JINSI YA KUCHAGUA VIONGOZI WABAYA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 22. 05. 2024
  • Ukitaka kiongozi mbaya au mzuri, epuka au zingatia sifa zifuatazo.
  • Hudba

Komentáře • 19

  • @Mr23031970
    @Mr23031970 Před 2 měsíci +2

    I concur with you Sir,good lesson getting you through from Baton Rouge Louisiana state USA 🇺🇸

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz Před 2 měsíci +5

    Watanzania tubadilike,tuchague viongozi wenye maono ambao watatanguliza mbele maslahi ya nchi.

  • @DonMooSTUDIO_Express
    @DonMooSTUDIO_Express Před 2 měsíci +1

    Huwa natamani uwe unachambua kila tukio la siasa linalotokea kwa uharaka. Napenda sana uchambuzi wako hauchoshi hata ikiwa ni lisaa lizima. ❤ Ksahakika unakipaji chakutafakari na kuwasilisha katika hadhira ❤ NAOMBA USIWE UNACHELEWA KUPOST ingawa nafahamu kuna ma8sha nje ya kazi hii 🙏

  • @HassanWasiwasi-lq1kh
    @HassanWasiwasi-lq1kh Před 2 měsíci +2

    Lau kama jamii yetu ya Tanzania italelewa katika fikra hizi aise naiona Tanzania mpya katika nyanja zote ❤,
    Asante kwa ushauri Bora.

  • @DonMooSTUDIO_Express
    @DonMooSTUDIO_Express Před 2 měsíci +2

    Nilianza kuipenda sana SIASA na kuifatilia kipindi alichomaliza madaraka Jakaya Kikwete CCM ikamsimamisha Hayati Magufuli na UKAWA ikamsimamisha LOWASA. Nilifatilia sana magazeti kipindi hicho nikiwa masomoni. Kuna gazeti moja silikumbuki jina lake kuna mchambuzi mmoja alikuwa ananifurahisha sana halafu picha yake anawrka kikatuni flani hivi halafu jina lake la ukweli anaficha. Sijui lilikuwa MWANANCHI au vipi!. Nililipenda sana lile gazeti kila nikilipata natafuta kulasa yake.... Alikuwa anamadini sana yule mwandishi...❤

  • @Byondorujulika17
    @Byondorujulika17 Před 2 měsíci

    Safi sana kwa uchambuzi wako muzuri na wakueleweka, huwa najifunza mengi kutoka kwako, from Cedar Rapids Iowa state USA 🇺🇸

  • @user-ly4jw9qi9x
    @user-ly4jw9qi9x Před 2 měsíci +1

    Mungu akulinde na kukutunza.

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Před měsícem +1

    Na rushwa imetawala sanaaaa sasa hivi imebeba mabomu mengi sana Ccm mijizi kibao miuza unga mikomba pesa za Nssf za wastaafu Ngurumo usemayo ni ukweli kabisa wote walitoa rushwa hawafanyi kazi kabisa mimi ni Ccm lakii ukweli tuseme

  • @paulremigiuspaul3293
    @paulremigiuspaul3293 Před 2 měsíci

    Well said Sir.

  • @frankjohn8706
    @frankjohn8706 Před měsícem +1

    Wengineb hatakama usipowachagua wanapita bila kupingwa chamsingi tuombe Mungu awakate moto wale wanaojiingiza madarakani kwa kutumia ulaghai na miguvu kwavile maranyingi tunawekewa viongozi kiubabe

  • @DiwaniMwafongo
    @DiwaniMwafongo Před 2 měsíci +1

    Mgombea yeyote akihonga Hela , kula ila usimchague.
    Watakoma tukila Hela zao lkn kura ni Siri.....

  • @prnkrtq
    @prnkrtq Před 2 měsíci

    elimu kwa wapiga kura.
    asante

  • @user-ys4wd1jc2b
    @user-ys4wd1jc2b Před měsícem

    Kweli kabisa

  • @samsoncheyo9275
    @samsoncheyo9275 Před 2 měsíci +1

    Tukitaka kupata viongozi bora tupunguze mishahara mikubwa na maslahi ya kufuru ndiyo tutapata watu wanaotaka kuwa viongozi, viongozi wenye kupenda kuongoza no matter what na sio wafuata maslahi

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před 2 měsíci

    ✌️👊👍.

  • @AlfredMoshaa
    @AlfredMoshaa Před 27 dny

    Ishu ni tume ya uchaguzi hayo mengine hayana msingi mkuu

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 Před 2 měsíci

    Wananchi tufungue macho, tuangalie historia ili tuwe na maamuzi sahihi kwa kura zetu wakati wa kufanya mamamuzi... Kodi ya kichwa ilisomesha watu mpaka midle school kipimo kikuu kikiwa akili yako tu! Baada ya uhuru tukaambiwa serikali haina hela, Afya,Elimu,Pembejeo, Ajira,nk serikali haina hela, lakini wigo wa kodi unazidi kuongezeka mpaka kodi juu ya kodi inapewa majina mara tozo,ushuru,pay as you ann nk!. KUWAPA KURA YAKO WATU WA AINA HII NI SAWA NA KUTUMBUKIA BAHARINI BILA NYENZO UKIDHANI🙉UTATEMBEA JUU YA MAJI KAMA YESU!

  • @AdamSaffi211
    @AdamSaffi211 Před měsícem

    Tuchague? Are you dreaming. Hakuna uchaguzi Tanzania, ni waste of time. CCM itakuwa hapompaka mwisho wa dunia.