Mtikisiko wa kutuhumiana kuiba kura na Rushwa 😂😂😂😂 Nadhani ni vema ungechambua utamaduni huu wa rushwa ambao watanzania wameanza kuuona wa kawaida kila mahali
Mimi nafikiri kitakuwa na watu waliopewa fedha waharibu uchaguzi huo.Maana toka mwanzo tulimsikia maka mwenyekiti wa CHADEMA akitahadharisha.Pia tumesikia watu wengi wakimhusisha Peter Msingwa na mahusiano ya siri na CCM.
Kwa uwezo wa mwenyezi MUNGU hakuna lisilowezeka, Kila lenye mwanzo lina mwisho wake watanganyika tumekuwa na uelewa mkubwa
Chadema inaongoza ccm inatawala
Wewe ni Una akili kubwa CHADEMA SI MCHEZO CCM HAWANA AMANI, WANAHANGAIKA NA UOVU WA NAMNA GANI YA KUIHUJUMU CHAEDEMA!!!!
CCM hakuna mijadara kwasababu hakuna rushwa Ila CCM rushwa na nepotism imetawala
Funzo kubwa tulilopata kumbe mnasambaziana maokoto hadi chooni nyie kweli chadomo
Mtikisiko wa kutuhumiana kuiba kura na Rushwa 😂😂😂😂
Nadhani ni vema ungechambua utamaduni huu wa rushwa ambao watanzania wameanza kuuona wa kawaida kila mahali
Mimi nafikiri kitakuwa na watu waliopewa fedha waharibu uchaguzi huo.Maana toka mwanzo tulimsikia maka mwenyekiti wa CHADEMA akitahadharisha.Pia tumesikia watu wengi wakimhusisha Peter Msingwa na mahusiano ya siri na CCM.