Katika maisha yangu sijawahi kuamini, siamini na sitokuja kuamini kuwa Tanzania ni nchi masikini wala Africa. tatizo ni kuwa na viongozi WAJINGA waliokalia wizi na kujibinafisisha mali za umma.
Kenyatta alisema sisi tu wafu tumekufa na kuoza hatuwezi kuamka kudai chetu. Angalia Loliondo tangu enzi hizo sasa ndo wanamalizia kabisa na kuhamisha Masai ktk ardhi yake ya asili! Hivi mtoe Mzaramo Maneromango mpeleke Bukoba huko Kanyigo uone kama ataweza kuishi maisha ya huko na kusimika utawala wake na mila zake, haitawezekana!
Mheshimiwa God bless Lema uko sahihi kabisa sisi ni wajinga tunao ngozwa na watu wajinga, Msingwa amejiunga nayo kwa sababu anajiita mchungaji atawafundisha kuwa tumwachia Mungu kwani Mungu aliumba WaTanzania wajinga?? La sha viongozi ndiyo wajinga !!
Lema yuko sahihi ----- Mungu aliweka kila kitu anachokihitaji mwanadu kwenye ardhi,na hiyo ardhi akamkabidhi nwanadu,AITAWALE,AILIME NA. KUITUNZA --- Mwanzo 1:26 -- 28 na Mwz 2::4 --- 5,15 .Mwanadamu pia,aliumbwa kwa mfano na Sura ya Mungu,kwa maana ya kwamba "alipewa akili kama ambavyo Mungu ana akili,mwanadamu pia anayo sehemu ya Mungu ( akili ) Tatizo tunazitumiaje hizo akili " Hapo ndipo tuliponasa "
Magufuli alisema Tanganyika sio masikini ujinga wa viongozi wetu tu
Katika maisha yangu sijawahi kuamini, siamini na sitokuja kuamini kuwa Tanzania ni nchi masikini wala Africa. tatizo ni kuwa na viongozi WAJINGA waliokalia wizi na kujibinafisisha mali za umma.
Umasikini wa mawazo chini ya ccm miaka 60 inatosha kazi yao ni ngoma t na pombe baasi
good work
Daaah CCM nimashetani
🤔
Hakika ni ujinga uliopitiliza
Kuna logic kubwa
Jinga jinga TZ😢😢😢
Sisi ni majinga kupitilizaaa
Kweli nabukitizama nchi za ulaya wanategemea vyakula nchi za nje km ulaya hawalimi km afrika rabda wanalima mbatata
Tatizo si ujinga tu uliopitiliza bali pia nakisi kupita maelezo ya uzalendo kwa viongozi!
Nakubaliana na Lema kuwa tunaongozwa na mazuzu[ wajinga wa daraja la juu]
Ccm kweli hawana akili
Sisi niwajinga sio maskini
Kenyatta alisema sisi tu wafu tumekufa na kuoza hatuwezi kuamka kudai chetu. Angalia Loliondo tangu enzi hizo sasa ndo wanamalizia kabisa na kuhamisha Masai ktk ardhi yake ya asili! Hivi mtoe Mzaramo Maneromango mpeleke Bukoba huko Kanyigo uone kama ataweza kuishi maisha ya huko na kusimika utawala wake na mila zake, haitawezekana!
😂😂😂😂😂😂😂@@festokemibala5832
Magufuli alishaga sema Ayo yote nyie mkamkataa na kumtukana kuwa ni dictator
De00
Ieo nimekuwelewa
Daaa jamaa anakili san
🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄
Uhai wa makufuli uote watu wajinga ungekua ushahama nchi
Mheshimiwa God bless Lema uko sahihi kabisa sisi ni wajinga tunao ngozwa na watu wajinga, Msingwa amejiunga nayo kwa sababu anajiita mchungaji atawafundisha kuwa tumwachia Mungu kwani Mungu aliumba WaTanzania wajinga?? La sha viongozi ndiyo wajinga !!
Mh
Ujinga
Lema yuko sahihi ----- Mungu aliweka kila kitu anachokihitaji mwanadu kwenye ardhi,na hiyo ardhi akamkabidhi nwanadu,AITAWALE,AILIME NA. KUITUNZA --- Mwanzo 1:26 -- 28 na Mwz 2::4 --- 5,15 .Mwanadamu pia,aliumbwa kwa mfano na Sura ya Mungu,kwa maana ya kwamba "alipewa akili kama ambavyo Mungu ana akili,mwanadamu pia anayo sehemu ya Mungu ( akili ) Tatizo tunazitumiaje hizo akili " Hapo ndipo tuliponasa "
Yaan wewe upo nje huko kwa wanaotuita masikini, alikuwepo magufuli ukasema mbaya saiv samia unasema mbaya, cjui unafikiri nn wewe
Hivi unaelewa ulichokiandika!!?😢
Ndugu, una uhakika unaelewa kinachozungumzwa hapa?
Lakini suala la watoto kuuza kahawa kashata na machungwa na wengine kuuza miiili yao wakati mwingine ni malezi. Kuna sehemu walisahau malezi
Sio wote, wengine MAISHA
Sio kweli, wengi wao ni hali ngumu ya maisha na umaskini. Mbona huoni watoto wa viongozi kufanya hayo?.tumia busara kidogo kutafakari