Nchi hii ina mifumo dhaifu sana.yaani Taifa halina kabisa maadili.kula rushwa,ufisadi na ubadhirifu ni sifa.Watawala hawaangalii uadilifu na maadili.Ili ulambe teuzi,vyeo na tuzo mbalimbali katika serikali hii ni lazima uwe fisadi,mwizi,mla rushwa mkubwa na mbadhirifu wa mali ya umma.kwa bahati mbaya maadli mabovu katika nchi hii yanasababishwa na serikali yenyewe.
Vimeshakuwa chawa, kila mwandishi anawaza kuteuliwa tu, weredi umeshuka kabisa! hata kama makosa yameonekana dhahiri bado haviwezi hata kuhabarisha uma, yaani wanaandika tu habari za kusifu na kuabudu basi!😭😭🇹🇿
Vyombo vya habari (4th Estate) ni mhimili wenye umuhimu wa kipekee ktk kuthibibiti mihimili ya Bunge, Mahakama na Utawala kuhakikisha utawala bora lkn ubabe kutoka kwa baadhi ya viongozi umefifisha mchango wa vyombo vya habari kwa jamii!
Hiyo spich ya mzee nimeipenda sana 😢 na nikweli jamii ipo bize na vichekesho, mipira, miziki na filamu wakati hayo ni mambo mepesi mepesi sana...😢
Alalae Usimuamshe Ukimuamsha Utalala Wewe ndiyo kinachofanyika
Mifumo ni dhaifu sana na hiyo mifumo imejaa rushwa na ufisadi wa kutisha.
Nchi hii ina mifumo dhaifu sana.yaani Taifa halina kabisa maadili.kula rushwa,ufisadi na ubadhirifu ni sifa.Watawala hawaangalii uadilifu na maadili.Ili ulambe teuzi,vyeo na tuzo mbalimbali katika serikali hii ni lazima uwe fisadi,mwizi,mla rushwa mkubwa na mbadhirifu wa mali ya umma.kwa bahati mbaya maadli mabovu katika nchi hii yanasababishwa na serikali yenyewe.
Niaibu na Ina ashiria uwelewa wa kimaskini wa elimu ya wananchi ulivyo . Umasikini ni Maradhi mabaya sana Duniani.
Vimeshakuwa chawa, kila mwandishi anawaza kuteuliwa tu, weredi umeshuka kabisa! hata kama makosa yameonekana dhahiri bado haviwezi hata kuhabarisha uma, yaani wanaandika tu habari za kusifu na kuabudu basi!😭😭🇹🇿
Hii ni hatari sn sijawahi kusikia kitu kama hicho na niaibu kubwa sn kwa nchi yetu.
Mr Ansbert tu naomba uchambuzi wa maandamano yalio tokea Kenya Jana June 21/2024 tafadhali kama utapendezwa 🙏
Kipindi hiki nimekabwa na ripoti maalumu ambayo nakamilisha. Ndiyo maana unaona nipo kimya. Kuna mambo yatapita.
Vyombo vya habari (4th Estate) ni mhimili wenye umuhimu wa kipekee ktk kuthibibiti mihimili ya Bunge, Mahakama na Utawala kuhakikisha utawala bora lkn ubabe kutoka kwa baadhi ya viongozi umefifisha mchango wa vyombo vya habari kwa jamii!
Unaposema tunatengeneza vizazi vibaya unajitambuwa
Nashangaa afsa mkubwa mvuta bhangi
👍👊✌️.
Yombo msukuma
Serikali hii kiukweli NI ya awamu ya 5
Mnapenda mambo ya hivyo ili mpate ya kuongea. Akili za kujadili matukio ziko hivyo
Ni kweli. Wewe umejadili nini hapa? 😄 🤣
Wewe umejadili yepi sasa, au unabwabwaja tu.