Makonda hana kero anayo weza kutatua zaidi ya kutumia ujinga na umasikini wawatanzania kutengeneza matukio ili asikilizwe na wananch masikini wasiyo jielewa
Lengo la kila chama ni kushika dola, hivyo ufanye siasa soko lilipo. Tanzania inasumbuliwa ujinga, maradhi na umasikini hivyo fanya siasa kwa level ya hao watu.
Chadema.mmewafanyia nn wananchi ili tuwe na imani.na ninyi ninyi ni kubeza mnauwana wenyewe kwa wenyewe halafu mnsingizia wengine wewe mwenyewe una mabaya yako sio msafi na huyo mboe mwezako alikuwa anafanya kazi ya serikali huko jela sasa wewe sumbuka na wewe mwenye uwezo fanya basi
Lema ni mtaalam wa kulialia
Hukumu na kisasi ni juu ya Mungu Muda.utasema tu.
Siku mtaacha kumuongea makonda Vibaya ndio siku ntaona mmeanza kuwa na akili kila kesi makonda makonda makonda hamna Sera nyingine
Lema umechemsha tafuta pengine
Kiukweli Lema huna sera, ww na braza K wa Futuhi hamna tofauti.
Kweli Hali sio shwali ichi Iko pabaya
✌️👍👊.
Makonda mnapa umarufu mnapotajataja
HUYU S NDIO ALIKUWA ANADHARAU BODA BODA HANA LOLOTE KO UNATAKA SOTE TUFANYA SIASA MBONA UNATAKA KUTUPOTEZA
Huyu mtangazaji ni kibaraka
Makonda hana kero anayo weza kutatua zaidi ya kutumia ujinga na umasikini wawatanzania kutengeneza matukio ili asikilizwe na wananch masikini wasiyo jielewa
Lengo la kila chama ni kushika dola, hivyo ufanye siasa soko lilipo. Tanzania inasumbuliwa ujinga, maradhi na umasikini hivyo fanya siasa kwa level ya hao watu.
HATA WEWE LEMA UNA UHUNI NDANI YAKO...UMESAHAU ULIWAHI KUWADHARAU BODABODA KWA KIWAKEBEHI KTK KAZI YAO??
lema hana kebehi Alisema ukwel kwan unadhani walemavu wengi wametokana na nin?? tena vijana wengi nguvu kz ya taifa
bod boda si kazi ni umasikini ni ujinga kufurahia kazi hii
Chadema.mmewafanyia nn wananchi ili tuwe na imani.na ninyi ninyi ni kubeza mnauwana wenyewe kwa wenyewe halafu mnsingizia wengine wewe mwenyewe una mabaya yako sio msafi na huyo mboe mwezako alikuwa anafanya kazi ya serikali huko jela sasa wewe sumbuka na wewe mwenye uwezo fanya basi
Hauna akili wew ni moja kati ya vilaza wakubwa nchi hii..chedema lini imeongiza nchi hii???
Acha upumbavu ww kwani chadema imewai shika madaraka mpaka use me imewafanyia nn wananchi?
Uyu jamaa lema mpumbavu haijawah tokea