Ni kauli ya wakazi wa KIA ambao serikali imewavunjia nyumba ili wahame, ikidai kuwa wameshalipwa fidia. Wao wanasisitiza kuwa kauli ya serikali ni uwongo.
Jamani wateteeni hawa Watu ni Muhimu Sana kwa Nchi yetu Tanzania, Sasa Mtu anauza Eneo lao anawanyima hadi MAKAZI 😢😢😢 Inaskitisha Sana jamani Watanzania Siku hizi ni Watu tusiojali kabisa Wenzetu wanaonewa hivi na kiteseka na Kulala nje ila Sisi tupo tunashangilia tu
Hivi,ni kweli kuwa raia hawana haki kabisa ya kushauriwa na serkali hawana utaratibu kabisa wa mawasillano mazuri na ya kweli kwa raia wetu hawa,mpaka wafike katika hali hii ya manung'uniko?
Mimi nabaki nimeshangaa kama serikali inaweza kuwafanyia uhuni wananchi wake namna hii.Hivi ni kwanini Rais pamoja na kusemwa vibaya kuhusu uuzwaji wa rasilimali zinazodaiwa kuwa ni za BARA asiseme chochote Ili kuondoa sitofahamu iliyopo?
Kila uharamu ukielezewa utaona jina la mchonga meno NYERERE. Halafu tu tunawita baba wa taifa.👹👹👹. Kule ZANZIBAR ndio kaiharibu kabisa . Na ndiomaana ukisikiya jina la NYERERE.likitajwa utasikiya laana tulaah. FANYENI mfufuwe tanganyika yenu
Mbona sijasikia wakitaja jina la Nyerere kutajwa kama mtesi hapo? Video yenye sauti unapotosha; zingekua picha tu bila sauti si ungechapa hadi kaburi la Nyerere? Mseme huyu anawatesa Wamasai sasa hivi, Nyerere kafariki almost 30 years ago na katoka madarakani almost 40 years. Mlaumu aliyefanya haya hata kama ni wa DINI yako; Mungu hapendi unafiki
Jamani wateteeni hawa Watu ni Muhimu Sana kwa Nchi yetu Tanzania, Sasa Mtu anauza Eneo lao anawanyima hadi MAKAZI 😢😢😢
Inaskitisha Sana jamani Watanzania Siku hizi ni Watu tusiojali kabisa Wenzetu wanaonewa hivi na kiteseka na Kulala nje ila Sisi tupo tunashangilia tu
Daaah waazanzibar wanatunyanyasa nchini kwetu 😢😢
Mungu awatete mpate haki yenu ndugu zetu
Hivi karne hii mtu unakujA kubomoa nyumba ya mtu bila hata maliopo, si hata mbele za Mungu ni dhambi. Jamani tuweni waungwana cheo ni dhamana
Endeleeni kukipenda chama cha majambazi.
Hivi,ni kweli kuwa raia hawana haki kabisa ya kushauriwa na serkali hawana utaratibu kabisa wa mawasillano mazuri na ya kweli kwa raia wetu hawa,mpaka wafike katika hali hii ya manung'uniko?
Sauti haipo
Mhh
CCM 🚮 watanganyika tuchukue hatua tuache woga tujikomboe na huu ukoloni mambo leo
Mimi nabaki nimeshangaa kama serikali inaweza kuwafanyia uhuni wananchi wake namna hii.Hivi ni kwanini Rais pamoja na kusemwa vibaya kuhusu uuzwaji wa rasilimali zinazodaiwa kuwa ni za BARA asiseme chochote Ili kuondoa sitofahamu iliyopo?
Poleni sana ndug zangu ndoo sera ya CCM hiyo wamekuwa wakatili mungu tusaidie
Unawesaje kumpenda mtesi wako
Wakimbizi ndani ya nchi yao!!! Inaaikitisha sana na ni karibu kubwa kwa watawala!!!
Mna uhakika mzeee hakulipwa ukute alilipwa akaminya juu kwa juu
Wako wengi.
Maisha magumu na hali kama hizo sasa maskini waende wa jamani
Poleni ndo tanzania yetu ilipo fika
😢
Changamoto kubwa sana
Mbona Zanzibar haya mambo ya watu kuamishwa kwenye ardhi zao hayapo ni bara tu?
Kiukweli binafsi miongoni mwa watu nisiowaelewa ni wale wanaoishabikia ccm😢
Kila uharamu ukielezewa utaona jina la mchonga meno NYERERE. Halafu tu tunawita baba wa taifa.👹👹👹. Kule ZANZIBAR ndio kaiharibu kabisa . Na ndiomaana ukisikiya jina la NYERERE.likitajwa utasikiya laana tulaah. FANYENI mfufuwe tanganyika yenu
Mbona sijasikia wakitaja jina la Nyerere kutajwa kama mtesi hapo? Video yenye sauti unapotosha; zingekua picha tu bila sauti si ungechapa hadi kaburi la Nyerere? Mseme huyu anawatesa Wamasai sasa hivi, Nyerere kafariki almost 30 years ago na katoka madarakani almost 40 years. Mlaumu aliyefanya haya hata kama ni wa DINI yako; Mungu hapendi unafiki