Uko sahihi Kabisa , ndio maana Makonda anaonekana ni mkombozi katika kutatua matatizo ya wananchi wakati matatizo hayo yanaletwa na wenyewe hao hao wanaotawala . Inaitwa kiini macho , kuwalaghai wananchi katika matatizo yao ionekane kuwa ni mabingwa kwa faida yao wapate sifa ya Bure na kukwepa lawama.
Makonda alipita nchi nzima... Nenda kafuatilie zile kero kama zilitatuliwa. Jibu hazikutatuliwa kwa sababu ndizo zile zile ameenda kuzikuta akiwa mkuu wa mkoa.
Kumteau Marehemu na kumpa nafasi ya kuja kuongoza ni udhaifu mkubwa Sana, unaodhihirisha jinsi tunavyowapata viongozi wasio hakikiwa, Na kupelekea kuendelea kufanya teuzi kila mwezi, Madhara yake ni Taifa kuendelea kakosa Watendaji halisi,😅😅😅 unaweza kucheka lkn ndani yake Pana huzuni.
Acheni ujinga! Mbona mnakuwa wapumbavu kiasi hicho! Mh rais anapelekewa majina ya wateuliwa na aliyeteuliwa alikuwa mzima cku anaenda kuripoti akapata ajali rais anahusikaje hapo? Acheni upumbavu hiv hapo kuna ajabu rais alimteua akiwa mzima kenge kabisa ni mamaku tu ninyi pamoja na m?ungumzaji ni ujinga
Yote Kwa yote bado haiko sawa huenda ukisema kuwe na mfumo wa uteuzi ukaishia kuwanufaisha kundi fulani kama inavyoonekana Kwa sasa. Ni kuwe na mkakati wa kusafisha na kubadilisha kabisa namna ya utawala na mfumo mzima Kwa kuzingatia malengo na dira ya kweli ya nchi. Wengi wanaoteliwa imeonekana wanafanya ibada kuheshimu mfumo uliopo na kutokuwa na uzalendo wala uchungu wa kuendeleza nchi. Na hiki kitandawili ni kigumu na hatujui panya yupi atajitoa mhanga kumfunga kengele paka.
kaka nchi hii uteuliwe ukatae utajuta, kuna yule baba alikuwa kiongozi wa chama cha walimu alikataa teuzi ya ras ya kuwa dc ameshambuliwa sijui kama hakufukuzwa kazi
Taja mojawapo ya nchi yenye utawala wa majimbo yenye mfumo mbovu wa uteuvi wa Viongozi wa Serikali. Kama hauujui utawala wa majimbo unavyo fanya kazi, ni vema uombe uelimishwe FAIDA na HASARA zake kisha uwe na uchaguzi mpana aina ya.utawala uliopo/uliouzoea na ile wa majimbo. Usiishi kimazoea. Mfano wa nchi zenye utawala wa majimbo; Kenya, Afrika ya Kusini, USA, Ujerumani, Sweden nk. chunguza aina ya mifumo yao ya uchaguzi/uteuzi, sio tu ya wanasiasa bali pia ya watendaji wa Serikali, unavyo fanya kazi bur tofauti na uliouzoea wewe.
Vyombo vikubwa vya habari tz ni mgonjwa aliye mahututi hawezi kujisaidia mwenyewe, hivyo huwezi kusikia mjadala juu ya jambo kubwa kama hili, vingi vimekuwa komediani tu hata taarifa zake za habari mimi sifuatilii sana kwa sasa!😭😭🇹🇿
Kila siku makosa,mara mwinyi atazikwa kisarawe,mara imeenda?futa hiyo,jmn mambo mabovu mpk yameanza kuonekana wazi.kuna uozo mptupu subirini watu wakichoka walah mtajuta.kaulizeni Kenya
Unajua uteuzi ulifanyika tarehe 4 na marehemu kafariki tarehe 6 siku ambapo ndo raisi akitoa mkeka sasa hapo na raisi analaumiwa kwa lipi jamani , hiyo ni Kazi ya mungu ,Ila marehemu aliteuliwa akiwa hai
Huenda kuwe na jukwaa huru la mabadiliko ya kweli ya nchi tunayoutaka. Kwa maana kiuhalisia hata wapinzani na vyama vya upinzani mwelekeo wake unalandana na wachama Mama. Kukiwa na jukwaa huru la kusema madudu ya nchi na wanaoitwa viongozi waziwazi huenda litasaidia nchi kutengeneza mfumo wa ungozi usio corrupted.
Umesahau na wale walioteuliwa viongozi watatu wa juu wa Chama cha waalimu na walivyogoma kuwa huo sio utaratibu taasisi itakuwaje matishio yakaanza hadi Sasa bado vita kubwa CWT.
Tatizo kuna wanaokula ambao hawawezi kukubali kuachia kula huko ambao ni makundi makubwa ya waliopo Serekalini pia na wengineo. Watahonga wasiojitambua ili mradi tu wabaki hapo.Tunamtihani mkubwa katika nchi hii maana wasiojitambua ni wengi mno .Tamaa unafki ubinafsi kujipendekeza ni shida kubwa kwa nchi hii
Maendeleo yepi yasiyoendana na dhaman ya pesa miradi imewekwa kama sehem ya kupiga pesa miradi haiiishi ata aliyoachiwa ikiwa ukingon bado imesimamia palepale lakini pesa zinaendelea kupelekwa kwenye miradi hyo kingne amekopa mikopo mingi na ya fedha nyingi sana lakin miradi inayoendelea ilikuwa inaweza kufanywa kwa makusanyo yetu tu bila kukopa wananchi tumejaziwa tozo kila mahali kodi kila mahali bei za vtu zmepanda kila mahali kwa sababu ya kuongezeka kwa kodi za serikali ambazo haziendan na maisha halisi ya watanzania nchi imejaa mikopo icyo na sababu hela wanakula tu wakubwa miradi haiendi ppte
@@KazunguMathias MAENDELEO UNAYOYAZUNGUMZIA MFANO , SHULEZIMEJENGWA NA KUBORESHWA NCHI NZIMA, MADARAJA MAKUBWA MFANO BUSISI NK, BARA ZIMETENGENEZWA MPYA NA NYINGINE ZIMEKARABATIWA , MIKOPOKWA WANAFUNZI WA ELEIMU YA JUU, AJIRA ZIMERUHUSIWA NA WATU WANAJIRIWA , MRADIWA UMEME WA NYERERE, UHURU WA KISIASA NA KUTOA MAONI BINAFSI NK , NK, NK
Mapungufu haya niyamuda mrefu Sana Kaka mkubwa. Magufuli aliwahi kuteua mpinzani baada ya muda sii mwingi akamteua. Wasaidizi wa Rais Hawajui wanachokifanya
JPM (RIP) kateuwa wapinzzani wengi (sio), sio moja tu. Mfn; Prof. Mkumbo, Dr. B. Alli, Mbunge wa Tinduma, Dr. Mashinji, Queen Sendiga, J. Kafulila, Naibu Waziri wa Kazi. nk. Aliwachagua.wapinzani kama mbinu ya kuidhoofisha upinzani na kuimarisha Utendaji wa CCM na Serikali. Kumbuka alisema , "katika Utendaji siangalii rangi ya paka ili mradi anakamata panya".
Really? Did that happen, there are security checks conducted? This is sad, na hawaulizwi before kuteuliwa, hiyo nchi kweli imeoza! Can’t happen anywhere! Nakuvulia kofia, 60 years in bado hatujui hata kuteua! Viongozi hewa? Walaji tu!
Sssa wewe ndiwe unafanya siasa mbaya. Hebu tusaidie: 1. Aliteuliwa tarehe ngapi? 2. Uteuzi ulitangazwa tarehe ngapi? 3. Yeye alifariki dunia tarehe ngapi? 4. Je, walioteuliwa wameapishwa? Lini? Ukiunganisha yote hayo utajua nani anafanya "siasa." 😃😄😀
Hoja zako ni nzuri kuhusu umuhimu wa mifumo kufanyakazi ipasavyo. Kwa katiba ya sasa hayo yote yamebainishwa na vyombo vya kufanya vetting vipo vimeundwa. Badala ya kuhamishia hoja kwenye katiba ungejikita zaidi kwenye kuwataka wahusika kumsaidia raisi kwa kutekeleza majukumu yao. Kusema kwamba katiba iliyopo haijatambua haya ni upotoshaji.
Siyo matatizo ya uongozi bali watu wanaoteuliwa hawana elimu sahihi mfano mtu anaweza kuwa prof kumbe kichwani hamna kitu kabisa kazi yake yy anawaza kuhujumu watu tu..!
Sio kazi hiyo...alikuwa na teuzi ambayo alikuwa akienda kureport alipopangiwa..akapata ajali..siku chache baada ya kifo akapata teuzi nyingine aikiwa mochuwari
Hivi huyu Rais na chawa wake pamoja na mifumo Yao hawaoni hili hawalioni? Kutangazwa marehemu ni sawa? Licha hata kama ni mgojwa Kwa muda wa uteuzi si sawa?
Tafakari zako nazikubari ila maoni Yako juu ya upinzani sioni kama uko sahihi mfano kuendelea kuamini chadema ndio chama chá upinzani pekee chenye kuleta mageuzi bila ushilikiano na vyama vingine kama vile Act wazalendo Nccr mageuzi navingine c.kweli nikuwadanganya wananchi Naona chadema uikipromoka siku chache zijazo
Pengine hakuwa makini wakati uliposimamisha mazungumzo na kuweka orodha ya uteuzi. Umakini unahitajika ktk ku analyze mada zinozoletwa wengine tunazisoma au kuzisikiliza tukiwa na majibu tayari.
Naheshimu sana mchango wako ndugu raia wa Tanzania. Kwa maoni yangu nawaza mambo matatu makubwa juu ya jambo hili; 1. Inawezekana ikawa ni makosa ambayo hayakuonekana tangu awali(kukosa umakini na weledi). 2. Inawezekana ni makosa ya makusudi (Kama Ikulu ya nchi yangu ina propagandist ambaye anakuwa active kumpaka mafuta Rais kwa jamii), yaani tumepumbazwa tusijadili safari ya Mashariki ya mbali (Korea). 3. Inawezekana wale wasiomtakia mema Rais, wapo nyuma ya hili, wamemissread ili kumchafua aonekane yeye na tasisi nzima ya urais haipo makini. Naitwa: Shahidi wa Jamhuri
@@MiriamAbdallah Kiongozi wa nchi kusaidiwa siyo tatizo maana hawezi kufanya kila kitu. Kuna watu wanapitia taarifa kwa niaba ya Rais, yeye anapelekewe zile taarifa mhimu zaidi (Classified Information), ninacho muomba Rais wangu ahakikishe vile vitu mhimu vinavyoenda kwenye Public basi apitie au afuatilie yeye mwenyewe au laa watu atafute mtu/watu maalum wa kufanya hivyo.
Tuacheni ushabiki wa kijinga Raisi hana kosa bali wasaidizi ndio waliofanya uzembe Sehemu ngapi za kazi watu wanakosea haya? Yupo hajawahi kukosea? Tunakuza mambo sisi
Acha kutetea ujinga. Hakuna wa kumlaumu zaidi ya Rais sababu yeye ana vyombo vya kumsaidia lakini havitumii vizuri. Huo utaratibu wa kuteua kama una madhara kama haya basi tukubali utaratibu ubadilike kikatiba
Magufuli alikuwa makini sana, kipindi chake harukuyaona haya, sasa hivi hamna umakini, wanakula kwa urefu wa kamba zao
Uko sahihi Kabisa , ndio maana Makonda anaonekana ni mkombozi katika kutatua matatizo ya wananchi wakati matatizo hayo yanaletwa na wenyewe hao hao wanaotawala . Inaitwa kiini macho , kuwalaghai wananchi katika matatizo yao ionekane kuwa ni mabingwa kwa faida yao wapate sifa ya Bure na kukwepa lawama.
Haswaa!.
Unajitekenya halafu unacheka mwenyewe.
Point nzuri sana aisee pongezi kwako maoni yako tuko pmj kimawazo aisee🤝👍👏👏👏👏👏👏
Makonda alipita nchi nzima... Nenda kafuatilie zile kero kama zilitatuliwa. Jibu hazikutatuliwa kwa sababu ndizo zile zile ameenda kuzikuta akiwa mkuu wa mkoa.
Ktk eneo langu kauli moja ya Makonda iliweza kutatua jambo moja sugu lilodum tangu kido cha jpm@@fadhilimsafiri216
@@fadhilimsafiri216 wanatenda haya yote kwa kua watanganyika ni waoga sana na waliowengi hawaoni mbali wanaona palepale walipo
Kumteau Marehemu na kumpa nafasi ya kuja kuongoza ni udhaifu mkubwa Sana, unaodhihirisha jinsi tunavyowapata viongozi wasio hakikiwa,
Na kupelekea kuendelea kufanya teuzi kila mwezi,
Madhara yake ni Taifa kuendelea kakosa Watendaji halisi,😅😅😅 unaweza kucheka lkn ndani yake Pana huzuni.
Kuteua marehemu si jambo dogo mimi nimecheka japo sio mazuri
Kuna uozo mkubwa ndani ya serikali....viongozi wezi tu, wamesha uza nchi kwa wakoloni...Watanzania mmelala...
Nchi hii hatuulizi unajua nini! Tunauliza anakujua nani😂
Kiukwelll samia kafel Sana, kwel nimeamin ,,,,
HAFI WAGALATIA NDIO WANAKUFA MAPEMA SABABU YA WIZI NA DHULUMA NA GONGO😢😢😢😢😢😢😢😢
Hana sifa wala uwezo kuongoza sio kuku bali hata mabata
@@OmmyJames-xn7ji weee pagani kabusu jiwe kaabah . 😂😂😂
Duh! Rais kateua marehemu
💔
Aibu wafanyakazi hewa mtu alikufa siku nne kabla ya kuteuliwa
Samia umeingia kwenye giness-book mwenyewe kwa kuteuwa merehemu shame on you!.
Acheni ujinga! Mbona mnakuwa wapumbavu kiasi hicho! Mh rais anapelekewa majina ya wateuliwa na aliyeteuliwa alikuwa mzima cku anaenda kuripoti akapata ajali rais anahusikaje hapo? Acheni upumbavu hiv hapo kuna ajabu rais alimteua akiwa mzima kenge kabisa ni mamaku tu ninyi pamoja na m?ungumzaji ni ujinga
Mbona povu sana @@ndogoroedson199
Uchambuzi mzuri sana. Big up father!
Ni kweli hili limetokea? Ni kweli? "Mbombo ngafu"!
Ingetakuwa Kila nafasi ya uongozi waombe kazi kulingana na taaluma yake
Kabisa
HAKIKA TUNAHITAJI MFUMO MZURI, LAZIMA TUANZE KUWA KATIBA MPYA YA NCHI NA TUME HURU YA UCHAGUZI!
MWANA DIPLOMASIA NIMEKUELEWA VIZURI SANA! 🙏🏻
Nikweli mh makonda ni mkombozi lakini swali linakuja je hayo matatizo yana sababishwa ninani na serekali ipi na anaye y
Kweli umenena! Ukisikiliza habari za uteuzi serikalini utadhani mheshimiwa rais ana kazi moja tu ya kuteua wafanyakazi serkalini nchi nzima!
Tatizo ni wale wale wanapeana kijiti...
Hii nchi ni ngumu jamani, kwani kazi ya raisi ni kuteua na kutengua? Mungu atufanyie wepesi.
Hakika umenena sahihi kbs Katiba Mpya ndo jawabu
Yote Kwa yote bado haiko sawa huenda ukisema kuwe na mfumo wa uteuzi ukaishia kuwanufaisha kundi fulani kama inavyoonekana Kwa sasa. Ni kuwe na mkakati wa kusafisha na kubadilisha kabisa namna ya utawala na mfumo mzima Kwa kuzingatia malengo na dira ya kweli ya nchi. Wengi wanaoteliwa imeonekana wanafanya ibada kuheshimu mfumo uliopo na kutokuwa na uzalendo wala uchungu wa kuendeleza nchi. Na hiki kitandawili ni kigumu na hatujui panya yupi atajitoa mhanga kumfunga kengele paka.
Ila nchi yetu bhna hatari😂😂😂
Hivi unaweza kuteua mtu bila kuwasiliana naye?!. Je akikataa huo uteuzi?!.
kaka nchi hii uteuliwe ukatae utajuta, kuna yule baba alikuwa kiongozi wa chama cha walimu alikataa teuzi ya ras ya kuwa dc ameshambuliwa sijui kama hakufukuzwa kazi
Yuko ndani kwa kesi ya wizi mamilioni kibao ya jumuiya ya walimu
Tunakupenda sn sn ila wambie chadema Sela yakugawa Tanzania ktk majimbu hapana iyo ndio wanainchi wameshidwa kuichaguwa chadema
Taja mojawapo ya nchi yenye utawala wa majimbo yenye mfumo mbovu wa uteuvi wa Viongozi wa Serikali. Kama hauujui utawala wa majimbo unavyo fanya kazi, ni vema uombe uelimishwe FAIDA na HASARA zake kisha uwe na uchaguzi mpana aina ya.utawala uliopo/uliouzoea na ile wa majimbo. Usiishi kimazoea. Mfano wa nchi zenye utawala wa majimbo; Kenya, Afrika ya Kusini, USA, Ujerumani, Sweden nk. chunguza aina ya mifumo yao ya uchaguzi/uteuzi, sio tu ya wanasiasa bali pia ya watendaji wa Serikali, unavyo fanya kazi bur tofauti na uliouzoea wewe.
Sema wewe siyo wananchi
✌️👊👍.
Kunawakimbizi kibao nchi hii wa upo serekalini naniviongozi wakubwa ndiomana hata uchungu wa rasilimali zetu.
Duu ndugu yangu nakupenda sanah kwa somo takatifu pia wewe ni jasiri sanah kweli
Vyombo vikubwa vya habari tz ni mgonjwa aliye mahututi hawezi kujisaidia mwenyewe, hivyo huwezi kusikia mjadala juu ya jambo kubwa kama hili, vingi vimekuwa komediani tu hata taarifa zake za habari mimi sifuatilii sana kwa sasa!😭😭🇹🇿
Sad!
Vyombo vya habari vimekuwa machawa
👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼
Duuh kama juu kuko hivyo, je huku chini?
Hapo Sasa!
Samia mwenyewe kamaliza form IV , DR za kupachikiwa tunategemea nini ? Nchi anajirndea tuu kama wanyama porini
Tanzania 🇹🇿
Uko vizuri Sana Kwa uchambuzi WA habari Kwa hekima ya Hali ya juu. God bless u
Kila siku makosa,mara mwinyi atazikwa kisarawe,mara imeenda?futa hiyo,jmn mambo mabovu mpk yameanza kuonekana wazi.kuna uozo mptupu subirini watu wakichoka walah mtajuta.kaulizeni Kenya
Safi sana kaka ngurumo, nchi ina washauri wa hovyo
Kaka unamuda gani katika kazi hii
Weka swali lako vizuri ili nielewe unachomaanisha.
Mr. Ngurumo uko sahihi,sasa ipo haja ya kufumua mifumo husika na kupata mifumo imara.
Mama anapigwa changa la macho wako watu wengi mno wanaomchukia Sana
Unaushaidi gan kaka
Wampende kwa lipi
Unajua uteuzi ulifanyika tarehe 4 na marehemu kafariki tarehe 6 siku ambapo ndo raisi akitoa mkeka sasa hapo na raisi analaumiwa kwa lipi jamani , hiyo ni Kazi ya mungu ,Ila marehemu aliteuliwa akiwa hai
Huenda kuwe na jukwaa huru la mabadiliko ya kweli ya nchi tunayoutaka. Kwa maana kiuhalisia hata wapinzani na vyama vya upinzani mwelekeo wake unalandana na wachama Mama. Kukiwa na jukwaa huru la kusema madudu ya nchi na wanaoitwa viongozi waziwazi huenda litasaidia nchi kutengeneza mfumo wa ungozi usio corrupted.
Milton Lupa may his soul rest in peace
Viongozi wenye uweledi tz
Hatuna viongozi,bali wahuni tu na wapigaji
Mhuuu!!!
Duuh!
Umesahau na wale walioteuliwa viongozi watatu wa juu wa Chama cha waalimu na walivyogoma kuwa huo sio utaratibu taasisi itakuwaje matishio yakaanza hadi Sasa bado vita kubwa CWT.
Huyu samia muda wake ukiisha one time aende zake kwo zanzibar we dont need her here in Tanganyika fuseki
Kila nikiwa kanisan lazima nitaje jina lako nikikuombea afya njema
Hii Kali Uteuzi Wa Marehemu Tena?! Veting Mbovuu
Hivi nchi inaongazwa na vingozi au tunatawaliwa? Hata sielewi mpaka anateuliwa marehem kweli???
Safii naaminia
Nia ya chama Cha Mapinduzi SI kuinuwa uchumi wa Nchi na uchumi wa mtu mmoja Moja Bali ni kuvunja Mali za uma na kukandamiza wanyonge
Ha ha ha..kuwahi ujanja kumbe
Hii ni fedheha kubwa!
Kuna.mambo.kuteua.bila.kujua.mtu.taifa.limeanguka
Ccm wanatuchea sana mwakahuu lazima tuamuwe kwavyovyote vile lazima tumung,owe mchawi wanchihii
Tatizo kuna wanaokula ambao hawawezi kukubali kuachia kula huko ambao ni makundi makubwa ya waliopo Serekalini pia na wengineo. Watahonga wasiojitambua ili mradi tu wabaki hapo.Tunamtihani mkubwa katika nchi hii maana wasiojitambua ni wengi mno .Tamaa unafki ubinafsi kujipendekeza ni shida kubwa kwa nchi hii
Utaamua nn mbwa koko nyumbu msukule wa mbowe? Toka hapa
ANGALIA NA MAENDELEO YANAYOFANYWA NA SERIKALI AF UYALETE HAPA ADHARANI KIUZALENDO
Ndiyo haya tunayojadili.
Maendeleo yepi yasiyoendana na dhaman ya pesa miradi imewekwa kama sehem ya kupiga pesa miradi haiiishi ata aliyoachiwa ikiwa ukingon bado imesimamia palepale lakini pesa zinaendelea kupelekwa kwenye miradi hyo kingne amekopa mikopo mingi na ya fedha nyingi sana lakin miradi inayoendelea ilikuwa inaweza kufanywa kwa makusanyo yetu tu bila kukopa wananchi tumejaziwa tozo kila mahali kodi kila mahali bei za vtu zmepanda kila mahali kwa sababu ya kuongezeka kwa kodi za serikali ambazo haziendan na maisha halisi ya watanzania nchi imejaa mikopo icyo na sababu hela wanakula tu wakubwa miradi haiendi ppte
@@KazunguMathias
MAENDELEO UNAYOYAZUNGUMZIA MFANO , SHULEZIMEJENGWA NA KUBORESHWA NCHI NZIMA, MADARAJA MAKUBWA MFANO BUSISI NK, BARA ZIMETENGENEZWA MPYA NA NYINGINE ZIMEKARABATIWA , MIKOPOKWA WANAFUNZI WA ELEIMU YA JUU, AJIRA ZIMERUHUSIWA NA WATU WANAJIRIWA , MRADIWA UMEME WA NYERERE, UHURU WA KISIASA NA KUTOA MAONI BINAFSI NK , NK, NK
Maendeleo yapi
Maendeleo gani mbona wahusika wanaoletewa maendeleo naona kimya
Mapungufu haya niyamuda mrefu Sana Kaka mkubwa.
Magufuli aliwahi kuteua mpinzani baada ya muda sii mwingi akamteua.
Wasaidizi wa Rais Hawajui wanachokifanya
JPM (RIP) kateuwa wapinzzani wengi (sio), sio moja tu. Mfn; Prof. Mkumbo, Dr. B. Alli, Mbunge wa Tinduma, Dr. Mashinji, Queen Sendiga, J. Kafulila, Naibu Waziri wa Kazi. nk. Aliwachagua.wapinzani kama mbinu ya kuidhoofisha upinzani na kuimarisha Utendaji wa CCM na Serikali. Kumbuka alisema , "katika Utendaji siangalii rangi ya paka ili mradi anakamata panya".
Really? Did that happen, there are security checks conducted? This is sad, na hawaulizwi before kuteuliwa, hiyo nchi kweli imeoza! Can’t happen anywhere! Nakuvulia kofia, 60 years in bado hatujui hata kuteua! Viongozi hewa? Walaji tu!
Hajateua marehemu acha siasa
Wakat akienda kuapishwa akapata AJALI ya gari tena akiendesha mwenyewe achen upotoshaji
Sssa wewe ndiwe unafanya siasa mbaya. Hebu tusaidie:
1. Aliteuliwa tarehe ngapi?
2. Uteuzi ulitangazwa tarehe ngapi?
3. Yeye alifariki dunia tarehe ngapi?
4. Je, walioteuliwa wameapishwa? Lini?
Ukiunganisha yote hayo utajua nani anafanya "siasa."
😃😄😀
Tulia ww fala ujuii kituu
@@saidmabanga388 siku zote watukanaji ni mambumbumbu jibu hoja kwa hoja usizamwishwe na ushabiki wa midomo ya mtandao
Uchawa ni ugonjwa mbovu
Mbona unaleta longolongo.Usilete konakona na utetezi wa hivi katika mambo serious ya nchi yetu.
Hoja zako ni nzuri kuhusu umuhimu wa mifumo kufanyakazi ipasavyo. Kwa katiba ya sasa hayo yote yamebainishwa na vyombo vya kufanya vetting vipo vimeundwa. Badala ya kuhamishia hoja kwenye katiba ungejikita zaidi kwenye kuwataka wahusika kumsaidia raisi kwa kutekeleza majukumu yao. Kusema kwamba katiba iliyopo haijatambua haya ni upotoshaji.
Shida ya viongozi wa afrika ndo hiyo wanafanya tu kama kuku anayekimbia kwa speed kubwa lakn hana kichwa kimeshakatwa!
Na tuna marehemu wengi sana kwenye nafasi za uongozi
Mambo ya ccm hayo wala msishangae wao ilimladi liende tu😂
NCHI YETU INA MATATIZO MAKUBWA YA UONGOZI....AIBU NA FEDHEHA KUBWA!
Siyo matatizo ya uongozi bali watu wanaoteuliwa hawana elimu sahihi mfano mtu anaweza kuwa prof kumbe kichwani hamna kitu kabisa kazi yake yy anawaza kuhujumu watu tu..!
Mbona wanasema alikufa akielekea dodoma kuripoti kazini
Ni kazi nyingine. Alikuwa ameteulkwa kuwa mkuu wa kitengo cha fedha Veta
Mungu amrehemu.ufalme was Giza uliingilia.
@@Alkebulan-Afrikaalikuwa anakwenda kuripoti kazi ipi fuatilia vizuri habari acha ukauzu, kuna mtu anaenda kuripoti kazini kabla hajateuliwa?
Sio kazi hiyo...alikuwa na teuzi ambayo alikuwa akienda kureport alipopangiwa..akapata ajali..siku chache baada ya kifo akapata teuzi nyingine aikiwa mochuwari
Nchi yangu tanganyika unapotweza haiba yako na viongozi wa serikali na chama
Wapinzani wetu wamekosa hoja zamsingi wanasubir ajenda zakawaida mno
Na kwambia hi nchi ni yaajabuu kabisaa yani watu wanateuwa teuwaa tuu bila mpangilio ni ujinga mtupuuuu
Hivi huyu Rais na chawa wake pamoja na mifumo Yao hawaoni hili hawalioni? Kutangazwa marehemu ni sawa? Licha hata kama ni mgojwa Kwa muda wa uteuzi si sawa?
Samia uongozi hauwezi
Hana umakini
Wewe ndiye unastahili kuwa Waziri wa Habari na si huyu Nape Nnauye.
Mimi ningekuwa huyu siwezi kukubali kufanya kazi katika MFUMO huu maana haita workouts
Huyo nape goli la mkono! Hafai hata bure.
Rais samia hana kalama na weled katika uongoz na hatufai watanzania sijui alisoma elimu ya karne gan? Mungu yupo
Huyu marehemu ndi nani?
Soma hapo kwenye tangazo la uteuzi kutoka Ikulu. Nimekuwekea.
@@AnsbertNgurumobrother ngurumo mwenyezi MUNGU akuongoze umri mrefu ili uendelee kutuelimisha
Hongera Sana Kaka Ngurumo kwa mapenzi na nchi yako
Today's analysis is of first rate.
God bless you brother.
Huu ni ushahidi kuwa Katiba yetu ya sasa ni mbovu kabisa.
Tafakari zako nazikubari ila maoni Yako juu ya upinzani sioni kama uko sahihi mfano kuendelea kuamini chadema ndio chama chá upinzani pekee chenye kuleta mageuzi bila ushilikiano na vyama vingine kama vile Act wazalendo Nccr mageuzi navingine c.kweli nikuwadanganya wananchi Naona chadema uikipromoka siku chache zijazo
Ni maoni yako. Yanalindwa.
I don't understand what you mean bcoz I don't understand swahili language but to be honest Tanzania ni nchi ya hovyo kuwahi kutokea kwenye karne hii
Mtangazaji naye ni muoga, hajasema ni nani aliyeteiliwa ambaye Marehemu.
Hujasoma taarifa ya uteuzi iliyoandikwa na Ikulu? Imewekwa hapo. Rudia.
Pengine hakuwa makini wakati uliposimamisha mazungumzo na kuweka orodha ya uteuzi. Umakini unahitajika ktk ku analyze mada zinozoletwa wengine tunazisoma au kuzisikiliza tukiwa na majibu tayari.
Pengine hajapewa taarifa ya msiba mapema
@@babazungu3180Ndio maana ukaambiwa hili ni tatizo kubwa....unatumia akili ipi kuelewa uchambuzi huu hapa?
Naheshimu sana mchango wako ndugu raia wa Tanzania. Kwa maoni yangu nawaza mambo matatu makubwa juu ya jambo hili;
1. Inawezekana ikawa ni makosa ambayo hayakuonekana tangu awali(kukosa umakini na weledi).
2. Inawezekana ni makosa ya makusudi (Kama Ikulu ya nchi yangu ina propagandist ambaye anakuwa active kumpaka mafuta Rais kwa jamii), yaani tumepumbazwa tusijadili safari ya Mashariki ya mbali (Korea).
3. Inawezekana wale wasiomtakia mema Rais, wapo nyuma ya hili, wamemissread ili kumchafua aonekane yeye na tasisi nzima ya urais haipo makini.
Naitwa: Shahidi wa Jamhuri
Usimtetete huyo rais ndiyo mteuwaji wewe shahid wa jamuhuli na hakuna aliye tumwahapa
@@TPW_FLUXY Infact sijakataa kuwa Rais ndiyo mteuwaji, lakini nimejaribu kuwasilisha tu mawazo yangu juu ya mtazamo wangu kuhusu jambo hili.
@@Alkebulan-Afrikainaoneka ni jinzi gani raisi hayuko makini na kazi zake , Kila kitu anafanyiwa na kupitishwa bila kuhakikisha kile alichoandaliwa
@@MiriamAbdallah Kiongozi wa nchi kusaidiwa siyo tatizo maana hawezi kufanya kila kitu. Kuna watu wanapitia taarifa kwa niaba ya Rais, yeye anapelekewe zile taarifa mhimu zaidi (Classified Information), ninacho muomba Rais wangu ahakikishe vile vitu mhimu vinavyoenda kwenye Public basi apitie au afuatilie yeye mwenyewe au laa watu atafute mtu/watu maalum wa kufanya hivyo.
Swala kubwa ni wasaidizi kutokuwa makini. Vetting process itakuwa chini ya watu wachache mno ambao hawana uadilifu.
Tuacheni ushabiki wa kijinga
Raisi hana kosa bali wasaidizi ndio waliofanya uzembe
Sehemu ngapi za kazi watu wanakosea haya?
Yupo hajawahi kukosea?
Tunakuza mambo sisi
Acha kutetea ujinga.
Hakuna wa kumlaumu zaidi ya Rais sababu yeye ana vyombo vya kumsaidia lakini havitumii vizuri.
Huo utaratibu wa kuteua kama una madhara kama haya basi tukubali utaratibu ubadilike kikatiba
Huyu jamaa ni mjinga utadhani anakula mavi! Kwan kama aliteuliwa akiwa hai anapoenda kuripoti jina lilishaenda shìa iko wap? Acha ujinga mbuzi ww
Akili Yako na ufahamu wako ni mdogo sana Kwa komenti Yako hiyo
Kuongoza watu kazi kubwa kila mmoja na akili zake ukiwa kiongozi uwe na subra na unaowaongoza
Mnamlaumu bite yawezekana wanaoteoa marehemu nao ni marehemu ,,maana ndege wafananao huruka pamoja , CCM imebaki wanawaza wizi tu