KISHINDO KARATU: MBOWE NA UCHUMI, LISSU NA HAKI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 21. 06. 2024
  • Ni uchambuzi wa siku ya kwanza ya Operesheni GF ya siku 22 za Chadema Kanda ya Kaskazini
  • Hudba

Komentáře • 98

  • @TheodosiaSangka
    @TheodosiaSangka Před měsícem +5

    Mungu alinde safari zao awaondolee lile lisilo pando lake Mungu ! Wazalendo watetea wapenda haki wa watanganyika.✌✌🙏👊✌✌

  • @user-pf2qk8fz9o
    @user-pf2qk8fz9o Před měsícem +4

    Asante sana kakamkubwa kwa darasa huru la uchumi na siasa jinsi chama pendwa kinavyo piga hatua katika kuchukua DOLA 😊😊

  • @Dismasbccmiraclecenter-rv9qi
    @Dismasbccmiraclecenter-rv9qi Před měsícem +14

    Mwandishi makini be blessed

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana2152 Před měsícem +2

    Asante sana kuunganisha hizi habari nyeti pamoja❤❤

  • @Dismasbccmiraclecenter-rv9qi
    @Dismasbccmiraclecenter-rv9qi Před měsícem +13

    Viva Mh Lema, Viva Mh Lissu, Viva Mh Mbowe MUNGU awalinde daima ✌️✌️

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 Před měsícem

      Wenye masikio na wasikie.Hivi CCM wamepatwa na nini jamani?? Rasilimali zetu zinaenda.. The future generations are doomed😢😢

    • @Dismasbccmiraclecenter-rv9qi
      @Dismasbccmiraclecenter-rv9qi Před měsícem +1

      @@adelinelyaruu3036 tukiendelea kumchekea huyu Mama atatuuza na sisi. 2025 tuamue hakuna cha mitano tena. Minne inatosha akalee wajukuu kizimkaz huko

    • @Zanijasy-hy7vm
      @Zanijasy-hy7vm Před měsícem +1

      Vivaaaa!

    • @charlesshitobelo6870
      @charlesshitobelo6870 Před měsícem +1

      ​​​​@@Dismasbccmiraclecenter-rv9qiSiyo tu minne imetosha bali minne imetuchosha. Mitano tena ndiyo kabisaaa hatutaruhusu. Mama akapumzike tu Kizimkazi. Imetosha.

    • @Dismasbccmiraclecenter-rv9qi
      @Dismasbccmiraclecenter-rv9qi Před měsícem

      @@charlesshitobelo6870 kwa kwel

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 Před měsícem +2

    MBUNGE YUPO TAYARI KUPIGWA RISASI KWA AJILI YA WATU WAKE MAENDELEOO

  • @dismasmtui729
    @dismasmtui729 Před měsícem +3

    Hongera sana kwa uchambuzi mzuri

  • @leocadianjau7410
    @leocadianjau7410 Před měsícem +2

    Mungu awabariki viongozi wetu hawa na wengine hakika wanafanya kazi kubwa sana inabidi tunahakikisha ngorongoro inafikiwa bila kujali chochote tusikubali kutishiwa ndani ya nchi yetu tungejiunga kundi kubwa tuingie hata kwa miguu

  • @desderiuskamugisha1102
    @desderiuskamugisha1102 Před měsícem +3

    Sisi vijana tuamke tuache ujinga mkubwa wa kukumbatia ccm wanaotunyonya.

  • @muhamadsalim5295
    @muhamadsalim5295 Před měsícem +3

    Nyinyi watanganyika wakati wanzanzibari tukidai haki yetu ndio namba moja ambao munatoa majeshi na kutuuwa kila kila kipindi Cha uchaguzi Kama laiti ingalikua muliamka mapema nchi hii haki ingalikua imeshapatikana zamani .

    • @gowekogoweko5803
      @gowekogoweko5803 Před měsícem

      NDO MAANA TUNADAI KATIBA MPYA NDUGUU

    • @amosdickson6318
      @amosdickson6318 Před měsícem

      Watanganyika wengi ni maboya.
      Labda tuone jana kama watakua

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz Před měsícem +1

      Ni kweli kabisa.Roho ilikuwa inaniuma sana kipindi kile mkiuawa baharini mkipigania haki yenu ya kushinda uchaguzi

    • @kashiririrkaasongwisye9487
      @kashiririrkaasongwisye9487 Před 29 dny

      Shida ya wazanzibari inaanzia hapo kuona tatizo ni watanganyika iyo sio kweli kwani ni bahadhi tu ambao wameungana kutoka huko na kule Tanganyika lakn mapinduzi ni ya huko viziwani kwani huo ndo msingi wa serikali chama tawala ni chenu kunajidhihilisha na jila lake linasadifu kwahiyo kichukueni nasi turudi kwa nuta

  • @msabahaali758
    @msabahaali758 Před měsícem +3

    kama Watanganyika wataamka kama wazanzibari mapema hawa tunawaondoa CCM

  • @Emmanuel-bp7ir
    @Emmanuel-bp7ir Před měsícem +2

    Kwa kweli ni hotuba inayoonyesha kwamba Chadema ina viongozi ambao wana uwezo wa kuongoza kwa maarifa na sio ubabaishaji tunaouna, think tanks zao ni kubwa missions and vision ni kwa ajili ya wananchi sio kwa ajili ya familia zao,

  • @simonnaivasha6393
    @simonnaivasha6393 Před měsícem +1

    Hongera Sk media kwa tadhimini ya kina ya hotuba za viongozi wa mageuzi Tanzania.

  • @user-md7sd3hk6l
    @user-md7sd3hk6l Před 29 dny +1

    nawa kubali sana chadema

  • @dribrahimmamboleo4435
    @dribrahimmamboleo4435 Před 27 dny

    Kiongozi naomba ufanye utafiti juu ya sukari na haya ya mpina, bashe na spika🙏

  • @DanielLulyalya-gl2ro
    @DanielLulyalya-gl2ro Před měsícem +3

    Ubalikiwe.mtumishi

  • @josephpila23
    @josephpila23 Před 27 dny

    Mungu naomba. Wape viongozi wa chadema maisha malefu

  • @BabuGga-td3mg
    @BabuGga-td3mg Před měsícem +4

    Naomba ufafanuzi na issue ya MPINA, #SK media

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb Před měsícem +1

    Ee mungu tupe Raisi mzalendo mwenye uchungu na raslimali ya watanzania

  • @bukurunestory3540
    @bukurunestory3540 Před měsícem +1

    Kazi iendelee

  • @richardmakweta8875
    @richardmakweta8875 Před měsícem

    Watanzania wacha Mungu naomba mkazane kuliombea Taifa hili la Tz na chama Cha CHA CHADEMA kwa sababu ndiyo pekee wanao tutetea watz

  • @MuhojaMalicho
    @MuhojaMalicho Před měsícem +1

    ❤❤❤❤❤ asante sana

  • @cosmaswilliam3805
    @cosmaswilliam3805 Před 27 dny

    Mungu ipiganie nchi yetu.

  • @safarisalehe7752
    @safarisalehe7752 Před měsícem +1

    Nikwel ushaur wangu tengenezen maandamano makubwa tuyaelekeze kwenda ngoro goro tukawakombowe

  • @francisjohanes3027
    @francisjohanes3027 Před měsícem +3

    Umekuwa sehemu ya mabadiliko ya kisiasa katik nchi hii vitabu vya histora vitakukumbuka
    Mungu akubariki na hongera kwa utume

  • @josephpila23
    @josephpila23 Před 27 dny

    Mungu.awalinde.chadema.

  • @nanguniMtaita-hz4zt
    @nanguniMtaita-hz4zt Před měsícem +1

    Ngurumo, tunakusubiri urudi, ila sio muda huu bado ajali za lisiasa kwa watu kama nyie ni kubwa. Tunafarijika kwa hoja zako.na mchanganuo maridhawa. Wafariji wasomaji waitambu Chadema kwamba ndicho chama makini kwasasa. Nami nikobioni kuunga juhudi zao.

  • @MwajumaRajab-nj3nz
    @MwajumaRajab-nj3nz Před 26 dny

    Nakubali.sana.makamanda.wanqu

  • @petersenteu7252
    @petersenteu7252 Před 29 dny +1

    People power

  • @barakamwasenga2143
    @barakamwasenga2143 Před měsícem +2

    Viva chadema

  • @aminielkombe66
    @aminielkombe66 Před měsícem +1

    Boya kabisa😂

  • @user-rn9og1rk3l
    @user-rn9og1rk3l Před měsícem

    Wanaongea watu wenye akili timilifu siyo mambwege kama yaliyo jazana bungeni kupiga d
    Shangwe

  • @MashakaMagesa
    @MashakaMagesa Před měsícem

    Rip Jpm ndiyo alikuwa kiongozi mzalendo wa kweli

    • @samsonfulgence5553
      @samsonfulgence5553 Před 27 dny

      Mbona hakutuachia katiba nzuri?
      Mbona alituachia bunge na wabunge wa namna hii? Mbona wabunge walipigwa risasi?

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb Před měsícem

    Tanzania bara vijana hawaajiriwi ila zanzbar ajira ipo na watumishi wameongezewa mshahara tusemeje?

  • @user-cw2nj4io3v
    @user-cw2nj4io3v Před měsícem

    Ukweli ulisemwa, labda tu asiyependa kuelewa kwa sababu tu wengi wanaburuzwa tu kama ng'ombe wanaopelekwa machungani!

  • @rweumbizalugaimukamu4905
    @rweumbizalugaimukamu4905 Před měsícem

    Hee Yesu tuondolee CCM madarakani.

  • @sagandamalechampullo659
    @sagandamalechampullo659 Před měsícem

    Kweli kabisa

  • @jacksonbalama5990
    @jacksonbalama5990 Před měsícem

    Maneno mazuri sana nimeyasikia

  • @atupegemwakahesya
    @atupegemwakahesya Před měsícem

    Kama kweli kinachoongelewa ndicho kinachoweza kufanyika, basi, nchi yetu itatufikisha mahali salama. Shida ni je, ni wangapi wanaofuatilia kauli mbali mbali za viongozi wetu?

  • @rastheunique
    @rastheunique Před měsícem

    This is very furious speech from Tundu Lissu! We should understand it and take it very serious 😠😠

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz Před měsícem

    Nchi yetu inahitaji mageuzi makubwa sana ili liwe taifa lenye mifumo imara,taifa linalofuata misingi ya utu,ubinadamu na haki.

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 Před měsícem +2

    Vary lntrest but painful explanation from tundundulisu consern ngorongoro ccm leadership refiuse tundundulisu talk to few Tanzania people in ngorongoro under ccm leadership of exelence president Samia sluu Hasan give ngorongoro to Arab lnvestor and chess Masai community on they land belong to life time history wich late julias kambarege Nyerere left power tundundulisu explanation tells Samia sluu Hasan stay in power for only two years but push Tanzania people outside of they land tutaongea luga tafouti hata km hamtaki ili hao wageni waelewe uchungu wa taifa letu hatutaki kuteswa hakuna nchi yoyote duniani lnanayoweza kuendelea kwa mkopa bila technology au kutumia rasilimali zake vizuri Botswana wanatucheka nchi unategemea ngombe na madini tuu wanaishi kukinga maji ya mvua mwaka Hadi mwaka wa mvua fikirini wenyewe tulivyonavyo nchini kwetu lakini nchi ya mateso.kwa wananchi wake km wafungwa ndani ya magereza wageni ndio wenye kuishi kifalme ktk taifa letu

    • @danielmakundi8927
      @danielmakundi8927 Před měsícem +1

      Nina wasiwasi Sana miaka 30 ijayo watoto wa kiarabu ambao watakuwa wamezaliwa Tanzania watasumbua Sana watoto wa Kitanzania kwa sababu Moja wataona maeneo ya ngorongoro.Kia. Bandari ni mali za baba zao .hii italeta shida kwa wajukuu zetu.ni vizuri tukawa makini zaidi kwa huu uwekezaji

    • @ChristmasMaheri
      @ChristmasMaheri Před měsícem

      Siyo vema na hatuwezi kutoa urithi wa watoto wetu,aliotupa Mungu kwa dhamana tuwape wageni na hasa waarabu ambao historia yetu na wao siyo ya uzuri kabisa.Waarabu wamemwaga damu nyingi sana katika ardhi hii wakati wa utumwa.Hawawezi kuaminiwa kurithi mali za watoto wetu.

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 Před měsícem

    Hilo ni jepesi kwao mķuu mara tu baada ya zoezi la uenguaji na mabomu ya polisi kupita, watawahamisha watendaji wote kutoka hapa kwenda kule kwa gharama zetu mh.Lissu

  • @charlesmkony5453
    @charlesmkony5453 Před měsícem

    Viongozi ni watumishi wa watu, wakisahau, wakijifanya miungu ya watu kuna tatizo la kimsingi.

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u Před měsícem

    VIVA CHADEMA....VIVA KOMREDI MBOWE....VIVA COMREDI LISSU...VIVA KOMREDI LEMA....WATANZANIA TUKO NYUMA YENU.

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb Před měsícem

    Ngorngoro ni Mali ya wa zanzibari na wazanzibara na watanganyika? Je hwa waarabu wanfanya nini huko nchi yetu inanufaika nini?

  • @benjamalila9942
    @benjamalila9942 Před 7 dny

    Chuma hichi

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb Před měsícem

    Pamoja hizo raslimali Nchi imetawaliwa Roho ya mikopo

  • @omaryyusuph7877
    @omaryyusuph7877 Před měsícem

    Imeishaa hiyo

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb Před měsícem

    Hatuwataki waarabu

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před měsícem

    👊✌️🇹🇿

  • @nabimanyafesto5014
    @nabimanyafesto5014 Před měsícem

    Ivi ngoja tuulizane wa Tanganyika; "hawa wabunge wa ccm na viongozi wa serikali pamoja na kupewa rushwa lakini wenyewe wanafurahia ndg zao wanyanyaswe?

    • @AnsbertNgurumo
      @AnsbertNgurumo  Před měsícem

      Ndiyo

    • @illomowerner7690
      @illomowerner7690 Před 28 dny

      ​@@AnsbertNgurumokabisa, wapo tayari tunyanyasike hata baada ya kunyang'anywa raslimali zetu, very much paining

  • @user-eo4bl3do8k
    @user-eo4bl3do8k Před měsícem

    NAKUWA NA WASIWASI WA NCHI YANGU PENDWA TANZANIA IKO SIKU KUTAKUWA NA MAREBELS KAMA VILE NCHI JIRANI YA CONGO ,KUTOKANA NA UTAWALA WA CCM,,CCM WANATAKIWA WAJITAFAKARI KWASABABU NCHI WANAIPELEKA KWA WAGENI NA KUWAACHA WATANZANIA KUWA MAFUKARA

  • @yordanyona1234
    @yordanyona1234 Před měsícem +3

    Lisu ameanza kubadilika sasa ..naona anaanza kupangilia vitu

  • @gtvonlinemdee7001
    @gtvonlinemdee7001 Před měsícem

    14,000,000😢😢😢

  • @user-my7fj6wn7y
    @user-my7fj6wn7y Před měsícem

    Tuko nyuma yenu mzee

  • @narcissusmakenge4710
    @narcissusmakenge4710 Před měsícem

    Huyu Mama ana nini na Dubai?

  • @jumamchungu2326
    @jumamchungu2326 Před měsícem +2

    Wameanza vizuri

  • @gangmore9091
    @gangmore9091 Před měsícem

    Marahi pazitoo😅2025

  • @Edwad-zg1yr
    @Edwad-zg1yr Před měsícem

    WApe ukwel mwamba

  • @jacksonbalama5990
    @jacksonbalama5990 Před měsícem

    Chadema naomba kama kunauwezekano wamsajiri mchezaji hatari hata kama alikosea ijapo nayeye anajuta alikosea Makonda uwezo anao na atakivusha chama

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 Před měsícem

    NGORONGORO KUNA NINI?SWALI WATANZANIA WANATAKA KUJUA TU BAASI

    • @illomowerner7690
      @illomowerner7690 Před 28 dny

      Kabisa, we need to know, what's in Ngorongoro?
      Why there is selection for groups going to Ngorongoro, some are allowed(green) but others NO

  • @MrKhatibu
    @MrKhatibu Před měsícem

    Bandari ilianzishwa na Mwarab wa Zanzibar, mjifunze history ya nchi yako

    • @nabimanyafesto5014
      @nabimanyafesto5014 Před měsícem

      Kwahiyo?

    • @MrKhatibu
      @MrKhatibu Před měsícem

      @@nabimanyafesto5014 huwezi zungu zia history ya Dar bila kutaja utawala wa Sultan of Zanzibar. Asianzie kwa mjerumani 🤣🤣

    • @nabimanyafesto5014
      @nabimanyafesto5014 Před měsícem

      @@MrKhatibu sawa. Kwahiyo mtu akivamia aridhi yako akalima afu badae ukamuondoa kwasbb aridhi ni yakwako, baada ya kipindi flani anamuita unamrudishia lile shamba kwenye aridhi kisa ndo alilima kwa kukuvamia?

  • @user-si5rl7kc6c
    @user-si5rl7kc6c Před měsícem

    Hawana jipya wamevaa ngozi za kondoo

    • @Dd-mu4fj
      @Dd-mu4fj Před měsícem +1

      Uliwavika wewe? Hao upande wako wamejivika nini

    • @omaryyusuph7877
      @omaryyusuph7877 Před měsícem

      Ccm wameshindwa kutuletea maendeleo kwenye hii nchi sio yakukopakopa 2025 mtajua tuu magufuri kashatusanua.

    • @nabimanyafesto5014
      @nabimanyafesto5014 Před měsícem

      Wenye jipya tuwapate wapi??

    • @illomowerner7690
      @illomowerner7690 Před 28 dny

      ​@@Dd-mu4fjbig comment commander, ur IQ sounds great,
      get blessed

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb Před měsícem

    Mungu awabariki jeshi la Polisi kwa kusimamia kwa usawa na haki

  • @emmanuelbwile1175
    @emmanuelbwile1175 Před měsícem

    Well Done Mr Ngurumo and the guest. Your analysis is always brilliant and to the point. I pray the analysis to reach to Tz populous.
    Hongera