Uongo wanamsingizia,wameona anawanyosha wanaanza kumtungia uongo,yawe hadharani baada ya kuwa RC,uongo,mkweli na mtenda Haki hawaendi awepo.amesaidia Sana wanyonge Makonda na anapenda Mungu na ana hofu ya Mungu
Huku nje wenye mapenzi naye watapinga,kutukana,na kuamini ni uongo,kama ambavyo habari hii itakanushwa ndani na kupotezewa tu kwasababu ni zao zuri la akiba kwa faida za kisiasa! Wateuliwe tu lakini wakati huu ni wa miujiza ya Mungu asiyechunguzika!
MAKONDA KIGEUGEU ANAJISAFIDHA KUTENDA MEMA LAKINI NIMTU MBAYA SANA.ANA TABIA YA MAGU ALIKUWA MTU MZURI KWARAIA KUWAPA HATA MAPESA LAKINI ALIKUWA MTU MBAYA SANA ALIUA AKINA SANANE NA WENGINE WASIO NA HATIA NA MAKONDA YUPO HIVYO HIVYO .
Hilo jambo lipo wazi serikali ijalibu kutenda haki hao wanaugonvi wa mda mlefu unao husu nyumba nani asiye juwa makonda anahasira ya kurudisha ile nyumba aliyetaka kuzurumu akiwa mkuu wa mkoa dar hizo ni hasira yeye alikuwa anatakuzuru hiyo nyumba kwa kutumia kivuli cha marehemu magufuli sasa imeshindikana ndiyo hizo hasira mzurumati huyoo kijana wa ccm sheria ifate mkondo
Hivi kwanini tunajishaulisha hivi inamaa hivi historia ya huyu bwana hatuijui? Au hayo maigizo ambayo aliokuwa akiyafanya ndiovimefuta ubaya wote alioufanya? Kweli watanganyika tutachelwa sana kwakuwaamini waingizaji
Huyuu makonda ninani katika tanzania hiii hilo nikosa kalifanya sasa tunataka. Tupate majibu huyu makonda kazowea kufanya vitu vya kutisha achukuliwi atuwa ukweli tunaitaji uwonekane
Muh.mama Rais kauli hizi zinakushushia heshima mimi nakuomba achana na huyu kijana asiyejitambua,ebu tafuta wasukuma wengine wenye BUSARA uwateue hizo nafasi maana huyu anakutukanisha saana.
Nchi kupata mafanikio ni ngumu sana, makonda ni mtu mwaminifu sana, makonda ww ni km dhahabu, lazma ipite ktk moto ndo iwe vizuri, Pia hata Yusuph kule misri, ila alishinda majaribu,
Nyie watu ,nyie watu acha kuwaandama viongozi wanaopendwa na watanzania kwa kazi zao nzuri za kutetea wanyonge!!!
Apelekwe mahakamani anapenda sifa sana peleka mahakamani akanyee ndoo
Makonda mungu akubariki chapa kazi. Tunajua mafisadi umewabana
MAKONDA ni mtu mzuri na anatufaa sana,, acheni uchochezi na majungu
Makonda kafanye kazi baba achana na hao wanafiki.wanyonyaji wakubwa.
Uongo wanamsingizia,wameona anawanyosha wanaanza kumtungia uongo,yawe hadharani baada ya kuwa RC,uongo,mkweli na mtenda Haki hawaendi awepo.amesaidia Sana wanyonge Makonda na anapenda Mungu na ana hofu ya Mungu
acha kuzunguka zunguka nenda kwenye point.
Wapuuzi wanahabari uchwara acha kusumbua
Nikweli sisi wanyonge tunamkubali sana makonda wafanya biashara wabaya
Acheni kumzushia uzushi Makonda tunajua mnatumika na vigogo.
Hivi hapo ikulu mnadharau suala la veting? Ukifanya vetting hata kwa ufinyu sana mknd hapiti na hafai
Huku nje wenye mapenzi naye watapinga,kutukana,na kuamini ni uongo,kama ambavyo habari hii itakanushwa ndani na kupotezewa tu kwasababu ni zao zuri la akiba kwa faida za kisiasa! Wateuliwe tu lakini wakati huu ni wa miujiza ya Mungu asiyechunguzika!
Madia taka taka sana
Njie wango
Hakuna kitu
MAKONDA KIGEUGEU ANAJISAFIDHA KUTENDA MEMA LAKINI NIMTU MBAYA SANA.ANA TABIA YA MAGU ALIKUWA MTU MZURI KWARAIA KUWAPA HATA MAPESA LAKINI ALIKUWA MTU MBAYA SANA ALIUA AKINA SANANE NA WENGINE WASIO NA HATIA NA MAKONDA YUPO HIVYO HIVYO .
Acheni uongo
Achen wivu wa madaraka jaman
Tz kufanikiwa tutachelewa sana wanafiki wengi mtu akiwa anafanya kazi kwangazi ya juu na ukiwa msema kweli watatokea watu wenye chuki baina yako
Mbona unarudia rudia maneno tukuelewi nini ? Huna taarfa ni muongo Wewe
We media Acha uongo.......
Hilo jambo lipo wazi serikali ijalibu kutenda haki hao wanaugonvi wa mda mlefu unao husu nyumba nani asiye juwa makonda anahasira ya kurudisha ile nyumba aliyetaka kuzurumu akiwa mkuu wa mkoa dar hizo ni hasira yeye alikuwa anatakuzuru hiyo nyumba kwa kutumia kivuli cha marehemu magufuli sasa imeshindikana ndiyo hizo hasira mzurumati huyoo kijana wa ccm sheria ifate mkondo
Alitaka kumuua lin wap na kwa nn?
Kumbe ndiyo.maana magu alikuwa anavifungia vi TV hivi. Vinatumalizia bando
Mnamtetea mwarabu atawasaidia nini makonda pigs kazi tuko nyuma yako sister Wallace hoi
Jamani mbona hivi
KWAKO SALLAA FUATA USHAURI WA WAKILI MADELEKA NENDA MAHAKAMANI ILI HAKI ITENDEKE.MAKONDA KAUAWENGI KWELI ANAWEZA KUUA MDOMO UNAUMBA.
Uongo
Hivi kwanini tunajishaulisha hivi inamaa hivi historia ya huyu bwana hatuijui? Au hayo maigizo ambayo aliokuwa akiyafanya ndiovimefuta ubaya wote alioufanya? Kweli watanganyika tutachelwa sana kwakuwaamini waingizaji
Media ya kishenzi,
Walikuwa marafiki wakubwa imekuaje. Wivu unatawala hapo. Makonda na GSM wana gombea nyumba labda hiyo ndio sababu.
Huyuu makonda ninani katika tanzania hiii hilo nikosa kalifanya sasa tunataka. Tupate majibu huyu makonda kazowea kufanya vitu vya kutisha achukuliwi atuwa ukweli tunaitaji uwonekane
Yarabii mola wetu tustry tuongoze ipe hikima serekali yetu ipe uadilifu ipe huruma ipe busara wape kila jambo jema viongozi wetu
Mtangazaji mnafiki ulikuwepo? Mnawivu na makonda
Siokweli
Ukkuuuufe wewe na genge lako makonda ni dhahabu hapo amashapitaaa
Ivi Sheria ikowapi ya mitandaon ya mwakan 2015 midia zakijinga kama hozi nikufungiwa tuu
Muh.mama Rais kauli hizi zinakushushia heshima mimi nakuomba achana na huyu kijana asiyejitambua,ebu tafuta wasukuma wengine wenye
BUSARA uwateue hizo nafasi maana huyu anakutukanisha saana.
Media nyingine shida kubwa 😢kuongea upuuzi saa zote hamna jipya Makonda Makonda upotoshaji tu wajinga kweli mnakera sanaaa😢
Unajua maana ya balaa zito?
Acheni uchochezi.
Kwanini hii situdio haifungwaii?huyu jamaa namidia yake wafungiwe kabisa
Acheni ujinga wenu.makonda ni mtetezi wa wanyonge.acheni kumsingizis.
mnyonge ni baba yako mbwa weye
Mmmmm uongo mtupu huo
Huu ni uongo
Fitina dhidi mkuu arusha
uzushi tu kwa kijana.
Hizi ni tuhuma, zikibainika, serikali isijaribu kuingililia, acheni mahakama ifanywe kazi yake.
Unajua mtumishi popote pale ukituhumiwa inakuwaje?Unasimamishwa kutumikia watu hadi shauri lako lifike mwisho
@@faustinluambano2958ndivyo inavyotakiwa
Nchi kupata mafanikio ni ngumu sana, makonda ni mtu mwaminifu sana, makonda ww ni km dhahabu, lazma ipite ktk moto ndo iwe vizuri, Pia hata Yusuph kule misri, ila alishinda majaribu,
Kweli ccm mmekwisha mnamkumbatia Makonda hamna viongozi wengine wabaya ndio kwenu ndio wazuri tutaonana 2025
Acheni kumtengenezea tuhuma za uzushi mtaumbuka!