Huyu baba atakufa vibaya mno. 😭😭 Yaani duh maneno yake mwenyewe yanamtafuna. Mpk nimeona hapo ameshindwa hata kujenga hoja 😢 Hawa watu wa namna hii ndio waaribufu kwenye sector zote 😢
Mungu ni yule yule Jana leo hata milele habadliki. ukuu wa mkoa, wilaya,ubunge sasa mbona umechelewa kipindi kitila mkumbo anaingizwa kweny system ulikuwa wapi? Nakupenda Yesu wew ndo Tumaini tangu
Je, tofauti ya kura mbili ndizo zinazomfanya afikirie CCM kuwa nzuri kuliko CDM ? Je, angeshinda bado angekuwa na kauli kama hiyo ? Hatimaye ameitika kuungana na mfumo unaotumia akili ndogo kutawala akili KUBWA. Kila la Heri kwake ila ajue akili KUBWA haitadanganyika kwa propaganda zake za nchi nzima.
😂😂 Msigwa hotuba imeandaliwa halafu unataka kwenda nje ya ulichoandaliwa useme na maccm mbona ni hiyo wanayoyasema kila siku ili kukivuruga CDM. Njaa, njaa utalazimishwa kasema hata usichotaka kwa sababu 💰 💵.
Pole sana Mchungaji. Pole sana. Kumbuka maana halisi ya toba. Mrudie Mungu wako. Ni yeye pekee awezaye kukuondoa katika tope ulilojitumbukiza. Siasa na madhabahu ukijichanganya utakufa kifo kibaya...
Amefuta maslai yake Binafsi akapewe unaibu, ukiona mtu anarudia matapishi yake, basi sio kiongozi mzuri, nibora angeachana na siasa akaendelea na uchungaji.
Rushwa, Rushwa, Rushwa, Rushwa, Rushwa mtoto wa IBILISI!!! AIBU, AIBU, AIBU NI AIBU HATA KWA WAFUASI WA KANISA LAKE!!! AOGOPI HATA MUNGU!!!AONI AIBU HATA KWA WAFUASI WA KANISA LAKE!!!!
Msigwa ni Malaya wa kiukweli, na shoga wa kiukweli, Duh, halafu Malaya wenzake yanmamshanngilia. Kakosa uenyekiti wa Kanda, kakimbia,, UMEKWISHA KISIASA!!!
Hakika SIASA ni Si HASA. Maneno ya Msukuma yanathibitisha Msigwa alikuwa akipokea fedha wkt akiwa CHADEMA!! Hivyo, hata fedha zilizotuhumiwa kutumika wkt wa uchaguzi wa Viongozi wa Kanda ya Kusini, Msigwa alihusika. Leo Msigwa anaongelea AMANI HAONGELEI HAKI?? Hii njaa shida SANA.
Njia ya Mwongo ni fupi,Msigwa kwa nini una kigugumizi?Mimi ninavyojua siasa ni maisha ni kweli ,kwa nini utafute maisha ya ujanjaujanja?utafika kweli unakwokwenda?wacha iendelee kunyesha tuone panapovuja.
Wakina halina mdee nawapongeza sana yoooote walio tuhumiwa walinyamaza na walikuwa bakuli sisi ni chadema damu.na roho yangu iliingia kwa ajili yao lakini wewe Msingwa naona unanipa hasira tu.nakuona nimuasi tu kama Sauli
Heart Breaking kwa kweli, Ilikuwa ni suala la muda tu, Msukuma alikuwa anajua. Na hapo ndo tujue waafrika tunaishi kutaka madaraka, Msigwa, Msigwa Mungu anakuona!..
Alikuwa na msemo wake kuwa kaja kutuchonganisha na CCM, sasa kaenda CCM kutochonganisha na Chadema😂.Yaani kayatimba kweli kweli, kusema ukweli ni Mungu tu ndio ataikomboa hii nchi ila sisi wanaadamu ni adui wakubwa .Kwa nini hukusaidia kusafisha huo ubaya .Sina la kusema
@@leokamil6284Kweli kabisa @leokamil6284, alikotoka si malaika, nako kunaweza kuwa na changamoto kwani si wote wanafanana katika safari yoyote ile duniani, ndio maana hata katika safari ya ukombozi kiimani kuna mitume walimkana Yesu, (Yuda Iskarioti)lakini haimaanishi hakukuwa na changamoto yoyote kwenye timu ya Yesu BUT haimaanishi UPANDE WA SHETANI ulikuwa bora kuliko wa ukombozi/YESU. Hivi hata kama kuna changamoto CHADEMA ndio kusema CCM ni bora na wanastahili kuendelea kuongoza nchi hii pamoja na uchafu wote huu wa kuumiza umma katika nyanja mbalimbali? IE kukatisha maisha ya WATU kwa vitendo na mifumo mbalimbali? Je, kwenye familia yake kupo sawa 100%? Ivi mkewe angekuwa anasema naondoka Kwa changamoto za familia yake angebaki na familia. Changamoto hazikwepwi zinatatuliwa. Mercy on Msigwa
Ivi waliopoteza maisha yao, na ambao sehemu ya DAMU ZAO zilichangia ushindi wa Msigwa na wengine, yaano waliopoteza maisha yao na ndoto zao ili ndoto za ukombozi wa wananchi na taifa zitimie ikiwepo ndoto zake Msigwa, Leo wakifufuka atajisikiaje? Hakika malipo ya nakuja mapema sana. Wasaliti wote wa DAMU za wanaumia watalipa
We mnyalu was kuchonga unayeweza kumeza matapishi yako. Duu hata zamani watu wa karibu na mkwawa aliye msaliti ni raia mwenye asili ya Tabora. Msaidizi was Mkwavinyika wa karibu. Hoja zako ni dhaifu sana. Ila hatushangai wakati was mwendazake kunakauli zako nilikuwa nategemea kabisa kilichotokea.
Mchumia tumbo tu huyu. Hajielewi! Kukosa tu uongozi ndio unajua kuwa chama kimepoteza mwelekeo! Unafikiria kwa kutumia tumbo! Ungeyasema hayo yote kabla hujashindwa uchaguzi! Shida yako wewe ni madaraka wala huna lolote!
Msigwa kumbe Mnafiki kiasi hiki, Bwege tu Unajisifu bure hamna lolote.
Kiongozi yeyote ambaye analamba matapishi yake huyo sio kiongozi wa.kutegemewa
Yaani hii ni laana! Mvuto wote umetoweka. Kumbe ukizoeleka kivingine ukibadirika taswira inabadilika!
UKIMSIKILIZA MSINGWA WA SISIEM UNAWEZA UKATAPIKA ASEE😢😢😮😢😢😢😮😮😮😢😮😮😢😢😮😮😢😢
Nilishasema ukimuona mtu anatoa kinyesi mdomoni nunueni sanda maana hatapona. Msigwa amethibitisha msemo huu apuuzwe kwa lolote asemalo.
Msigwa kafilisika, kajiabisha sana. Kuna aliwahi kuhoji uchungaji wa Peter Msigwa. Huyu ni tapeli na malaya wa kisiasa.
Maneno ya msingwa najisikia aibu mm hatali sana had siamin
Pesa ya Dp world inamwagika kama mvua ya masika 😮😮
Daaah Malaya wa siasa, sikutegemea msigwa kuwa anapenda fedha za aibu
Pesa haishindwi brother inauwezo wa kuhamisha mlima
@@MashakaMagesa aisee kwakweli
Kk jmaa bdo wapo wengi sana hawa amin nikuambie wmejaa unafki tu na tamaa za hela za bure
Nafikiri amepotea njia
Msingwa ! Ulimwogopa Msukuma atakuumbua uko kwenye payrolls ya CCM.
Weeeeh mzeee mwogope mungu 😮
Sasa Huyu amezidi ujinga wa kihiyo. Ameaibisha msigwa wote.
HIYO NDIO RAINGI HARISI YA SHETANI ......!!!!
Msigwa amechanganyikiwa
Huyu ni mtu wa chama toka zamani,sio leo😂😂
Alicho ongea msigwa ni mnafiki kwa alicho kisema kwahiyo ameenda kwenye mfumo kandamizi mnafiki mkubwa achaneni naye mpumbavu mmoja je h
Anabahatisha halafu hata nafsi inamsuta,Mnafiki Mno afu hana hoja
SIJUI UCHUNGAJI ALIUPATAJE MSIGWA
Mchungaji wa hela, sio wa kuchunga imani
@@hamadkhamis6572kashukiwa na roho mtakavitu
Yaani nimeskitika sana tumepoteza nguvu kubwa sana fedha ni hatari sana mimi siamini
Huyu c alikua na lissu bega kwa bega hhhhhhhhhhhh
Alikua anatafuta sifa, ili apate dau kubwa
Mh
Njaa sanaaa
We Mzee ulaaniwe tu kukosa uenyekiti wa Kanda ya kusini pvu linakutoka namna hii 😢😢😢😢
Njaa Na uroho wa madaraka ndio tatizo la msigwa
Mboe ndio mlooho wa madaraka msigwa yuko sawa
Deal Done😂😂😂
Kwenda ccm msigwa kajichanganya sana, dah.
Kajichangaje, lengo la chama cha siasa ni kushika dola, kama umeachana na kisicho dola na unajiunga chenye dola, hiyo ndio akili kubwa.
Aliondoka dk slaa sembuse yeye ambae akumbuki jana amesema nini
Msigwa amenishangaza sana,
Msigwa rana itakutafuna kwa kuwadaganya watu na wakakwamini 😂😂😂
Mi naona msigwa anachanganyikiwa, alidhani yeye chadema ni mfalme
Msingwa kweri wewe njaa ndio imekupereka huko
Wew ndo umepoteza mvuto ila sio Chadema
Ulikuwa ukiponda ccm sasa umerudi ccm kwa kauli hizo itakuwaje😂
Msigwa anauroho wa madaraka
Ana nyege ya madaraka
Haijalishi ufundi mkubwa kwa kwa kiwango gani wa mazingaombwe lakn mavi hayawezi kuwa keki!
SI AJABU MBWA KULAMBA MATAPISHI YAKE😅😅😅😅
Ikiwezekana hata mbowe aende tu
Huyu baba atakufa vibaya mno. 😭😭 Yaani duh maneno yake mwenyewe yanamtafuna. Mpk nimeona hapo ameshindwa hata kujenga hoja 😢 Hawa watu wa namna hii ndio waaribufu kwenye sector zote 😢
Shame on you msigwa,
Mtu mmoja amegeuza chama kinakuwa Saccos, mtu mmoja amekuwa mwenyekiti wa maisha. 😂😂😂 Keep living brother
Keep on loving your fellow myopic.
ni hoja ya siku zote dhaifu ya ccm hana jipya
Duh chumbani analiah huyu
Mungu ni yule yule Jana leo hata milele habadliki. ukuu wa mkoa, wilaya,ubunge sasa mbona umechelewa kipindi kitila mkumbo anaingizwa kweny system ulikuwa wapi? Nakupenda Yesu wew ndo Tumaini tangu
Je, tofauti ya kura mbili ndizo zinazomfanya afikirie CCM kuwa nzuri kuliko CDM ?
Je, angeshinda bado angekuwa na kauli kama hiyo ?
Hatimaye ameitika kuungana na mfumo unaotumia akili ndogo kutawala akili KUBWA.
Kila la Heri kwake ila ajue akili KUBWA haitadanganyika kwa propaganda zake za nchi nzima.
Swali zuri.
Daaah!! Kaka karibu sana
Pole sana kwa kujinasua na wale jamaa. CCM Oyee
Hujielewi wewe
😂😂 Msigwa hotuba imeandaliwa halafu unataka kwenda nje ya ulichoandaliwa useme na maccm mbona ni hiyo wanayoyasema kila siku ili kukivuruga CDM.
Njaa, njaa utalazimishwa kasema hata usichotaka kwa sababu 💰 💵.
Pole sana Mchungaji. Pole sana. Kumbuka maana halisi ya toba. Mrudie Mungu wako. Ni yeye pekee awezaye kukuondoa katika tope ulilojitumbukiza. Siasa na madhabahu ukijichanganya utakufa kifo kibaya...
Hii nchi bila ya cc wenyewe wananchi kuamka na kukataa ukandamizaji wa CCM tutaendelea kuwa hivi hivi kwa huu upuuzi unaoendelea hovyo kabisa.
Amefuta maslai yake Binafsi akapewe unaibu, ukiona mtu anarudia matapishi yake, basi sio kiongozi mzuri, nibora angeachana na siasa akaendelea na uchungaji.
Rushwa, Rushwa, Rushwa, Rushwa, Rushwa mtoto wa IBILISI!!! AIBU, AIBU, AIBU NI AIBU HATA KWA WAFUASI WA KANISA LAKE!!! AOGOPI HATA MUNGU!!!AONI AIBU HATA KWA WAFUASI WA KANISA LAKE!!!!
Tulikufahamu mda tu kua wewe nimamruki tu
Uchawa wa myu mzima ni aibu kwake na kabila zima.
Wahehe hamjawahi kuwa wapumbavu kama huyu boya!
Ngoja tuwaone maamuzi yenu ,uchaguzi huo umefika!!
Ebwana Msigwa Msigwa Msigwa kwel nimegunduwa ninyi Wana siasa nimatapeli lundi kwenye krip zako uko nyuma uzitazame ulivyo kuwa unawahidi wanaichi hakika mwanasiasa yoyote ni tapeli
WATANGANYIKA TUMESTUKA
TUNATAKA SELEKALI TATU
PELEKA NJAA ZAKO HUKO
SISIEMU IMEOZA INANUKA RUSHWA
Msgwa unakumbuka kilichomtokea Yuda eskariote baada ya kumkana Yesu?
Abduli ooyeee
Umefanya kazi
Kuna hela hutoka CCM kwenda kusaidia CHADEMA? Zipi hizo? Za ruzuku au ndiyo zile za Mama Abdul kupitia kwa mwanae Abdul?
kigugumizi na maneno ya kutafutatafuta kinakusumbua ni wazi amekula mshiko, msukuma kasema kweli
Kwenda mbinguni ni ngumu sana
Unafiki
Juzi uliikuwa mkosoaji Leo unasifia.
Hivi huyu haoni aibu sasa yeye amejiunga na matope kwa hiyo naye ni matope
Dah...!! Mchungajiiii😂😂 kweli njia ya pepo ni nyembamba kama tundu la sindano
Msigwa ni Malaya wa kiukweli, na shoga wa kiukweli, Duh, halafu Malaya wenzake yanmamshanngilia. Kakosa uenyekiti wa Kanda, kakimbia,, UMEKWISHA KISIASA!!!
Kweli siasa ni mchezo mchafu yaani 😅😅
Msigwa nifisi tu..ccm mpeni mfupa atatulia,,,kwanza usiseme chama chetu uwe unasema chama chako ccm
Msigwa ameshakufa kisiasa,ccm watamfanya ngazi tu huyo
Hakika SIASA ni Si HASA. Maneno ya Msukuma yanathibitisha Msigwa alikuwa akipokea fedha wkt akiwa CHADEMA!! Hivyo, hata fedha zilizotuhumiwa kutumika wkt wa uchaguzi wa Viongozi wa Kanda ya Kusini, Msigwa alihusika. Leo Msigwa anaongelea AMANI HAONGELEI HAKI?? Hii njaa shida SANA.
Njaa itawaumbua,huyo sio uchungaji,ila ni shetani
Mummmh! ALIKUWA KWETU ILA SI WA KWETU
Njia ya Mwongo ni fupi,Msigwa kwa nini una kigugumizi?Mimi ninavyojua siasa ni maisha ni kweli ,kwa nini utafute maisha ya ujanjaujanja?utafika kweli unakwokwenda?wacha iendelee kunyesha tuone panapovuja.
Kifo halali kwa mtu kama huyu ni msaliti hana shaka ni msaliti
Umekwisha msiba umeruka mikojo umekanyaga mavi tena mabichi
Bado anayo nafasi, atubu
Siasa za kipumbavu sana.Hovyo kabisa
Alisema hajengi ofisi anajenga watu
Wakina halina mdee nawapongeza sana yoooote walio tuhumiwa walinyamaza na walikuwa bakuli sisi ni chadema damu.na roho yangu iliingia kwa ajili yao lakini wewe Msingwa naona unanipa hasira tu.nakuona nimuasi tu kama Sauli
Ulisema CCM ni akili ndogo kuongoza akili kubwa leo umekuwa na akili ndogo kwa hiyo akili kubwa huwezi
Yaani hii nchi kwa kweli 🤔🤔🤔 ukisikia tamaa mbele mauti nyuma ndio hii sasa 😂😂
Stress ni kitu kibaya. Kinamfanya mtu awe mwongo?
Msigwa umeshaondoka tuachie chama chetu. Watanzania wamefahamu sura yako halisi. 'Uchu wa madaraka'
Hivi hata kanisani hajaenda sasa uchungaji uko wapi 😂 hapa ishu ni madaraka
Sipendi vyama nataka mgombea biinafsi.
Eti ni mchungaji. . . . Kweli. . !
Kumbe kada wa kisili wa maofisi emu
Hii ni roho ya Yuda inatenda kazi,sio kwa siasa tu, hatari hata kwa Ukristo,
Muongo daima hutafuta maneno ya kuongea
Heart Breaking kwa kweli,
Ilikuwa ni suala la muda tu, Msukuma alikuwa anajua.
Na hapo ndo tujue waafrika tunaishi kutaka madaraka,
Msigwa, Msigwa Mungu anakuona!..
Huu unafiki niwa level nyingine kwa kweli
Wewe pia mbona ulikuwa unataka uongozi wa kanda uwe wewe tu siku zote!!?? Mchungaji?? Wa nini??
😂😂😂😂😂usiwaamini hawa watu anataka ubunge 2025 njaaa mbaya unaona uongo unavyomdhalilisha mpska anapata kigugumizi cha ghafa😂😂😂
Tupe uchambuzi sk ngurumo
Njaa zinamtafuna huyu sijui hela za bungeni aligawa?
Jinga wewe mbona wewe ndio ulikuwa hutaki kukosolewa
Sugu umemnyoosha kwelikweli
KAACHA NJIA KAINGIA KICHAKANI NA KUPOTEA
wanasiasa wanafiki sana jana aliwaponza leo anawasifu
SK alisema ukweli kuhusu msigwa sasa ona haya ayafanyayo
Alikuwa na msemo wake kuwa kaja kutuchonganisha na CCM, sasa kaenda CCM kutochonganisha na Chadema😂.Yaani kayatimba kweli kweli, kusema ukweli ni Mungu tu ndio ataikomboa hii nchi ila sisi wanaadamu ni adui wakubwa .Kwa nini hukusaidia kusafisha huo ubaya .Sina la kusema
@@leokamil6284Kweli kabisa @leokamil6284, alikotoka si malaika, nako kunaweza kuwa na changamoto kwani si wote wanafanana katika safari yoyote ile duniani, ndio maana hata katika safari ya ukombozi kiimani kuna mitume walimkana Yesu, (Yuda Iskarioti)lakini haimaanishi hakukuwa na changamoto yoyote kwenye timu ya Yesu BUT haimaanishi UPANDE WA SHETANI ulikuwa bora kuliko wa ukombozi/YESU.
Hivi hata kama kuna changamoto CHADEMA ndio kusema CCM ni bora na wanastahili kuendelea kuongoza nchi hii pamoja na uchafu wote huu wa kuumiza umma katika nyanja mbalimbali? IE kukatisha maisha ya WATU kwa vitendo na mifumo mbalimbali? Je, kwenye familia yake kupo sawa 100%? Ivi mkewe angekuwa anasema naondoka Kwa changamoto za familia yake angebaki na familia.
Changamoto hazikwepwi zinatatuliwa.
Mercy on Msigwa
Ivi waliopoteza maisha yao, na ambao sehemu ya DAMU ZAO zilichangia ushindi wa Msigwa na wengine, yaano waliopoteza maisha yao na ndoto zao ili ndoto za ukombozi wa wananchi na taifa zitimie ikiwepo ndoto zake Msigwa, Leo wakifufuka atajisikiaje?
Hakika malipo ya nakuja mapema sana.
Wasaliti wote wa DAMU za wanaumia watalipa
Eti amechagua kuwa kwenye comfort zone.
haya, let's wait and see
Mpuuzi tu huyu
Ila jamaa amejiua kisiasa mwenyewe!!!.Sasa hivi anakwenda kukaa kwenye foleni ya kusubiri teuzi!!
We mnyalu was kuchonga unayeweza kumeza matapishi yako. Duu hata zamani watu wa karibu na mkwawa aliye msaliti ni raia mwenye asili ya Tabora. Msaidizi was Mkwavinyika wa karibu. Hoja zako ni dhaifu sana. Ila hatushangai wakati was mwendazake kunakauli zako nilikuwa nategemea kabisa kilichotokea.
Mchumia tumbo tu huyu. Hajielewi! Kukosa tu uongozi ndio unajua kuwa chama kimepoteza mwelekeo! Unafikiria kwa kutumia tumbo! Ungeyasema hayo yote kabla hujashindwa uchaguzi! Shida yako wewe ni madaraka wala huna lolote!
Dawa ya huyu kiumbe watanzania wamzomee popote atakaposimama, ujinga huu wanasiasa watauacha.
Chadema sio nchi ni chama sema nyie wenye itikadi ya chadema mumzomee hii ni nchi yenye uhuru wa maoni.
Mtawajua kwa matendo yao!!
Kigugumizi sana, bila shaka kuna kitu kinaongea nafsin kwake kinamhukum