Mikopo ya China inawapa jeuri watawala wetu kupuuza swala zima la demokrasia katika utawala wao wakijua fika kwamba hata wakiminya haki za raia wao kupata huduma za msingi, hawatakosa mikopo,na mikopo hiyo wataielekeza wanakotaka kwa manufaa yao, mlipaji ambaye ni mwananchi anakua sio mnufaika wa mikopo husika!
Yan haya hua yanaongea ujinga kira skuu nawauliza kwann hamkumunga mkono JPM alikua hataki mikopo na mkawa mnalaumu kwann anajenga nchii kwa ela za ndani anafanya maisha yanakua magumu kwa wananchii wehu nyiee wanafikii
eliassabbath wewe ndiye mnafiki usiyejua kuwa Magu alikua anakopa benki za nje k.m exim bank ambako wanatoa fedha zile zile kupitia wao lakini kwa riba kubwa zaidi! Uko wapi wewe?! Deni liko palepale hata kama hakwenda na bakuli nje kuomba haikusaidia kitu ameleta hasara kubwa tu na mpaka leo unalipa,tunalipa! Samia anatutwisha mizigo kibao ya Magufuli na ccm yao lakini wala hujui!!
@@stanslausmchonde7892 fala wewe anakopa kwa siri alokwambia hua kuna mkopo wa siri ni nan wakati ukienda bank yoyote mikopo ya nchii hua ipo wazi kasoro mashariti
No maneno tu ya chuki dhidi ya Magu hats kama alikopa lakini si kwa masharti mabovu, alikopa kwenye mabenki ya kibiashara kwa miradi ya mikakati, alijua hiyo miradi ikimalizika uwezekano wa kulipa upon, mfano huo umeme , sgr dalaja kigongo busisi, meli vyote hivyo vingemalizika kwa wakati vingeweza kurudishA deni Ni tofauti na kwenda IMF ambapo wanakupa masharti ya haki za binadamu
Mr. Ngurumo,, you are an unshakable Tz/Africa pillar.
God richly bless you
Hiyo ni sawa na kaisha damu
Wana uza taifa letu Wana paswa kupingwa kabisa na Kila mtanzania
"Kwa hisani ya Watu wa Marekani"
Walinisikitisha sana baada ya kuona Wachina wanaleta mafundi wa kawaida wanalipwa hela ndefu kwelikweli! Kuliko Mainjinia wa Tz
Mikopo ya China inawapa jeuri watawala wetu kupuuza swala zima la demokrasia katika utawala wao wakijua fika kwamba hata wakiminya haki za raia wao kupata huduma za msingi, hawatakosa mikopo,na mikopo hiyo wataielekeza wanakotaka kwa manufaa yao, mlipaji ambaye ni mwananchi anakua sio mnufaika wa mikopo husika!
Yan haya hua yanaongea ujinga kira skuu nawauliza kwann hamkumunga mkono JPM alikua hataki mikopo na mkawa mnalaumu kwann anajenga nchii kwa ela za ndani anafanya maisha yanakua magumu kwa wananchii wehu nyiee wanafikii
Alikua anakopa Kwa Siri Sasa ndio madeni yanadhihirika Tena kwenye mabenki ya kibiashara alikosea sana
eliassabbath wewe ndiye mnafiki usiyejua kuwa Magu alikua anakopa benki za nje k.m exim bank ambako wanatoa fedha zile zile kupitia wao lakini kwa riba kubwa zaidi! Uko wapi wewe?! Deni liko palepale hata kama hakwenda na bakuli nje kuomba haikusaidia kitu ameleta hasara kubwa tu na mpaka leo unalipa,tunalipa! Samia anatutwisha mizigo kibao ya Magufuli na ccm yao lakini wala hujui!!
@@stanslausmchonde7892 fala wewe anakopa kwa siri alokwambia hua kuna mkopo wa siri ni nan wakati ukienda bank yoyote mikopo ya nchii hua ipo wazi kasoro mashariti
No maneno tu ya chuki dhidi ya Magu hats kama alikopa lakini si kwa masharti mabovu, alikopa kwenye mabenki ya kibiashara kwa miradi ya mikakati, alijua hiyo miradi ikimalizika uwezekano wa kulipa upon, mfano huo umeme , sgr dalaja kigongo busisi, meli vyote hivyo vingemalizika kwa wakati vingeweza kurudishA deni Ni tofauti na kwenda IMF ambapo wanakupa masharti ya haki za binadamu