TAARIFA MPYA NA MBAYA SANA IMETUFIKIA MUDA HUU KUHUSU PAUL MAKONDA,,,KILICHOMKUTA,,,DAH...!!!

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 2. 04. 2024
  • #makonda #gsm #tanzania

Komentáře • 55

  • @feliciarfrancis2388
    @feliciarfrancis2388 Před měsícem +1

    Nyie watu ,nyie watu acha kuwaandama viongozi wanaopendwa na watanzania kwa kazi zao nzuri za kutetea wanyonge!!!

  • @user-do5by8jl6g
    @user-do5by8jl6g Před měsícem

    Apelekwe mahakamani anapenda sifa sana peleka mahakamani akanyee ndoo

  • @naimarishedy1523
    @naimarishedy1523 Před měsícem

    Makonda mungu akubariki chapa kazi. Tunajua mafisadi umewabana

  • @pauldotto7868
    @pauldotto7868 Před měsícem +1

    MAKONDA ni mtu mzuri na anatufaa sana,, acheni uchochezi na majungu

  • @user-zg6te2ud8f
    @user-zg6te2ud8f Před měsícem +1

    Makonda kafanye kazi baba achana na hao wanafiki.wanyonyaji wakubwa.

  • @anitamashobe6185
    @anitamashobe6185 Před měsícem +1

    Uongo wanamsingizia,wameona anawanyosha wanaanza kumtungia uongo,yawe hadharani baada ya kuwa RC,uongo,mkweli na mtenda Haki hawaendi awepo.amesaidia Sana wanyonge Makonda na anapenda Mungu na ana hofu ya Mungu

  • @yahyadenny4368
    @yahyadenny4368 Před měsícem

    acha kuzunguka zunguka nenda kwenye point.

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 Před měsícem +3

    Wapuuzi wanahabari uchwara acha kusumbua

  • @abdulrahmanlikukulu1493
    @abdulrahmanlikukulu1493 Před měsícem +1

    Nikweli sisi wanyonge tunamkubali sana makonda wafanya biashara wabaya

  • @hemedmwipopo780
    @hemedmwipopo780 Před měsícem +1

    Acheni kumzushia uzushi Makonda tunajua mnatumika na vigogo.

  • @benolduka
    @benolduka Před měsícem

    Hivi hapo ikulu mnadharau suala la veting? Ukifanya vetting hata kwa ufinyu sana mknd hapiti na hafai

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 Před měsícem +1

    Huku nje wenye mapenzi naye watapinga,kutukana,na kuamini ni uongo,kama ambavyo habari hii itakanushwa ndani na kupotezewa tu kwasababu ni zao zuri la akiba kwa faida za kisiasa! Wateuliwe tu lakini wakati huu ni wa miujiza ya Mungu asiyechunguzika!

  • @DavidDanken-uf7kp
    @DavidDanken-uf7kp Před měsícem +2

    Madia taka taka sana

  • @DanielNjoroge-rf6ez
    @DanielNjoroge-rf6ez Před měsícem

    Njie wango

  • @josephbundala1475
    @josephbundala1475 Před měsícem

    Hakuna kitu

  • @user-qe5cb7vy6o
    @user-qe5cb7vy6o Před měsícem

    MAKONDA KIGEUGEU ANAJISAFIDHA KUTENDA MEMA LAKINI NIMTU MBAYA SANA.ANA TABIA YA MAGU ALIKUWA MTU MZURI KWARAIA KUWAPA HATA MAPESA LAKINI ALIKUWA MTU MBAYA SANA ALIUA AKINA SANANE NA WENGINE WASIO NA HATIA NA MAKONDA YUPO HIVYO HIVYO .

  • @Veni584
    @Veni584 Před měsícem

    Acheni uongo

  • @JeyJeydoctar-gq1bw
    @JeyJeydoctar-gq1bw Před měsícem +1

    Achen wivu wa madaraka jaman

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g Před měsícem

    Tz kufanikiwa tutachelewa sana wanafiki wengi mtu akiwa anafanya kazi kwangazi ya juu na ukiwa msema kweli watatokea watu wenye chuki baina yako

  • @simonndunguru1629
    @simonndunguru1629 Před měsícem +3

    Mbona unarudia rudia maneno tukuelewi nini ? Huna taarfa ni muongo Wewe

  • @FadhiliMwaitete-ls2li
    @FadhiliMwaitete-ls2li Před 25 dny

    Hilo jambo lipo wazi serikali ijalibu kutenda haki hao wanaugonvi wa mda mlefu unao husu nyumba nani asiye juwa makonda anahasira ya kurudisha ile nyumba aliyetaka kuzurumu akiwa mkuu wa mkoa dar hizo ni hasira yeye alikuwa anatakuzuru hiyo nyumba kwa kutumia kivuli cha marehemu magufuli sasa imeshindikana ndiyo hizo hasira mzurumati huyoo kijana wa ccm sheria ifate mkondo

  • @mussakiligaliga4348
    @mussakiligaliga4348 Před měsícem

    Alitaka kumuua lin wap na kwa nn?

  • @user-id6xo9td6k
    @user-id6xo9td6k Před měsícem

    Kumbe ndiyo.maana magu alikuwa anavifungia vi TV hivi. Vinatumalizia bando

  • @BashiriMdee
    @BashiriMdee Před měsícem

    Mnamtetea mwarabu atawasaidia nini makonda pigs kazi tuko nyuma yako sister Wallace hoi

  • @mussamsilangamunubimussa2009

    Jamani mbona hivi

  • @user-qe5cb7vy6o
    @user-qe5cb7vy6o Před měsícem

    KWAKO SALLAA FUATA USHAURI WA WAKILI MADELEKA NENDA MAHAKAMANI ILI HAKI ITENDEKE.MAKONDA KAUAWENGI KWELI ANAWEZA KUUA MDOMO UNAUMBA.

  • @safiaothman5175
    @safiaothman5175 Před měsícem

    Uongo

  • @OscarBethel
    @OscarBethel Před měsícem

    Hivi kwanini tunajishaulisha hivi inamaa hivi historia ya huyu bwana hatuijui? Au hayo maigizo ambayo aliokuwa akiyafanya ndiovimefuta ubaya wote alioufanya? Kweli watanganyika tutachelwa sana kwakuwaamini waingizaji

  • @victorkisenha5933
    @victorkisenha5933 Před měsícem

    Media ya kishenzi,

  • @husseinkarim7663
    @husseinkarim7663 Před měsícem

    Walikuwa marafiki wakubwa imekuaje. Wivu unatawala hapo. Makonda na GSM wana gombea nyumba labda hiyo ndio sababu.

  • @FadhiliMwaitete-ls2li
    @FadhiliMwaitete-ls2li Před 25 dny

    Huyuu makonda ninani katika tanzania hiii hilo nikosa kalifanya sasa tunataka. Tupate majibu huyu makonda kazowea kufanya vitu vya kutisha achukuliwi atuwa ukweli tunaitaji uwonekane

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 Před měsícem

    Yarabii mola wetu tustry tuongoze ipe hikima serekali yetu ipe uadilifu ipe huruma ipe busara wape kila jambo jema viongozi wetu

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g Před měsícem

    Mtangazaji mnafiki ulikuwepo? Mnawivu na makonda

  • @gideonibatangaki1317
    @gideonibatangaki1317 Před měsícem

    Siokweli

  • @meryshekoloa961
    @meryshekoloa961 Před měsícem

    Ukkuuuufe wewe na genge lako makonda ni dhahabu hapo amashapitaaa

  • @SmilingFlowerBouquet-hs2hv
    @SmilingFlowerBouquet-hs2hv Před měsícem

    Ivi Sheria ikowapi ya mitandaon ya mwakan 2015 midia zakijinga kama hozi nikufungiwa tuu

  • @kokolosaid7265
    @kokolosaid7265 Před měsícem +3

    Muh.mama Rais kauli hizi zinakushushia heshima mimi nakuomba achana na huyu kijana asiyejitambua,ebu tafuta wasukuma wengine wenye
    BUSARA uwateue hizo nafasi maana huyu anakutukanisha saana.

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 Před měsícem

    Media nyingine shida kubwa 😢kuongea upuuzi saa zote hamna jipya Makonda Makonda upotoshaji tu wajinga kweli mnakera sanaaa😢

  • @richardsalala
    @richardsalala Před měsícem

    Unajua maana ya balaa zito?

  • @pauldotto7868
    @pauldotto7868 Před měsícem

    Acheni uchochezi.

  • @hamisihemedi1099
    @hamisihemedi1099 Před měsícem

    Kwanini hii situdio haifungwaii?huyu jamaa namidia yake wafungiwe kabisa

  • @user-zg6te2ud8f
    @user-zg6te2ud8f Před měsícem

    Acheni ujinga wenu.makonda ni mtetezi wa wanyonge.acheni kumsingizis.

  • @williammwaisunga3407
    @williammwaisunga3407 Před měsícem

    Mmmmm uongo mtupu huo

  • @user-qk9iz5lt8q
    @user-qk9iz5lt8q Před měsícem

    Huu ni uongo

  • @simongwandu7392
    @simongwandu7392 Před měsícem

    Fitina dhidi mkuu arusha

  • @othmarluwawilo8308
    @othmarluwawilo8308 Před měsícem

    Hizi ni tuhuma, zikibainika, serikali isijaribu kuingililia, acheni mahakama ifanywe kazi yake.

    • @faustinluambano2958
      @faustinluambano2958 Před měsícem

      Unajua mtumishi popote pale ukituhumiwa inakuwaje?Unasimamishwa kutumikia watu hadi shauri lako lifike mwisho

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah Před měsícem

      ​@@faustinluambano2958ndivyo inavyotakiwa

  • @victorkisenha5933
    @victorkisenha5933 Před měsícem

    Nchi kupata mafanikio ni ngumu sana, makonda ni mtu mwaminifu sana, makonda ww ni km dhahabu, lazma ipite ktk moto ndo iwe vizuri, Pia hata Yusuph kule misri, ila alishinda majaribu,

  • @hancekasililika9532
    @hancekasililika9532 Před měsícem

    Kweli ccm mmekwisha mnamkumbatia Makonda hamna viongozi wengine wabaya ndio kwenu ndio wazuri tutaonana 2025

    • @hemedmwipopo780
      @hemedmwipopo780 Před měsícem

      Acheni kumtengenezea tuhuma za uzushi mtaumbuka!