Mungu akubariki sana Kakobe kwa sababu hiyo Mungu tunakuomba Mungu uturudishie Tanganyika yetu Mungu Baba ni Nyerere ni binadamu tu mbona sasa hayupo. Laana iende na Nyerere huko haliko. Mungu siku zote ni Mushindi siku zoete wote wenye laana watakwenda na laana zao huko kuzimu.
Sauti ya Mungu hakuna anayeweza kunyamazisha sauti ya Mungu. Ndiyo sababu bunge liko hovyo hovyo unajua tu ni malaana tu na Samia wao. Sisi tunadai Tanganyika yetu kwani Nyerere ni nani si binadamu tu. Kwa nini awe juu ya Mungu aliyetupa Tanganyika ?
Hii video ya KAKOBE ni ya mwaka gani?. Maana naanza kuhisi hii ndio ilipelekea kukimbia Tz na zile tuhuma naanza kuhisi zilitokana na mambo haya akabambikiwa zile tuhuma...😢 M! Maisha haya....
Mi nafarijika kuona wapo pia wasioitaka Tanganyika, na ni watu wa upande wa Tanganyika ila ni watanzania. Faraja zaidi ni kuona bado tuko pamoja. Tathmini yangu ni watu wachache wanaitaka Tanganyika kuliko wasioitaka.
Hivi tutabaki na mawazo ya Nyerere na Karume hadi lini? Tunaogopa kujitambua na kubadilika, huku ni kujidhalilisha, ni suala la muda tu tutaidai Tanganyika, Tanganyika, Tanganyika leo, kesho, keshokutwa mpaka tutakuwa wengi baadae na nyinyi mnaong'ang'ania muungano usioeleweka mtaunga mkono!
Kwa maoni yangu, kuwe na wakuu wawili wa nchi. Rais wa Tanganyika na Rais wa Zanzibar. Wakuu hawa wawili wawe na mamlaka kamili ya nchi zao,na wajibike kwa wabunge wa nchi zao. katiba ya nchi zao zitambue katika kipindi cha uongozi wao mmoja atakuwa Rais WA muungano na mwingine makamu wa muungano.
Inshaallah ipo siku Tanganyika itasimama
Safi sana kwa utafiti wako na uchambuzi wako muzuri na wakueleweka , from Cedar Rapids Iowa state USA 🇺🇸
Hakika ninakupenda mzee upo vizur sana kwenye kazi yako
LEO umechambua KINAGA UBAGA haujapindisha pindisha. ❤❤❤ safi sana...
Wanao zuia hoja Katiba mpya yenye kutamka Serikali 3, ni sawa na mtu anayezuia mafuriko ya maji au dhoruba ya upepo kwa kiganja chake.
Kila lenye mwanzo lina mwisho wake, tanganyika yetu tutaikimboa
Stay blessed Askofu Kakobe
Amen 🙏🙏🙏
Ndugu yangu kwa kweli napenda sana kukufuatilia hongera sana kaka yangu wewe ni jasiri pia unatufundisha na kutukumbusha mengi kweli nakupenda
AMINA 👏👏👏👏👏👏👏👏
Ni kweli, swala muda tu
Wazanzibar wenzangu mpo wapi tunaitaka Zanzibar yetu iwe huru tumechoka
Tupo
Freedom is coming 2moro!
Unachambua vizuri sana mzee wangu
Mungu akubariki sana Kakobe kwa sababu hiyo Mungu tunakuomba Mungu uturudishie Tanganyika yetu Mungu Baba ni Nyerere ni binadamu tu mbona sasa hayupo. Laana iende na Nyerere huko haliko. Mungu siku zote ni Mushindi siku zoete wote wenye laana watakwenda na laana zao huko kuzimu.
Tanganyika imejibadilisha jina inajiita tanzania
Asante ngurumo.
Tanganyika tunaitaka.
Excellent need
Sauti ya Mungu hakuna anayeweza kunyamazisha sauti ya Mungu. Ndiyo sababu bunge liko hovyo hovyo unajua tu ni malaana tu na Samia wao. Sisi tunadai Tanganyika yetu kwani Nyerere ni nani si binadamu tu. Kwa nini awe juu ya Mungu aliyetupa Tanganyika ?
Mzee ngurumo thanks I'm from Morogoro mvomero DC Mlali Ward Kinyenze village tunazidi kujifunza na Tanganyika lazima irudi
Saluti.Tanganyika.Yetu.
Stand up with Justice being witnesses for God. And then even if it is against your own people. (Qur'an 4:135)
Hii video ya KAKOBE ni ya mwaka gani?. Maana naanza kuhisi hii ndio ilipelekea kukimbia Tz na zile tuhuma naanza kuhisi zilitokana na mambo haya akabambikiwa zile tuhuma...😢 M! Maisha haya....
2014
@@AnsbertNgurumo shukran sana. Hapo sasa nimepata majibu ya maswali niliyokuwa nayo. 🙏😔
❤❤❤❤
Nipo
✌️👊👍.
NI SWALA LA MUDA TUU
Mtenda akitendewa 😂😂 iwe sasa Wa Bara kisa Raisi ni Mzanzibar mko hiyo sasa Poleni wakatiwetu sasa
Exactly
Sijajua kwann watawala wanahofia Sana Tanganyika au pengine hata wanachohofia hawakijui😂😂😂
Tanganyika💯💯💯
Safi sana baba
🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Amina kubwa
🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Swala la muda tu
Wasiotaka Tanganyika wana nia mbaya sana na sisi!!!
Mi nafarijika kuona wapo pia wasioitaka Tanganyika, na ni watu wa upande wa Tanganyika ila ni watanzania. Faraja zaidi ni kuona bado tuko pamoja. Tathmini yangu ni watu wachache wanaitaka Tanganyika kuliko wasioitaka.
C.
Jibwa la fisiyemu hautaweza tunadai. Tanganyika.yetu na wakati uliokubalika ni sasa
Tunaingojea uhuru wapili tuwe tayari
Hivi tutabaki na mawazo ya Nyerere na Karume hadi lini? Tunaogopa kujitambua na kubadilika, huku ni kujidhalilisha, ni suala la muda tu tutaidai Tanganyika, Tanganyika, Tanganyika leo, kesho, keshokutwa mpaka tutakuwa wengi baadae na nyinyi mnaong'ang'ania muungano usioeleweka mtaunga mkono!
Wanavyozidi kujidanganya kwamba wameifuta Tanganyika hakika watafanikiwa kuua muungano kabisa
4:20 macho yako yameona kama mimi
Inavyoonekana hii Tanganyika ni jina nuksi Tanzania bara tuipe jina lingine kabisa tuachane na majina ya kikoloni. Tujiite UBANTU inatosha
Mzee vp Kuna wimbo wa taifa la Tanganyika
Ndio huu,."Mungu Ibariki..." tuliokopa kutoka Afrika Kusini.
Hhhh ila wazanzibr upo
Na hao wanaotaka madaraka makubwa ni hao hao maccm
Hivi kanisani ni sehemu ya kufanya siasa au ya kuabudu mbona kama sielewi aisee
Soma Kumbukumbu la Torati 27:17 utajua hii laana tuliyo nayo pamoja na MUNGU kutupa rasilmali zote hizi imetoka wapi
Ni miongoni mwa wale NYUMBU (BENDERA FUATA UPEPO) Unaelewa maana ya SIASA??
Mbona huyu mchungaji , amenyamaza sasa hivi, haongei kitu kuhusu Muungano ?
Pia mimi napendekeza serikali tatu.
@@seifmajid8088 ameshaongea kazi ni kwako
Tutolee ujinga muungano ulletwa na nyerere Leo ndiyo mmejua una mapungufu tunajua mkosa sera nyie wasakatonge
Kwa maoni yangu, kuwe na wakuu wawili wa nchi. Rais wa Tanganyika na Rais wa Zanzibar. Wakuu hawa wawili wawe na mamlaka kamili ya nchi zao,na wajibike kwa wabunge wa nchi zao. katiba ya nchi zao zitambue katika kipindi cha uongozi wao mmoja atakuwa Rais WA muungano na mwingine makamu wa muungano.
RASIMU YA JAJI WARIOBA. IPO KABATINI. MHESHIMIWA USIKUBULI KAZI NZURI ULIYOFANYA ISIZAE MATUNDA. SERIKALI TATU NDIYO TUTASALIMIKA
Hapa pia bd ndgu serikali 3 ndo suluhu kabs
Wanajitahidi kuzuia mafuriko. Kuna UKWELI kwamba Tanganyika inahitajika na wanaozuia wataabika tu