Huwa natamani uwe unachambua kila tukio la siasa linalotokea kwa uharaka. Napenda sana uchambuzi wako hauchoshi hata ikiwa ni lisaa lizima. ❤ Ksahakika unakipaji chakutafakari na kuwasilisha katika hadhira ❤ NAOMBA USIWE UNACHELEWA KUPOST ingawa nafahamu kuna ma8sha nje ya kazi hii 🙏
Nilianza kuipenda sana SIASA na kuifatilia kipindi alichomaliza madaraka Jakaya Kikwete CCM ikamsimamisha Hayati Magufuli na UKAWA ikamsimamisha LOWASA. Nilifatilia sana magazeti kipindi hicho nikiwa masomoni. Kuna gazeti moja silikumbuki jina lake kuna mchambuzi mmoja alikuwa ananifurahisha sana halafu picha yake anawrka kikatuni flani hivi halafu jina lake la ukweli anaficha. Sijui lilikuwa MWANANCHI au vipi!. Nililipenda sana lile gazeti kila nikilipata natafuta kulasa yake.... Alikuwa anamadini sana yule mwandishi...❤
Na rushwa imetawala sanaaaa sasa hivi imebeba mabomu mengi sana Ccm mijizi kibao miuza unga mikomba pesa za Nssf za wastaafu Ngurumo usemayo ni ukweli kabisa wote walitoa rushwa hawafanyi kazi kabisa mimi ni Ccm lakii ukweli tuseme
Wengineb hatakama usipowachagua wanapita bila kupingwa chamsingi tuombe Mungu awakate moto wale wanaojiingiza madarakani kwa kutumia ulaghai na miguvu kwavile maranyingi tunawekewa viongozi kiubabe
Tukitaka kupata viongozi bora tupunguze mishahara mikubwa na maslahi ya kufuru ndiyo tutapata watu wanaotaka kuwa viongozi, viongozi wenye kupenda kuongoza no matter what na sio wafuata maslahi
Wananchi tufungue macho, tuangalie historia ili tuwe na maamuzi sahihi kwa kura zetu wakati wa kufanya mamamuzi... Kodi ya kichwa ilisomesha watu mpaka midle school kipimo kikuu kikiwa akili yako tu! Baada ya uhuru tukaambiwa serikali haina hela, Afya,Elimu,Pembejeo, Ajira,nk serikali haina hela, lakini wigo wa kodi unazidi kuongezeka mpaka kodi juu ya kodi inapewa majina mara tozo,ushuru,pay as you ann nk!. KUWAPA KURA YAKO WATU WA AINA HII NI SAWA NA KUTUMBUKIA BAHARINI BILA NYENZO UKIDHANI🙉UTATEMBEA JUU YA MAJI KAMA YESU!
I concur with you Sir,good lesson getting you through from Baton Rouge Louisiana state USA 🇺🇸
Watanzania tubadilike,tuchague viongozi wenye maono ambao watatanguliza mbele maslahi ya nchi.
Huwa natamani uwe unachambua kila tukio la siasa linalotokea kwa uharaka. Napenda sana uchambuzi wako hauchoshi hata ikiwa ni lisaa lizima. ❤ Ksahakika unakipaji chakutafakari na kuwasilisha katika hadhira ❤ NAOMBA USIWE UNACHELEWA KUPOST ingawa nafahamu kuna ma8sha nje ya kazi hii 🙏
Lau kama jamii yetu ya Tanzania italelewa katika fikra hizi aise naiona Tanzania mpya katika nyanja zote ❤,
Asante kwa ushauri Bora.
Nilianza kuipenda sana SIASA na kuifatilia kipindi alichomaliza madaraka Jakaya Kikwete CCM ikamsimamisha Hayati Magufuli na UKAWA ikamsimamisha LOWASA. Nilifatilia sana magazeti kipindi hicho nikiwa masomoni. Kuna gazeti moja silikumbuki jina lake kuna mchambuzi mmoja alikuwa ananifurahisha sana halafu picha yake anawrka kikatuni flani hivi halafu jina lake la ukweli anaficha. Sijui lilikuwa MWANANCHI au vipi!. Nililipenda sana lile gazeti kila nikilipata natafuta kulasa yake.... Alikuwa anamadini sana yule mwandishi...❤
Safi sana kwa uchambuzi wako muzuri na wakueleweka, huwa najifunza mengi kutoka kwako, from Cedar Rapids Iowa state USA 🇺🇸
Mungu akulinde na kukutunza.
Na rushwa imetawala sanaaaa sasa hivi imebeba mabomu mengi sana Ccm mijizi kibao miuza unga mikomba pesa za Nssf za wastaafu Ngurumo usemayo ni ukweli kabisa wote walitoa rushwa hawafanyi kazi kabisa mimi ni Ccm lakii ukweli tuseme
Well said Sir.
Wengineb hatakama usipowachagua wanapita bila kupingwa chamsingi tuombe Mungu awakate moto wale wanaojiingiza madarakani kwa kutumia ulaghai na miguvu kwavile maranyingi tunawekewa viongozi kiubabe
Mgombea yeyote akihonga Hela , kula ila usimchague.
Watakoma tukila Hela zao lkn kura ni Siri.....
elimu kwa wapiga kura.
asante
Kweli kabisa
Tukitaka kupata viongozi bora tupunguze mishahara mikubwa na maslahi ya kufuru ndiyo tutapata watu wanaotaka kuwa viongozi, viongozi wenye kupenda kuongoza no matter what na sio wafuata maslahi
✌️👊👍.
Ishu ni tume ya uchaguzi hayo mengine hayana msingi mkuu
Wananchi tufungue macho, tuangalie historia ili tuwe na maamuzi sahihi kwa kura zetu wakati wa kufanya mamamuzi... Kodi ya kichwa ilisomesha watu mpaka midle school kipimo kikuu kikiwa akili yako tu! Baada ya uhuru tukaambiwa serikali haina hela, Afya,Elimu,Pembejeo, Ajira,nk serikali haina hela, lakini wigo wa kodi unazidi kuongezeka mpaka kodi juu ya kodi inapewa majina mara tozo,ushuru,pay as you ann nk!. KUWAPA KURA YAKO WATU WA AINA HII NI SAWA NA KUTUMBUKIA BAHARINI BILA NYENZO UKIDHANI🙉UTATEMBEA JUU YA MAJI KAMA YESU!
Tuchague? Are you dreaming. Hakuna uchaguzi Tanzania, ni waste of time. CCM itakuwa hapompaka mwisho wa dunia.