KISHINDO CHA CCM KIMEHAMIA CHADEMA?

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 1. 06. 2024
  • Tutafakari kishindo cha uchaguzi wa ndani ya vyama.
  • Hudba

Komentáře • 7

  • @MiriamAbdallah
    @MiriamAbdallah Před měsícem +1

    Kwa uwezo wa mwenyezi MUNGU hakuna lisilowezeka, Kila lenye mwanzo lina mwisho wake watanganyika tumekuwa na uelewa mkubwa

  • @user-mp7zk7dk7f
    @user-mp7zk7dk7f Před měsícem +2

    Chadema inaongoza ccm inatawala

    • @FrankMwakatundu-cu6bd
      @FrankMwakatundu-cu6bd Před měsícem

      Wewe ni Una akili kubwa CHADEMA SI MCHEZO CCM HAWANA AMANI, WANAHANGAIKA NA UOVU WA NAMNA GANI YA KUIHUJUMU CHAEDEMA!!!!

  • @BarakasensoJames
    @BarakasensoJames Před měsícem

    CCM hakuna mijadara kwasababu hakuna rushwa Ila CCM rushwa na nepotism imetawala

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 Před měsícem

    Funzo kubwa tulilopata kumbe mnasambaziana maokoto hadi chooni nyie kweli chadomo

  • @majaliwabwitonde6900
    @majaliwabwitonde6900 Před měsícem

    Mtikisiko wa kutuhumiana kuiba kura na Rushwa 😂😂😂😂
    Nadhani ni vema ungechambua utamaduni huu wa rushwa ambao watanzania wameanza kuuona wa kawaida kila mahali

  • @daudimaembe3360
    @daudimaembe3360 Před měsícem

    Mimi nafikiri kitakuwa na watu waliopewa fedha waharibu uchaguzi huo.Maana toka mwanzo tulimsikia maka mwenyekiti wa CHADEMA akitahadharisha.Pia tumesikia watu wengi wakimhusisha Peter Msingwa na mahusiano ya siri na CCM.