Sweden nk. chunguza aina ya mifumo yao ya uchaguzi/uteuzi, sio tu ya wanasiasa bali pia ya watendaji wa Serikali, unavyo fanya kazi bur tofauti na uliouzoea wewe.

    • @philemonsnyanda9450
      @philemonsnyanda9450 Před měsícem

      Sema wewe siyo wananchi

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před měsícem +3

    ✌️👊👍.

  • @user-gx4jx4gv9l
    @user-gx4jx4gv9l Před měsícem +1

    Kunawakimbizi kibao nchi hii wa upo serekalini naniviongozi wakubwa ndiomana hata uchungu wa rasilimali zetu.

  • @user-gx4gt2pe4w
    @user-gx4gt2pe4w Před měsícem +3

    Duu ndugu yangu nakupenda sanah kwa somo takatifu pia wewe ni jasiri sanah kweli

  • @user-vi1ds6gw9g
    @user-vi1ds6gw9g Před měsícem +1

    Vyombo vikubwa vya habari tz ni mgonjwa aliye mahututi hawezi kujisaidia mwenyewe, hivyo huwezi kusikia mjadala juu ya jambo kubwa kama hili, vingi vimekuwa komediani tu hata taarifa zake za habari mimi sifuatilii sana kwa sasa!😭😭🇹🇿

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 Před měsícem

    👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼

  • @TitusSongoro-ww3bo
    @TitusSongoro-ww3bo Před měsícem +4

    Duuh kama juu kuko hivyo, je huku chini?

    • @user-eu6ql9zl7n
      @user-eu6ql9zl7n Před měsícem +1

      Hapo Sasa!

    • @whatisthetruth.8793
      @whatisthetruth.8793 Před měsícem

      Samia mwenyewe kamaliza form IV , DR za kupachikiwa tunategemea nini ? Nchi anajirndea tuu kama wanyama porini

  • @johngibson3089
    @johngibson3089 Před měsícem

    Tanzania 🇹🇿

  • @saviomlelwa
    @saviomlelwa Před měsícem +1

    Uko vizuri Sana Kwa uchambuzi WA habari Kwa hekima ya Hali ya juu. God bless u

  • @rosemarysulle9288
    @rosemarysulle9288 Před 16 dny

    Kila siku makosa,mara mwinyi atazikwa kisarawe,mara imeenda?futa hiyo,jmn mambo mabovu mpk yameanza kuonekana wazi.kuna uozo mptupu subirini watu wakichoka walah mtajuta.kaulizeni Kenya

  • @kurwamsombe9820
    @kurwamsombe9820 Před měsícem +2

    Safi sana kaka ngurumo, nchi ina washauri wa hovyo

  • @SamsonIsack
    @SamsonIsack Před měsícem +1

    Kaka unamuda gani katika kazi hii

    • @AnsbertNgurumo
      @AnsbertNgurumo  Před měsícem

      Weka swali lako vizuri ili nielewe unachomaanisha.

  • @user-cw2nj4io3v
    @user-cw2nj4io3v Před měsícem +2

    Mr. Ngurumo uko sahihi,sasa ipo haja ya kufumua mifumo husika na kupata mifumo imara.

  • @johnmakundi9877
    @johnmakundi9877 Před měsícem +2

    Mama anapigwa changa la macho wako watu wengi mno wanaomchukia Sana

    • @BarakasensoJames
      @BarakasensoJames Před měsícem

      Unaushaidi gan kaka

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 Před měsícem

      Wampende kwa lipi

    • @BarakasensoJames
      @BarakasensoJames Před měsícem

      Unajua uteuzi ulifanyika tarehe 4 na marehemu kafariki tarehe 6 siku ambapo ndo raisi akitoa mkeka sasa hapo na raisi analaumiwa kwa lipi jamani , hiyo ni Kazi ya mungu ,Ila marehemu aliteuliwa akiwa hai

  • @samwelshepa8443
    @samwelshepa8443 Před měsícem

    Huenda kuwe na jukwaa huru la mabadiliko ya kweli ya nchi tunayoutaka. Kwa maana kiuhalisia hata wapinzani na vyama vya upinzani mwelekeo wake unalandana na wachama Mama. Kukiwa na jukwaa huru la kusema madudu ya nchi na wanaoitwa viongozi waziwazi huenda litasaidia nchi kutengeneza mfumo wa ungozi usio corrupted.

  • @sarahgaula2220
    @sarahgaula2220 Před měsícem +1

    Milton Lupa may his soul rest in peace

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x Před měsícem +1

    Viongozi wenye uweledi tz

  • @rosemarysulle9288
    @rosemarysulle9288 Před 16 dny

    Hatuna viongozi,bali wahuni tu na wapigaji

  • @RoseKimishabhalemi-oz9bn
    @RoseKimishabhalemi-oz9bn Před měsícem

    Mhuuu!!!

  • @ndenengomwende4915
    @ndenengomwende4915 Před měsícem +1

    Duuh!

  • @gaspercharles2244
    @gaspercharles2244 Před měsícem

    Umesahau na wale walioteuliwa viongozi watatu wa juu wa Chama cha waalimu na walivyogoma kuwa huo sio utaratibu taasisi itakuwaje matishio yakaanza hadi Sasa bado vita kubwa CWT.

  • @MeenaHassan-fd9vv
    @MeenaHassan-fd9vv Před 26 dny

    Huyu samia muda wake ukiisha one time aende zake kwo zanzibar we dont need her here in Tanganyika fuseki

  • @RwegoshoraPatt-os2ik
    @RwegoshoraPatt-os2ik Před měsícem +4

    Kila nikiwa kanisan lazima nitaje jina lako nikikuombea afya njema

  • @qonquererqanquerer1781
    @qonquererqanquerer1781 Před měsícem

    Hii Kali Uteuzi Wa Marehemu Tena?! Veting Mbovuu

  • @selemanimlingi9853
    @selemanimlingi9853 Před měsícem

    Hivi nchi inaongazwa na vingozi au tunatawaliwa? Hata sielewi mpaka anateuliwa marehem kweli???

  • @othmanali5362
    @othmanali5362 Před měsícem +1

    Safii naaminia

  • @KamwandaNzowa-eo4ur
    @KamwandaNzowa-eo4ur Před měsícem +3

    Nia ya chama Cha Mapinduzi SI kuinuwa uchumi wa Nchi na uchumi wa mtu mmoja Moja Bali ni kuvunja Mali za uma na kukandamiza wanyonge

  • @happymushi4493
    @happymushi4493 Před měsícem

    Ha ha ha..kuwahi ujanja kumbe

  • @user-ep7uz3tk3f
    @user-ep7uz3tk3f Před měsícem

    Hii ni fedheha kubwa!

  • @evelina9621
    @evelina9621 Před měsícem

    Kuna.mambo.kuteua.bila.kujua.mtu.taifa.limeanguka

  • @josephmakutano7067
    @josephmakutano7067 Před měsícem +7

    Ccm wanatuchea sana mwakahuu lazima tuamuwe kwavyovyote vile lazima tumung,owe mchawi wanchihii

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Před měsícem +1

      Tatizo kuna wanaokula ambao hawawezi kukubali kuachia kula huko ambao ni makundi makubwa ya waliopo Serekalini pia na wengineo. Watahonga wasiojitambua ili mradi tu wabaki hapo.Tunamtihani mkubwa katika nchi hii maana wasiojitambua ni wengi mno .Tamaa unafki ubinafsi kujipendekeza ni shida kubwa kwa nchi hii

    • @ndogoroedson199
      @ndogoroedson199 Před měsícem

      Utaamua nn mbwa koko nyumbu msukule wa mbowe? Toka hapa

  • @kostajoseph5811
    @kostajoseph5811 Před měsícem +1

    ANGALIA NA MAENDELEO YANAYOFANYWA NA SERIKALI AF UYALETE HAPA ADHARANI KIUZALENDO

    • @AnsbertNgurumo
      @AnsbertNgurumo  Před měsícem +1

      Ndiyo haya tunayojadili.

    • @KazunguMathias
      @KazunguMathias Před měsícem

      Maendeleo yepi yasiyoendana na dhaman ya pesa miradi imewekwa kama sehem ya kupiga pesa miradi haiiishi ata aliyoachiwa ikiwa ukingon bado imesimamia palepale lakini pesa zinaendelea kupelekwa kwenye miradi hyo kingne amekopa mikopo mingi na ya fedha nyingi sana lakin miradi inayoendelea ilikuwa inaweza kufanywa kwa makusanyo yetu tu bila kukopa wananchi tumejaziwa tozo kila mahali kodi kila mahali bei za vtu zmepanda kila mahali kwa sababu ya kuongezeka kwa kodi za serikali ambazo haziendan na maisha halisi ya watanzania nchi imejaa mikopo icyo na sababu hela wanakula tu wakubwa miradi haiendi ppte

    • @kostajoseph5811
      @kostajoseph5811 Před měsícem

      @@KazunguMathias
      MAENDELEO UNAYOYAZUNGUMZIA MFANO , SHULEZIMEJENGWA NA KUBORESHWA NCHI NZIMA, MADARAJA MAKUBWA MFANO BUSISI NK, BARA ZIMETENGENEZWA MPYA NA NYINGINE ZIMEKARABATIWA , MIKOPOKWA WANAFUNZI WA ELEIMU YA JUU, AJIRA ZIMERUHUSIWA NA WATU WANAJIRIWA , MRADIWA UMEME WA NYERERE, UHURU WA KISIASA NA KUTOA MAONI BINAFSI NK , NK, NK

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 Před měsícem

      Maendeleo yapi

    • @happymushi4493
      @happymushi4493 Před měsícem

      Maendeleo gani mbona wahusika wanaoletewa maendeleo naona kimya

  • @kenedyrocky4641
    @kenedyrocky4641 Před měsícem +2

    Mapungufu haya niyamuda mrefu Sana Kaka mkubwa.
    Magufuli aliwahi kuteua mpinzani baada ya muda sii mwingi akamteua.
    Wasaidizi wa Rais Hawajui wanachokifanya

    • @stephenndagalla8183
      @stephenndagalla8183 Před měsícem

      JPM (RIP) kateuwa wapinzzani wengi (sio), sio moja tu. Mfn; Prof. Mkumbo, Dr. B. Alli, Mbunge wa Tinduma, Dr. Mashinji, Queen Sendiga, J. Kafulila, Naibu Waziri wa Kazi. nk. Aliwachagua.wapinzani kama mbinu ya kuidhoofisha upinzani na kuimarisha Utendaji wa CCM na Serikali. Kumbuka alisema , "katika Utendaji siangalii rangi ya paka ili mradi anakamata panya".

  • @AdamSaffi211
    @AdamSaffi211 Před měsícem +1

    Really? Did that happen, there are security checks conducted? This is sad, na hawaulizwi before kuteuliwa, hiyo nchi kweli imeoza! Can’t happen anywhere! Nakuvulia kofia, 60 years in bado hatujui hata kuteua! Viongozi hewa? Walaji tu!

  • @elipidhugotesha1909
    @elipidhugotesha1909 Před měsícem

    Hajateua marehemu acha siasa
    Wakat akienda kuapishwa akapata AJALI ya gari tena akiendesha mwenyewe achen upotoshaji

    • @AnsbertNgurumo
      @AnsbertNgurumo  Před měsícem +2

      Sssa wewe ndiwe unafanya siasa mbaya. Hebu tusaidie:
      1. Aliteuliwa tarehe ngapi?
      2. Uteuzi ulitangazwa tarehe ngapi?
      3. Yeye alifariki dunia tarehe ngapi?
      4. Je, walioteuliwa wameapishwa? Lini?
      Ukiunganisha yote hayo utajua nani anafanya "siasa."
      😃😄😀

    • @saidmabanga388
      @saidmabanga388 Před měsícem +1

      Tulia ww fala ujuii kituu

    • @elipidhugotesha1909
      @elipidhugotesha1909 Před měsícem +1

      @@saidmabanga388 siku zote watukanaji ni mambumbumbu jibu hoja kwa hoja usizamwishwe na ushabiki wa midomo ya mtandao

    • @happymushi4493
      @happymushi4493 Před měsícem

      Uchawa ni ugonjwa mbovu

    • @philbertcelestin7057
      @philbertcelestin7057 Před měsícem

      Mbona unaleta longolongo.Usilete konakona na utetezi wa hivi katika mambo serious ya nchi yetu.

  • @mohamedghasia95
    @mohamedghasia95 Před měsícem

    Hoja zako ni nzuri kuhusu umuhimu wa mifumo kufanyakazi ipasavyo. Kwa katiba ya sasa hayo yote yamebainishwa na vyombo vya kufanya vetting vipo vimeundwa. Badala ya kuhamishia hoja kwenye katiba ungejikita zaidi kwenye kuwataka wahusika kumsaidia raisi kwa kutekeleza majukumu yao. Kusema kwamba katiba iliyopo haijatambua haya ni upotoshaji.

  • @kashiririrkaasongwisye9487
    @kashiririrkaasongwisye9487 Před měsícem +1

    Shida ya viongozi wa afrika ndo hiyo wanafanya tu kama kuku anayekimbia kwa speed kubwa lakn hana kichwa kimeshakatwa!

  • @sebastianmwantuge5597
    @sebastianmwantuge5597 Před měsícem +1

    Na tuna marehemu wengi sana kwenye nafasi za uongozi

  • @TitoRufizi-xb2ub
    @TitoRufizi-xb2ub Před měsícem +1

    Mambo ya ccm hayo wala msishangae wao ilimladi liende tu😂

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u Před měsícem +2

    NCHI YETU INA MATATIZO MAKUBWA YA UONGOZI....AIBU NA FEDHEHA KUBWA!

    • @hassanmfaume4522
      @hassanmfaume4522 Před měsícem

      Siyo matatizo ya uongozi bali watu wanaoteuliwa hawana elimu sahihi mfano mtu anaweza kuwa prof kumbe kichwani hamna kitu kabisa kazi yake yy anawaza kuhujumu watu tu..!

  • @JustinMbilinyi-vz8ud
    @JustinMbilinyi-vz8ud Před měsícem +2

    Mbona wanasema alikufa akielekea dodoma kuripoti kazini

    • @Alkebulan-Afrika
      @Alkebulan-Afrika Před měsícem

      Ni kazi nyingine. Alikuwa ameteulkwa kuwa mkuu wa kitengo cha fedha Veta

    • @epifaniamilinga2848
      @epifaniamilinga2848 Před měsícem

      Mungu amrehemu.ufalme was Giza uliingilia.

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 Před měsícem

      ​@@Alkebulan-Afrikaalikuwa anakwenda kuripoti kazi ipi fuatilia vizuri habari acha ukauzu, kuna mtu anaenda kuripoti kazini kabla hajateuliwa?

    • @happymushi4493
      @happymushi4493 Před měsícem +1

      Sio kazi hiyo...alikuwa na teuzi ambayo alikuwa akienda kureport alipopangiwa..akapata ajali..siku chache baada ya kifo akapata teuzi nyingine aikiwa mochuwari

  • @MiriamAbdallah
    @MiriamAbdallah Před měsícem +1

    Nchi yangu tanganyika unapotweza haiba yako na viongozi wa serikali na chama

  • @user-tg1xi9ib9c
    @user-tg1xi9ib9c Před měsícem +1

    Wapinzani wetu wamekosa hoja zamsingi wanasubir ajenda zakawaida mno

  • @FrankMushi-cs5js
    @FrankMushi-cs5js Před měsícem +1

    Na kwambia hi nchi ni yaajabuu kabisaa yani watu wanateuwa teuwaa tuu bila mpangilio ni ujinga mtupuuuu

  • @salummohamed2689
    @salummohamed2689 Před měsícem +1

    Hivi huyu Rais na chawa wake pamoja na mifumo Yao hawaoni hili hawalioni? Kutangazwa marehemu ni sawa? Licha hata kama ni mgojwa Kwa muda wa uteuzi si sawa?

  • @PhilipoMwita-wc1ku
    @PhilipoMwita-wc1ku Před měsícem +1

    Samia uongozi hauwezi
    Hana umakini

  • @richardnyarugenda9769
    @richardnyarugenda9769 Před měsícem +3

    Wewe ndiye unastahili kuwa Waziri wa Habari na si huyu Nape Nnauye.

  • @fredrickmarco-hw8lb
    @fredrickmarco-hw8lb Před měsícem +1

    Rais samia hana kalama na weled katika uongoz na hatufai watanzania sijui alisoma elimu ya karne gan? Mungu yupo

  • @Worldunite
    @Worldunite Před měsícem

    Huyu marehemu ndi nani?

    • @AnsbertNgurumo
      @AnsbertNgurumo  Před měsícem

      Soma hapo kwenye tangazo la uteuzi kutoka Ikulu. Nimekuwekea.

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah Před měsícem +1

      ​@@AnsbertNgurumobrother ngurumo mwenyezi MUNGU akuongoze umri mrefu ili uendelee kutuelimisha

  • @elibarikimeela2761
    @elibarikimeela2761 Před měsícem +1

    Hongera Sana Kaka Ngurumo kwa mapenzi na nchi yako
    Today's analysis is of first rate.
    God bless you brother.

  • @ChristmasMaheri
    @ChristmasMaheri Před měsícem +2

    Huu ni ushahidi kuwa Katiba yetu ya sasa ni mbovu kabisa.

  • @nassibdoma5408
    @nassibdoma5408 Před měsícem

    Tafakari zako nazikubari ila maoni Yako juu ya upinzani sioni kama uko sahihi mfano kuendelea kuamini chadema ndio chama chá upinzani pekee chenye kuleta mageuzi bila ushilikiano na vyama vingine kama vile Act wazalendo Nccr mageuzi navingine c.kweli nikuwadanganya wananchi Naona chadema uikipromoka siku chache zijazo

  • @Trys6254
    @Trys6254 Před měsícem

    I don't understand what you mean bcoz I don't understand swahili language but to be honest Tanzania ni nchi ya hovyo kuwahi kutokea kwenye karne hii

  • @rweumbizalugaimukamu4905
    @rweumbizalugaimukamu4905 Před měsícem

    Mtangazaji naye ni muoga, hajasema ni nani aliyeteiliwa ambaye Marehemu.

    • @AnsbertNgurumo
      @AnsbertNgurumo  Před měsícem +1

      Hujasoma taarifa ya uteuzi iliyoandikwa na Ikulu? Imewekwa hapo. Rudia.

    • @sammykateregga6238
      @sammykateregga6238 Před měsícem +1

      Pengine hakuwa makini wakati uliposimamisha mazungumzo na kuweka orodha ya uteuzi. Umakini unahitajika ktk ku analyze mada zinozoletwa wengine tunazisoma au kuzisikiliza tukiwa na majibu tayari.

    • @babazungu3180
      @babazungu3180 Před měsícem

      Pengine hajapewa taarifa ya msiba mapema

    • @Sh_Taqee
      @Sh_Taqee Před měsícem

      ​@@babazungu3180Ndio maana ukaambiwa hili ni tatizo kubwa....unatumia akili ipi kuelewa uchambuzi huu hapa?

  • @Alkebulan-Afrika
    @Alkebulan-Afrika Před měsícem +6

    Naheshimu sana mchango wako ndugu raia wa Tanzania. Kwa maoni yangu nawaza mambo matatu makubwa juu ya jambo hili;
    1. Inawezekana ikawa ni makosa ambayo hayakuonekana tangu awali(kukosa umakini na weledi).
    2. Inawezekana ni makosa ya makusudi (Kama Ikulu ya nchi yangu ina propagandist ambaye anakuwa active kumpaka mafuta Rais kwa jamii), yaani tumepumbazwa tusijadili safari ya Mashariki ya mbali (Korea).
    3. Inawezekana wale wasiomtakia mema Rais, wapo nyuma ya hili, wamemissread ili kumchafua aonekane yeye na tasisi nzima ya urais haipo makini.
    Naitwa: Shahidi wa Jamhuri

    • @TPW_FLUXY
      @TPW_FLUXY Před měsícem +1

      Usimtetete huyo rais ndiyo mteuwaji wewe shahid wa jamuhuli na hakuna aliye tumwahapa

    • @Alkebulan-Afrika
      @Alkebulan-Afrika Před měsícem

      @@TPW_FLUXY Infact sijakataa kuwa Rais ndiyo mteuwaji, lakini nimejaribu kuwasilisha tu mawazo yangu juu ya mtazamo wangu kuhusu jambo hili.

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah Před měsícem +2

      ​@@Alkebulan-Afrikainaoneka ni jinzi gani raisi hayuko makini na kazi zake , Kila kitu anafanyiwa na kupitishwa bila kuhakikisha kile alichoandaliwa

    • @Alkebulan-Afrika
      @Alkebulan-Afrika Před měsícem

      @@MiriamAbdallah Kiongozi wa nchi kusaidiwa siyo tatizo maana hawezi kufanya kila kitu. Kuna watu wanapitia taarifa kwa niaba ya Rais, yeye anapelekewe zile taarifa mhimu zaidi (Classified Information), ninacho muomba Rais wangu ahakikishe vile vitu mhimu vinavyoenda kwenye Public basi apitie au afuatilie yeye mwenyewe au laa watu atafute mtu/watu maalum wa kufanya hivyo.

    • @MABATINI1
      @MABATINI1 Před měsícem

      Swala kubwa ni wasaidizi kutokuwa makini. Vetting process itakuwa chini ya watu wachache mno ambao hawana uadilifu.

  • @mbwanarajab7238
    @mbwanarajab7238 Před měsícem

    Tuacheni ushabiki wa kijinga
    Raisi hana kosa bali wasaidizi ndio waliofanya uzembe
    Sehemu ngapi za kazi watu wanakosea haya?
    Yupo hajawahi kukosea?
    Tunakuza mambo sisi

    • @sebastianmwantuge5597
      @sebastianmwantuge5597 Před měsícem

      Acha kutetea ujinga.
      Hakuna wa kumlaumu zaidi ya Rais sababu yeye ana vyombo vya kumsaidia lakini havitumii vizuri.
      Huo utaratibu wa kuteua kama una madhara kama haya basi tukubali utaratibu ubadilike kikatiba

  • @ndogoroedson199
    @ndogoroedson199 Před měsícem

    Huyu jamaa ni mjinga utadhani anakula mavi! Kwan kama aliteuliwa akiwa hai anapoenda kuripoti jina lilishaenda shìa iko wap? Acha ujinga mbuzi ww

    • @user-mm6sm9rt9x
      @user-mm6sm9rt9x Před měsícem

      Akili Yako na ufahamu wako ni mdogo sana Kwa komenti Yako hiyo

    • @salimusalim3610
      @salimusalim3610 Před měsícem

      Kuongoza watu kazi kubwa kila mmoja na akili zake ukiwa kiongozi uwe na subra na unaowaongoza

  • @juliuszakayo6771
    @juliuszakayo6771 Před měsícem +1

    Mnamlaumu bite yawezekana wanaoteoa marehemu nao ni marehemu ,,maana ndege wafananao huruka pamoja , CCM imebaki wanawaza wizi tu