NI BAJETI YA WATAWALA NA WADAI WAO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 06. 2024
  • Vipaumbele vya serikali havijali mwananchi
  • Hudba

Komentáře • 75

  • @dismasmtui729
    @dismasmtui729 Před měsícem +6

    Siku hizi nimeacha kusoma magazeti ya Tz kabisa.Hayako critical kabisa!

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 Před měsícem

      Sio Magazeti tu kimsingi hakuna Waandishi wala vyombo vya habari hata social media sio "critical" hakuna "balancing" ya story zinaishia tu kupenda penda au kuchukia chukia Serikali.

  • @saviomlelwa
    @saviomlelwa Před měsícem +3

    Duh! Uchambuzi makini Sana. Hongera sana

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 Před měsícem +4

    Uçhambuzi mzuri saña Ansbert,Wananchi tunahisi ni kawaida vyombo vya habari kupelekewa ujumbe wa aina mbili waamue kusuka,au kunyoa hawana namna panga linawahusu!. Jumbe hizo ni: 1.vitisho,na 2.Bahasha. Hiyo ndio kazi iliyotukuka ya Waziri wa habari maelezo-Tanzania.

  • @eezybugeraha7169
    @eezybugeraha7169 Před měsícem +11

    Hongera kwa uchambuzi mzuri ila Kuhusu ukubwa wa Kenya si kweli, Kenya ina 582,644km² na sio 225,000km², Uganda ina 241,038 km² hivyo Kenya ni kubwa ki eneo kuliko Uganda mara mbili zaidi. Lakini pia ukijumlisha eneo la Kenya, Uganda Burundi na Rwanda unapata jumla 877,850 km² ambazo ni karibu 91% ya Tanzania na sio 55% kama ilivyoainishwa. Ahsante

    • @AnsbertNgurumo
      @AnsbertNgurumo  Před měsícem +2

      Asante kwa sahihisho

    • @eezybugeraha7169
      @eezybugeraha7169 Před měsícem +1

      @@AnsbertNgurumo Ninafatilia na kupendezwa mno na uchambuzi wako. Endelea kutuelimisha.

    • @neliusgosbertbaguma8693
      @neliusgosbertbaguma8693 Před měsícem +1

      Ila ndugu yangu uko vizuri kwelikweli, unatusaidia kutafakati, nchi yetu inapoelekea, ni muhimu uanzishe mjadala pia mjadala wa ukombozi wa nchi yetu, Mpina kafuatilia mambo muhimu sana, wanataka kumpiga rungu, tunahitaji Revolution

    • @illomowerner7690
      @illomowerner7690 Před měsícem

      Bravo comment

    • @illomowerner7690
      @illomowerner7690 Před měsícem

      ​@@eezybugeraha7169nami pia, unaofaa kuendelea kujifunza zaidi ili baadae uwe kati ya hazina kubwa za uchambuzi chanya kama Ansbert Bugeraha, bravo to your great reseach

  • @JacksonFrances
    @JacksonFrances Před měsícem +4

    Budget Ya Viongozi,, Mafisadi na Wanyonyaji. Sisi Wananchi Walishajua Hatujielewi Wala Hatujui Kuhoji na Kupinga Kwahiyo Wanaamua Wanavyojiskia Maana Wananchi TUMELALA Sana "

  • @lupefiascojr.1896
    @lupefiascojr.1896 Před měsícem +4

    Nakubali sana uchambuzi ukiongozwa na wimbo murua

  • @sebastianmwantuge5597
    @sebastianmwantuge5597 Před měsícem +3

    Tumeshaona waandishi na watangazaji wengi Tanzania wanateuliwa na Rais wa Nchi kuwa Wakuu wa Wilaya hiyo ni strategy ya kuwafanya MACHAWA wa Serikali.Katiba mpya ni muhimu kupunguza mamlaka ya Rais ya uteuzi.

  • @butungo1
    @butungo1 Před měsícem +3

    Ahsante kwa uchambuzi. Clip iliyosambazwa, imeonesha Uganda ni kubwa kuliko Kenya..si kweli. Kenya ina eneo kubwa la kijiografia kuliko Uganda

  • @AvenusiMponji
    @AvenusiMponji Před měsícem +7

    Ila wewe mzee noma Sana unasaidia Sana wengine kuelewa mambo

  • @TwalibuKimaro-th5mv
    @TwalibuKimaro-th5mv Před měsícem +5

    Mjomba Asante unajua sana

  • @shabanadam4476
    @shabanadam4476 Před měsícem +4

    Enough respect Ansbert your the really hero 🎉

    • @illomowerner7690
      @illomowerner7690 Před měsícem

      Good comment Shabanadam, Ansbert is one of our few positive icons towards national transformation...live longer hon.Ngurumo A

  • @vickytorry100
    @vickytorry100 Před měsícem +2

    Big up ndugu yetu, wenye masikio na wasikie, watalaam kama wewe ni adimu na mnahitajika sana👏🏽

  • @rweumbizalugaimukamu4905
    @rweumbizalugaimukamu4905 Před měsícem +5

    Tumeliwa

  • @user-vi1ds6gw9g
    @user-vi1ds6gw9g Před měsícem +3

    vigazeti vya tz kwa sasa vinafaa kufungia vitumbua tu sokoni, kwa mtu mwenye utimamu wa akili hawezi hawezi kupata kitu sahihi humo, chawa wengi mno kwa sasa!😭😭🇹🇿

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 Před měsícem

      Yaani chawa ni wengi kuliko nywele. Ni hatari!

  • @mgungulem3187
    @mgungulem3187 Před měsícem +3

    Haya mafisiemu yatatuua

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz Před měsícem +2

    Uchambuzi mzuri sana

  • @barnaba3037
    @barnaba3037 Před měsícem +4

    Waziri jipu

  • @luganomwaigomole7441
    @luganomwaigomole7441 Před měsícem +2

    AHSANTE SANA BROTHER....TANZAGIZA KUNA GIZA KWELI...MATUMIZI YASIYO NA TIJA NI HAWA WATAWALA

  • @victoreleonardmdee9158
    @victoreleonardmdee9158 Před měsícem +2

    Mipango Sio Matumizi

  • @arafatyhussein
    @arafatyhussein Před 14 dny +1

    8:26 "Ujinga ujinga, Uchawa, kujikomba vinatuhusu hata sisi wenyewe ambao ulitarajia tuwe jicho la jamii tuwe mdomo wa jamii tuwasemee wasio weza kusema."
    ~Ansbert Ngurumo.

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo4382 Před měsícem +2

    MWIGULU NI MLEMAVU WA AKILI, NI JAMBAZI TU!

  • @gabrielmahala9848
    @gabrielmahala9848 Před měsícem +3

    Haya ndio madhara ya kukopa itafika wakati watashindwa kulipa wafanya kazi hapo ndio kila mtanzania alielala usingizi ataamka, kuhusu afya sioni ajabu maana mwananchi hana thamani yoyote kinachothaminiwa ni kodi yake, mwananchi kwa serikali hii ya ccm ni takakata, kuhusu elimu serikali inajua ikiboresha elimu itawaamusha watanzania walio lala kesho watashindwa kuwatawala. Sioni utofauti wa pacheti hii na zote zilizopita tangu uhuru maana mimi naona maisha yanazidi kuwa magumu na wananchi kufa kwa njaa kila siku

    • @user-my7fj6wn7y
      @user-my7fj6wn7y Před měsícem

      WatuvWanangamia, kwakukosa marfa hijawahi kukosea nakuelewa sana🎉🎉🎉

  • @prochesytesha8040
    @prochesytesha8040 Před měsícem +2

    Tumeingizwa chaka mkuu naendelea kukufuatilia

  • @WilliamKileta
    @WilliamKileta Před měsícem +1

    Uchambuzi umeshiba Mr Ngurumo

  • @emanuelsinyinza
    @emanuelsinyinza Před měsícem +3

    Wanawo sifia wanawekwa na wajinga wenzao kuwa wewe kaseme hiki kuwa bajeti .nzuri wenye kutowa mwelekeo wa bujeti hii ni wahasibu wenye kuwa shahada ya CPA niwabunge wangapi wenye CPA. Wakina msukuma wengi wabunge wana tu BA labda .na to muster watatu hivi asilimia 90 wabunge ni wapiga meza mimi ndiyo sina hata mda wa kusikia huwa natapika bahati fani yangu mimi ni mhasibu nimefanya kazi hadi kusitafu bira tatizo

    • @dassustephen731
      @dassustephen731 Před měsícem +1

      Mtu anayependa kusifiasifia kila kitu ikiwemo kusifia mambo ya kijinga NI ishara ya uwezo mdogo WA kufikiri

  • @user-jx5ze9wz8e
    @user-jx5ze9wz8e Před měsícem +1

    Uko vizur san mzee

  • @kingmzebez7786
    @kingmzebez7786 Před měsícem +1

    Asante bigup🇹🇿❤📿✌💪💪💪💪💪💪💪💪👊👊

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 Před měsícem +1

    Tatizo la Watanzania ni kutaka kila mtu awe mtaalam wa kila kitu. Ni vyema sana bajeti kuchambuliwa lakini iwe na Wachumi sio kila mtu.
    Sio sahihi bajeti kulinganisha kwa ukubwa wa eneo achilia mbali Kenya ambayo ipo juu kiuchumi kuliko Tanzania ambayo pia ina madeni makubwa kuliko Tanzania, Utasemaje kwa nchi zilizoendelea kama UK ambayo ni ndogo mara 4 kuliko Tanzania.
    Tatizo kubwa kabisa la Tanzania ni UFISADI ambao kwa kweli bila kutangazwa hadharani kunyonga Mafisadi kama ilivyofanya China tutachelewa sana. Lakini hata aliyejipanga kupambana na Mafisadi Dr. Magufuli nae alisemwa vibaya kwa uongozi wake. Hii imenipa hofu sana kwamba nadhani waliopo madarakani wamepata tu nafasi lakini wabaya zaidi ni hawa waliopo nje. Watanzania tupo tabuni sana, ni zaidi ya msitu wa wanyama pori ni kutafunana tu!

  • @nkwazigatsha
    @nkwazigatsha Před měsícem +1

    Ngurumo tuna tatizo. Ukiona huyo kujifanya mzalendo kwa kuwa na tai ya bendera ya taifa na bendera pembeni, licha ya kuwa ushamba, unashangaa. Huu uzalendo uchwara ni kichaka cha kuficha uovu na ufisadi wa kunuka kama alivyofichuliwa juzi na George Mwenisongole. Mwingulu, Makamba, Bashe na Dotto Biteko hawafai. Biteko alifinyangiwa cheo kupata kura za mwendazake kinyume cha sheria. Naongopa hata kutumia udaktari wangu kutokana na viumbe kama hawa na wale wanaotumia honoris causa kujiita madaktari.

    • @user-ef2ln1mx3s
      @user-ef2ln1mx3s Před měsícem

      Tupe Somo mzee tatizo ni sisi watanzania asante

  • @josephmkinga9509
    @josephmkinga9509 Před měsícem

    bunge la chama kimoja hakuna wakilishi hapo

  • @akilimali8726
    @akilimali8726 Před měsícem +1

    Uchambuzi mzuri ila mara nyingine onesha asilimia ya utekelezaji wa bajeti kwa mwaka wa fedha uliopita, iwapo vipaumbele vinashabihiana ili tupate uhalisia zaidi.

    • @AnsbertNgurumo
      @AnsbertNgurumo  Před měsícem

      Sawa. Hilo litafanyiia pia

    • @Lubango-gj3ud
      @Lubango-gj3ud Před měsícem

      Bajet zetu tz kuna baadhi ya mawazili hutoa hongo kwa wabunge ili bajet zao(za kipigaji) zitipishwe

  • @user-nh9sp7di4u
    @user-nh9sp7di4u Před měsícem

    Mzee MUNGU AKUTUNZE

  • @user-ef2ln1mx3s
    @user-ef2ln1mx3s Před měsícem

    Jamani tumsamee waziri kwani atujui alifikaje pale mambo ya feza ni magumu sana yanaitaji mtu makini na mwenye akili na weledi wa ali yajuu alafu sio kila msomi ni msomi kwani ninani alie fika chuo kikuu akaludi eti kaferi labda nae chuoni ilikua tia maji tia maji mengine ni ngekewa

  • @PhilipoMwita-wc1ku
    @PhilipoMwita-wc1ku Před měsícem +1

    Ww umesoma shule gani ..? Unachambua Ile mbaya

  • @ramadhanibahati2829
    @ramadhanibahati2829 Před měsícem +1

  • @AdamSaffi211
    @AdamSaffi211 Před měsícem

    What is the budget for, kama kila kitu ni neema toka kwa mama

  • @abdallahngoe
    @abdallahngoe Před měsícem +1

    1.Eneo la ardhi na idadi ya watu sio kigezo no 1 kwenye bajet sababu, singapore ni ndogo na inawatu wachache kuliko TZ ila bajet yao ni kubwa kuliko sisi hivo issue ya uchumi wa nchi lazima iwe considered kenya katuzidi uchumi
    2.Hata kenya na uganda wametuzidi kwa bajet lakini sio kwamba hizo pesa zote wanazo nyingine watakopa tena kwa masharti magumu yenye kuwaumiza mfumuko wa bei kenya ni mkubwa kuliko tz na wanadeni kubwa la serikali kuliko tz
    3.Naungana na wewe kwa 100% hasa unapozungumzia kasoro ya bajet yetu kwa matumizi yetu binafsi bila kulinganishwa na za nchi nyingine.. ni kweli vyombo vya habari uchawa mwingi, pesa ya miradi haitoshi na watawala wamejitazama wao zaid kuliko wananchi wake
    4.licha ya bajet kuwa ndogo kwenye miradi ya maendeleo bado pia haitafika yote kwa sababu ya ufisadi wa watawala

    • @neliusgosbertbaguma8693
      @neliusgosbertbaguma8693 Před měsícem

      Hapana wachumi wenyewe ndio wamefeli, factor ya ukubwa wa nchi na idadi ya watu ni muhimu sana, hizo nchi zenye watu wachache, huduma zitakuwa bora zaidi

    • @abdallahngoe
      @abdallahngoe Před měsícem

      @@neliusgosbertbaguma8693 ni kweli ni factor muhimu kwa taifa ila hisilinganishwe na taifa jingine. Urusi ni kubwa kwa ardhi na idadi ya watu kuliko marekan ila bajet yao ndogo kuliko ya america... umeona kenya maandamo ya mfumuko wa bei. Ni kwel bajet yao kubwa ila hzo pesa zote hawana nyingne ni lazma wakope kwa mashart magum yenye kuathir uchumi wao baadae. Bajet utengenezwa kulingana na uchumi wa nchi husika kulingana na mahitaji ya wananchi wake... kama haitoshi iongezwe lakini sio kulinganishwa kwanini fulani katuzidi wakati sisi tuko hivi na wao wako vile

  • @erasmusaloyce4398
    @erasmusaloyce4398 Před 23 dny

    Pamoja na yote umenidanganya Kenya ni kubwa kuliko Uganda.

    • @arafatyhussein
      @arafatyhussein Před 14 dny

      Haja danganya ukubwa wakenya alio utaja ni wa square miles wakati hizo zingine zote kazitaja kwa square kilometres.

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před měsícem

    👍👊✌️.

  • @user-hu9bf7nw4c
    @user-hu9bf7nw4c Před měsícem

    Ngurumo hua unachambua na hujawai kukosea ,yaan unachambua kwa mfumo wa ukwel kiuhalisia ,yaan asieelewa ujue ,anaugnjwa wa akil au na yy ni fisad

  • @FrankMwakatundu-cu6bd
    @FrankMwakatundu-cu6bd Před měsícem

    Serikali hii nii KANDAMIZI KWELI KWELI!!

  • @mgungulem3187
    @mgungulem3187 Před měsícem +3

    Sijawahi kuona comment kuhusu huyu mtaalam ya dhihaka. Nakupongeza mkuu

  • @MatoWatanda-on6pu
    @MatoWatanda-on6pu Před měsícem

    Kazi ni ngumu sana,bila kujitegemea na kuangalia namna ya kuiepuka dollar,tutakopeshwa kwa riba kubwa na mwisho ni kubaki watumwa

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz Před měsícem

      Sasa dollar utaiepuka vp? Mbona korea kusini iko juu kiuchumi na bado wanaitumia dollar?kutumia dollar sio kigezo cha kuwa maskini au kutoinuka kiuchumi.

  • @majaliwabwitonde6900
    @majaliwabwitonde6900 Před měsícem

    Sure 😂

  • @knight6757
    @knight6757 Před měsícem +1

    🇹🇿😭

  • @rastheunique
    @rastheunique Před 27 dny

    😭😭😭

  • @salummohamed2689
    @salummohamed2689 Před měsícem +2

    Huyu jamaa ni hatari sana, huwa anafikiria watu wengine hawajui chochote, sikia hiyo soma yake ni hadaa tupu!

  • @willykomba8376
    @willykomba8376 Před měsícem

    😮😮Sio kufungia vitumbua tu Bali kuzolea uchafu

  • @saviomlelwa
    @saviomlelwa Před měsícem +1

    Duh! Uchambuzi makini Sana. Hongera sana

  • @deogratiaskatinda9232
    @deogratiaskatinda9232 Před měsícem +1

    Tunaongozwa na Waziri bwege, waziri wa fedha asiyejielewa bali akijielewa yeye na wanaomlisha

    • @nkwazigatsha
      @nkwazigatsha Před měsícem

      Angekuwa bwege afadhali. Huyu ni chizi tena fisadi