MBUNGE ATUKANWA NA WANANCHI KISA HAPOKEI SIMU ZAO - "SIWEZI KUPOKEA SIMU ZOTE"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 28. 03. 2022
  • MBUNGE ATUKANWA NA WANANCHI KISA HAPOKEI SIMU ZAO - "SIWEZI KUPOKEA SIMU ZOTE"
    Mbunge wa Jimbo la Ulanga Salim Alaudin Hasham amewataka baadhi ya Wananchi wanaomtolea lugha za matusi asipopokea simu zao kuacha kufanya hivyo kwakuwa hupokea simu zaidi ya 200 kwa siku moja.
    Akizungumza na wakazi wa kata ya Lupiro wilayani Ulanga alipoenda kutoa msaada wa bati na unga kwa wahanga waliobomolewa nyumba zao na upepo Salim amesema ameweka makatibu wa Mbunge kila kata ili wamsaidie kupokea changamoto za wananchi ili wazipeleke kwake kwa ajili ya kuzitafutia ufumbuzi.
    Aidha Mbunge amewaeleza wananchi wa jimbo hilo kuwa hata asipopokea simu zao changamoto zao humfikia kupitia makatibu wake na zile zilizo ndani ya uwezo wake huzitatua.
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Komentáře • 114

  • @hannanommy302
    @hannanommy302 Před 2 lety +14

    Kama huwezi kupokea simu subiri kipindi cha uchaguzi ndo utajua hujui;wasikilize Usiogope matusi hayauwi,

  • @mwamkolutego6197
    @mwamkolutego6197 Před 2 lety +7

    Busara ni kdg hapo huwezi kuongea hivo na wapiga kula wako ,basi umeshindwa kunyoosha tumia hata uongo bc lkn kwa kauli hiyo kwa huwezi kupokea simu zote tyr anahabu kura zake mwenyewe kazi ipo .

  • @aronatv47
    @aronatv47 Před 2 lety +6

    Wabunge wengi walipita kwa Nguvu ya Serikali ys Awamu ya Tano kwa Mabavu musipoangalia wengi mtakatwa sans 2025.

    • @salumjumaruhaga2513
      @salumjumaruhaga2513 Před 2 lety

      Hata mmoja harudi ,yaani ilikuwa kwenye Kura za maoni anachukuliwa mshindi wa mwisho yaani watatu ndio anagombea

  • @fortunatusphilimon8992
    @fortunatusphilimon8992 Před 2 lety +1

    Hatariiii

  • @fredrickswai2566
    @fredrickswai2566 Před 2 lety +9

    Ajiri mtu wa kupokea simu za wananchi wako.

  • @bernardjohn8788
    @bernardjohn8788 Před 2 lety +3

    Hilo ni kosa kubwa sana kwa mwanasiasa angetumia njia nyingine, hiyo clip watakuja kuitumia wakati wa kura, kila mbunge anakutana na hali hiyo ila hawalisemei hadharani inatakiwa uishi kisanii hivyo hivyo

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 Před 2 lety +6

    2025 kweli ni kugumu mno sema tu upinzani ndio hauendi na fursa ila wengi wenu mmeingiya pale kwa msaada wa marehemu Mze Magu.

  • @user-ep7uz3tk3f
    @user-ep7uz3tk3f Před rokem

    Umechemka,Bora ungefinyia!

  • @simulizi2678
    @simulizi2678 Před 2 lety +1

    Yeaaah subiri adi 2025.

  • @benardmwinuka6948
    @benardmwinuka6948 Před 2 lety

    Umechemka ww mpuuzi sana

  • @habibumussa7712
    @habibumussa7712 Před 2 lety +1

    Tatizo lenu mkisha pata mna sahau sana

  • @Mbingu77
    @Mbingu77 Před 2 lety

    Weka sekretari wa kupokea su tuu😄😄😄😄😄

  • @rajabuamiri5016
    @rajabuamiri5016 Před 2 lety +1

    Piga kazi muheshimiwa

  • @maxcharles5436
    @maxcharles5436 Před 2 lety +1

    Huyu jamaa yuko vzr sana

  • @benedictmrisho5947
    @benedictmrisho5947 Před 2 lety +2

    Hawaelewi Kuwa umma ndio uliomchagua. Wengi wenye maringo huja kujutia uchaguzi ukifika. Subiri uchaguzi ujao Kama unawahangaikia usihofu 2025 watakuenzi lakini Mh kama unawadharau 2025 usijaribu.

  • @frankkimaro1354
    @frankkimaro1354 Před 2 lety +2

    Acha dharau Kijana

  • @nyellasuwedisanga6929
    @nyellasuwedisanga6929 Před 2 lety

    We unashida kwani unafanya bure c unalipwa wanna uliga 😁😁😁

  • @adammbuba7230
    @adammbuba7230 Před 2 lety

    Kweli kabsa mh

  • @Fks856
    @Fks856 Před 2 lety

    Ndivo mnajitetea

  • @heritier5119
    @heritier5119 Před 2 lety +4

    Huyu mbunge kafanya Sana maendeleo kwa pesa zake za mfukoni, kajenga vituo vya afya, kajenga mashule, zaidi mcheki youtube

  • @reganmartin5485
    @reganmartin5485 Před 2 lety +4

    Simu 200 kwa siku na Kila mtu atumie dakika 3 kuongea hapo ni dakika 600 ina maana ataongea saa moja asubuhi Hadi saa 10 yaani masaa 10 Bila kupumzika je Nani anaweza?

    • @Sangaadam
      @Sangaadam Před 2 lety

      Ndio maana Wabunge wanatakiwa kua na ofisi ili kuwe na simu maarumu kwa ajili ya Mambo yanayohusu Ubunge ,So sio lazima simu apokee yeye Ila ofisi itapokea simu za wananchi wako na kupangilia jinsi ya kutatua kero au maombi ya wananchi wako...... Hao ndo wale wa vikaratasi km Steve Nyerere alivyo waita hawajui hata wajibu wao ni nn

  • @floramlowe7078
    @floramlowe7078 Před 2 lety

    Jamani watu wa ulanga wanarahisisha uongozi sio kazi rahisi.

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad1802 Před 2 lety

    Tenga mda kila wiki au kila mwezi uwafate uwasikilize shida zao

  • @seifndimbaye1919
    @seifndimbaye1919 Před 2 lety +1

    sasa huwez pokea sim zawalio kuchagua ayo maendeleo unayo waletea huwa unayaota au kukiwa namatukio yakustukisa piya unayaota? hufai

  • @emmanuelndahan9815
    @emmanuelndahan9815 Před měsícem

    Kauli zako hazina afya

  • @veronicascottmollel7897

    Ulanga kwetu ❤️

  • @fabianmayunga1166
    @fabianmayunga1166 Před 2 lety

    😲2025 UTAJUA HUJUI🤕

  • @siashao169
    @siashao169 Před 2 lety +1

    Pokea sim za wananchi wako! ujue matatizo yao ili ukawakilishe huko kwenye vikao.

  • @mugemainyas5241
    @mugemainyas5241 Před rokem

    Wabunge ni kama watumwa. Labda mwambieni wachague watu wawili ndo wawe wawakilishe kero zao.

  • @manenombuma3987
    @manenombuma3987 Před 2 lety

    Mbeleko election.hii ni hatari.

  • @robbierobin3094
    @robbierobin3094 Před 2 lety

    Hahaha nitoe na 20k mheshimiwa

  • @rahmarahma920
    @rahmarahma920 Před 2 lety

    Huchaguliwitena kwanini usipokee hunasababuya msingi

  • @Mbingu77
    @Mbingu77 Před 2 lety

    😄😄😄😄 subiri utaona mh mbunge😄😄🛌

  • @kalengashoppingcenter1108

    Tunakupiga chini tu, no kujitetea huna Dili kazi rushwa tu

  • @latifabashiru5598
    @latifabashiru5598 Před 2 lety

    Mda wa kupokea cm huna ila sms unasoma ?

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya9506 Před 2 lety +1

    Hahaha nimecheka mpaka mate

  • @user-kw5pb9dd7p
    @user-kw5pb9dd7p Před 3 měsíci

    Pokea Sim

  • @boscomfundo7953
    @boscomfundo7953 Před 2 lety

    Boya kwel huyu, ndio shida ya wabunge wa michongo hawa

  • @muhidiniabass4385
    @muhidiniabass4385 Před 2 lety

    Acha ujinga ujue nafac uliyopo waliyokuweka ndo hao usiyopokea cm zao

  • @user-sm7gj4mn5n
    @user-sm7gj4mn5n Před 15 dny

    Wewe mbunge mshamba hujui majukumu yako ulivyo omba kazi

  • @jeffkonki8279
    @jeffkonki8279 Před 2 lety

    Mbona kwenye uchaguzi mnapokeaga sana

  • @amooclassic1133
    @amooclassic1133 Před 2 lety

    Kijana utangushwa kama kampuni ya kamisi comes 2025 ,,

  • @amiribakari2528
    @amiribakari2528 Před 2 lety +1

    mbona wakati unatafuta kura ulikua unapokea ..na ukawaahudi piga sim wote me nitapokea ..na mpo wengi sio wewe tu 25 mtatujua

  • @thomaschengena6369
    @thomaschengena6369 Před 2 lety

    ukiamua unaweza kwann usiwape wasaidizi wako

  • @Hamy1109
    @Hamy1109 Před 2 lety

    Acha kulia lia....si ulitaka mwenyewe Ubunge. Wewe 2025 hutoboi! Huwajui wananchi wewe.

  • @johnmakubi190
    @johnmakubi190 Před 2 lety

    kwani alichaguliwa nanani?

  • @shabansalee4924
    @shabansalee4924 Před 2 lety +1

    Kwa mm sijakuerewa 😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @elicanageorge1319
    @elicanageorge1319 Před 2 lety

    USIYAONGEE HAYO MKUU HAPO UNATENGENEZA MATATIZO 2025 ACHANA NA HIO HABARI

  • @benardthomas8347
    @benardthomas8347 Před 2 lety

    Huyo mmemchagua akalete maendeleo yake siyo ya wananchi, kwan hakuna njia nyingine ya kusikiliza kero za wananchi.

  • @Sangaadam
    @Sangaadam Před 2 lety

    Huyu mbunge hajui kabisa kujieleza daah!!!

    • @Hamy1109
      @Hamy1109 Před 2 lety +1

      Hajui siasa huyo....yeye analeta habari za "Logic" mbele ya Wananchi....Ngoja 2025 watasema hayo hayo ya kugoma kupokea simu zao na ndio hapo inakuwa bye bye

  • @hamidmweusiii35
    @hamidmweusiii35 Před 2 lety

    Huyu mbunge kiufup 25 hana chake kw hyo saiv achkue chake mapema afany mambo yake aachane na wananchi wapmbn na hali zao huwez kila mtu ukamrizisha kwiy broo ushapta shavu jipange kivyako ule shavu na familia yako maisha yaende

  • @Worldunite
    @Worldunite Před 2 lety +1

    Ila kusema ukweli kupokea simu 200 kwa siku inabidi uwe na kichwa km gorofa, sio mchezo

  • @venancerichard920
    @venancerichard920 Před 2 lety

    Anajitetea huyo kashapata

  • @xingho3990
    @xingho3990 Před rokem

    Wewe acha ubabe

  • @jumannentimizi9000
    @jumannentimizi9000 Před 2 lety

    WEWE SIYO MBUGE WAWANANCHI WEWE NI MBUGE WA MWENDAZAKE KWANI HUO MWAKA 2020 ULITEULIWA TU SIYO KWAMBA ULICHANGULIWA WEWE USIWADANGANYE WATU

  • @yusufmohamed8874
    @yusufmohamed8874 Před 2 lety +1

    Kwanini ufunge vioo wakati wa kutafuta kura unavifungua.

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw Před měsícem

    Kwan wanakupigia simu kila siku umekua nani wao tu kwakua hawajui kwan mbunge analeta maendeleo gani kwenye taifa mm najua kazi yako ni kuwakilisha kero za wananchi bungeni lakin hela hutoi wewe

  • @boniphacewambura1427
    @boniphacewambura1427 Před 2 lety +2

    Kama huwez kupangilia ratiba na kupokea simu achia ngazi na hii ni dalili ya kuferi
    Kutuambia màmbo ya makatibi hizo ni siasa

    • @christianhussein5128
      @christianhussein5128 Před 2 lety +1

      Sasa unapiga cm za mizinga wewe mwananchi nenda kalime

    • @fatmafaki6163
      @fatmafaki6163 Před 2 lety

      @@christianhussein5128 huyo mbunge hasemi kweli, anaona Kila simu ataombwa, basi bora divert simu zote bakisha ya mama Samia tu akitegemea uteuzi, si hapendi kutoa yeye apewe tu

  • @jumakapola419
    @jumakapola419 Před 2 lety

    Wanaichi muwe makini kuchukua elfu 10000 zao

  • @africakaka7217
    @africakaka7217 Před 2 lety

    Pokea simu ili ujue changamoto zawananchi wako ama tenga muda wakuwasikiliza wananchi wako bila wao usingekua hapo, wape muda ili uweze kuongea nao nasio kusema umechaguliwa Kupokea simu ama shida zao, kumbuka wao ndio wanaojua changamoto wanazo zipata kwahiyo kawaida kukupigia . Hivyo tu kiongozi

  • @ramadhanimtetu7246
    @ramadhanimtetu7246 Před 2 lety

    Mbunge niajili niwe mpokea simu wako jamani nakuhakikishia hiyo shida itakwisha

  • @heritier5119
    @heritier5119 Před 2 lety

    Wananchi watakula simu,

  • @otianasanga9106
    @otianasanga9106 Před 2 lety

    Nikweli mtajua niwapi mmekosea kama umechoka kupokea bas waachie watakaoweza kupokea

  • @mzeemtopa1086
    @mzeemtopa1086 Před 2 lety

    Mbona wakati wa kampeni unapokeabkucha nzima

  • @jacksongidion5170
    @jacksongidion5170 Před 2 lety

    6

  • @makongorowassira6593
    @makongorowassira6593 Před 2 lety

    Huyu mbunge hajitambui, kwani hana ofisi ya mbunge? Direct calls kwenye ofisi.

  • @simbarajabu4157
    @simbarajabu4157 Před 2 lety

    Ndio zao hao wabunge

  • @muhambwetvonline
    @muhambwetvonline Před 2 lety

    Mkishiba ndio zenu sasa 20 tu unashindwa hata ku songesha

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 Před 2 lety

    Uchaguzi Ujao Utakua Mkali Kuliko Muazavo Kwasababu Moja Uchaguzi Uliopita Wengi Wameteleza Lakini Ndio Ivo Sema Yajayo Yanapendeza Sema Upinzani Wanachowaza Madalaka Badala Ya Kujipanga Mbunge Wewe Wacha Uongo Wewe Wakati Wa Uchaguzi Ungepokea Simu Zote Na Iyo Elfu20 Ungetoa Bila Kerere Zozote Au Sisi Kujua

  • @heritier5119
    @heritier5119 Před 2 lety

    Salimu ajiri mtu wa kupokea simu

  • @saidhassan7779
    @saidhassan7779 Před 2 lety

    KWANI UMELAZIMISWA UGOMBANIE AU??

  • @omarytexesunauwababa4587

    Mbunge ni watu

  • @saryajoseph6642
    @saryajoseph6642 Před 2 lety

    Pokea simu za watu wewe Acha janja janja

  • @burudikanamaruma8950
    @burudikanamaruma8950 Před 2 lety

    Huyu jamaa huyu ongea tu imebeba dharau

  • @otianasanga9106
    @otianasanga9106 Před 2 lety

    Kwani unafanya Bure

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 Před 2 lety

    Wewe si mbunge ,mbona Una chemka ,ilA wewe hukuchaguluiwa uliwekwa Tu kama boya

  • @MyName-wd8cp
    @MyName-wd8cp Před 2 lety +2

    Huna kazi zingine zakufanya?? Kwani hizo unazofanya ni kazi za nani?
    Siasa! Siasa! Siasa! SIASA NI URONGO, SIASA NI KUPAKANA MATOPE, hizi ndizo kauli za wana siasa! Je, kwa mwananchi unategemea nini kwa mwana siasa?
    Unampigia mtu kura kisha yeye anapata Kula vizuri na familia yake. And then wew unabaki kuomba omba. WANASIASA MUOGOPENI MUNGU hakuna cheo chakudumu hapa duniani!

  • @husseinkhaji895
    @husseinkhaji895 Před 2 lety

    Mwongo tu wewe kwani ukipokea ukamwambia huna atakufanyaje ukipigiwa simu na mkeo au mama yako hutapokea? Acha kujiteea

  • @sagandamalechampullo659
    @sagandamalechampullo659 Před 2 lety +3

    HIZO NI DHARAU SANA, FALA WEWE YAANI, UNAKATIBU, SECRETARY, NA MSAIDIZI WAKO HALAFU WOTE WASHINDWE KUPOKEA SIMU OFISI NZIMA, SI DHARAU HIZO!

    • @modestmzumbwe588
      @modestmzumbwe588 Před 2 lety

      Mtu ambaye hakuchaguliwa hawezi kujua hayo hao walibebwa

  • @simbarajabu4157
    @simbarajabu4157 Před 2 lety +1

    Mm napokea cm Mia 3 kwa cku ,sasa ww unashindwa nn

  • @odilomagungu8803
    @odilomagungu8803 Před 2 lety

    Huchaguliwi Tena wewe

  • @Worldunite
    @Worldunite Před 2 lety

    Vikao mnalipwa lkn wewe, sio kwamba hamlipwi

  • @fadhilikazingo1261
    @fadhilikazingo1261 Před 2 lety

    Natamani kujenga hoja na kusema kitu ila acha ninyamanze tu🥺🥺

  • @haniffa9024
    @haniffa9024 Před 2 lety

    MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA ILI UPONE KANSA...DAWA YA KANSA
    *#.
    czcams.com/video/ZgfBwGAJlrQ/video.html

  • @bahatikazungu7657
    @bahatikazungu7657 Před 2 lety +1

    Kweli wewe mbunge kubwa jinga kwa hiyo kila simu niyakukuomba hera kama ni changamoto ya shule

  • @husseinhumbi6373
    @husseinhumbi6373 Před 2 lety +1

    Acha uwongo Kama ulikuwa na kazi nyingine ya kufanya way ukwenda kufanya hizo kazi acha uongo kwa watz

  • @bulikidittu3361
    @bulikidittu3361 Před 2 lety +1

    "Sio kwamba Sina shughuli zngne za kufanya" WTF kwahiyo hyo siyo kazi yake kwenda kwenye vikao juu ya wananchi wake au n ya nan

    • @johnlembo2955
      @johnlembo2955 Před 2 lety

      Yeah wtf! Hataki kusumbuliwa, ana kazi zake zingine za kufanya. Anakosaje kuwa na secretary kwa mfano

    • @bulikidittu3361
      @bulikidittu3361 Před 2 lety

      @@johnlembo2955 nan kaongelea kuhusu kusumbuliwa kwenye simu, I talked about meetings only kwann aseme ameenda kwenye vikao kwaajili yao siyo kua hana mambo mengne ya kufanya bt aliamua kwenda kwaajili yao. Hio dharau, vikao n majukumu yake.

    • @johnlembo2955
      @johnlembo2955 Před 2 lety +1

      @@bulikidittu3361 I think there is some misunderstanding here on my comment. I started with "yeah"(yes) meaning nakuunga mkono. Why would he say in public that he have some parsonal things to do when he wanted this kind of job? It's arrogant and incompetent of him. He supposed to have a secretary kumsaidia kuchukua simu zingine. He do not deserve a job as mbunge

  • @saadmbaraqa5272
    @saadmbaraqa5272 Před 2 lety

    Wajinga ndio waliwao

  • @boniphacewambura1427
    @boniphacewambura1427 Před 2 lety +2

    Umepata ubunge unaringa acha dharau

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 Před 2 lety +1

      Huyu ni la 7, lakini baada ya kupata Ubunge, dharau imezidi ! Jamaa hakumbuki kuwa Wananchi hawa ndio walimpa heshima alionayo! 2025 atajifunza kitu !

    • @heritier5119
      @heritier5119 Před 2 lety

      Ana pesa kuliko hata huo ubunge, wananchi ndio waliomlazimisha awe mbunge. Ni tajiri wa migodi ya madini

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 Před 2 lety +1

      Ni kweli, alikuwa na pesa, lakini alikuwa anahitaji heshima... Kukaa na Wasomi wakati yeye hata kuandika ni shida, kuwa karibu na Wakubwa wa Nchi hii, kuheshimika katika Jamii! Na hii ameipata kupitia Wananchi... Kwa hiyo, ajishushe na kuacha dharau!

    • @boniphacewambura1427
      @boniphacewambura1427 Před 2 lety

      Eti anapesa kuliko ubunge acheni uongo

    • @hafidhcalavoice9295
      @hafidhcalavoice9295 Před 2 lety

      Hujitambui wewe umekosra sana

  • @haniffa9024
    @haniffa9024 Před 2 lety

    MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA ILI UPONE KANSA...DAWA YA KANSA
    *#.
    czcams.com/video/ZgfBwGAJlrQ/video.html