GOOBLESS LEMA AMUITA PAUL MAKONDA KUWA NI MCHEKESHAJI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 28. 01. 2024

Komentáře • 19

  • @kombidin..2583
    @kombidin..2583 Před 4 měsíci +2

    Lema ni mtaalam wa kulialia

  • @davidtupa6599
    @davidtupa6599 Před 4 měsíci

    Hukumu na kisasi ni juu ya Mungu Muda.utasema tu.

  • @broka_genius3615
    @broka_genius3615 Před 4 měsíci

    Siku mtaacha kumuongea makonda Vibaya ndio siku ntaona mmeanza kuwa na akili kila kesi makonda makonda makonda hamna Sera nyingine

  • @raishahatibu7095
    @raishahatibu7095 Před měsícem

    Lema umechemsha tafuta pengine

  • @abednego3876
    @abednego3876 Před 4 měsíci

    Kiukweli Lema huna sera, ww na braza K wa Futuhi hamna tofauti.

  • @maembelaurent970
    @maembelaurent970 Před 4 měsíci +1

    Kweli Hali sio shwali ichi Iko pabaya

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před 4 měsíci +1

    ✌️👍👊.

  • @ayubumsigwa542
    @ayubumsigwa542 Před 4 měsíci

    Makonda mnapa umarufu mnapotajataja

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 Před 4 měsíci

    HUYU S NDIO ALIKUWA ANADHARAU BODA BODA HANA LOLOTE KO UNATAKA SOTE TUFANYA SIASA MBONA UNATAKA KUTUPOTEZA

  • @user-bx3ko9ft5t
    @user-bx3ko9ft5t Před 4 měsíci

    Huyu mtangazaji ni kibaraka

  • @erickmsigala138
    @erickmsigala138 Před 4 měsíci +3

    Makonda hana kero anayo weza kutatua zaidi ya kutumia ujinga na umasikini wawatanzania kutengeneza matukio ili asikilizwe na wananch masikini wasiyo jielewa

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 Před 4 měsíci

      Lengo la kila chama ni kushika dola, hivyo ufanye siasa soko lilipo. Tanzania inasumbuliwa ujinga, maradhi na umasikini hivyo fanya siasa kwa level ya hao watu.

  • @user-ox4fv4cf5l
    @user-ox4fv4cf5l Před 4 měsíci

    HATA WEWE LEMA UNA UHUNI NDANI YAKO...UMESAHAU ULIWAHI KUWADHARAU BODABODA KWA KIWAKEBEHI KTK KAZI YAO??

    • @allonjoseph5467
      @allonjoseph5467 Před 4 měsíci

      lema hana kebehi Alisema ukwel kwan unadhani walemavu wengi wametokana na nin?? tena vijana wengi nguvu kz ya taifa

    • @msabahaali758
      @msabahaali758 Před 4 měsíci

      bod boda si kazi ni umasikini ni ujinga kufurahia kazi hii

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 Před 4 měsíci

    Chadema.mmewafanyia nn wananchi ili tuwe na imani.na ninyi ninyi ni kubeza mnauwana wenyewe kwa wenyewe halafu mnsingizia wengine wewe mwenyewe una mabaya yako sio msafi na huyo mboe mwezako alikuwa anafanya kazi ya serikali huko jela sasa wewe sumbuka na wewe mwenye uwezo fanya basi

    • @williamgeorge-hd2tn
      @williamgeorge-hd2tn Před 4 měsíci +1

      Hauna akili wew ni moja kati ya vilaza wakubwa nchi hii..chedema lini imeongiza nchi hii???

    • @Zaikadena
      @Zaikadena Před měsícem

      Acha upumbavu ww kwani chadema imewai shika madaraka mpaka use me imewafanyia nn wananchi?

  • @kainimlowe9646
    @kainimlowe9646 Před 4 měsíci

    Uyu jamaa lema mpumbavu haijawah tokea