MBUNGE ATUKANWA NA WANANCHI KISA HAPOKEI SIMU ZAO - "SIWEZI KUPOKEA SIMU ZOTE"
Vložit
- čas přidán 28. 03. 2022
- MBUNGE ATUKANWA NA WANANCHI KISA HAPOKEI SIMU ZAO - "SIWEZI KUPOKEA SIMU ZOTE"
Mbunge wa Jimbo la Ulanga Salim Alaudin Hasham amewataka baadhi ya Wananchi wanaomtolea lugha za matusi asipopokea simu zao kuacha kufanya hivyo kwakuwa hupokea simu zaidi ya 200 kwa siku moja.
Akizungumza na wakazi wa kata ya Lupiro wilayani Ulanga alipoenda kutoa msaada wa bati na unga kwa wahanga waliobomolewa nyumba zao na upepo Salim amesema ameweka makatibu wa Mbunge kila kata ili wamsaidie kupokea changamoto za wananchi ili wazipeleke kwake kwa ajili ya kuzitafutia ufumbuzi.
Aidha Mbunge amewaeleza wananchi wa jimbo hilo kuwa hata asipopokea simu zao changamoto zao humfikia kupitia makatibu wake na zile zilizo ndani ya uwezo wake huzitatua.
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Kama huwezi kupokea simu subiri kipindi cha uchaguzi ndo utajua hujui;wasikilize Usiogope matusi hayauwi,
Busara ni kdg hapo huwezi kuongea hivo na wapiga kula wako ,basi umeshindwa kunyoosha tumia hata uongo bc lkn kwa kauli hiyo kwa huwezi kupokea simu zote tyr anahabu kura zake mwenyewe kazi ipo .
Wabunge wengi walipita kwa Nguvu ya Serikali ys Awamu ya Tano kwa Mabavu musipoangalia wengi mtakatwa sans 2025.
Hata mmoja harudi ,yaani ilikuwa kwenye Kura za maoni anachukuliwa mshindi wa mwisho yaani watatu ndio anagombea
Hatariiii
Ajiri mtu wa kupokea simu za wananchi wako.
Kwa nn msg unasoma simu hupokei
Unadhani kupokea mionzi 200 mchezo
Hilo ni kosa kubwa sana kwa mwanasiasa angetumia njia nyingine, hiyo clip watakuja kuitumia wakati wa kura, kila mbunge anakutana na hali hiyo ila hawalisemei hadharani inatakiwa uishi kisanii hivyo hivyo
2025 kweli ni kugumu mno sema tu upinzani ndio hauendi na fursa ila wengi wenu mmeingiya pale kwa msaada wa marehemu Mze Magu.
Umechemka,Bora ungefinyia!
Yeaaah subiri adi 2025.
Umechemka ww mpuuzi sana
Tatizo lenu mkisha pata mna sahau sana
Weka sekretari wa kupokea su tuu😄😄😄😄😄
Piga kazi muheshimiwa
Huyu jamaa yuko vzr sana
Hawaelewi Kuwa umma ndio uliomchagua. Wengi wenye maringo huja kujutia uchaguzi ukifika. Subiri uchaguzi ujao Kama unawahangaikia usihofu 2025 watakuenzi lakini Mh kama unawadharau 2025 usijaribu.
Acha dharau Kijana
We unashida kwani unafanya bure c unalipwa wanna uliga 😁😁😁
Kweli kabsa mh
Ndivo mnajitetea
Huyu mbunge kafanya Sana maendeleo kwa pesa zake za mfukoni, kajenga vituo vya afya, kajenga mashule, zaidi mcheki youtube
Sio hela zake bali za ofisi ya mbunge. Ambazo ni nyingi tu
Simu 200 kwa siku na Kila mtu atumie dakika 3 kuongea hapo ni dakika 600 ina maana ataongea saa moja asubuhi Hadi saa 10 yaani masaa 10 Bila kupumzika je Nani anaweza?
Ndio maana Wabunge wanatakiwa kua na ofisi ili kuwe na simu maarumu kwa ajili ya Mambo yanayohusu Ubunge ,So sio lazima simu apokee yeye Ila ofisi itapokea simu za wananchi wako na kupangilia jinsi ya kutatua kero au maombi ya wananchi wako...... Hao ndo wale wa vikaratasi km Steve Nyerere alivyo waita hawajui hata wajibu wao ni nn
Jamani watu wa ulanga wanarahisisha uongozi sio kazi rahisi.
Tenga mda kila wiki au kila mwezi uwafate uwasikilize shida zao
sasa huwez pokea sim zawalio kuchagua ayo maendeleo unayo waletea huwa unayaota au kukiwa namatukio yakustukisa piya unayaota? hufai
Kauli zako hazina afya
Ulanga kwetu ❤️
😲2025 UTAJUA HUJUI🤕
Pokea sim za wananchi wako! ujue matatizo yao ili ukawakilishe huko kwenye vikao.
Wabunge ni kama watumwa. Labda mwambieni wachague watu wawili ndo wawe wawakilishe kero zao.
Mbeleko election.hii ni hatari.
Hahaha nitoe na 20k mheshimiwa
Huchaguliwitena kwanini usipokee hunasababuya msingi
😄😄😄😄 subiri utaona mh mbunge😄😄🛌
Tunakupiga chini tu, no kujitetea huna Dili kazi rushwa tu
Mda wa kupokea cm huna ila sms unasoma ?
Hahaha nimecheka mpaka mate
Pokea Sim
Boya kwel huyu, ndio shida ya wabunge wa michongo hawa
Acha ujinga ujue nafac uliyopo waliyokuweka ndo hao usiyopokea cm zao
Wewe mbunge mshamba hujui majukumu yako ulivyo omba kazi
Mbona kwenye uchaguzi mnapokeaga sana
Kijana utangushwa kama kampuni ya kamisi comes 2025 ,,
mbona wakati unatafuta kura ulikua unapokea ..na ukawaahudi piga sim wote me nitapokea ..na mpo wengi sio wewe tu 25 mtatujua
ukiamua unaweza kwann usiwape wasaidizi wako
Acha kulia lia....si ulitaka mwenyewe Ubunge. Wewe 2025 hutoboi! Huwajui wananchi wewe.
kwani alichaguliwa nanani?
Kwa mm sijakuerewa 😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😭😭😭😭😭😭😭😭
USIYAONGEE HAYO MKUU HAPO UNATENGENEZA MATATIZO 2025 ACHANA NA HIO HABARI
Huyo mmemchagua akalete maendeleo yake siyo ya wananchi, kwan hakuna njia nyingine ya kusikiliza kero za wananchi.
Huyu mbunge hajui kabisa kujieleza daah!!!
Hajui siasa huyo....yeye analeta habari za "Logic" mbele ya Wananchi....Ngoja 2025 watasema hayo hayo ya kugoma kupokea simu zao na ndio hapo inakuwa bye bye
Huyu mbunge kiufup 25 hana chake kw hyo saiv achkue chake mapema afany mambo yake aachane na wananchi wapmbn na hali zao huwez kila mtu ukamrizisha kwiy broo ushapta shavu jipange kivyako ule shavu na familia yako maisha yaende
Ila kusema ukweli kupokea simu 200 kwa siku inabidi uwe na kichwa km gorofa, sio mchezo
Unaamini hayo anayosema
Anajitetea huyo kashapata
Wewe acha ubabe
WEWE SIYO MBUGE WAWANANCHI WEWE NI MBUGE WA MWENDAZAKE KWANI HUO MWAKA 2020 ULITEULIWA TU SIYO KWAMBA ULICHANGULIWA WEWE USIWADANGANYE WATU
Kwanini ufunge vioo wakati wa kutafuta kura unavifungua.
Kwan wanakupigia simu kila siku umekua nani wao tu kwakua hawajui kwan mbunge analeta maendeleo gani kwenye taifa mm najua kazi yako ni kuwakilisha kero za wananchi bungeni lakin hela hutoi wewe
Kama huwez kupangilia ratiba na kupokea simu achia ngazi na hii ni dalili ya kuferi
Kutuambia màmbo ya makatibi hizo ni siasa
Sasa unapiga cm za mizinga wewe mwananchi nenda kalime
@@christianhussein5128 huyo mbunge hasemi kweli, anaona Kila simu ataombwa, basi bora divert simu zote bakisha ya mama Samia tu akitegemea uteuzi, si hapendi kutoa yeye apewe tu
Wanaichi muwe makini kuchukua elfu 10000 zao
Pokea simu ili ujue changamoto zawananchi wako ama tenga muda wakuwasikiliza wananchi wako bila wao usingekua hapo, wape muda ili uweze kuongea nao nasio kusema umechaguliwa Kupokea simu ama shida zao, kumbuka wao ndio wanaojua changamoto wanazo zipata kwahiyo kawaida kukupigia . Hivyo tu kiongozi
Mbunge niajili niwe mpokea simu wako jamani nakuhakikishia hiyo shida itakwisha
Wananchi watakula simu,
Nikweli mtajua niwapi mmekosea kama umechoka kupokea bas waachie watakaoweza kupokea
Mbona wakati wa kampeni unapokeabkucha nzima
6
Huyu mbunge hajitambui, kwani hana ofisi ya mbunge? Direct calls kwenye ofisi.
Ndio zao hao wabunge
Mkishiba ndio zenu sasa 20 tu unashindwa hata ku songesha
Uchaguzi Ujao Utakua Mkali Kuliko Muazavo Kwasababu Moja Uchaguzi Uliopita Wengi Wameteleza Lakini Ndio Ivo Sema Yajayo Yanapendeza Sema Upinzani Wanachowaza Madalaka Badala Ya Kujipanga Mbunge Wewe Wacha Uongo Wewe Wakati Wa Uchaguzi Ungepokea Simu Zote Na Iyo Elfu20 Ungetoa Bila Kerere Zozote Au Sisi Kujua
Salimu ajiri mtu wa kupokea simu
KWANI UMELAZIMISWA UGOMBANIE AU??
Mbunge ni watu
Pokea simu za watu wewe Acha janja janja
Huyu jamaa huyu ongea tu imebeba dharau
Kwani unafanya Bure
Wewe si mbunge ,mbona Una chemka ,ilA wewe hukuchaguluiwa uliwekwa Tu kama boya
Huna kazi zingine zakufanya?? Kwani hizo unazofanya ni kazi za nani?
Siasa! Siasa! Siasa! SIASA NI URONGO, SIASA NI KUPAKANA MATOPE, hizi ndizo kauli za wana siasa! Je, kwa mwananchi unategemea nini kwa mwana siasa?
Unampigia mtu kura kisha yeye anapata Kula vizuri na familia yake. And then wew unabaki kuomba omba. WANASIASA MUOGOPENI MUNGU hakuna cheo chakudumu hapa duniani!
Mwongo tu wewe kwani ukipokea ukamwambia huna atakufanyaje ukipigiwa simu na mkeo au mama yako hutapokea? Acha kujiteea
HIZO NI DHARAU SANA, FALA WEWE YAANI, UNAKATIBU, SECRETARY, NA MSAIDIZI WAKO HALAFU WOTE WASHINDWE KUPOKEA SIMU OFISI NZIMA, SI DHARAU HIZO!
Mtu ambaye hakuchaguliwa hawezi kujua hayo hao walibebwa
Mm napokea cm Mia 3 kwa cku ,sasa ww unashindwa nn
Nawe mbunge
Huchaguliwi Tena wewe
Vikao mnalipwa lkn wewe, sio kwamba hamlipwi
Natamani kujenga hoja na kusema kitu ila acha ninyamanze tu🥺🥺
MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA ILI UPONE KANSA...DAWA YA KANSA
*#.
czcams.com/video/ZgfBwGAJlrQ/video.html
Kweli wewe mbunge kubwa jinga kwa hiyo kila simu niyakukuomba hera kama ni changamoto ya shule
Acha uwongo Kama ulikuwa na kazi nyingine ya kufanya way ukwenda kufanya hizo kazi acha uongo kwa watz
"Sio kwamba Sina shughuli zngne za kufanya" WTF kwahiyo hyo siyo kazi yake kwenda kwenye vikao juu ya wananchi wake au n ya nan
Yeah wtf! Hataki kusumbuliwa, ana kazi zake zingine za kufanya. Anakosaje kuwa na secretary kwa mfano
@@johnlembo2955 nan kaongelea kuhusu kusumbuliwa kwenye simu, I talked about meetings only kwann aseme ameenda kwenye vikao kwaajili yao siyo kua hana mambo mengne ya kufanya bt aliamua kwenda kwaajili yao. Hio dharau, vikao n majukumu yake.
@@bulikidittu3361 I think there is some misunderstanding here on my comment. I started with "yeah"(yes) meaning nakuunga mkono. Why would he say in public that he have some parsonal things to do when he wanted this kind of job? It's arrogant and incompetent of him. He supposed to have a secretary kumsaidia kuchukua simu zingine. He do not deserve a job as mbunge
Wajinga ndio waliwao
Umepata ubunge unaringa acha dharau
Huyu ni la 7, lakini baada ya kupata Ubunge, dharau imezidi ! Jamaa hakumbuki kuwa Wananchi hawa ndio walimpa heshima alionayo! 2025 atajifunza kitu !
Ana pesa kuliko hata huo ubunge, wananchi ndio waliomlazimisha awe mbunge. Ni tajiri wa migodi ya madini
Ni kweli, alikuwa na pesa, lakini alikuwa anahitaji heshima... Kukaa na Wasomi wakati yeye hata kuandika ni shida, kuwa karibu na Wakubwa wa Nchi hii, kuheshimika katika Jamii! Na hii ameipata kupitia Wananchi... Kwa hiyo, ajishushe na kuacha dharau!
Eti anapesa kuliko ubunge acheni uongo
Hujitambui wewe umekosra sana
MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA ILI UPONE KANSA...DAWA YA KANSA
*#.
czcams.com/video/ZgfBwGAJlrQ/video.html