@@Dismasbccmiraclecenter-rv9qiSiyo tu minne imetosha bali minne imetuchosha. Mitano tena ndiyo kabisaaa hatutaruhusu. Mama akapumzike tu Kizimkazi. Imetosha.
Mungu awabariki viongozi wetu hawa na wengine hakika wanafanya kazi kubwa sana inabidi tunahakikisha ngorongoro inafikiwa bila kujali chochote tusikubali kutishiwa ndani ya nchi yetu tungejiunga kundi kubwa tuingie hata kwa miguu
Nyinyi watanganyika wakati wanzanzibari tukidai haki yetu ndio namba moja ambao munatoa majeshi na kutuuwa kila kila kipindi Cha uchaguzi Kama laiti ingalikua muliamka mapema nchi hii haki ingalikua imeshapatikana zamani .
Shida ya wazanzibari inaanzia hapo kuona tatizo ni watanganyika iyo sio kweli kwani ni bahadhi tu ambao wameungana kutoka huko na kule Tanganyika lakn mapinduzi ni ya huko viziwani kwani huo ndo msingi wa serikali chama tawala ni chenu kunajidhihilisha na jila lake linasadifu kwahiyo kichukueni nasi turudi kwa nuta
Kwa kweli ni hotuba inayoonyesha kwamba Chadema ina viongozi ambao wana uwezo wa kuongoza kwa maarifa na sio ubabaishaji tunaouna, think tanks zao ni kubwa missions and vision ni kwa ajili ya wananchi sio kwa ajili ya familia zao,
Ngurumo, tunakusubiri urudi, ila sio muda huu bado ajali za lisiasa kwa watu kama nyie ni kubwa. Tunafarijika kwa hoja zako.na mchanganuo maridhawa. Wafariji wasomaji waitambu Chadema kwamba ndicho chama makini kwasasa. Nami nikobioni kuunga juhudi zao.
Kama kweli kinachoongelewa ndicho kinachoweza kufanyika, basi, nchi yetu itatufikisha mahali salama. Shida ni je, ni wangapi wanaofuatilia kauli mbali mbali za viongozi wetu?
Vary lntrest but painful explanation from tundundulisu consern ngorongoro ccm leadership refiuse tundundulisu talk to few Tanzania people in ngorongoro under ccm leadership of exelence president Samia sluu Hasan give ngorongoro to Arab lnvestor and chess Masai community on they land belong to life time history wich late julias kambarege Nyerere left power tundundulisu explanation tells Samia sluu Hasan stay in power for only two years but push Tanzania people outside of they land tutaongea luga tafouti hata km hamtaki ili hao wageni waelewe uchungu wa taifa letu hatutaki kuteswa hakuna nchi yoyote duniani lnanayoweza kuendelea kwa mkopa bila technology au kutumia rasilimali zake vizuri Botswana wanatucheka nchi unategemea ngombe na madini tuu wanaishi kukinga maji ya mvua mwaka Hadi mwaka wa mvua fikirini wenyewe tulivyonavyo nchini kwetu lakini nchi ya mateso.kwa wananchi wake km wafungwa ndani ya magereza wageni ndio wenye kuishi kifalme ktk taifa letu
Nina wasiwasi Sana miaka 30 ijayo watoto wa kiarabu ambao watakuwa wamezaliwa Tanzania watasumbua Sana watoto wa Kitanzania kwa sababu Moja wataona maeneo ya ngorongoro.Kia. Bandari ni mali za baba zao .hii italeta shida kwa wajukuu zetu.ni vizuri tukawa makini zaidi kwa huu uwekezaji
Siyo vema na hatuwezi kutoa urithi wa watoto wetu,aliotupa Mungu kwa dhamana tuwape wageni na hasa waarabu ambao historia yetu na wao siyo ya uzuri kabisa.Waarabu wamemwaga damu nyingi sana katika ardhi hii wakati wa utumwa.Hawawezi kuaminiwa kurithi mali za watoto wetu.
Hilo ni jepesi kwao mķuu mara tu baada ya zoezi la uenguaji na mabomu ya polisi kupita, watawahamisha watendaji wote kutoka hapa kwenda kule kwa gharama zetu mh.Lissu
Ivi ngoja tuulizane wa Tanganyika; "hawa wabunge wa ccm na viongozi wa serikali pamoja na kupewa rushwa lakini wenyewe wanafurahia ndg zao wanyanyaswe?
NAKUWA NA WASIWASI WA NCHI YANGU PENDWA TANZANIA IKO SIKU KUTAKUWA NA MAREBELS KAMA VILE NCHI JIRANI YA CONGO ,KUTOKANA NA UTAWALA WA CCM,,CCM WANATAKIWA WAJITAFAKARI KWASABABU NCHI WANAIPELEKA KWA WAGENI NA KUWAACHA WATANZANIA KUWA MAFUKARA
@@MrKhatibu sawa. Kwahiyo mtu akivamia aridhi yako akalima afu badae ukamuondoa kwasbb aridhi ni yakwako, baada ya kipindi flani anamuita unamrudishia lile shamba kwenye aridhi kisa ndo alilima kwa kukuvamia?
Mungu alinde safari zao awaondolee lile lisilo pando lake Mungu ! Wazalendo watetea wapenda haki wa watanganyika.✌✌🙏👊✌✌
Asante sana kakamkubwa kwa darasa huru la uchumi na siasa jinsi chama pendwa kinavyo piga hatua katika kuchukua DOLA 😊😊
Really user
Mwandishi makini be blessed
Asante sana kuunganisha hizi habari nyeti pamoja❤❤
Viva Mh Lema, Viva Mh Lissu, Viva Mh Mbowe MUNGU awalinde daima ✌️✌️
Wenye masikio na wasikie.Hivi CCM wamepatwa na nini jamani?? Rasilimali zetu zinaenda.. The future generations are doomed😢😢
@@adelinelyaruu3036 tukiendelea kumchekea huyu Mama atatuuza na sisi. 2025 tuamue hakuna cha mitano tena. Minne inatosha akalee wajukuu kizimkaz huko
Vivaaaa!
@@Dismasbccmiraclecenter-rv9qiSiyo tu minne imetosha bali minne imetuchosha. Mitano tena ndiyo kabisaaa hatutaruhusu. Mama akapumzike tu Kizimkazi. Imetosha.
@@charlesshitobelo6870 kwa kwel
MBUNGE YUPO TAYARI KUPIGWA RISASI KWA AJILI YA WATU WAKE MAENDELEOO
Hongera sana kwa uchambuzi mzuri
Mungu awabariki viongozi wetu hawa na wengine hakika wanafanya kazi kubwa sana inabidi tunahakikisha ngorongoro inafikiwa bila kujali chochote tusikubali kutishiwa ndani ya nchi yetu tungejiunga kundi kubwa tuingie hata kwa miguu
Sisi vijana tuamke tuache ujinga mkubwa wa kukumbatia ccm wanaotunyonya.
Nyinyi watanganyika wakati wanzanzibari tukidai haki yetu ndio namba moja ambao munatoa majeshi na kutuuwa kila kila kipindi Cha uchaguzi Kama laiti ingalikua muliamka mapema nchi hii haki ingalikua imeshapatikana zamani .
NDO MAANA TUNADAI KATIBA MPYA NDUGUU
Watanganyika wengi ni maboya.
Labda tuone jana kama watakua
Ni kweli kabisa.Roho ilikuwa inaniuma sana kipindi kile mkiuawa baharini mkipigania haki yenu ya kushinda uchaguzi
Shida ya wazanzibari inaanzia hapo kuona tatizo ni watanganyika iyo sio kweli kwani ni bahadhi tu ambao wameungana kutoka huko na kule Tanganyika lakn mapinduzi ni ya huko viziwani kwani huo ndo msingi wa serikali chama tawala ni chenu kunajidhihilisha na jila lake linasadifu kwahiyo kichukueni nasi turudi kwa nuta
kama Watanganyika wataamka kama wazanzibari mapema hawa tunawaondoa CCM
Kwa kweli ni hotuba inayoonyesha kwamba Chadema ina viongozi ambao wana uwezo wa kuongoza kwa maarifa na sio ubabaishaji tunaouna, think tanks zao ni kubwa missions and vision ni kwa ajili ya wananchi sio kwa ajili ya familia zao,
Hongera Sk media kwa tadhimini ya kina ya hotuba za viongozi wa mageuzi Tanzania.
nawa kubali sana chadema
Kiongozi naomba ufanye utafiti juu ya sukari na haya ya mpina, bashe na spika🙏
Ubalikiwe.mtumishi
Mungu naomba. Wape viongozi wa chadema maisha malefu
Naomba ufafanuzi na issue ya MPINA, #SK media
Sawa
Yaa huu uchambuzi wa issue ya mpina nasubili kwa hamu sana@@AnsbertNgurumo
Ee mungu tupe Raisi mzalendo mwenye uchungu na raslimali ya watanzania
Kazi iendelee
Watanzania wacha Mungu naomba mkazane kuliombea Taifa hili la Tz na chama Cha CHA CHADEMA kwa sababu ndiyo pekee wanao tutetea watz
❤❤❤❤❤ asante sana
Mungu ipiganie nchi yetu.
Nikwel ushaur wangu tengenezen maandamano makubwa tuyaelekeze kwenda ngoro goro tukawakombowe
Umekuwa sehemu ya mabadiliko ya kisiasa katik nchi hii vitabu vya histora vitakukumbuka
Mungu akubariki na hongera kwa utume
Mungu.awalinde.chadema.
Ngurumo, tunakusubiri urudi, ila sio muda huu bado ajali za lisiasa kwa watu kama nyie ni kubwa. Tunafarijika kwa hoja zako.na mchanganuo maridhawa. Wafariji wasomaji waitambu Chadema kwamba ndicho chama makini kwasasa. Nami nikobioni kuunga juhudi zao.
Nakubali.sana.makamanda.wanqu
People power
Viva chadema
Boya kabisa😂
Wanaongea watu wenye akili timilifu siyo mambwege kama yaliyo jazana bungeni kupiga d
Shangwe
Rip Jpm ndiyo alikuwa kiongozi mzalendo wa kweli
Mbona hakutuachia katiba nzuri?
Mbona alituachia bunge na wabunge wa namna hii? Mbona wabunge walipigwa risasi?
Tanzania bara vijana hawaajiriwi ila zanzbar ajira ipo na watumishi wameongezewa mshahara tusemeje?
Ukweli ulisemwa, labda tu asiyependa kuelewa kwa sababu tu wengi wanaburuzwa tu kama ng'ombe wanaopelekwa machungani!
Hee Yesu tuondolee CCM madarakani.
Kweli kabisa
Maneno mazuri sana nimeyasikia
Kama kweli kinachoongelewa ndicho kinachoweza kufanyika, basi, nchi yetu itatufikisha mahali salama. Shida ni je, ni wangapi wanaofuatilia kauli mbali mbali za viongozi wetu?
This is very furious speech from Tundu Lissu! We should understand it and take it very serious 😠😠
Nchi yetu inahitaji mageuzi makubwa sana ili liwe taifa lenye mifumo imara,taifa linalofuata misingi ya utu,ubinadamu na haki.
Vary lntrest but painful explanation from tundundulisu consern ngorongoro ccm leadership refiuse tundundulisu talk to few Tanzania people in ngorongoro under ccm leadership of exelence president Samia sluu Hasan give ngorongoro to Arab lnvestor and chess Masai community on they land belong to life time history wich late julias kambarege Nyerere left power tundundulisu explanation tells Samia sluu Hasan stay in power for only two years but push Tanzania people outside of they land tutaongea luga tafouti hata km hamtaki ili hao wageni waelewe uchungu wa taifa letu hatutaki kuteswa hakuna nchi yoyote duniani lnanayoweza kuendelea kwa mkopa bila technology au kutumia rasilimali zake vizuri Botswana wanatucheka nchi unategemea ngombe na madini tuu wanaishi kukinga maji ya mvua mwaka Hadi mwaka wa mvua fikirini wenyewe tulivyonavyo nchini kwetu lakini nchi ya mateso.kwa wananchi wake km wafungwa ndani ya magereza wageni ndio wenye kuishi kifalme ktk taifa letu
Nina wasiwasi Sana miaka 30 ijayo watoto wa kiarabu ambao watakuwa wamezaliwa Tanzania watasumbua Sana watoto wa Kitanzania kwa sababu Moja wataona maeneo ya ngorongoro.Kia. Bandari ni mali za baba zao .hii italeta shida kwa wajukuu zetu.ni vizuri tukawa makini zaidi kwa huu uwekezaji
Siyo vema na hatuwezi kutoa urithi wa watoto wetu,aliotupa Mungu kwa dhamana tuwape wageni na hasa waarabu ambao historia yetu na wao siyo ya uzuri kabisa.Waarabu wamemwaga damu nyingi sana katika ardhi hii wakati wa utumwa.Hawawezi kuaminiwa kurithi mali za watoto wetu.
Hilo ni jepesi kwao mķuu mara tu baada ya zoezi la uenguaji na mabomu ya polisi kupita, watawahamisha watendaji wote kutoka hapa kwenda kule kwa gharama zetu mh.Lissu
Viongozi ni watumishi wa watu, wakisahau, wakijifanya miungu ya watu kuna tatizo la kimsingi.
VIVA CHADEMA....VIVA KOMREDI MBOWE....VIVA COMREDI LISSU...VIVA KOMREDI LEMA....WATANZANIA TUKO NYUMA YENU.
Ngorngoro ni Mali ya wa zanzibari na wazanzibara na watanganyika? Je hwa waarabu wanfanya nini huko nchi yetu inanufaika nini?
Chuma hichi
Pamoja hizo raslimali Nchi imetawaliwa Roho ya mikopo
Hahahahahahahs😂😂
Imeishaa hiyo
Hatuwataki waarabu
👊✌️🇹🇿
Ivi ngoja tuulizane wa Tanganyika; "hawa wabunge wa ccm na viongozi wa serikali pamoja na kupewa rushwa lakini wenyewe wanafurahia ndg zao wanyanyaswe?
Ndiyo
@@AnsbertNgurumokabisa, wapo tayari tunyanyasike hata baada ya kunyang'anywa raslimali zetu, very much paining
NAKUWA NA WASIWASI WA NCHI YANGU PENDWA TANZANIA IKO SIKU KUTAKUWA NA MAREBELS KAMA VILE NCHI JIRANI YA CONGO ,KUTOKANA NA UTAWALA WA CCM,,CCM WANATAKIWA WAJITAFAKARI KWASABABU NCHI WANAIPELEKA KWA WAGENI NA KUWAACHA WATANZANIA KUWA MAFUKARA
Lisu ameanza kubadilika sasa ..naona anaanza kupangilia vitu
😅😅😅😅😂😂😂😂😂 acha pumba mwamba
14,000,000😢😢😢
Tuko nyuma yenu mzee
Huyu Mama ana nini na Dubai?
Wameanza vizuri
Marahi pazitoo😅2025
WApe ukwel mwamba
Chadema naomba kama kunauwezekano wamsajiri mchezaji hatari hata kama alikosea ijapo nayeye anajuta alikosea Makonda uwezo anao na atakivusha chama
Du! 🥶
@@AnsbertNgurumomakonda aivushe CHADEMA😲
NGORONGORO KUNA NINI?SWALI WATANZANIA WANATAKA KUJUA TU BAASI
Kabisa, we need to know, what's in Ngorongoro?
Why there is selection for groups going to Ngorongoro, some are allowed(green) but others NO
Bandari ilianzishwa na Mwarab wa Zanzibar, mjifunze history ya nchi yako
Kwahiyo?
@@nabimanyafesto5014 huwezi zungu zia history ya Dar bila kutaja utawala wa Sultan of Zanzibar. Asianzie kwa mjerumani 🤣🤣
@@MrKhatibu sawa. Kwahiyo mtu akivamia aridhi yako akalima afu badae ukamuondoa kwasbb aridhi ni yakwako, baada ya kipindi flani anamuita unamrudishia lile shamba kwenye aridhi kisa ndo alilima kwa kukuvamia?
Hawana jipya wamevaa ngozi za kondoo
Uliwavika wewe? Hao upande wako wamejivika nini
Ccm wameshindwa kutuletea maendeleo kwenye hii nchi sio yakukopakopa 2025 mtajua tuu magufuri kashatusanua.
Wenye jipya tuwapate wapi??
@@Dd-mu4fjbig comment commander, ur IQ sounds great,
get blessed
Mungu awabariki jeshi la Polisi kwa kusimamia kwa usawa na haki
Well Done Mr Ngurumo and the guest. Your analysis is always brilliant and to the point. I pray the analysis to reach to Tz populous.
Hongera