FITINA NA RUSHWA NI ADUI WA DEMOKRASIA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 1. 06. 2024
  • Kasoro hizi zikomeshwe
  • Hudba

Komentáře • 6

  • @faykasalum9725
    @faykasalum9725 Před měsícem +1

    Tatizi letu watanzani matumbo yetu hatuwezi kuyadhibiti na ukweli ni mdogo Sana kwamaana hiyo tutaendelea kunyang'anya nywa mpaka mwisho CCM haindoki

  • @faykasalum9725
    @faykasalum9725 Před měsícem +1

    Mpaka tukubali mabadiliko Sisi wenyewe ndio Mmungu atubadilishie

  • @erastomartine
    @erastomartine Před měsícem +2

    ...mantiki sana

  • @pditanzania7764
    @pditanzania7764 Před měsícem +1

    Good insights boss

  • @komuhsengo9796
    @komuhsengo9796 Před měsícem

    Hasa hii nyanda nina mashaka na huyu sugu, hana uwezo wa kuongoza, ni mtu mwema lkn amekuwa msanii zaidi kuliko uongozi, vinginevyo labda msigwa kama alikuwa nakosa lingine

    • @AnsbertNgurumo
      @AnsbertNgurumo  Před měsícem

      Sugu amewahi kupewa jukumu likamshinda? Usanii ni karama kama uchungaji. Si kikwazo.
      Katiia uchaguzi alihitajika mmoja. Amepatikana.