🔴
Vložit
- čas přidán 20. 04. 2024
- 🔴#Live:MAZITO MAKONDA KUHOJIWA LEO, WALITAKA KUMUUA, MUNGY KUHUSU FARAGHA, SGR RASMI.I FRONT PAGE
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Karibu kutazama na kusikiliza na kutazama Kipindi cha FRONT PAGE kila siku kuanzia JUMATATU hadi IJUMAA kuanzia Saa 2:30 Asubuhi...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 739 750 910)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Hiki kichwa mmekileta kina Madini kipo Vizuri blessings!
Makonda kateuliwa na Rais kuwa mkuu wa mkoa kama muwakilishi msaidizi wa Rais na Mwkt.wa ccm taifa ili ahakikishe sera za chama tawala zinatekelezwa na watendaji wote wa serikali. Kamati kuu ya maadili ikimkuta ana makosa,bado watasubiri baraka za mwkt wa chama na kiongozi mkuu wa nchi! Kamati haina ubavu wa kumuwajibisha Makonda,wala Rais ni propaganda tu kwasababu amewagusa!
Sheria IPO Kwa watuwachini siyo kwaviongozi urishawahi kuona wazirikuperekwa mahamani?
Yaani nyie watangazaji mkiwa mmeshiba viazi mbona mnataka kusema kila jambao kabla ya wakati? kunamabo hayawezi kushugulikiwa kwa njia nyepesi kama mnavyo fikiri.
Laa hawa ndio wanahabari wetu na hizo ndio habari
Wahandishi tafuta ya kuongea achana na viongozi wenu bado I vijana Sana. Tafuta kazi zingine
Mambo yote haya muarobaini wake ni KATIBA mpya
Kuna katiba kuliko ya Mwenyezi Mungu nayo tunaivunja.
Hiyo ya kuandikwa na vijusi upenu iwe ndio muarubaini usijidanganye ndugu yangu kama ni kweli tufuate katiba aliyotuteremshia Mungu
Tusiuwe
Tusiibe
Tusizini
Tusiseme uongo
Hayo tukiyaweza
Hakuna hata haja ya Katiba yoyote
Katiba mpya ni kilio cha wasaka tonge tu itatungwa na itavunjwa tusidanganyane
Wacha wamchezee makonda ananguvu za wananchi akija akienda Chadema Ccm watajuta
Bila shaka kitaelezwa tu.
Mimi binafsi ninamuona Mhe. Makonda kuwa ni kijana mchapa kazi hodari na mbunifu.
Muwazi na mkweli.
Kasoro ya Mhe. Makonda ni kukosa hekima na busara.
Anapaswa kujua nini cha kuzungumza, wakati gani na mahali gani.
Ajue tu kuwa si kila ukweli husemwa hadharani.
Ipo hivi ukiwa mkweli na muwazi bila kuficha unaonekana huna busara, na ukiwa kwenye ngazi za juu huitwa diktekta kama ilivyomkuta Magufuli, leo hii mama Samia hutumia hekima na busara huitwa raisi kivuli.
Ndugu Rais alisema Makonda amekichemsha chama mpaka hata waliokuwa hawaendi kutatua kero sasa wana kwenda, maana yake ni kweli hawamsaidii Rais
Makonda amesimamia ukweli na haki lazma awe na maadui wengi
Chama ndo kinacho ongoza nchi kila kiongozi yoyote waselikari anasimamiwa na chama kwahio Makonda kuitwa na chama ni sahihi
Ayo umeyaongea wewe ila haiko ivyo
Msicho elewa ni kwamba, Chama chaweza kumuita mtu yoyote awe serikalini au kwenye Chama, kwasababu Chama ndio kinaongoza serikali.