KATIKA HILI TUMWAMINI MSUKUMA AU MSIGWA?

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 06. 2024
  • Alipokuwa na cheo alikataa akili ndogo kuongoza akili kubwa. Alipopoteza cheo, akakubali akili ndogo itawale!
  • Hudba

Komentáře • 175

  • @emmanuelsulle911
    @emmanuelsulle911 Před 24 dny +10

    Msigwa kumbe Mnafiki kiasi hiki, Bwege tu Unajisifu bure hamna lolote.

  • @7675kio
    @7675kio Před 24 dny +8

    Kiongozi yeyote ambaye analamba matapishi yake huyo sio kiongozi wa.kutegemewa

  • @EmmanuelKuzenza
    @EmmanuelKuzenza Před 24 dny +8

    Yaani hii ni laana! Mvuto wote umetoweka. Kumbe ukizoeleka kivingine ukibadirika taswira inabadilika!

  • @mr.lawimagupa3914
    @mr.lawimagupa3914 Před 24 dny +10

    UKIMSIKILIZA MSINGWA WA SISIEM UNAWEZA UKATAPIKA ASEE😢😢😮😢😢😢😮😮😮😢😮😮😢😢😮😮😢😢

    • @salummohamed2689
      @salummohamed2689 Před 23 dny

      Nilishasema ukimuona mtu anatoa kinyesi mdomoni nunueni sanda maana hatapona. Msigwa amethibitisha msemo huu apuuzwe kwa lolote asemalo.

  • @user-bd8gs3qk2d
    @user-bd8gs3qk2d Před 24 dny +6

    Msigwa kafilisika, kajiabisha sana. Kuna aliwahi kuhoji uchungaji wa Peter Msigwa. Huyu ni tapeli na malaya wa kisiasa.

  • @MwigaAdam
    @MwigaAdam Před 24 dny +7

    Maneno ya msingwa najisikia aibu mm hatali sana had siamin

  • @gallegalleson4427
    @gallegalleson4427 Před 24 dny +8

    Pesa ya Dp world inamwagika kama mvua ya masika 😮😮

  • @OrastoMgaya-rg2ck
    @OrastoMgaya-rg2ck Před 24 dny +7

    Daaah Malaya wa siasa, sikutegemea msigwa kuwa anapenda fedha za aibu

    • @MashakaMagesa
      @MashakaMagesa Před 24 dny

      Pesa haishindwi brother inauwezo wa kuhamisha mlima

    • @OrastoMgaya-rg2ck
      @OrastoMgaya-rg2ck Před 24 dny

      @@MashakaMagesa aisee kwakweli

    • @MohammedAlly-hp8fg
      @MohammedAlly-hp8fg Před 19 dny

      Kk jmaa bdo wapo wengi sana hawa amin nikuambie wmejaa unafki tu na tamaa za hela za bure

  • @juliuskitaluka1206
    @juliuskitaluka1206 Před 24 dny +6

    Nafikiri amepotea njia

  • @simonnaivasha6393
    @simonnaivasha6393 Před 24 dny +5

    Msingwa ! Ulimwogopa Msukuma atakuumbua uko kwenye payrolls ya CCM.

  • @davidmwamgunda7870
    @davidmwamgunda7870 Před 24 dny +6

    Weeeeh mzeee mwogope mungu 😮

  • @humphreymkony8915
    @humphreymkony8915 Před 24 dny +5

    Sasa Huyu amezidi ujinga wa kihiyo. Ameaibisha msigwa wote.

  • @wilsonsikahanga1761
    @wilsonsikahanga1761 Před 24 dny +5

    HIYO NDIO RAINGI HARISI YA SHETANI ......!!!!

  • @hadijasufiani6167
    @hadijasufiani6167 Před 24 dny +5

    Msigwa amechanganyikiwa

  • @Worldunite
    @Worldunite Před 24 dny +4

    Huyu ni mtu wa chama toka zamani,sio leo😂😂

  • @paulobanzi5962
    @paulobanzi5962 Před 24 dny +3

    Alicho ongea msigwa ni mnafiki kwa alicho kisema kwahiyo ameenda kwenye mfumo kandamizi mnafiki mkubwa achaneni naye mpumbavu mmoja je h

  • @emmanuelsulle911
    @emmanuelsulle911 Před 24 dny +4

    Anabahatisha halafu hata nafsi inamsuta,Mnafiki Mno afu hana hoja

  • @mr.lawimagupa3914
    @mr.lawimagupa3914 Před 24 dny +5

    SIJUI UCHUNGAJI ALIUPATAJE MSIGWA

  • @robertnkovuma7488
    @robertnkovuma7488 Před 24 dny +4

    Yaani nimeskitika sana tumepoteza nguvu kubwa sana fedha ni hatari sana mimi siamini

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 Před 24 dny +4

    Huyu c alikua na lissu bega kwa bega hhhhhhhhhhhh

  • @EdwardMbwambo
    @EdwardMbwambo Před 24 dny +5

    Njaa sanaaa

  • @OdiloMagungu-uf5is
    @OdiloMagungu-uf5is Před 24 dny +3

    We Mzee ulaaniwe tu kukosa uenyekiti wa Kanda ya kusini pvu linakutoka namna hii 😢😢😢😢

  • @hamzamajenja4891
    @hamzamajenja4891 Před 24 dny +3

    Njaa Na uroho wa madaraka ndio tatizo la msigwa

  • @songombingo108
    @songombingo108 Před 24 dny +3

    Deal Done😂😂😂

  • @dennisungonella205
    @dennisungonella205 Před 24 dny +4

    Kwenda ccm msigwa kajichanganya sana, dah.

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 Před 23 dny

      Kajichangaje, lengo la chama cha siasa ni kushika dola, kama umeachana na kisicho dola na unajiunga chenye dola, hiyo ndio akili kubwa.

  • @godfreymikmta5008
    @godfreymikmta5008 Před 24 dny +3

    Aliondoka dk slaa sembuse yeye ambae akumbuki jana amesema nini

  • @ajmstationery6157
    @ajmstationery6157 Před 24 dny +3

    Msigwa amenishangaza sana,

  • @MajutoElliasi
    @MajutoElliasi Před 24 dny +2

    Msigwa rana itakutafuna kwa kuwadaganya watu na wakakwamini 😂😂😂

  • @melch3097
    @melch3097 Před 24 dny +2

    Mi naona msigwa anachanganyikiwa, alidhani yeye chadema ni mfalme

  • @mahanjisanga3077
    @mahanjisanga3077 Před 24 dny +3

    Msingwa kweri wewe njaa ndio imekupereka huko

  • @samwelkavwanga4491
    @samwelkavwanga4491 Před 24 dny +1

    Wew ndo umepoteza mvuto ila sio Chadema

  • @mnyagamasinde6860
    @mnyagamasinde6860 Před 24 dny +1

    Ulikuwa ukiponda ccm sasa umerudi ccm kwa kauli hizo itakuwaje😂

  • @hadijasufiani6167
    @hadijasufiani6167 Před 24 dny +3

    Msigwa anauroho wa madaraka

  • @kashiririrkaasongwisye9487

    Haijalishi ufundi mkubwa kwa kwa kiwango gani wa mazingaombwe lakn mavi hayawezi kuwa keki!

  • @georgekitosi1514
    @georgekitosi1514 Před 24 dny +2

    SI AJABU MBWA KULAMBA MATAPISHI YAKE😅😅😅😅

  • @Trys6254
    @Trys6254 Před 24 dny +1

    Ikiwezekana hata mbowe aende tu

  • @ciciandjojo7701
    @ciciandjojo7701 Před 24 dny +2

    Huyu baba atakufa vibaya mno. 😭😭 Yaani duh maneno yake mwenyewe yanamtafuna. Mpk nimeona hapo ameshindwa hata kujenga hoja 😢 Hawa watu wa namna hii ndio waaribufu kwenye sector zote 😢

  • @starlily07
    @starlily07 Před 24 dny +2

    Shame on you msigwa,

  • @frankwilliam144
    @frankwilliam144 Před 24 dny +1

    Mtu mmoja amegeuza chama kinakuwa Saccos, mtu mmoja amekuwa mwenyekiti wa maisha. 😂😂😂 Keep living brother

  • @rodsconehenry4249
    @rodsconehenry4249 Před 24 dny +2

    Duh chumbani analiah huyu

  • @Stellastella-yi5vu
    @Stellastella-yi5vu Před 23 dny

    Mungu ni yule yule Jana leo hata milele habadliki. ukuu wa mkoa, wilaya,ubunge sasa mbona umechelewa kipindi kitila mkumbo anaingizwa kweny system ulikuwa wapi? Nakupenda Yesu wew ndo Tumaini tangu

  • @AlphaBarageti-ru5xj
    @AlphaBarageti-ru5xj Před 23 dny +1

    Je, tofauti ya kura mbili ndizo zinazomfanya afikirie CCM kuwa nzuri kuliko CDM ?
    Je, angeshinda bado angekuwa na kauli kama hiyo ?
    Hatimaye ameitika kuungana na mfumo unaotumia akili ndogo kutawala akili KUBWA.
    Kila la Heri kwake ila ajue akili KUBWA haitadanganyika kwa propaganda zake za nchi nzima.

  • @emilianchibinda82
    @emilianchibinda82 Před 23 dny

    Daaah!! Kaka karibu sana
    Pole sana kwa kujinasua na wale jamaa. CCM Oyee

  • @csato9415
    @csato9415 Před 23 dny

    😂😂 Msigwa hotuba imeandaliwa halafu unataka kwenda nje ya ulichoandaliwa useme na maccm mbona ni hiyo wanayoyasema kila siku ili kukivuruga CDM.
    Njaa, njaa utalazimishwa kasema hata usichotaka kwa sababu 💰 💵.

  • @faithmlay5944
    @faithmlay5944 Před 24 dny

    Pole sana Mchungaji. Pole sana. Kumbuka maana halisi ya toba. Mrudie Mungu wako. Ni yeye pekee awezaye kukuondoa katika tope ulilojitumbukiza. Siasa na madhabahu ukijichanganya utakufa kifo kibaya...

  • @aloycemisigalo3983
    @aloycemisigalo3983 Před 23 dny

    Hii nchi bila ya cc wenyewe wananchi kuamka na kukataa ukandamizaji wa CCM tutaendelea kuwa hivi hivi kwa huu upuuzi unaoendelea hovyo kabisa.

  • @ArobogastShirima
    @ArobogastShirima Před 24 dny

    Amefuta maslai yake Binafsi akapewe unaibu, ukiona mtu anarudia matapishi yake, basi sio kiongozi mzuri, nibora angeachana na siasa akaendelea na uchungaji.

  • @augustinemukandara9341

    Rushwa, Rushwa, Rushwa, Rushwa, Rushwa mtoto wa IBILISI!!! AIBU, AIBU, AIBU NI AIBU HATA KWA WAFUASI WA KANISA LAKE!!! AOGOPI HATA MUNGU!!!AONI AIBU HATA KWA WAFUASI WA KANISA LAKE!!!!

  • @AthumanDauda
    @AthumanDauda Před 24 dny +1

    Tulikufahamu mda tu kua wewe nimamruki tu

  • @DiwaniMwafongo
    @DiwaniMwafongo Před 23 dny

    Uchawa wa myu mzima ni aibu kwake na kabila zima.
    Wahehe hamjawahi kuwa wapumbavu kama huyu boya!
    Ngoja tuwaone maamuzi yenu ,uchaguzi huo umefika!!

  • @user-de5ph3rs6p
    @user-de5ph3rs6p Před 24 dny +1

    Ebwana Msigwa Msigwa Msigwa kwel nimegunduwa ninyi Wana siasa nimatapeli lundi kwenye krip zako uko nyuma uzitazame ulivyo kuwa unawahidi wanaichi hakika mwanasiasa yoyote ni tapeli

  • @salmajafari6838
    @salmajafari6838 Před 24 dny +1

    WATANGANYIKA TUMESTUKA
    TUNATAKA SELEKALI TATU
    PELEKA NJAA ZAKO HUKO
    SISIEMU IMEOZA INANUKA RUSHWA

  • @humphreymkony8915
    @humphreymkony8915 Před 24 dny +1

    Msgwa unakumbuka kilichomtokea Yuda eskariote baada ya kumkana Yesu?

  • @johninnocent3270
    @johninnocent3270 Před 24 dny

    Abduli ooyeee
    Umefanya kazi

  • @robertzingu9889
    @robertzingu9889 Před 24 dny

    Kuna hela hutoka CCM kwenda kusaidia CHADEMA? Zipi hizo? Za ruzuku au ndiyo zile za Mama Abdul kupitia kwa mwanae Abdul?

  • @fabby1181
    @fabby1181 Před 24 dny

    kigugumizi na maneno ya kutafutatafuta kinakusumbua ni wazi amekula mshiko, msukuma kasema kweli

  • @lupyanamatimbwi8064
    @lupyanamatimbwi8064 Před 23 dny

    Kwenda mbinguni ni ngumu sana
    Unafiki
    Juzi uliikuwa mkosoaji Leo unasifia.

  • @Kwelihukuwekahuru
    @Kwelihukuwekahuru Před 23 dny

    Hivi huyu haoni aibu sasa yeye amejiunga na matope kwa hiyo naye ni matope

  • @user-pf2qk8fz9o
    @user-pf2qk8fz9o Před 23 dny

    Dah...!! Mchungajiiii😂😂 kweli njia ya pepo ni nyembamba kama tundu la sindano

  • @ezekielmabwai482
    @ezekielmabwai482 Před 24 dny

    Msigwa ni Malaya wa kiukweli, na shoga wa kiukweli, Duh, halafu Malaya wenzake yanmamshanngilia. Kakosa uenyekiti wa Kanda, kakimbia,, UMEKWISHA KISIASA!!!

  • @allyhamad1496
    @allyhamad1496 Před 23 dny

    Kweli siasa ni mchezo mchafu yaani 😅😅

  • @Peterchipemba
    @Peterchipemba Před 24 dny

    Msigwa nifisi tu..ccm mpeni mfupa atatulia,,,kwanza usiseme chama chetu uwe unasema chama chako ccm

  • @MohammedAbdallahSaid
    @MohammedAbdallahSaid Před 20 dny

    Msigwa ameshakufa kisiasa,ccm watamfanya ngazi tu huyo

  • @stephenndagalla8183
    @stephenndagalla8183 Před 24 dny

    Hakika SIASA ni Si HASA. Maneno ya Msukuma yanathibitisha Msigwa alikuwa akipokea fedha wkt akiwa CHADEMA!! Hivyo, hata fedha zilizotuhumiwa kutumika wkt wa uchaguzi wa Viongozi wa Kanda ya Kusini, Msigwa alihusika. Leo Msigwa anaongelea AMANI HAONGELEI HAKI?? Hii njaa shida SANA.

  • @othmanali5362
    @othmanali5362 Před 24 dny

    Njaa itawaumbua,huyo sio uchungaji,ila ni shetani

  • @sagandamalechampullo659

    Mummmh! ALIKUWA KWETU ILA SI WA KWETU

  • @JoelRichard-hj3bi
    @JoelRichard-hj3bi Před 23 dny

    Njia ya Mwongo ni fupi,Msigwa kwa nini una kigugumizi?Mimi ninavyojua siasa ni maisha ni kweli ,kwa nini utafute maisha ya ujanjaujanja?utafika kweli unakwokwenda?wacha iendelee kunyesha tuone panapovuja.

  • @ZaitunAbdallah-ol1bb
    @ZaitunAbdallah-ol1bb Před 23 dny

    Kifo halali kwa mtu kama huyu ni msaliti hana shaka ni msaliti

  • @othmanali5362
    @othmanali5362 Před 24 dny

    Umekwisha msiba umeruka mikojo umekanyaga mavi tena mabichi

  • @illomowerner7690
    @illomowerner7690 Před 24 dny +1

    Bado anayo nafasi, atubu

  • @dassustephen731
    @dassustephen731 Před 23 dny

    Siasa za kipumbavu sana.Hovyo kabisa

  • @PhilipoMwita-wc1ku
    @PhilipoMwita-wc1ku Před 24 dny

    Alisema hajengi ofisi anajenga watu

  • @FikiriniMwaluko
    @FikiriniMwaluko Před 14 dny

    Wakina halina mdee nawapongeza sana yoooote walio tuhumiwa walinyamaza na walikuwa bakuli sisi ni chadema damu.na roho yangu iliingia kwa ajili yao lakini wewe Msingwa naona unanipa hasira tu.nakuona nimuasi tu kama Sauli

  • @Kwelihukuwekahuru
    @Kwelihukuwekahuru Před 23 dny

    Ulisema CCM ni akili ndogo kuongoza akili kubwa leo umekuwa na akili ndogo kwa hiyo akili kubwa huwezi

  • @CharlesSeleli-to2un
    @CharlesSeleli-to2un Před 24 dny

    Yaani hii nchi kwa kweli 🤔🤔🤔 ukisikia tamaa mbele mauti nyuma ndio hii sasa 😂😂

  • @StephenLetta
    @StephenLetta Před 23 dny

    Stress ni kitu kibaya. Kinamfanya mtu awe mwongo?

  • @andrewassey5108
    @andrewassey5108 Před 23 dny

    Msigwa umeshaondoka tuachie chama chetu. Watanzania wamefahamu sura yako halisi. 'Uchu wa madaraka'

  • @philemonkafyulilo7128
    @philemonkafyulilo7128 Před 24 dny

    Hivi hata kanisani hajaenda sasa uchungaji uko wapi 😂 hapa ishu ni madaraka

  • @vincentmpupua5839
    @vincentmpupua5839 Před 23 dny

    Sipendi vyama nataka mgombea biinafsi.

  • @daudimaembe3360
    @daudimaembe3360 Před 24 dny

    Eti ni mchungaji. . . . Kweli. . !

  • @FikiriniMwaluko
    @FikiriniMwaluko Před 14 dny

    Kumbe kada wa kisili wa maofisi emu

  • @bedaiffo2772
    @bedaiffo2772 Před 23 dny

    Hii ni roho ya Yuda inatenda kazi,sio kwa siasa tu, hatari hata kwa Ukristo,

  • @Peterchipemba
    @Peterchipemba Před 24 dny

    Muongo daima hutafuta maneno ya kuongea

  • @bmdele5816
    @bmdele5816 Před 24 dny

    Heart Breaking kwa kweli,
    Ilikuwa ni suala la muda tu, Msukuma alikuwa anajua.
    Na hapo ndo tujue waafrika tunaishi kutaka madaraka,
    Msigwa, Msigwa Mungu anakuona!..

  • @jaymandy8136
    @jaymandy8136 Před 24 dny

    Huu unafiki niwa level nyingine kwa kweli

  • @user-wk3wo9hv3c
    @user-wk3wo9hv3c Před 23 dny

    Wewe pia mbona ulikuwa unataka uongozi wa kanda uwe wewe tu siku zote!!?? Mchungaji?? Wa nini??

  • @SalmaAthuman-hp3en
    @SalmaAthuman-hp3en Před 24 dny

    😂😂😂😂😂usiwaamini hawa watu anataka ubunge 2025 njaaa mbaya unaona uongo unavyomdhalilisha mpska anapata kigugumizi cha ghafa😂😂😂

  • @ephrahimkivuyo4275
    @ephrahimkivuyo4275 Před 24 dny

    Tupe uchambuzi sk ngurumo

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 Před 24 dny

    Njaa zinamtafuna huyu sijui hela za bungeni aligawa?

  • @joachimkalungwana8654
    @joachimkalungwana8654 Před 24 dny

    Jinga wewe mbona wewe ndio ulikuwa hutaki kukosolewa

  • @FADHILICHIKOLO-pb8iy
    @FADHILICHIKOLO-pb8iy Před 24 dny

    Sugu umemnyoosha kwelikweli

  • @sagandamalechampullo659

    KAACHA NJIA KAINGIA KICHAKANI NA KUPOTEA

  • @muhammadalibhaz1390
    @muhammadalibhaz1390 Před 24 dny +2

    wanasiasa wanafiki sana jana aliwaponza leo anawasifu

    • @Nyanda506
      @Nyanda506 Před 24 dny

      SK alisema ukweli kuhusu msigwa sasa ona haya ayafanyayo

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Před 24 dny

      Alikuwa na msemo wake kuwa kaja kutuchonganisha na CCM, sasa kaenda CCM kutochonganisha na Chadema😂.Yaani kayatimba kweli kweli, kusema ukweli ni Mungu tu ndio ataikomboa hii nchi ila sisi wanaadamu ni adui wakubwa .Kwa nini hukusaidia kusafisha huo ubaya .Sina la kusema

    • @illomowerner7690
      @illomowerner7690 Před 24 dny

      ​@@leokamil6284Kweli kabisa @leokamil6284, alikotoka si malaika, nako kunaweza kuwa na changamoto kwani si wote wanafanana katika safari yoyote ile duniani, ndio maana hata katika safari ya ukombozi kiimani kuna mitume walimkana Yesu, (Yuda Iskarioti)lakini haimaanishi hakukuwa na changamoto yoyote kwenye timu ya Yesu BUT haimaanishi UPANDE WA SHETANI ulikuwa bora kuliko wa ukombozi/YESU.
      Hivi hata kama kuna changamoto CHADEMA ndio kusema CCM ni bora na wanastahili kuendelea kuongoza nchi hii pamoja na uchafu wote huu wa kuumiza umma katika nyanja mbalimbali? IE kukatisha maisha ya WATU kwa vitendo na mifumo mbalimbali? Je, kwenye familia yake kupo sawa 100%? Ivi mkewe angekuwa anasema naondoka Kwa changamoto za familia yake angebaki na familia.
      Changamoto hazikwepwi zinatatuliwa.
      Mercy on Msigwa

    • @illomowerner7690
      @illomowerner7690 Před 24 dny

      Ivi waliopoteza maisha yao, na ambao sehemu ya DAMU ZAO zilichangia ushindi wa Msigwa na wengine, yaano waliopoteza maisha yao na ndoto zao ili ndoto za ukombozi wa wananchi na taifa zitimie ikiwepo ndoto zake Msigwa, Leo wakifufuka atajisikiaje?
      Hakika malipo ya nakuja mapema sana.
      Wasaliti wote wa DAMU za wanaumia watalipa

    • @illomowerner7690
      @illomowerner7690 Před 24 dny

      Eti amechagua kuwa kwenye comfort zone.
      haya, let's wait and see

  • @godfreymikmta5008
    @godfreymikmta5008 Před 24 dny +1

    Mpuuzi tu huyu

  • @dismasmtui729
    @dismasmtui729 Před 24 dny

    Ila jamaa amejiua kisiasa mwenyewe!!!.Sasa hivi anakwenda kukaa kwenye foleni ya kusubiri teuzi!!

  • @francismgalike5085
    @francismgalike5085 Před 24 dny

    We mnyalu was kuchonga unayeweza kumeza matapishi yako. Duu hata zamani watu wa karibu na mkwawa aliye msaliti ni raia mwenye asili ya Tabora. Msaidizi was Mkwavinyika wa karibu. Hoja zako ni dhaifu sana. Ila hatushangai wakati was mwendazake kunakauli zako nilikuwa nategemea kabisa kilichotokea.

  • @nedlly2
    @nedlly2 Před 24 dny

    Mchumia tumbo tu huyu. Hajielewi! Kukosa tu uongozi ndio unajua kuwa chama kimepoteza mwelekeo! Unafikiria kwa kutumia tumbo! Ungeyasema hayo yote kabla hujashindwa uchaguzi! Shida yako wewe ni madaraka wala huna lolote!

  • @ulimbagakipole3971
    @ulimbagakipole3971 Před 24 dny

    Dawa ya huyu kiumbe watanzania wamzomee popote atakaposimama, ujinga huu wanasiasa watauacha.

    • @user-td3xz9ej7r
      @user-td3xz9ej7r Před 24 dny

      Chadema sio nchi ni chama sema nyie wenye itikadi ya chadema mumzomee hii ni nchi yenye uhuru wa maoni.

  • @user-ku4xq4nd9v
    @user-ku4xq4nd9v Před 24 dny

    Mtawajua kwa matendo yao!!

  • @amosmwampamba
    @amosmwampamba Před 24 dny

    Kigugumizi sana, bila shaka kuna kitu kinaongea nafsin kwake kinamhukum