TUTAZUIA... HADI LINI?

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 17. 05. 2024
  • Hoja inayoogopwa na watawala, iliyogawa Bunge Maalumu la Katiba, iliyozaa UKAWA, ni muhimu na haizuiliki.
  • Hudba

Komentáře • 68

  • @hadijasufiani6167
    @hadijasufiani6167 Před 2 měsíci +9

    Inshaallah ipo siku Tanganyika itasimama

  • @Byondorujulika17
    @Byondorujulika17 Před 2 měsíci +4

    Safi sana kwa utafiti wako na uchambuzi wako muzuri na wakueleweka , from Cedar Rapids Iowa state USA 🇺🇸

  • @KomboKhamis-yx4pg
    @KomboKhamis-yx4pg Před 2 měsíci +6

    Hakika ninakupenda mzee upo vizur sana kwenye kazi yako

  • @DonMooSTUDIO_Express
    @DonMooSTUDIO_Express Před 2 měsíci +4

    LEO umechambua KINAGA UBAGA haujapindisha pindisha. ❤❤❤ safi sana...

  • @stephenndagalla8183
    @stephenndagalla8183 Před 2 měsíci +4

    Wanao zuia hoja Katiba mpya yenye kutamka Serikali 3, ni sawa na mtu anayezuia mafuriko ya maji au dhoruba ya upepo kwa kiganja chake.

  • @MiriamAbdallah
    @MiriamAbdallah Před 2 měsíci +4

    Kila lenye mwanzo lina mwisho wake, tanganyika yetu tutaikimboa

  • @paulremigiuspaul3293
    @paulremigiuspaul3293 Před 2 měsíci +2

    Stay blessed Askofu Kakobe

  • @mathewyoung2159
    @mathewyoung2159 Před 2 měsíci +4

    Amen 🙏🙏🙏

  • @user-gx4gt2pe4w
    @user-gx4gt2pe4w Před 2 měsíci +1

    Ndugu yangu kwa kweli napenda sana kukufuatilia hongera sana kaka yangu wewe ni jasiri pia unatufundisha na kutukumbusha mengi kweli nakupenda

  • @kenedyrocky4641
    @kenedyrocky4641 Před 2 měsíci +3

    AMINA 👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @rev.livingstoneelihuruma-fk7es
    @rev.livingstoneelihuruma-fk7es Před 2 měsíci +3

    Ni kweli, swala muda tu

  • @ashuramuhammed3257
    @ashuramuhammed3257 Před 2 měsíci +3

    Wazanzibar wenzangu mpo wapi tunaitaka Zanzibar yetu iwe huru tumechoka

  • @albertkamala6843
    @albertkamala6843 Před 2 měsíci +3

    Freedom is coming 2moro!

  • @LumolaSteven
    @LumolaSteven Před 2 měsíci +1

    Unachambua vizuri sana mzee wangu

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Před 2 měsíci

    Mungu akubariki sana Kakobe kwa sababu hiyo Mungu tunakuomba Mungu uturudishie Tanganyika yetu Mungu Baba ni Nyerere ni binadamu tu mbona sasa hayupo. Laana iende na Nyerere huko haliko. Mungu siku zote ni Mushindi siku zoete wote wenye laana watakwenda na laana zao huko kuzimu.

  • @sultansallah8772
    @sultansallah8772 Před 2 měsíci +2

    Tanganyika imejibadilisha jina inajiita tanzania

  • @TitusSongoro-ww3bo
    @TitusSongoro-ww3bo Před 2 měsíci +2

    Asante ngurumo.

  • @estambuya3901
    @estambuya3901 Před 2 měsíci +2

    Tanganyika tunaitaka.

  • @ChristmasMaheri
    @ChristmasMaheri Před 2 měsíci +2

    Excellent need

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Před 2 měsíci +1

    Sauti ya Mungu hakuna anayeweza kunyamazisha sauti ya Mungu. Ndiyo sababu bunge liko hovyo hovyo unajua tu ni malaana tu na Samia wao. Sisi tunadai Tanganyika yetu kwani Nyerere ni nani si binadamu tu. Kwa nini awe juu ya Mungu aliyetupa Tanganyika ?

  • @OthmanHamis-ec3wo
    @OthmanHamis-ec3wo Před 2 měsíci +1

    Mzee ngurumo thanks I'm from Morogoro mvomero DC Mlali Ward Kinyenze village tunazidi kujifunza na Tanganyika lazima irudi

  • @johakhimu.mgembe.3297
    @johakhimu.mgembe.3297 Před 2 měsíci +2

    Saluti.Tanganyika.Yetu.

  • @paulremigiuspaul3293
    @paulremigiuspaul3293 Před 2 měsíci +1

    Stand up with Justice being witnesses for God. And then even if it is against your own people. (Qur'an 4:135)

  • @DonMooSTUDIO_Express
    @DonMooSTUDIO_Express Před 2 měsíci +3

    Hii video ya KAKOBE ni ya mwaka gani?. Maana naanza kuhisi hii ndio ilipelekea kukimbia Tz na zile tuhuma naanza kuhisi zilitokana na mambo haya akabambikiwa zile tuhuma...😢 M! Maisha haya....

  • @SamsonEzekiel-or9xc
    @SamsonEzekiel-or9xc Před 2 měsíci +1

    ❤❤❤❤

  • @onesmothimos2635
    @onesmothimos2635 Před 2 měsíci +2

    Nipo

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před 2 měsíci +1

    ✌️👊👍.

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 Před 2 měsíci +1

    NI SWALA LA MUDA TUU

  • @hassanabuu6
    @hassanabuu6 Před 2 měsíci

    Mtenda akitendewa 😂😂 iwe sasa Wa Bara kisa Raisi ni Mzanzibar mko hiyo sasa Poleni wakatiwetu sasa

  • @user-ud8pm1ks2b
    @user-ud8pm1ks2b Před měsícem

    Exactly

  • @exprodigitaltechtv5571
    @exprodigitaltechtv5571 Před 2 měsíci

    Sijajua kwann watawala wanahofia Sana Tanganyika au pengine hata wanachohofia hawakijui😂😂😂

  • @MrMwinyi
    @MrMwinyi Před 2 měsíci +1

    Tanganyika💯💯💯

  • @user-hl8gf5rx8i
    @user-hl8gf5rx8i Před 2 měsíci

    Safi sana baba

  • @thomasbrotherscotractorslt1299
    @thomasbrotherscotractorslt1299 Před 2 měsíci +1

    🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿

  • @StevenGendo-vx9jo
    @StevenGendo-vx9jo Před 2 měsíci

    Amina kubwa

  • @thomasbrotherscotractorslt1299

    🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿

  • @rahabufilangali-cp6br
    @rahabufilangali-cp6br Před 2 měsíci +1

    Swala la muda tu

  • @SarahShao-jw1up
    @SarahShao-jw1up Před 2 měsíci

    Wasiotaka Tanganyika wana nia mbaya sana na sisi!!!

  • @mzungu2012
    @mzungu2012 Před 2 měsíci

    Mi nafarijika kuona wapo pia wasioitaka Tanganyika, na ni watu wa upande wa Tanganyika ila ni watanzania. Faraja zaidi ni kuona bado tuko pamoja. Tathmini yangu ni watu wachache wanaitaka Tanganyika kuliko wasioitaka.

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 Před 2 měsíci

    Jibwa la fisiyemu hautaweza tunadai. Tanganyika.yetu na wakati uliokubalika ni sasa

  • @user-oy5dz5xl8s
    @user-oy5dz5xl8s Před 2 měsíci

    Tunaingojea uhuru wapili tuwe tayari

  • @salummohamed2689
    @salummohamed2689 Před 2 měsíci

    Hivi tutabaki na mawazo ya Nyerere na Karume hadi lini? Tunaogopa kujitambua na kubadilika, huku ni kujidhalilisha, ni suala la muda tu tutaidai Tanganyika, Tanganyika, Tanganyika leo, kesho, keshokutwa mpaka tutakuwa wengi baadae na nyinyi mnaong'ang'ania muungano usioeleweka mtaunga mkono!

  • @kibbysaidi7813
    @kibbysaidi7813 Před 2 měsíci

    Wanavyozidi kujidanganya kwamba wameifuta Tanganyika hakika watafanikiwa kuua muungano kabisa

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 Před 2 měsíci

    4:20 macho yako yameona kama mimi

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 Před 2 měsíci

    Inavyoonekana hii Tanganyika ni jina nuksi Tanzania bara tuipe jina lingine kabisa tuachane na majina ya kikoloni. Tujiite UBANTU inatosha

  • @user-pf2qk8fz9o
    @user-pf2qk8fz9o Před 2 měsíci

    Mzee vp Kuna wimbo wa taifa la Tanganyika

    • @AnsbertNgurumo
      @AnsbertNgurumo  Před 2 měsíci

      Ndio huu,."Mungu Ibariki..." tuliokopa kutoka Afrika Kusini.

    • @mohdchuma78
      @mohdchuma78 Před 2 měsíci

      Hhhh ila wazanzibr upo

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Před 2 měsíci

    Na hao wanaotaka madaraka makubwa ni hao hao maccm

  • @jaymandy8136
    @jaymandy8136 Před 2 měsíci

    Hivi kanisani ni sehemu ya kufanya siasa au ya kuabudu mbona kama sielewi aisee

    • @calistusmahombo-ty8ni
      @calistusmahombo-ty8ni Před 2 měsíci

      Soma Kumbukumbu la Torati 27:17 utajua hii laana tuliyo nayo pamoja na MUNGU kutupa rasilmali zote hizi imetoka wapi

    • @stephenndagalla8183
      @stephenndagalla8183 Před 2 měsíci

      Ni miongoni mwa wale NYUMBU (BENDERA FUATA UPEPO) Unaelewa maana ya SIASA??

    • @seifmajid8088
      @seifmajid8088 Před 2 měsíci

      Mbona huyu mchungaji , amenyamaza sasa hivi, haongei kitu kuhusu Muungano ?

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz Před 2 měsíci

      Pia mimi napendekeza serikali tatu.

    • @samuelmakara1475
      @samuelmakara1475 Před 2 měsíci

      ​@@seifmajid8088 ameshaongea kazi ni kwako

  • @rahimzuberi2673
    @rahimzuberi2673 Před 2 měsíci

    Tutolee ujinga muungano ulletwa na nyerere Leo ndiyo mmejua una mapungufu tunajua mkosa sera nyie wasakatonge

  • @louisnyaki1936
    @louisnyaki1936 Před 2 měsíci +1

    Kwa maoni yangu, kuwe na wakuu wawili wa nchi. Rais wa Tanganyika na Rais wa Zanzibar. Wakuu hawa wawili wawe na mamlaka kamili ya nchi zao,na wajibike kwa wabunge wa nchi zao. katiba ya nchi zao zitambue katika kipindi cha uongozi wao mmoja atakuwa Rais WA muungano na mwingine makamu wa muungano.

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 Před 2 měsíci

      RASIMU YA JAJI WARIOBA. IPO KABATINI. MHESHIMIWA USIKUBULI KAZI NZURI ULIYOFANYA ISIZAE MATUNDA. SERIKALI TATU NDIYO TUTASALIMIKA

    • @mohdchuma78
      @mohdchuma78 Před 2 měsíci

      Hapa pia bd ndgu serikali 3 ndo suluhu kabs

  • @richardnganya2311
    @richardnganya2311 Před 2 měsíci

    Wanajitahidi kuzuia mafuriko. Kuna UKWELI kwamba Tanganyika inahitajika na wanaozuia wataabika tu