CHADEMA WAMPA MAKAVU MAKONDA -"HATUKUOGOPI-WAACHE MACHALII na VAIBU LAO -ANZIA NGONGORO KUNA WIZI"..
Vložit
- čas přidán 6. 04. 2024
- CHADEMA WAMPA MAKAVU MAKONDA -"HATUKUOGOPI-WAACHE MACHALII na VAIBU LAO -ANZIA NGONGORO KUNA WIZI"..
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
Fanya kazi bhana acheni maneno
Makonda piga kazi.kwa nini watu mnaanza kuogopa na vitisho..anza na hao mtoto wa Mungu tuko nyuma yako .wenye haki watadumu milele...
Jishauweni mmetumwa mtakimbia kama lema ohooo mkimbizi wa canada
Muongezee nguvu makonda ...maana vitisho vimekuwa vingi sana ...kiasi cha kuonesha kuna watu wengi ni inaonekana ni waovu
Kwani madini yakiuzwa huko mirerani yanapochimbwa shida ipo wapi?
Msubiri aje acha woga wa bangi
Wameanza kulialia😅😅😅
Mbona mmeanza kuhanya mapema mmejua achen kutisha w2 banaa hy ndio makonda mlishindwa kumwambia mogela mpk.makonda asingekuja
Ndio maana huwa nasema chadema wanaendesha kimihemko hawana viongozi bali mamluki tuu.sasa huyu anaongea nini badala ya kushauri analeta ubabe
Wapenzani nchini Tanzania ni wastaarabu sana ,isipokuwa watu wengi hawajui tu.
Ukweli mtupu,tunakuelewa broo
Inaonyesha ni namna gani Makonda alivyo na ushawishi mkubwa nchi hii. Yeye ni mkuu wa mkoa tu na watu wanaweweseka.😂😂😂
Hao kina kenyonyo
Usije lalamika baadae maana lazima akutafute tu
Heee ajiangalie vzur
Sema Hawa Jamaa waoga sana 😂😂😂😂
Hawa majaa ndio Majizi wa Arusha
kabsa
Kwani komred makonda amewaambia kuwa mnamwogopa acheni ujinga wenu makonda hakuletwa Kwa ajili yenu ameletwa Arusha Kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Arusha siyo kuhangaika na nyie msiojielewa Kwa sababu amekuja kiserikali na sio kisiasa
Mna akili mbovu alafu mmejipanga kwa shari.
Madini ya Tanzanite yapo Manyara sio Arusha bro.
Uwe unaelewa.kasema soko la madini lililokuwa Arusha lirudishwe .na amesema madini ya Tanzanite yapo Arusha sababu enzi za Hilo soko mkoa WA Manyara ulikuwa NI mojawapo ya wilaya za Arusha.
Umeelewa?
Huo ni msimamo na mategemeo ya wazawa wa Arusha kwa kiongozi wao mpya. Sina shaka mtakutana katika kwa maslahi ya wazawa na taifa kwa ujumla!
Hongera sana Chadema kuteketea haki ya Wananchi wa Arusha
KWA UJAMBAZI,UVUTA BANGI NA ULAJI WA MIRUNGI NDIO UNAWAPONGEZA CDM HUNA AKILI HAYO NDIO MALEZI YENU POLE SANA NAKUCKITIKIA WW NA KIZAZI CHAKO NANI ATAKUFUNZA MAADILI IKIWA MWENYEWE UNAUNGA MKONO VIJANA KUONYWA.😮
Kama Niya cha😢dema weken mkuu wenu wa mkoa kama mnajiwezi atapambana ata nanyie wezi wauza madaw
Acha kelele wewe SIASA SI CHUKI
Mnamwogopa makonda et
Jamba tuu ujifurahishe
Bigup sana
Wapumbavu nyie na nina hakika Makonda atawaweka sawa
Sasa mnamtisha? Mbona mnapata mchecheto? Wewe muongeaji hsupo juu ya sheria! Hata wewe utazinguliwa vile vile! Usimpangie Makonda kazi ya kufanya! Kaeni kwa kutulia!😂😂
Kiwewe hicho mtatulia nahyo chuga
KWANI, MAKONDA NI ADUI YENU. AU CCM NDO ADUI YENU. HAKIKA MAKONDA ANATISHA.
Inaelekea wewe ni mgeni Tz umekuja kutoka Ukreni ulikozaliwa huyo humjui.
Mbona kama umechanganyikiwa na maisha😂😂😂Et chuga! Chuga ndio nn ? Wahun kama hawa unawapa vp nchi
Sawa kuna mengi na yeye anajua kazi yake vizuri saaana usiwe na waswasi
Kumbe makonda anaogopeka sana
Hujui kuwa ni jambazi la Chama Cha Majambazi"CCM"?
@@gangan4618 kumbe mpo wengi
Woga kazi bado ajaanza wasubiri utendaji wake kwanza ndio wakosoe
hawa ndio wahalifu wa arusha ndugu arusha na wilaya zake ndio stoo za magendo ya wezi wengi wa tanzania kwani unadhani sabaya alikua nakosa basi majizi walikua wanalipa kisasi cha kumbuwa magendo yao hadi kampun yakutengeneza hela bandia zilikua huko arusha mahela yanaibiwa mikoan huko yaenda fichwa arusha na mafisad kwahiyo hawezi mpenda makonda wala sabaya huyu na magenge yao wengine wapo kwenye mfumo bado
We ni muuza madawa?
HAYAKUHUSU KAUZE NA WW WIVU UMEKUJAA UNGEKUWA WW AU MWANAO UNGEYASEMA HAYO KAUZE NA WW
Haahahaha et arusha ya wapinzani!!sio ya ccm sasa kwanini wapinzani wasiweke mkuu wakoa wao basi tujue kweli ya wanzani
Yuko sahihi....kaskazini ni wapizani ..ila rais ndo anamamlaka wa kuteua wakuu wa mikoa.....
Umri uwe sehemu ya michango yetu tuanzie 78 vita ya kagera
😂😂😂imebidi nicheke tuu
Mtatuliatuuuu
Lijambazi hili linajihami mapema maana wanamfahamu makonda nikamanda
Huyu na Lema wote majambazi hawa walitingisha Arusha kwa wizi na kuua watu
@@Jal210 linaonekana tu sasa anaujua Moto wa makonda naona biashara zao haramu zinaenda kufa
Mimi ningekuwa makonda naanza na wewe maana hata sura yako inaonyesha ww mvuta bangi. Makonda ng'ata huyuu
Kweli sms send kazi kwake
Tuache maneno mengi kiongoz mwenye macho ataona maovu hayafichiki
Ww ni poyoyo mmoja. Kumbuka mdomo uliponza kichwa
Hahaaaa,eti tupo tayri,hahaaaaa angesema yye mwenyewe yupo tayr kupambana na mheshimiwa,aache kusemea wengine,
Tupo wotee wanaarusha
Hana jipya lubabe ubabe tu,
Kelele mingi lisilokuwa na maana yeyote chuga ndiyo nini? Bangi ya arusha
Hapa ndio nafaham makonda ni nani; aisee acha kabisa ni hatari
Anajishua 😂😂
Dangote aliwashinda itakuwa makonda
Tupo pamoja makonda uzurumaji uyo
Hivi mkuu wa mkoa nimmoja tu makonda acheni woga
Hii imeendaa
Mnaomwombea makonda shetani wa kwanza ni hyu kemea
Acheni hofu mboyoyo ni w
Wee dunduka kweli unaweza kusindana na serikali wewe au unauza sura tuu mtandaon,kushindana na serikali ni sawa na kupiga ngumi jiwe utaumia wewe tuu ndugu yangu,piaa kwa makonda wewe ni kama sisimizi😅
Nahisi huyu jamaa anakula banki
ARUSHA Chadema bye bye 😂😂😂
Ubwawe
Kiukweli kwa wenye akili hasa timamu kwa maelezo ya huyo bwana ni dhahiri kabsa ni muovu.mtumishi makonda angalia fisadi huyo halafu namuonea hata huruma kwani anaonyesha jamii kuwa huenda ni fisadi.
Chadema hoiii!! Makonda oyeee!!!mwizi wa kwanza ni Huyo mshughulikie!!!Kwa Nini mlishindwa kumwambia aliekuwepo? Msimfundishe mama kazi kamtuma huko anaelewa Kila kitu !!
Mzee mzima ovyo eti Challis wa chuga jiangalie 😲😲😲
Wavuta bangi nishida ila mtashughulikuwa ipasavyo nyau nyie
Kwaiyo kuusu madawa inaonekana wewe mmja wapo
Kweli Makonda anaogopwa mbona Wakuu wa mikoa wengi wamepita hapa haijawahi kutokea mijadala kama hiyo hakika Makonda ni kiboko yenu
AR MAJAMBAZI MENGI HADI KWENYE HICHO CHAMA CHA CDM MUNGU ATAKULINDA MAADUI NI WENGI WENYE AKILI WTAKUELEWA WAJINGA WATABAKI NA UJINGA WAO.😊
We mkunya njiani unamtishia nani, makonda piga kazi
Mbona na wewe utamuelewa tuu makonda hataki punyenye.we kama huombi basi karudishe basi.yaani kuna watu wakipewa fursa ya kuongea huwa punga kabisa
Huyu mchaga kaagiswa,maana ya chuga ninini,mnatuharibia jina Lake mkoa wetu,ni arusha,
Wanaosema hapa nimegundua wote sio.watu wa Arusha.😂mnalilia nini.wakati yeye ni wa Arusha.huyu mtu ameongea vizuri
Nashindwa kuelewa hats nywele zilivyokaa unaomba upewe nchi? Unamwongoza nani? Chadema kazi imewashinda mmemruhusuje huyu kuwatetea mbona ni aibu ya Chama? Wavuta bangi wanaomba nchi!!! 😊😊😊
Kweli hata adabu hanayo ni chagadema kwanza wewe ni mchaga huna haki ya kuisemea Arusha
Chuga ni uhuni.
SASA WEWE UMEAMBIWA UMWOGOPEE?. MBONA MNAKUWA KAMA WAMAMA?. NGOJENI AJE AANZE KAZII , KISHA TUMJAJI.
Hoja huna maana makonda anapaswa kuwa Arusha Tena kwa ukali wa moto sio wa mazungumzo mongela alikuwa anambeleza mafisadi hatujitaji viongizi namna hiyo tunataka makonda apitiahe bakora kwa wakuu wa wilaya wote na wakurugenzi ,tarura , tanrodi, na mazingira Arusha manovu hatujitaji utawala wa kubembelezana makonda ni jembe hapo hapo atumbue viongizi wazembe na hatutaki siasa za chadema ,wLa ccm sisi tunamhitaji makonda anyooshe njia maana sisa zimezidi hazina tija ni utapeli tu wa chadema ccm hakuna jipya tunataka muache siasa mchape kazi na makonda chapa kazi achana na wanatafuta majina ya kisiasa
ayo maneno unaongea kwakuwa umekula umeshiba, yule teleza aliyekuwa akiwabandua asubuhi na usiku mlishindwa sembuse makonda wote mlijifungua ndani, jiandae kupata ulemavu chonga mdomo utakiona, uso wote umetoka vipele vya bangi
Na wewe mbona unaleta mboyoyo kwani tanzanite zinatoka arusha? wana manyara nao wanataka kupata riziki
Acheni vitsho, nyie ni watoto wadogo tu
Dduuuhhh
Tatizo lipo sio bule watu wanajihami chama chake kimemtema nao qanamuogopa ni mtu wa
Umeandika manini sasa
Acha ujinga ww nani ktk nchii hii ww ni sawa mbwa tu huna lolote unaachama tu muuza sura tu
Wewe una lolote unambele Wala nyuma
Rais kashaamua weninani tukusikilize
Kachane nywele
Akileta za kuleta Arusha chuganistan atakaa...Atown sio pakuja kubambikia watu kesi na kuwapoteza...fanya dar arusha atakaaa akijaribu ...kama alivyomfanya tundu
Acha kuropoka2 apa subirin aje tuwa one km wanaume yuaja mumewe nu
Mdomo Uta kuponza uwezi kujifanya mjuwaji utapotea tafuta sifa
Wenzio wote Wana mkubali wewe ndio una jifanya una weza kushindana na makonda ngoja aje jaribu ujinga wako
wewe unaongeya chukii tuuu makondaa azaa nae huyoo
Makonda huko umeenda kuanguka .. ooooh😊
Kumbe nyie ndo wa korofi msianze izo fukunyuku zenu
Mwamba kama mwamba wa chuganistan
We baba falakweli ww
Kwani yeye makonda kasema jambo lolote
Makonda watu kama hawa ana waweza ukimwa mboga ana mwaga ugali atakufurahisha ataanza na wewe mvuta bangi
Kwanza ww wanaanza na wewe unae piga pang'ang'a hili ukavimbe makende
Hivi huyu makonda anamjuwa kwel? Au anaongeatuu wacha tuone
😂😂😂😂😂
Pelekeni usenge madini yapo manyara siyo arushambona mnaanza kujinyea ndyo wezi nyie makondo fanya kazi
Mjinga sana wewe untapika upuuzi wako, eti haki mjinga mmoja wewe
Acha maneno wewe makonda ni burdoza
😂atanyooshwa muache azungumze,na itakuwa kashapewa kiroba
hizi bangi bwana, anasema madini yarudishwe arusha,hivi mererani ipo tabora au mimi sijui
Wee vipi,waongea ovyo tu yaaani nyakati zoote hamkujua hilo wee kama wala Bangi Yako yatakukuta vitisho pumba tu
Mimi ningekuwa makonda naanza na wewe maana hata sura yako inaonyesha ww mvuta bangi. Makonda ng'ata huyuu