Nipo mzee wangu unafatilia sana makala zako, naomba uwe Unamleta hizi makala ziwe ndefu. Nime like video kabla ya kutazama, maanake ni kwamba Naamini kabisa info zote humu.
Shikamoo Ansbert Ngurumo...kwa darasa hili ulilvyodadavua kuhusu muundo wa Muungano wa Tanzania (Tanganyika na Zanzibar) mbona somo limekwisha eleweka! Muungano utabaki na kuimarika zaidi ktk mfumo wa utawala utakaotambua pande mbili za muungano...Tanganyika na Zanzibar!
Tatizo hii nchi inaongozwa na genge la watu waliochoka kufikiri na niwaoga wa maamuzi sahihi,wanaendesha nchi kwa mazoea tu kwa kuogopa mizimu na mazindiko ya waasisi wa taifa,tatizo kinachofanya massm yote yasiwe na critical thinking juu ya muungano ni hirizi ya taifa iitwayo (MWENGE WA UHURU)Siku hii hirizi ikifutwa kisheria genge lote linazinduka.
Waongo hamtaki Tanganyika yenu, mnataka na mnatamani kuimeza Zanzibar yote. Shida roho zenu mbaya, mmeona mwanamke kutoka Zanzibar, mzanzibari halisi kawa Rais Tanzania, ndio hizo kelele, ila watanganyika wanatamani kumwaga udondo kufukia bahari ili iwe tambarare toka Tanganyika hadi Zanzibar ili kuifuta Zanzibar isiwepo tena.
Ni dhahiri shahiri kuwa wabunge wa Tanganyika ni mazuzu !!! WaZanzibari wanajitambua lakini Watanganyika utadhani Hawaii kwao!!!! Tan ni Tanganyika na Zania ni Zanzibar!!! Sasa ngoja Wazanzibari waondoke halafu tuone iwapo Hawa wanaoshindwa kutambua kuwa Tanganyika ni sehemu ya jina la Tanzania watajiitaje?!!!
HILI BUNGE LA MAMA SAMIA LINA WATU AMBAO WENGI WAMECHOKA KIFIKRA. NATAMANI HOJA HII WANGEKUWEPO WABUNGE WA CHADEMA na ACT WAZALENDO HESHIMA INGEKUWEPO NA ZINGETOLEWA HOJA ZENYE MANTIKI SANA"
Mungu akulinde Kwa fikra ndefu na huru ulizonazo,watu kama wewe ni wachache mno,tunaitaka Tanganyika yetu halisi,makala zako ngurumo zinatufungu saana.
Kwani watanganyika hofu yenu nini hasa mbona hamujiamini wazanzibari hatupendi tuitwe watanzania sisi ni wazanzibari na nyinyi watanganyika mbona muko ivo tafuteni utambulisho wenu halafu tutaishi pamoja
Mbunge yuko vizuri kama yeye ni Mzanzibari siyo Mtanzania basi tuwe na serikali tatu maana kila ZAMA na VAZI lake tumuombe Mungu aweke atie wepesi kwenye HILI
SK Media Pole sana kwa kujaribu kuwaelimisha wabunge wetu! Mheshimiwa rais Samia Suluhu Hassan hajawahi kukataa kuwa MNZAZIBARI, Ila watu waliopo bungeni ambayo sifa kubwa ya kuwa Mbunge ni kujua kusoma na kuandika,je wanaweza kujali hoja ya muungano?? Mimi siamini!!
Wabunge wa Tanganyika hapo kichwani hamna kitu....! Si wazalendo , tumbo mbele, kujipendekeza kwingi, umbumbu wa kutosha, ubinafsi mwingi, HILI BUNGE NI ZAIDI YA HATARI.......wanaong'ang' ania muungano WANA NIA MBAYA SANA NA TANGANYIKA . WANA AGENDA YA KISHETANI KABISA
Ukitafuta wazanzibari halisi unaweza usiwapate, maana wote wajukuu wa watumwa na mabaki ya Waarabu ndio wazanzibari wa leo. Waondoke kama hawatachinjana wao kwa wao. 😀😀😀
Ccm na muungano wao wa magumashi, mpaka wanashindwa hata kuutetea wala kujibu hoja nimeamini nuru na giza havichangamani, hakuna muungano hapo wamefika mwisho naona wanataka kuuvunja wenyewe dariri ndo hizi
SK,Hongera sana kwa makala zenye mhimili wa 'maswali magumu'>>nami nataka niulize: Je prof PK anaposema (anapodanganya) kuwa mwl alipouluzwa swali kuruhusu viama vingi,alijibu kwa mfano wa Nicolae Caeusrscu kuwa alidunguliwa nna mkewe toka ktk helicopter,Kweli? Kwani ile "court marshal" alofanyiwa ndiyo kudunguliwa?
Sasa utaona ukoloni mambo leo unavyopewa nguvu na Mipaka ya Wakoloni. Wajukuu wa Tanganyika wamejikuta visiwani wanachanganyikiwa na kujiona waarabu. Badala tujenge umoja Tuondowe ukoloni tunajadili ujinga mpaka watu wanazeeka 🤣🤣🤣🤣🤣
Hongera Babu wape madarasa Inakuwaje mtunatiwa kasumba mpaka anazarau nchi yake .na hapendi kuitwa mtanganyika . Huu siujinga wa mwisho ? Mtu kukataa kwao
Mimi ningekuwa rais ningependekeza au ningeunda serikali tatu au ningeuvunjilia mbali huu muungano.Ni ujinga kukaririshwa na mawazo ya watu wawili Nyerere na Karume waliounda muungano kana kwamba wao ndio walioumba ulimwengu.Nyerere na karume walikuwa binadamu tu na tena hawakuwa malaika ,wasitushikie akili.Sisi kwa sasa tuunde muungano wenye serikali tatu.
Naombeni mnielimishe nini faida chanya kwa mataifa haya mawili Tanganyika& Zanzibar kuwa nchi moja? Na je kukivunjwa huu muungano nini athali zake na kwanini hii taswira ya mataifa haya mawili isiwe sawa (serikari ya mapinduzi ya Zanzibar &serikari ya Tanganyika iko wapi? ,Na kwanini wazanzibar waweze miliki kila kitu Tanganyika ila mtanganyik asiweze kuimiliki Zanzibar!?..jamani naombeni elimu zaidi nielewe pia mwenzenu niko gizani sioni chochote tafadhalini
Tofauti nyingine ni Wabunge wa Zanzibar kupata posho na mishahara mara mbili, wanapata posho na mishahara kwenye BARAZA LA WAWAKILISHI LA ZANZIBAR NA KWENYE BUNGE LA MUUNGANO. Je Wabumge wa Tanganyika wakiwapi na wanapata posho na mishahara wapi?
Changamoto kubwa ni ukubwa wa eneo Tanganyika ni kubwa mara 470 dhidi Zanzibar ni lazima Zanzibar ilindwe na ndio sababu ya aina hii ya Muungano. Sio sahihi kuleta mfano wa Uingereza kwa sababu Mikoa miwili yoyote ya Tanzania Bara ni mikubwa kuliko Uingereza yote. Mfano linganishi angalau Urusi ile livyokuwa Soviety Union.
Huyo jamaaaa uelewa wake ni mdogo Anachokizungumza ni kile kile anachokizungumza Mbowe na Rissu Hivyo anapaswa awaunge mkono kutetea Serikali tatu yaani Zanzibar, Tanganyika na Serikali ya muungano Tanzania
Siasa za Mifumo na Uhafifhina imepitwa na Muda.Uvingunge muda sio Ule.Wati wanataka Mabadiriko.Tusipinge Maoni ya Watanganyika/Kwa kuuza Bandari mmejitakhia Watu Waipate Kufahamu na Ukweri..Ukweri Utatuweka HURU.
Mie naona ipo siku itakuja kua watu wameshachoka kupiga kelele ije iwe tafrani katika jamii sio watu wanasema vita vya maji maji na mauaji ya mapinduzi ni makubwa ila ile siku watu Ikifikia hatua wakichoka kupiga kelel bila kupata haki wakija kuamua watafte Sasa kwa njia wanayoijua dahh itakuwa mtihani zaidi Allah atunusuru viongozi waache tamaa mbaya kutatua tatizo yawezekana ila wanalazimisha jambo ambalo linakaribia ukingoni
Kwa nini Watanganyika wanakataa kuwasikiliza? Hiyu mzanzibari alikuwa anasema point yake wana CCM wa Tanganyika kwa nini hawataki kuboresha hasa inapofikia Upande w Tanganyika wanawekwa uvunguni? Kwani CCM wafaida na nini kuwa wanafiki? Zanzibar wana Inchi yao na raisi wao kwni wakati Nyerere yupomuungano ulikuwa huo? Hawa wana CCM hawa wanafiki wakubwa sana . Je kuna ulazima wa haina hivyo kwani mkiwa karibu ni lazima kuwalazimisha mnaambiwa ninyi mliwavamia siyo mapinduzi.
JAMANI EE WANANCHI EE TUCDANGANYIKE NAMAISHA MACHACHEE MUNGANO UKIWEPO WEWE UTAKUFA NA UKITOKUWEPO PIA UTAKUFA CHAKUFANYA JIANDAE NA AKHERA YAKO UKIFA UCPATE TABUU
Shida ni kubwa mana hata kwenye kujua na kuenea kwa Kiswahili kabla ya uhuru hasemwi kukua na kuenea kwa lugha ya kiswahili nchini Tanzania kabla ya uhuru. Vitabu vinapotosha ukweli mana kabla ya muungano hapa kuwa na Tanzania lakini ikifundishwa hivi mana yake Vizazi vya sasa vimepoteza historia ya muhimu ili kuufikia muungano.
Unafiki utatuuwa watanganyika. Mtu kashakwambia yeye ni mzanzibari wewe unakazan kumpa taarifa eti yeye ni mtanzania, acheni unafiki bana huyo mbunge wa zanzibar anajua anachokifanya anajua thamani ya chimbuko utaifa wake wa zanzibari, sio nyinyi mnaona haibu kutamka neno Tanganyika mkizani ni dhambi. Muacheni huyo mbunge yuko sahihi, kama raia unafaa kuwa na wivu mkubwa juu ya chimbuko la taifa lako, tusione haya kujiita mtanganyika, ukweli utabaki palepale kuwa chimbuko letu ni TANGANYIKA hata kama halipendi, kwasababu mnazozijua wenyewe lakini tunaju kuwa Kuna KUNA NCHI ILIYOJIPATIA UHURU WAKE KUTOKA KWA MKOLONI NAYO INAITWA TANGANYIKA
NAWAOMBENI MSIKILIZE HOJA ALIYOTUAMBIA MZEE FUMBUA MACHO YA KWAMBA ZANZIBAR NI NCHI KAMILI KUANZIA 1984 WALIPOIPATA KATIBA YAO BINAFSI NA BUNGE LAO NAA RAISI WAO. WALIJITOA KWENYE SERIKALI. YA MUUNGANO
Nipo mzee wangu unafatilia sana makala zako, naomba uwe Unamleta hizi makala ziwe ndefu. Nime like video kabla ya kutazama, maanake ni kwamba Naamini kabisa info zote humu.
Utasema sana kawaida ya hasidi ni kungangania ubaya na dhuluma wakiambiwa a wanajibu b vichwa vimeingia kirusi cha sifahamu nisichokipenda. makepeace
Asante professor asiekuelewa huyo mwanga mchawi hasidi
Shikamoo Ansbert Ngurumo...kwa darasa hili ulilvyodadavua kuhusu muundo wa Muungano wa Tanzania (Tanganyika na Zanzibar) mbona somo limekwisha eleweka!
Muungano utabaki na kuimarika zaidi ktk mfumo wa utawala utakaotambua pande mbili za muungano...Tanganyika na Zanzibar!
Wazanzibari wana ajenda yao toka zamani kuihujumu Tanganyika kwa kauli hii ya huyu Mzanzibari
Tatizo hii nchi inaongozwa na genge la watu waliochoka kufikiri na niwaoga wa maamuzi sahihi,wanaendesha nchi kwa mazoea tu kwa kuogopa mizimu na mazindiko ya waasisi wa taifa,tatizo kinachofanya massm yote yasiwe na critical thinking juu ya muungano ni hirizi ya taifa iitwayo (MWENGE WA UHURU)Siku hii hirizi ikifutwa kisheria genge lote linazinduka.
Tatizo ni wapiga kura hawaangalii sifa za wagombea wanachagua vyama.
Tunataka Tanganyika yetu
Waondoke ndani ya bunge letu wao walishavunja muungano zamani sana na sasa tumeamka
Waongo hamtaki Tanganyika yenu, mnataka na mnatamani kuimeza Zanzibar yote.
Shida roho zenu mbaya, mmeona mwanamke kutoka Zanzibar, mzanzibari halisi kawa Rais Tanzania, ndio hizo kelele, ila watanganyika wanatamani kumwaga udondo kufukia bahari ili iwe tambarare toka Tanganyika hadi Zanzibar ili kuifuta Zanzibar isiwepo tena.
@@rabiakitigwa9120bunge lipi na Tanganyika ipi KWANZA si tafuteni raisi wenu ndo muwe na bunge
Kwani kuna nchi inaitwa TANGANYIKA au zimebaki sheesh za uhuru tu wa nchi isiyokuwepo
Kiongozi vitu unavyovileta ni vitu vyema madini ya hali ya juu sana.
Hatusikiliz bunge since sio bunge la wananchii
I'd prefer one government
There 's too much noise from those who are supposed to be more knowledgeable in the union. Let them come up with a solution.
Lengo la Tanganyika kuzibit zanzibar n sio kungana one day boom 💥 litaripuka Tanganyika 😂
Uchambuzi mzuri mnoo. Hongera sana kaka kwa kazi.
Nzanzobar ni nchi nenden kwenu nako kuna bunge
Ni dhahiri shahiri kuwa wabunge wa Tanganyika ni mazuzu !!! WaZanzibari wanajitambua lakini Watanganyika utadhani Hawaii kwao!!!! Tan ni Tanganyika na Zania ni Zanzibar!!! Sasa ngoja Wazanzibari waondoke halafu tuone iwapo Hawa wanaoshindwa kutambua kuwa Tanganyika ni sehemu ya jina la Tanzania watajiitaje?!!!
Tan-Tanganyika, zan-Zanzibar , i-ikbar, a- ahmadia
Ikbar Ahmadia ni jina la aliyebuni jina la Tanzania
Ni mazuzu na majinga kupitiliza.sijui yanatetea nini.
Muungano utavunjwa na wale kwa maslai binfsi wanaona wanaulinda
Hongera sana sk unabisara sana kabudi alicho sema nikweli hapa chamsingi serikali tatu ndiyo utakuwa salama zaidi inshaallah
1st to view this good work 😊
wana ccm wanakomaa mzanzibari hataki kwanini wanamlazimisha?,, this is one ridiculous discussion
HILI BUNGE LA MAMA SAMIA LINA WATU AMBAO WENGI WAMECHOKA KIFIKRA. NATAMANI HOJA HII WANGEKUWEPO WABUNGE WA CHADEMA na ACT WAZALENDO HESHIMA INGEKUWEPO NA ZINGETOLEWA HOJA ZENYE MANTIKI SANA"
Mungu akulinde Kwa fikra ndefu na huru ulizonazo,watu kama wewe ni wachache mno,tunaitaka Tanganyika yetu halisi,makala zako ngurumo zinatufungu saana.
Muungano huu SI Halali, hii ni kama ndoa iliyounganishwa kienyeji, Hapa Kuna matengenezo hayawezekani.
Kwani watanganyika hofu yenu nini hasa mbona hamujiamini wazanzibari hatupendi tuitwe watanzania sisi ni wazanzibari na nyinyi watanganyika mbona muko ivo tafuteni utambulisho wenu halafu tutaishi pamoja
✊✊✊✊
Mbunge yuko vizuri kama yeye ni Mzanzibari siyo Mtanzania basi tuwe na serikali tatu maana kila ZAMA na VAZI lake tumuombe Mungu aweke atie wepesi kwenye HILI
Yaan nakala zako zinachambuliwa kwa uzur mnooo, mpka unaelewa sehem iliokua sio lahis kuijua
Sijawahi ona bunge lakisenge kama hili hili bunge ndio linachangia umaskini wa tz hawana chakuchangia
Yaani ni macomedy tuu😮😮😮
SK Media Pole sana kwa kujaribu kuwaelimisha wabunge wetu! Mheshimiwa rais Samia Suluhu Hassan hajawahi kukataa kuwa MNZAZIBARI, Ila watu waliopo bungeni ambayo sifa kubwa ya kuwa Mbunge ni kujua kusoma na kuandika,je wanaweza kujali hoja ya muungano?? Mimi siamini!!
Hahaha dada kwan lazima mlazimishe sikaunganeni na wakongo nch kubwa
Kaka Ansbert kwa uchambuzi wako mahiri,umetutafunia kabisa kazi yetu kumeza au kutema tu basi. Chukua maua yako...
Bado iyo sio sababu yakuishikilia Zanzibar kama ukarib mbona Tanganyika imeshikana na congo,Burundi,Rwanda,Kenya mbona hamkwenda kuungana?
Matako yako jivuen muone balaa
@@user-od2mc4mj4e Waone mara ngapi, si kila uchaguzi mnakuja kuuwa watu.
Wazanzibar tunAwaelewa wabaguzi
Kama Mh. Mbunge sio Mtanzania, hapo bungeni anafanya nini? Maana Bunge hilo ni la Tanzania.
Nami nimejiuliza swali hili kafikaje hapo?
Kwani Singapore na pemba s pemba kubwa kuliko singapore mbn hawana hoja na maono
Sijui kama wanaelewa kama tunavyoelewa sisi!
Na sisi tunataka Tanganyika yetu watanganyika warudi home na wazanzibar warudi kwao halafu tuheshimiane
Nyinyi wabongo hamuezi kuiachia Zanzibar mnaintonya sana
WANANCHI WA MTWARA WALIWAHI SEMA WABUNGE MAMBUMBUMBU SABABU WALIOPITA BILA KUPINGWA BUNGENI HAWANA MAAMUZI YA BUSARA .
Nimeamini bungeni tuna watu wa Hovyo Mno,mbona hana hoja zenye mantiki?
Wabunge wa Tanganyika hapo kichwani hamna kitu....! Si wazalendo , tumbo mbele, kujipendekeza kwingi, umbumbu wa kutosha, ubinafsi mwingi, HILI BUNGE NI ZAIDI YA HATARI.......wanaong'ang' ania muungano WANA NIA MBAYA SANA NA TANGANYIKA . WANA AGENDA YA KISHETANI KABISA
Wange kuja huku mitaani wakajuwa kama watanganyika hatutaki muungano hatuupindi kabisa kilammoja abaki kwake
Ukitafuta wazanzibari halisi unaweza usiwapate, maana wote wajukuu wa watumwa na mabaki ya Waarabu ndio wazanzibari wa leo.
Waondoke kama hawatachinjana wao kwa wao. 😀😀😀
Mbunge wewe Mnzanzibar unajichanganya sanaaaa
Mbona nyie mmejaa Tanganyika ondokeni jwetu na sisi tulioko huko turudi kwetu
Mwamba na nguli wa uandishi wa habari ....kaka Ngurumo!!
Noma sana
Ccm na muungano wao wa magumashi, mpaka wanashindwa hata kuutetea wala kujibu hoja nimeamini nuru na giza havichangamani, hakuna muungano hapo wamefika mwisho naona wanataka kuuvunja wenyewe dariri ndo hizi
Mwandishi huyu ni mahiri
Ngulumo ungeweka hotuba ya lissu aliyoitoa kwenye bunge la katiba,hotuba ya pili ningefurai
Kunambi umeupiga mwingi kwa taarifa yako ila jamaa kakukomalia😂😂na mkurugenzi jimboni kwako ni Muzanzibar,, ukirudi tutafutane kutoka mkoani Mofu🙋🙋
👍👊✌️。
Muungano uundwe upya. Tunaitaka Tanganyika yetu
SK,Hongera sana kwa makala zenye mhimili wa 'maswali magumu'>>nami nataka niulize:
Je prof PK anaposema (anapodanganya) kuwa mwl alipouluzwa swali kuruhusu viama vingi,alijibu kwa mfano wa Nicolae Caeusrscu kuwa alidunguliwa nna mkewe toka ktk helicopter,Kweli?
Kwani ile "court marshal" alofanyiwa ndiyo kudunguliwa?
Huyo Mbunge nadhani hatoshi kwenye hiyo nafasi
Tanganyika Iko Kama make anapoolewa anapoteza ubin wake
Mume yeye anabaki na ubin wake
Chuma kimepata moto😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 halafu hataki kumsikiliza mwenyekiti wala mawazo, wala raarifa anazopewa 😅😅
Cha msingi kilamtu akae kwao tumechoka na hizi kelele za Uzanzibar na Uzanzibara iwepo tu na Serikali tatu
Naomba nikupe maua yangu Ansbert Ngurumo.Wewe ni guru...
Sasa mbona Kabudi kabadilika????????? Alikuwa na akili sana
Watanganyika,mnaroho,mbaya,sana,sana,Tena,sana,nyie,si,wakuungana,nanchi,yoyote
Mimininge tamani mngano 15:45 15:48 uvujike mimisionifaida yamnga zaidi yawatanganyika kuchukuriwa hakizetuu
Sasa utaona ukoloni mambo leo unavyopewa nguvu na Mipaka ya Wakoloni. Wajukuu wa Tanganyika wamejikuta visiwani wanachanganyikiwa na kujiona waarabu. Badala tujenge umoja Tuondowe ukoloni tunajadili ujinga mpaka watu wanazeeka 🤣🤣🤣🤣🤣
Hongera Babu wape madarasa
Inakuwaje mtunatiwa kasumba mpaka anazarau nchi yake .na hapendi kuitwa mtanganyika .
Huu siujinga wa mwisho ? Mtu kukataa kwao
Watanganyika shtukeni tafuteni nchi yenu
Mimi ningekuwa rais ningependekeza au ningeunda serikali tatu au ningeuvunjilia mbali huu muungano.Ni ujinga kukaririshwa na mawazo ya watu wawili Nyerere na Karume waliounda muungano kana kwamba wao ndio walioumba ulimwengu.Nyerere na karume walikuwa binadamu tu na tena hawakuwa malaika ,wasitushikie akili.Sisi kwa sasa tuunde muungano wenye serikali tatu.
Naombeni mnielimishe nini faida chanya kwa mataifa haya mawili Tanganyika& Zanzibar kuwa nchi moja? Na je kukivunjwa huu muungano nini athali zake na kwanini hii taswira ya mataifa haya mawili isiwe sawa (serikari ya mapinduzi ya Zanzibar &serikari ya Tanganyika iko wapi? ,Na kwanini wazanzibar waweze miliki kila kitu Tanganyika ila mtanganyik asiweze kuimiliki Zanzibar!?..jamani naombeni elimu zaidi nielewe pia mwenzenu niko gizani sioni chochote tafadhalini
Hatutaki muungano.ndio kilio cha wazanzibar
Tofauti nyingine ni Wabunge wa Zanzibar kupata posho na mishahara mara mbili, wanapata posho na mishahara kwenye BARAZA LA WAWAKILISHI LA ZANZIBAR NA KWENYE BUNGE LA MUUNGANO. Je Wabumge wa Tanganyika wakiwapi na wanapata posho na mishahara wapi?
Hata huku Tanganyika,tumejaa! Bakini na Zanzibari yenu ! Tumewachoka,hambebekiii!
Kwa nin watanganyika hawatambui uraia wao au nchii yao tanganyika??
ETI sipokei hoja,akiwa kwenye jumba la Muungano halafu anasema yeye ni mzanzibar
Uhalisia wa kitu haubadiliki haijalish upo ukweni ulipooa bado wewe utakuwa na kwenu hata km hao wakwe umewajengea ila itakuwa unakwenu tu
Changamoto kubwa ni ukubwa wa eneo Tanganyika ni kubwa mara 470 dhidi Zanzibar ni lazima Zanzibar ilindwe na ndio sababu ya aina hii ya Muungano. Sio sahihi kuleta mfano wa Uingereza kwa sababu Mikoa miwili yoyote ya Tanzania Bara ni mikubwa kuliko Uingereza yote. Mfano linganishi angalau Urusi ile livyokuwa Soviety Union.
Mungano gani huu wa watu milioni 60 na milioni moja na nusu wapi na wapi hapa pana ajenda gani
Huyu jamaa hajui ht anachochangia
Zanzibar ni nchi huru.
Huyo jamaaaa uelewa wake ni mdogo
Anachokizungumza ni kile kile anachokizungumza Mbowe na Rissu
Hivyo anapaswa awaunge mkono kutetea Serikali tatu yaani Zanzibar, Tanganyika na Serikali ya muungano Tanzania
Siasa za Mifumo na Uhafifhina imepitwa na Muda.Uvingunge muda sio Ule.Wati wanataka Mabadiriko.Tusipinge Maoni ya Watanganyika/Kwa kuuza Bandari mmejitakhia Watu Waipate Kufahamu na Ukweri..Ukweri Utatuweka HURU.
Ni kweli ipo siku anaweza kuwa rais wa jamhur ya muungano wa tz ila hawezi kuwa rais wa Tanganyika
Passport ziwe kote bara na Visiwani.
Mie naona ipo siku itakuja kua watu wameshachoka kupiga kelele ije iwe tafrani katika jamii sio watu wanasema vita vya maji maji na mauaji ya mapinduzi ni makubwa ila ile siku watu Ikifikia hatua wakichoka kupiga kelel bila kupata haki wakija kuamua watafte Sasa kwa njia wanayoijua dahh itakuwa mtihani zaidi Allah atunusuru viongozi waache tamaa mbaya kutatua tatizo yawezekana ila wanalazimisha jambo ambalo linakaribia ukingoni
Samia kama nyelele angekuwa mzima angekuwa tahisi wetu? hakika hasinge kuwa
Kabudi sina imani naye pamoja na kuwa alichokisema hapa makes a lot of sense
Ngurumo, hii Makala Kwa watu wenye akili inamaliza kabisa mjadala wa muunganp tulio nao.
KIUKWELI HAKUNA MZANZIBAR ANEONGEA KINYUME NA KISWAHILI 😂😂😂😂😢 IZO LUGHA ZA NYENGINE ZIKO HUKU KWETU TU
Upon sawa mkuu lakini Hawa watu ni wasioelewa Kuna nyakati na majira
Najuwa huwa unatumiwa Muda kufanya hii kazi tunashukuru kwa maarifa mazuri mwalimu
Kwa nini Watanganyika wanakataa kuwasikiliza? Hiyu mzanzibari alikuwa anasema point yake wana CCM wa Tanganyika kwa nini hawataki kuboresha hasa inapofikia Upande w Tanganyika wanawekwa uvunguni? Kwani CCM wafaida na nini kuwa wanafiki? Zanzibar wana Inchi yao na raisi wao kwni wakati Nyerere yupomuungano ulikuwa huo? Hawa wana CCM hawa wanafiki wakubwa sana . Je kuna ulazima wa haina hivyo kwani mkiwa karibu ni lazima kuwalazimisha mnaambiwa ninyi mliwavamia siyo mapinduzi.
Nyie wazanzibar mtatubagua nyie huku Tanganyika mbona mnaleta matumbo yenu huku bakini kwenu.
sijui ni kwann wanakuwa na vichwa vigumu kama jiwe
Mbaguz
Mimi naishi mbarali usangu lakini mimi ni mnyakyusa siwezi kuikana asili yangu hongera wazanzibar
Tanzania,snchi,muungano
Why can’t we have a referendum?
Sisi tunataka Tanganyika wazibaa warudi kwao sio wauze maliasi zetu
Asanyie rudini kwenu na watanganyika warudi huku tuone
Sasa hiyo uk ina serikali ngapi?
Wametuzoea ila mda utajibu
Huyu mbunge ni mpumbavu nchi tumewapa bado Anaongea ujinga kama vp wavunje muungano maana wanazidi kutuchokonoa
JAMANI EE WANANCHI EE TUCDANGANYIKE NAMAISHA MACHACHEE MUNGANO UKIWEPO WEWE UTAKUFA NA UKITOKUWEPO PIA UTAKUFA CHAKUFANYA JIANDAE NA AKHERA YAKO UKIFA UCPATE TABUU
Mbona hoja yako sio relevant?
Huelewek!!!
KAMA YEYE NI MZANZIBAR NA MIMI MTANGANYIKA😮.
Shida ni kubwa mana hata kwenye kujua na kuenea kwa Kiswahili kabla ya uhuru hasemwi kukua na kuenea kwa lugha ya kiswahili nchini Tanzania kabla ya uhuru. Vitabu vinapotosha ukweli mana kabla ya muungano hapa kuwa na Tanzania lakini ikifundishwa hivi mana yake Vizazi vya sasa vimepoteza historia ya muhimu ili kuufikia muungano.
Unafiki utatuuwa watanganyika. Mtu kashakwambia yeye ni mzanzibari wewe unakazan kumpa taarifa eti yeye ni mtanzania, acheni unafiki bana huyo mbunge wa zanzibar anajua anachokifanya anajua thamani ya chimbuko utaifa wake wa zanzibari, sio nyinyi mnaona haibu kutamka neno Tanganyika mkizani ni dhambi. Muacheni huyo mbunge yuko sahihi, kama raia unafaa kuwa na wivu mkubwa juu ya chimbuko la taifa lako, tusione haya kujiita mtanganyika, ukweli utabaki palepale kuwa chimbuko letu ni TANGANYIKA hata kama halipendi, kwasababu mnazozijua wenyewe lakini tunaju kuwa Kuna KUNA NCHI ILIYOJIPATIA UHURU WAKE KUTOKA KWA MKOLONI NAYO INAITWA TANGANYIKA
NAWAOMBENI MSIKILIZE HOJA ALIYOTUAMBIA MZEE FUMBUA MACHO YA KWAMBA ZANZIBAR NI NCHI KAMILI KUANZIA 1984 WALIPOIPATA KATIBA YAO BINAFSI NA BUNGE LAO NAA RAISI WAO. WALIJITOA KWENYE SERIKALI. YA MUUNGANO
Kuwepo na usawa wenye kueleweka
Viongozi wetu someni alama za nyakati kuhusu muungano
HAPA TUDAI TANGANYIKA YETU TU, KILA MMOJA AWE NA SERIKALI YAKE NA ALINDE RASILIMALI ZAKE. NASISI TANGANYIKA TULINDE MALI NA VITU VYETU