"SERIKALI INAONGOPA, HATUJALIPWA"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 24. 07. 2024
  • Ni kauli ya wakazi wa KIA ambao serikali imewavunjia nyumba ili wahame, ikidai kuwa wameshalipwa fidia. Wao wanasisitiza kuwa kauli ya serikali ni uwongo.
  • Hudba

Komentáře • 23

  • @Revelation1412.
    @Revelation1412. Před 2 měsíci +2

    Jamani wateteeni hawa Watu ni Muhimu Sana kwa Nchi yetu Tanzania, Sasa Mtu anauza Eneo lao anawanyima hadi MAKAZI 😢😢😢
    Inaskitisha Sana jamani Watanzania Siku hizi ni Watu tusiojali kabisa Wenzetu wanaonewa hivi na kiteseka na Kulala nje ila Sisi tupo tunashangilia tu

  • @davidmwamgunda7870
    @davidmwamgunda7870 Před 2 měsíci +1

    Daaah waazanzibar wanatunyanyasa nchini kwetu 😢😢

  • @hadijasufiani6167
    @hadijasufiani6167 Před 2 měsíci

    Mungu awatete mpate haki yenu ndugu zetu

  • @edsonnelson4464
    @edsonnelson4464 Před 2 měsíci

    Hivi karne hii mtu unakujA kubomoa nyumba ya mtu bila hata maliopo, si hata mbele za Mungu ni dhambi. Jamani tuweni waungwana cheo ni dhamana

  • @mgungulem3187
    @mgungulem3187 Před 2 měsíci

    Endeleeni kukipenda chama cha majambazi.

  • @ChristmasMaheri
    @ChristmasMaheri Před 2 měsíci

    Hivi,ni kweli kuwa raia hawana haki kabisa ya kushauriwa na serkali hawana utaratibu kabisa wa mawasillano mazuri na ya kweli kwa raia wetu hawa,mpaka wafike katika hali hii ya manung'uniko?

  • @IdirisaKhamis
    @IdirisaKhamis Před 2 měsíci

    Sauti haipo

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz Před 2 měsíci

    Mhh

  • @MiriamAbdallah
    @MiriamAbdallah Před 2 měsíci

    CCM 🚮 watanganyika tuchukue hatua tuache woga tujikomboe na huu ukoloni mambo leo

  • @salummohamed2689
    @salummohamed2689 Před 2 měsíci

    Mimi nabaki nimeshangaa kama serikali inaweza kuwafanyia uhuni wananchi wake namna hii.Hivi ni kwanini Rais pamoja na kusemwa vibaya kuhusu uuzwaji wa rasilimali zinazodaiwa kuwa ni za BARA asiseme chochote Ili kuondoa sitofahamu iliyopo?

  • @user-fl7jl7vk3n
    @user-fl7jl7vk3n Před 2 měsíci

    Poleni sana ndug zangu ndoo sera ya CCM hiyo wamekuwa wakatili mungu tusaidie

  • @LaizerSangau
    @LaizerSangau Před 2 měsíci +1

    Unawesaje kumpenda mtesi wako

  • @augustinemukandara9341
    @augustinemukandara9341 Před 2 měsíci

    Wakimbizi ndani ya nchi yao!!! Inaaikitisha sana na ni karibu kubwa kwa watawala!!!

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 Před 2 měsíci

    Mna uhakika mzeee hakulipwa ukute alilipwa akaminya juu kwa juu

  • @hadijasufiani6167
    @hadijasufiani6167 Před 2 měsíci

    Maisha magumu na hali kama hizo sasa maskini waende wa jamani

  • @user-gc7ft9do4e
    @user-gc7ft9do4e Před 2 měsíci

    Poleni ndo tanzania yetu ilipo fika

  • @VitalisMmassi-oh4jb
    @VitalisMmassi-oh4jb Před 2 měsíci

    Mbona Zanzibar haya mambo ya watu kuamishwa kwenye ardhi zao hayapo ni bara tu?

  • @williamgeorge-hd2tn
    @williamgeorge-hd2tn Před 2 měsíci

    Kiukweli binafsi miongoni mwa watu nisiowaelewa ni wale wanaoishabikia ccm😢

  • @saidabdala4980
    @saidabdala4980 Před 2 měsíci

    Kila uharamu ukielezewa utaona jina la mchonga meno NYERERE. Halafu tu tunawita baba wa taifa.👹👹👹. Kule ZANZIBAR ndio kaiharibu kabisa . Na ndiomaana ukisikiya jina la NYERERE.likitajwa utasikiya laana tulaah. FANYENI mfufuwe tanganyika yenu

    • @fadhililihinda6491
      @fadhililihinda6491 Před 2 měsíci

      Mbona sijasikia wakitaja jina la Nyerere kutajwa kama mtesi hapo? Video yenye sauti unapotosha; zingekua picha tu bila sauti si ungechapa hadi kaburi la Nyerere? Mseme huyu anawatesa Wamasai sasa hivi, Nyerere kafariki almost 30 years ago na katoka madarakani almost 40 years. Mlaumu aliyefanya haya hata kama ni wa DINI yako; Mungu hapendi unafiki