🔴
Vložit
- čas přidán 7. 04. 2024
- 🔴#Live: KIMEUMANA! KAULI NZITO za MAKONDA ARUSHA - MAPEMA TU ATISHIA KUMTUMBUA MTUMISHI WA ARDHI...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
MUNGU AKUBARIKI SANA MH. RC MAKONDA!!! TUNAKUOMBEA MUNGU AKULINDE, AKUPE KIBALI MBELE YA WANA ARUSHA WOTE, AKUONGOZE KWA KILA HATUA UNAYOIENDEA, AKUPE MAONO ZAIDI KWA AJILI YA MAENDELEO YA ARUSHA NA NCHI KWA UJUMLA!!!
Mungu akutangulie baba mdogo makonda piga kazi
naomba namba ya simu ya makonda nina shida naye yeyote aliyonayo
Hongeraaa sana makonda piga kazi
Hongereni sana Arusha. Makonda ni chapakazi. Mpeni ushirikiano mkaone matunda. Mikoani kwingine wengi wanaona bahati wanaarusha mliyoipata. Baba mungu amani yako itawale hapo Arusha
Kumbe yule mdogo wke GSM anasingizia eh!! Kumbe hujamuonea , huwezi kuwa unaongea kauli nzuri kma hizi afu atokee mtu anadai ulimuonea yule ni muongo aisee !! Kbsaa piga kazi Makonda tumbua watu hasa.
Makonda❤❤❤👍👍🙏🙏🙏
Popote utakapokuepo, utakapopelekwa , hata ucpochafuliwa kabsa...uwe tu mtaani nacshughuri nyingine...tutakufuata na kukufuatilia,,,,na kukuunga mkono hata kwa maombi tu, kama menhine yapo nje ya uwezo wetu....may sprit of jpm b becide u,,and fight 4u wherever its....una kitu bro...i hv the vision 4u....kutokana na siasa unazozifanya,,,n lazma tu watu waovu hawatataka ufike mbali kwenye nafas za uongoz,,,,ila someday u will sit at the top BRO...KEEP IT UP!! MAY GOD PROTECT U ..
Ahaaaaaaaaaa makonda wee hatari sana kaka
Makonda oyee chapa kazi kiongozi nakukubali sanaaaa
Hongera sana Mkuu wa Mkoa wa Arusha.
Hivi wateuliwa wote walioapishwa juzi kwenye kuripot walipokelewa hivi au ni kiumbe hiki tu.
Nani kasikia Rais mpya duuuu !!!!! Masalaaa.
MAKONDA hoyeeee tunkuhitaji URAIS MWAKA. 2025Mh MAKONDA tetea wanyonge tuna Imani kabisa na. Wew,
Piga kazi Makonda na hongera
Hizo skendo nyingine ukiweka pembeni mi Makonda namkubali saana
👏👏👏👏🇹🇿
Kuwajibika kwa misingi ya chama kuendane na katiba,na sheria za nchi ili kusiwepo na chuki,visasi,na ubabe kwa wananchi wote bila kujali tofauti za itikadi zao,vyama vyao,na maoni ya kila mtu yaheshimiwe kulingana na katiba ya nchi huru...kazi iendelee kwa manufaa ya wote
Machawa mnawasikia
Tanzania kuna maraisi watatu rais Samia Suluhu Khassan rais Husseni Ali Mwinyi rais Makonda habari ya Tanzania ni makonda
Lakini huyu siyo yule asotakiwa USA?Kwa hiyo ARS tutaunganishwa kuwekewa vikwazo na USA?
Hahahah uhamiaji,castom,na polisi wamezidi mno kutafuna sasa watakula majani na kujiwekezea kwa jasho halali. Makonda hoyeee...kazi iendelee kuwamulika...!
Mbona siwaoni viongozi wa baadhi ya dini?
Kuanzia tar.08/April mpaka tar.08/July kila afisa ardhi aliyevuna na kujikusanyia asiyopanda,kuonea wananchi,kuvuruga mipaka, na ulaji wote ajiandae kujibu na kuwajibika kwa RC, na akibainika atapike vyote viwe vya umma(Mkoa)bila upendeleo,ikibidi aende kilimo anga sawia na vibaka na wezi wengine...
Kwa maombi ya viongozi wote wa dini,na ikawe hivyo kwa mapenzi ya Mungu, Ni wakati sasa wa kukimbia kwa watendaji wote wa serikali (Mkoa)kutekeleza yote yanayowapasa ili kuwahudumia wananchi wa itikadi zote kwa haki chini ya RC Mpya wa Mkoa,ili amuwakilishe mh.Rais kwa uaminifu na nidhamu... migogoro yote,na madai yote halali iishe kwa Amani.
Mtangazaji unazingua
Funyakazi usiogope mtu
Mtangazaji mbona unaingilia matangazo? Unawashwa au vpi?.
😂😂anajikuna kuna
Mh.Mrisho Gambo, RC mstaafu na Mbunge jimbo la Arusha mjn upoo?umesikia jinsi ilani ya chama inavyotekelezwa kwa mujibu wa katiba na sheria za nchi bila uonevu,ubabe,na upendeleo wa kiitikadi na kukandamiza vyama mbadala vilivyopo kisheria?!. Makonda hoyeee...Mh.Rais hoyeee...kazi iendelee tujue panapovuja
Uchawa ukitumika kutumia mfumo wakusifia sifia hatutofika , kwanza tutambue mteule kufanyakazi nijukumu lake sio hisani ,muache ushamba
Mpumbavu wewe nakiswahili chaku chakuoga et hisani chawa wa lisu
Kweliiii kabisaaa yaani watz bwanaa