ITAKUWAJE, IWAPO...?

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 14. 05. 2024
  • Hudba

Komentáře • 157

  • @arafatyhussein
    @arafatyhussein Před 2 měsíci +15

    Nipo mzee wangu unafatilia sana makala zako, naomba uwe Unamleta hizi makala ziwe ndefu. Nime like video kabla ya kutazama, maanake ni kwamba Naamini kabisa info zote humu.

    • @zuwenasaid9707
      @zuwenasaid9707 Před 2 měsíci

      Utasema sana kawaida ya hasidi ni kungangania ubaya na dhuluma wakiambiwa a wanajibu b vichwa vimeingia kirusi cha sifahamu nisichokipenda. makepeace

    • @zuwenasaid9707
      @zuwenasaid9707 Před 2 měsíci

      Asante professor asiekuelewa huyo mwanga mchawi hasidi

  • @albertkamala6843
    @albertkamala6843 Před 2 měsíci +10

    Shikamoo Ansbert Ngurumo...kwa darasa hili ulilvyodadavua kuhusu muundo wa Muungano wa Tanzania (Tanganyika na Zanzibar) mbona somo limekwisha eleweka!
    Muungano utabaki na kuimarika zaidi ktk mfumo wa utawala utakaotambua pande mbili za muungano...Tanganyika na Zanzibar!

  • @sebastianmwantuge5597
    @sebastianmwantuge5597 Před 2 měsíci +3

    Wazanzibari wana ajenda yao toka zamani kuihujumu Tanganyika kwa kauli hii ya huyu Mzanzibari

  • @boneventuremweya3673
    @boneventuremweya3673 Před 2 měsíci +6

    Tatizo hii nchi inaongozwa na genge la watu waliochoka kufikiri na niwaoga wa maamuzi sahihi,wanaendesha nchi kwa mazoea tu kwa kuogopa mizimu na mazindiko ya waasisi wa taifa,tatizo kinachofanya massm yote yasiwe na critical thinking juu ya muungano ni hirizi ya taifa iitwayo (MWENGE WA UHURU)Siku hii hirizi ikifutwa kisheria genge lote linazinduka.

    • @leahmgunda4154
      @leahmgunda4154 Před 2 měsíci

      Tatizo ni wapiga kura hawaangalii sifa za wagombea wanachagua vyama.

  • @rweumbizalugaimukamu4905
    @rweumbizalugaimukamu4905 Před 2 měsíci +10

    Tunataka Tanganyika yetu

    • @rabiakitigwa9120
      @rabiakitigwa9120 Před 2 měsíci

      Waondoke ndani ya bunge letu wao walishavunja muungano zamani sana na sasa tumeamka

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 Před 2 měsíci

      Waongo hamtaki Tanganyika yenu, mnataka na mnatamani kuimeza Zanzibar yote.
      Shida roho zenu mbaya, mmeona mwanamke kutoka Zanzibar, mzanzibari halisi kawa Rais Tanzania, ndio hizo kelele, ila watanganyika wanatamani kumwaga udondo kufukia bahari ili iwe tambarare toka Tanganyika hadi Zanzibar ili kuifuta Zanzibar isiwepo tena.

    • @sultansallah8772
      @sultansallah8772 Před 2 měsíci

      ​@@rabiakitigwa9120bunge lipi na Tanganyika ipi KWANZA si tafuteni raisi wenu ndo muwe na bunge

    • @sultansallah8772
      @sultansallah8772 Před 2 měsíci

      Kwani kuna nchi inaitwa TANGANYIKA au zimebaki sheesh za uhuru tu wa nchi isiyokuwepo

  • @batwelamon8213
    @batwelamon8213 Před 2 měsíci +5

    Kiongozi vitu unavyovileta ni vitu vyema madini ya hali ya juu sana.

  • @godsson5954
    @godsson5954 Před 2 měsíci +5

    Hatusikiliz bunge since sio bunge la wananchii

  • @user-tw4cd8pu3z
    @user-tw4cd8pu3z Před 2 měsíci +4

    I'd prefer one government
    There 's too much noise from those who are supposed to be more knowledgeable in the union. Let them come up with a solution.

  • @gangmore9091
    @gangmore9091 Před 2 měsíci +2

    Lengo la Tanganyika kuzibit zanzibar n sio kungana one day boom 💥 litaripuka Tanganyika 😂

  • @joneshelberth1025
    @joneshelberth1025 Před 2 měsíci +2

    Uchambuzi mzuri mnoo. Hongera sana kaka kwa kazi.

  • @Francis-kx1sb
    @Francis-kx1sb Před 2 měsíci +2

    Nzanzobar ni nchi nenden kwenu nako kuna bunge

  • @augustinemukandara9341
    @augustinemukandara9341 Před 2 měsíci +3

    Ni dhahiri shahiri kuwa wabunge wa Tanganyika ni mazuzu !!! WaZanzibari wanajitambua lakini Watanganyika utadhani Hawaii kwao!!!! Tan ni Tanganyika na Zania ni Zanzibar!!! Sasa ngoja Wazanzibari waondoke halafu tuone iwapo Hawa wanaoshindwa kutambua kuwa Tanganyika ni sehemu ya jina la Tanzania watajiitaje?!!!

    • @MajiiIfande
      @MajiiIfande Před 2 měsíci

      Tan-Tanganyika, zan-Zanzibar , i-ikbar, a- ahmadia
      Ikbar Ahmadia ni jina la aliyebuni jina la Tanzania

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz Před 2 měsíci

      Ni mazuzu na majinga kupitiliza.sijui yanatetea nini.

  • @kwasmokweka9598
    @kwasmokweka9598 Před 2 měsíci +3

    Muungano utavunjwa na wale kwa maslai binfsi wanaona wanaulinda

  • @hadijasufiani6167
    @hadijasufiani6167 Před 2 měsíci +1

    Hongera sana sk unabisara sana kabudi alicho sema nikweli hapa chamsingi serikali tatu ndiyo utakuwa salama zaidi inshaallah

  • @anthonydobeye9392
    @anthonydobeye9392 Před 2 měsíci +3

    1st to view this good work 😊

  • @Lugongam
    @Lugongam Před 2 měsíci +2

    wana ccm wanakomaa mzanzibari hataki kwanini wanamlazimisha?,, this is one ridiculous discussion

  • @JacksonFrances
    @JacksonFrances Před 2 měsíci +2

    HILI BUNGE LA MAMA SAMIA LINA WATU AMBAO WENGI WAMECHOKA KIFIKRA. NATAMANI HOJA HII WANGEKUWEPO WABUNGE WA CHADEMA na ACT WAZALENDO HESHIMA INGEKUWEPO NA ZINGETOLEWA HOJA ZENYE MANTIKI SANA"

  • @UswegeKapesa
    @UswegeKapesa Před 2 měsíci +1

    Mungu akulinde Kwa fikra ndefu na huru ulizonazo,watu kama wewe ni wachache mno,tunaitaka Tanganyika yetu halisi,makala zako ngurumo zinatufungu saana.

  • @rev.livingstoneelihuruma-fk7es
    @rev.livingstoneelihuruma-fk7es Před 2 měsíci +2

    Muungano huu SI Halali, hii ni kama ndoa iliyounganishwa kienyeji, Hapa Kuna matengenezo hayawezekani.

  • @maisarirajab4846
    @maisarirajab4846 Před 2 měsíci +1

    Kwani watanganyika hofu yenu nini hasa mbona hamujiamini wazanzibari hatupendi tuitwe watanzania sisi ni wazanzibari na nyinyi watanganyika mbona muko ivo tafuteni utambulisho wenu halafu tutaishi pamoja

  • @BernadethaSimba-qi4dw
    @BernadethaSimba-qi4dw Před 2 měsíci +1

    Mbunge yuko vizuri kama yeye ni Mzanzibari siyo Mtanzania basi tuwe na serikali tatu maana kila ZAMA na VAZI lake tumuombe Mungu aweke atie wepesi kwenye HILI

  • @user-hu9bf7nw4c
    @user-hu9bf7nw4c Před 2 měsíci +3

    Yaan nakala zako zinachambuliwa kwa uzur mnooo, mpka unaelewa sehem iliokua sio lahis kuijua

  • @user-cz9zu7ur1h
    @user-cz9zu7ur1h Před 2 měsíci +2

    Sijawahi ona bunge lakisenge kama hili hili bunge ndio linachangia umaskini wa tz hawana chakuchangia

  • @simonnaivasha6393
    @simonnaivasha6393 Před 2 měsíci

    SK Media Pole sana kwa kujaribu kuwaelimisha wabunge wetu! Mheshimiwa rais Samia Suluhu Hassan hajawahi kukataa kuwa MNZAZIBARI, Ila watu waliopo bungeni ambayo sifa kubwa ya kuwa Mbunge ni kujua kusoma na kuandika,je wanaweza kujali hoja ya muungano?? Mimi siamini!!

  • @user-lm3lt7xx6l
    @user-lm3lt7xx6l Před 2 měsíci +1

    Hahaha dada kwan lazima mlazimishe sikaunganeni na wakongo nch kubwa

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 Před 2 měsíci +2

    Kaka Ansbert kwa uchambuzi wako mahiri,umetutafunia kabisa kazi yetu kumeza au kutema tu basi. Chukua maua yako...

  • @user-gd2xj3xd1b
    @user-gd2xj3xd1b Před 2 měsíci +1

    Bado iyo sio sababu yakuishikilia Zanzibar kama ukarib mbona Tanganyika imeshikana na congo,Burundi,Rwanda,Kenya mbona hamkwenda kuungana?

    • @user-od2mc4mj4e
      @user-od2mc4mj4e Před 2 měsíci

      Matako yako jivuen muone balaa

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 Před 2 měsíci

      ​@@user-od2mc4mj4e Waone mara ngapi, si kila uchaguzi mnakuja kuuwa watu.

  • @philemonmagesa5548
    @philemonmagesa5548 Před měsícem

    Wazanzibar tunAwaelewa wabaguzi

  • @josephwilliammnyune5464
    @josephwilliammnyune5464 Před 2 měsíci +1

    Kama Mh. Mbunge sio Mtanzania, hapo bungeni anafanya nini? Maana Bunge hilo ni la Tanzania.

    • @gidongailo7174
      @gidongailo7174 Před měsícem

      Nami nimejiuliza swali hili kafikaje hapo?

  • @khalidkassm1054
    @khalidkassm1054 Před 2 měsíci +1

    Kwani Singapore na pemba s pemba kubwa kuliko singapore mbn hawana hoja na maono

  • @DamasMwakipesile-qm1nc
    @DamasMwakipesile-qm1nc Před 2 měsíci

    Sijui kama wanaelewa kama tunavyoelewa sisi!

  • @filbertntibasiga8093
    @filbertntibasiga8093 Před 2 měsíci +1

    Na sisi tunataka Tanganyika yetu watanganyika warudi home na wazanzibar warudi kwao halafu tuheshimiane

  • @user-qe5cb7vy6o
    @user-qe5cb7vy6o Před 2 měsíci +1

    WANANCHI WA MTWARA WALIWAHI SEMA WABUNGE MAMBUMBUMBU SABABU WALIOPITA BILA KUPINGWA BUNGENI HAWANA MAAMUZI YA BUSARA .

  • @emmanuelsulle911
    @emmanuelsulle911 Před 2 měsíci +1

    Nimeamini bungeni tuna watu wa Hovyo Mno,mbona hana hoja zenye mantiki?

  • @SarahShao-jw1up
    @SarahShao-jw1up Před 2 měsíci

    Wabunge wa Tanganyika hapo kichwani hamna kitu....! Si wazalendo , tumbo mbele, kujipendekeza kwingi, umbumbu wa kutosha, ubinafsi mwingi, HILI BUNGE NI ZAIDI YA HATARI.......wanaong'ang' ania muungano WANA NIA MBAYA SANA NA TANGANYIKA . WANA AGENDA YA KISHETANI KABISA

  • @user-cz9zu7ur1h
    @user-cz9zu7ur1h Před 2 měsíci +1

    Wange kuja huku mitaani wakajuwa kama watanganyika hatutaki muungano hatuupindi kabisa kilammoja abaki kwake

  • @narcissusmakenge4710
    @narcissusmakenge4710 Před 2 měsíci

    Ukitafuta wazanzibari halisi unaweza usiwapate, maana wote wajukuu wa watumwa na mabaki ya Waarabu ndio wazanzibari wa leo.
    Waondoke kama hawatachinjana wao kwa wao. 😀😀😀

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Před 2 měsíci

    Mbunge wewe Mnzanzibar unajichanganya sanaaaa

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Před 2 měsíci +1

    Mbona nyie mmejaa Tanganyika ondokeni jwetu na sisi tulioko huko turudi kwetu

  • @DiwaniMwafongo
    @DiwaniMwafongo Před 2 měsíci +1

    Mwamba na nguli wa uandishi wa habari ....kaka Ngurumo!!

  • @user-ys4wd1jc2b
    @user-ys4wd1jc2b Před 2 měsíci

    Noma sana

  • @SalambaPeter
    @SalambaPeter Před 2 měsíci

    Ccm na muungano wao wa magumashi, mpaka wanashindwa hata kuutetea wala kujibu hoja nimeamini nuru na giza havichangamani, hakuna muungano hapo wamefika mwisho naona wanataka kuuvunja wenyewe dariri ndo hizi

  • @bakarikaoneka1080
    @bakarikaoneka1080 Před 2 měsíci +1

    Mwandishi huyu ni mahiri

  • @cosmaswilliam3805
    @cosmaswilliam3805 Před 19 hodinami

    Ngulumo ungeweka hotuba ya lissu aliyoitoa kwenye bunge la katiba,hotuba ya pili ningefurai

  • @solomoneglesias9752
    @solomoneglesias9752 Před 2 měsíci

    Kunambi umeupiga mwingi kwa taarifa yako ila jamaa kakukomalia😂😂na mkurugenzi jimboni kwako ni Muzanzibar,, ukirudi tutafutane kutoka mkoani Mofu🙋🙋

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před 2 měsíci +1

    👍👊✌️。

  • @danielmwanjali2449
    @danielmwanjali2449 Před 2 měsíci

    Muungano uundwe upya. Tunaitaka Tanganyika yetu

  • @xaixaiobrigado4846
    @xaixaiobrigado4846 Před 2 měsíci

    SK,Hongera sana kwa makala zenye mhimili wa 'maswali magumu'>>nami nataka niulize:
    Je prof PK anaposema (anapodanganya) kuwa mwl alipouluzwa swali kuruhusu viama vingi,alijibu kwa mfano wa Nicolae Caeusrscu kuwa alidunguliwa nna mkewe toka ktk helicopter,Kweli?
    Kwani ile "court marshal" alofanyiwa ndiyo kudunguliwa?

  • @deograsiamgeni5716
    @deograsiamgeni5716 Před 2 měsíci

    Huyo Mbunge nadhani hatoshi kwenye hiyo nafasi

  • @joshuaswai8203
    @joshuaswai8203 Před 2 měsíci

    Tanganyika Iko Kama make anapoolewa anapoteza ubin wake
    Mume yeye anabaki na ubin wake

  • @barakamwamasage-hy2jo
    @barakamwamasage-hy2jo Před 2 měsíci +2

    Chuma kimepata moto😂

    • @upendoeliya9329
      @upendoeliya9329 Před 2 měsíci

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 halafu hataki kumsikiliza mwenyekiti wala mawazo, wala raarifa anazopewa 😅😅

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Před 2 měsíci

    Cha msingi kilamtu akae kwao tumechoka na hizi kelele za Uzanzibar na Uzanzibara iwepo tu na Serikali tatu

  • @evaristosanga471
    @evaristosanga471 Před 2 měsíci

    Naomba nikupe maua yangu Ansbert Ngurumo.Wewe ni guru...

  • @Kwelihukuwekahuru
    @Kwelihukuwekahuru Před 2 měsíci +1

    Sasa mbona Kabudi kabadilika????????? Alikuwa na akili sana

  • @AbdallahJuma-wb8lq
    @AbdallahJuma-wb8lq Před 2 měsíci

    Watanganyika,mnaroho,mbaya,sana,sana,Tena,sana,nyie,si,wakuungana,nanchi,yoyote

  • @user-ry3zq8vp5c
    @user-ry3zq8vp5c Před 2 měsíci

    Mimininge tamani mngano 15:45 15:48 uvujike mimisionifaida yamnga zaidi yawatanganyika kuchukuriwa hakizetuu

  • @kennedymmbando
    @kennedymmbando Před 2 měsíci

    Sasa utaona ukoloni mambo leo unavyopewa nguvu na Mipaka ya Wakoloni. Wajukuu wa Tanganyika wamejikuta visiwani wanachanganyikiwa na kujiona waarabu. Badala tujenge umoja Tuondowe ukoloni tunajadili ujinga mpaka watu wanazeeka 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @solomonone7653
    @solomonone7653 Před 2 měsíci

    Hongera Babu wape madarasa
    Inakuwaje mtunatiwa kasumba mpaka anazarau nchi yake .na hapendi kuitwa mtanganyika .
    Huu siujinga wa mwisho ? Mtu kukataa kwao

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz Před 2 měsíci

    Mimi ningekuwa rais ningependekeza au ningeunda serikali tatu au ningeuvunjilia mbali huu muungano.Ni ujinga kukaririshwa na mawazo ya watu wawili Nyerere na Karume waliounda muungano kana kwamba wao ndio walioumba ulimwengu.Nyerere na karume walikuwa binadamu tu na tena hawakuwa malaika ,wasitushikie akili.Sisi kwa sasa tuunde muungano wenye serikali tatu.

  • @AbubakaryHassan-lk3mh
    @AbubakaryHassan-lk3mh Před 2 měsíci

    Naombeni mnielimishe nini faida chanya kwa mataifa haya mawili Tanganyika& Zanzibar kuwa nchi moja? Na je kukivunjwa huu muungano nini athali zake na kwanini hii taswira ya mataifa haya mawili isiwe sawa (serikari ya mapinduzi ya Zanzibar &serikari ya Tanganyika iko wapi? ,Na kwanini wazanzibar waweze miliki kila kitu Tanganyika ila mtanganyik asiweze kuimiliki Zanzibar!?..jamani naombeni elimu zaidi nielewe pia mwenzenu niko gizani sioni chochote tafadhalini

  • @AbdallaJuma-tx5ck
    @AbdallaJuma-tx5ck Před 2 měsíci

    Hatutaki muungano.ndio kilio cha wazanzibar

  • @sylvestersamwel8210
    @sylvestersamwel8210 Před 2 měsíci

    Tofauti nyingine ni Wabunge wa Zanzibar kupata posho na mishahara mara mbili, wanapata posho na mishahara kwenye BARAZA LA WAWAKILISHI LA ZANZIBAR NA KWENYE BUNGE LA MUUNGANO. Je Wabumge wa Tanganyika wakiwapi na wanapata posho na mishahara wapi?

  • @user-hj4sy9fy4g
    @user-hj4sy9fy4g Před 2 měsíci

    Hata huku Tanganyika,tumejaa! Bakini na Zanzibari yenu ! Tumewachoka,hambebekiii!

  • @babazungu3180
    @babazungu3180 Před 2 měsíci

    Kwa nin watanganyika hawatambui uraia wao au nchii yao tanganyika??

  • @Nyalafu
    @Nyalafu Před 2 měsíci

    ETI sipokei hoja,akiwa kwenye jumba la Muungano halafu anasema yeye ni mzanzibar

    • @SuleimanSalim-ql3ny
      @SuleimanSalim-ql3ny Před 2 měsíci

      Uhalisia wa kitu haubadiliki haijalish upo ukweni ulipooa bado wewe utakuwa na kwenu hata km hao wakwe umewajengea ila itakuwa unakwenu tu

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 Před 2 měsíci

    Changamoto kubwa ni ukubwa wa eneo Tanganyika ni kubwa mara 470 dhidi Zanzibar ni lazima Zanzibar ilindwe na ndio sababu ya aina hii ya Muungano. Sio sahihi kuleta mfano wa Uingereza kwa sababu Mikoa miwili yoyote ya Tanzania Bara ni mikubwa kuliko Uingereza yote. Mfano linganishi angalau Urusi ile livyokuwa Soviety Union.

  • @hajiameir8688
    @hajiameir8688 Před 28 dny

    Mungano gani huu wa watu milioni 60 na milioni moja na nusu wapi na wapi hapa pana ajenda gani

  • @paschalkimboka4605
    @paschalkimboka4605 Před 2 měsíci

    Huyu jamaa hajui ht anachochangia

  • @estambuya3901
    @estambuya3901 Před 2 měsíci

    Zanzibar ni nchi huru.

  • @user-mm6sm9rt9x
    @user-mm6sm9rt9x Před 2 měsíci

    Huyo jamaaaa uelewa wake ni mdogo
    Anachokizungumza ni kile kile anachokizungumza Mbowe na Rissu
    Hivyo anapaswa awaunge mkono kutetea Serikali tatu yaani Zanzibar, Tanganyika na Serikali ya muungano Tanzania

  • @johakhimu.mgembe.3297
    @johakhimu.mgembe.3297 Před 2 měsíci

    Siasa za Mifumo na Uhafifhina imepitwa na Muda.Uvingunge muda sio Ule.Wati wanataka Mabadiriko.Tusipinge Maoni ya Watanganyika/Kwa kuuza Bandari mmejitakhia Watu Waipate Kufahamu na Ukweri..Ukweri Utatuweka HURU.

  • @SuleimanSalim-ql3ny
    @SuleimanSalim-ql3ny Před 2 měsíci

    Ni kweli ipo siku anaweza kuwa rais wa jamhur ya muungano wa tz ila hawezi kuwa rais wa Tanganyika

  • @deograsiamgeni5716
    @deograsiamgeni5716 Před 2 měsíci

    Passport ziwe kote bara na Visiwani.

  • @user-gz5qu5qy1y
    @user-gz5qu5qy1y Před 2 měsíci

    Mie naona ipo siku itakuja kua watu wameshachoka kupiga kelele ije iwe tafrani katika jamii sio watu wanasema vita vya maji maji na mauaji ya mapinduzi ni makubwa ila ile siku watu Ikifikia hatua wakichoka kupiga kelel bila kupata haki wakija kuamua watafte Sasa kwa njia wanayoijua dahh itakuwa mtihani zaidi Allah atunusuru viongozi waache tamaa mbaya kutatua tatizo yawezekana ila wanalazimisha jambo ambalo linakaribia ukingoni

  • @jacksonndiu1070
    @jacksonndiu1070 Před 2 měsíci

    Samia kama nyelele angekuwa mzima angekuwa tahisi wetu? hakika hasinge kuwa

  • @malinzirutta3391
    @malinzirutta3391 Před 2 měsíci

    Kabudi sina imani naye pamoja na kuwa alichokisema hapa makes a lot of sense

  • @salummohamed2689
    @salummohamed2689 Před 2 měsíci

    Ngurumo, hii Makala Kwa watu wenye akili inamaliza kabisa mjadala wa muunganp tulio nao.

  • @fakihdarusi4385
    @fakihdarusi4385 Před 2 měsíci

    KIUKWELI HAKUNA MZANZIBAR ANEONGEA KINYUME NA KISWAHILI 😂😂😂😂😢 IZO LUGHA ZA NYENGINE ZIKO HUKU KWETU TU

  • @joshuaswai8203
    @joshuaswai8203 Před 2 měsíci

    Upon sawa mkuu lakini Hawa watu ni wasioelewa Kuna nyakati na majira

  • @Stonecity01
    @Stonecity01 Před 2 měsíci

    Najuwa huwa unatumiwa Muda kufanya hii kazi tunashukuru kwa maarifa mazuri mwalimu

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Před 2 měsíci

    Kwa nini Watanganyika wanakataa kuwasikiliza? Hiyu mzanzibari alikuwa anasema point yake wana CCM wa Tanganyika kwa nini hawataki kuboresha hasa inapofikia Upande w Tanganyika wanawekwa uvunguni? Kwani CCM wafaida na nini kuwa wanafiki? Zanzibar wana Inchi yao na raisi wao kwni wakati Nyerere yupomuungano ulikuwa huo? Hawa wana CCM hawa wanafiki wakubwa sana . Je kuna ulazima wa haina hivyo kwani mkiwa karibu ni lazima kuwalazimisha mnaambiwa ninyi mliwavamia siyo mapinduzi.

  • @AbubakaryHassan-lk3mh
    @AbubakaryHassan-lk3mh Před 2 měsíci

    Nyie wazanzibar mtatubagua nyie huku Tanganyika mbona mnaleta matumbo yenu huku bakini kwenu.

  • @jimmymushi2357
    @jimmymushi2357 Před 2 měsíci

    sijui ni kwann wanakuwa na vichwa vigumu kama jiwe

  • @simbawateranga7020
    @simbawateranga7020 Před 2 měsíci

    Mbaguz

  • @FidasMwaiteghelesya-hw9qs
    @FidasMwaiteghelesya-hw9qs Před 2 měsíci

    Mimi naishi mbarali usangu lakini mimi ni mnyakyusa siwezi kuikana asili yangu hongera wazanzibar

  • @AbdallahJuma-wb8lq
    @AbdallahJuma-wb8lq Před 2 měsíci

    Tanzania,snchi,muungano

  • @AdamSaffi211
    @AdamSaffi211 Před 2 měsíci

    Why can’t we have a referendum?

  • @FrankasamisyeMwaiswasu
    @FrankasamisyeMwaiswasu Před 2 měsíci

    Sisi tunataka Tanganyika wazibaa warudi kwao sio wauze maliasi zetu

  • @AntonyJoseph-zo8ii
    @AntonyJoseph-zo8ii Před 2 měsíci

    Asanyie rudini kwenu na watanganyika warudi huku tuone

  • @emilbocco5895
    @emilbocco5895 Před 2 měsíci

    Sasa hiyo uk ina serikali ngapi?

  • @jonassamwely
    @jonassamwely Před 2 měsíci

    Wametuzoea ila mda utajibu

  • @filbertntibasiga8093
    @filbertntibasiga8093 Před 2 měsíci

    Huyu mbunge ni mpumbavu nchi tumewapa bado Anaongea ujinga kama vp wavunje muungano maana wanazidi kutuchokonoa

  • @MohamediMwishehe-oj9vi
    @MohamediMwishehe-oj9vi Před 2 měsíci +1

    JAMANI EE WANANCHI EE TUCDANGANYIKE NAMAISHA MACHACHEE MUNGANO UKIWEPO WEWE UTAKUFA NA UKITOKUWEPO PIA UTAKUFA CHAKUFANYA JIANDAE NA AKHERA YAKO UKIFA UCPATE TABUU

  • @user-vp1zu3fb5w
    @user-vp1zu3fb5w Před 2 měsíci

    KAMA YEYE NI MZANZIBAR NA MIMI MTANGANYIKA😮.

  • @histour0928
    @histour0928 Před 2 měsíci

    Shida ni kubwa mana hata kwenye kujua na kuenea kwa Kiswahili kabla ya uhuru hasemwi kukua na kuenea kwa lugha ya kiswahili nchini Tanzania kabla ya uhuru. Vitabu vinapotosha ukweli mana kabla ya muungano hapa kuwa na Tanzania lakini ikifundishwa hivi mana yake Vizazi vya sasa vimepoteza historia ya muhimu ili kuufikia muungano.

  • @Azikiwe-qi6jd
    @Azikiwe-qi6jd Před 2 měsíci +3

    Unafiki utatuuwa watanganyika. Mtu kashakwambia yeye ni mzanzibari wewe unakazan kumpa taarifa eti yeye ni mtanzania, acheni unafiki bana huyo mbunge wa zanzibar anajua anachokifanya anajua thamani ya chimbuko utaifa wake wa zanzibari, sio nyinyi mnaona haibu kutamka neno Tanganyika mkizani ni dhambi. Muacheni huyo mbunge yuko sahihi, kama raia unafaa kuwa na wivu mkubwa juu ya chimbuko la taifa lako, tusione haya kujiita mtanganyika, ukweli utabaki palepale kuwa chimbuko letu ni TANGANYIKA hata kama halipendi, kwasababu mnazozijua wenyewe lakini tunaju kuwa Kuna KUNA NCHI ILIYOJIPATIA UHURU WAKE KUTOKA KWA MKOLONI NAYO INAITWA TANGANYIKA

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 Před 2 měsíci

    NAWAOMBENI MSIKILIZE HOJA ALIYOTUAMBIA MZEE FUMBUA MACHO YA KWAMBA ZANZIBAR NI NCHI KAMILI KUANZIA 1984 WALIPOIPATA KATIBA YAO BINAFSI NA BUNGE LAO NAA RAISI WAO. WALIJITOA KWENYE SERIKALI. YA MUUNGANO

  • @SimonNgweta
    @SimonNgweta Před 2 měsíci

    Kuwepo na usawa wenye kueleweka

  • @user-oy5dz5xl8s
    @user-oy5dz5xl8s Před 2 měsíci

    Viongozi wetu someni alama za nyakati kuhusu muungano

  • @sagandamalechampullo659
    @sagandamalechampullo659 Před 2 měsíci

    HAPA TUDAI TANGANYIKA YETU TU, KILA MMOJA AWE NA SERIKALI YAKE NA ALINDE RASILIMALI ZAKE. NASISI TANGANYIKA TULINDE MALI NA VITU VYETU