PAUL MAKONDA AELEZA SABABU ZA KURUDI SHULE / KUPOTEZA MARAFIKI NA NIA YA KUREJEA KWENYE SIASA

Sdílet
Vložit

Komentáře • 150

  • @EdwardSindayigaya
    @EdwardSindayigaya Před 3 lety +8

    I am From Rwanda, and I follow yr Politics day to day coz I love you so much guys, but in particular I love Mr Paul Makonde

    • @salminasalim5630
      @salminasalim5630 Před 7 měsíci

      True he's a good guy and a good hearted man very polite protect all poor people and disabled human being may God continue blessing and protect him Aimen

  • @isackmachiyanshoka6754
    @isackmachiyanshoka6754 Před 3 měsíci

    Upo sahihi makonda❤ much love🙏

  • @tatukapilimba4535
    @tatukapilimba4535 Před 3 lety +11

    Huyu jamaa ni very potential kwa taifa, na ni mbunifu sana kushinda hata viongozi wengine waliopewa nafasi kubwa za uongozi..i miss you alot big bother.. Kama kuna makosa ulishawahi fanya Tunakusamehe bure, Naamin Jamii ya watu wa chini kabisa Dar wanakukumbuka

  • @Mwarobaini
    @Mwarobaini Před 3 lety +15

    Huyo ndo Mtu pekee ninaemkubali na Kumheshimu, Makonda yuko juu sana.

  • @vickykapama8386
    @vickykapama8386 Před 3 lety +4

    Mheshimiwa Makonda Hongera sana Mkuu💜💜

  • @frankkassongo6639
    @frankkassongo6639 Před 3 lety +4

    Best interview of 2021 🔥🔥❤️❤️❤️🔥🔥❤️🔥❤️🔥 Pan-Africanist. Makonda nime tokea kukupenda sana. Endelea kumfuta pastor Chris Oyakelome, PhD. Kweli uko fresh kaka.

  • @joycelambwe9016
    @joycelambwe9016 Před 3 lety +3

    Huyu Paul makonda nampenda sana yuko vizuri sana kwenye uongozi ,Mungu umeona tunashukuru kwa baraka hizo na ziendelee.

  • @eddymatrix8704
    @eddymatrix8704 Před 3 lety +5

    Dah nimepaenda msemo uliosema kukosea sio dhambi..Asante paul

  • @user-tq7yh5mo9m
    @user-tq7yh5mo9m Před 7 měsíci

    Mweshiniwa hongera sana mkuu ninakukubali

  • @najma3268
    @najma3268 Před 3 lety +4

    Interview nimeirudia zaidi ya marambili, kaongea vzr sana , kagongelea Na nyundo, nimefanya kumsikiliza kwa makini kwakweli

  • @africa7479
    @africa7479 Před 3 lety +2

    Nimepnda mtangazaji et mimi ni mtazamaji wako, akaibadilisha juu kwa juu safi sana

  • @aminmohammed4249
    @aminmohammed4249 Před 3 lety +5

    Hamna kitu hapo we bwege!

  • @danieljohn3836
    @danieljohn3836 Před 2 lety

    Mungu akulinde na Kila lililobaya,

  • @harrieth56
    @harrieth56 Před 7 měsíci

    Am.proud of you so

  • @Hillaryedith7
    @Hillaryedith7 Před 3 lety +1

    Well said Mr Makonda Former Regionsl commissioner-Dar essalasm . It is inspiring !

  • @samsonmaurice10
    @samsonmaurice10 Před 3 lety +8

    Nimependa sana huu msemo wako mkuu, "Usiogope kuonekana wa ajabu kama una jambo unaloliamini"

  • @kyaruzidativa9398
    @kyaruzidativa9398 Před 3 lety +2

    Wewe nikiongozi mzuri Sana naendelea kukukubari Makonda

  • @jamessilwamba4259
    @jamessilwamba4259 Před 3 lety +3

    ushauri wangu Ukitaka kuwa kiongozi mzuri kwanza heshimu watu wa aina zote wa chini na walio juu yako pia na usiwe mtu wa kibri ukiwa na madaraka halafu ndio u apply hayo mambo mengine ya utawala uliyojifunza hata ujifunze vipi kama mtu unakuwa na kibri huwezi kuwa kiongozi mzuri kw sababu kibri ni dalili ya incompetence take my word

  • @sylivanussyliacus5064
    @sylivanussyliacus5064 Před 3 lety +3

    One love my up coming Rule Model

  • @eyumededu2948
    @eyumededu2948 Před 3 lety +5

    Nampenda huyu kaka ni viwango vya wazalendo
    Nakuombeq kheri baba

  • @emilymideva8783
    @emilymideva8783 Před 3 lety +2

    Woow nice interview mr muheshimiwa makonda #lv frm kenya 254🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @mustafajumajuma2226
    @mustafajumajuma2226 Před 3 lety +1

    Alikuwa kama Mungu Mtu

  • @theophilmakumbuli
    @theophilmakumbuli Před 7 měsíci

    ,,,💪💪💪 unatisha sana

  • @user-rs6lw3hy7t
    @user-rs6lw3hy7t Před 7 měsíci

    Nice interview brother

  • @johnntabagi8861
    @johnntabagi8861 Před 3 lety +1

    Makonda makonda makondaaaa nakukubali mkuu huwanaamini ipocku utakaajuu zaidi ya pale ulipokuwa awali

  • @salomembasha7100
    @salomembasha7100 Před 3 lety

    wise interview

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 Před 3 lety +3

    Nakukubali sana Bro!

  • @haroldtere7515
    @haroldtere7515 Před 3 lety +1

    Ongera Makonda. Kiongozi ni wito!. Siyo elimu ya chuo!

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum7156 Před 3 lety +2

    Nakukubali sana we mzalendo moka akusimamie

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 Před 3 lety +3

    Congrats Paul Makomda👏👏👏

  • @halimamasai2234
    @halimamasai2234 Před 3 lety +2

    Hongera sana Makonda tu akusubiri 2035 Inshalaah

  • @sylvestrengwelu2012
    @sylvestrengwelu2012 Před 3 lety

    Mh.Makonda Hongera kwa hatua hiyo ya KUONGEZA UJUZI KIELIMU.ELIMU HAINA MWISHO.HAKIKA UNA FOCUS NZURI.MUNGU AKUBARIKI SANA.

  • @enickosanga4921
    @enickosanga4921 Před 2 lety

    Mara kafunguliwa kesi dah

  • @theophilmakumbuli
    @theophilmakumbuli Před 7 měsíci

    Mngu akubari kaka kiongoz mwenye KIU ya haki hakika naamin IPO sku mngu atakukumbuka

  • @namukwayamweshihange8866
    @namukwayamweshihange8866 Před 3 lety +2

    Nikweli kabisa very intelligent. Well done

  • @deomugu1616
    @deomugu1616 Před 3 lety +3

    Have my respect all the way. Barikiwa sana kaka

  • @rizikimgimba8443
    @rizikimgimba8443 Před 3 lety +2

    Makonda amesema mambo makubwa juu ya kufunguka ufahamu WA vijana WA African hasa WA Tanzania kushangaza mataifa Kwa kijiongeza kimawazo nakiubunifu natamani nipate Namba yake tuzungumzie Ayala hiili

  • @musitemusite4316
    @musitemusite4316 Před 3 lety +1

    Ongera sana kakaangu makonda

  • @evambughuni5324
    @evambughuni5324 Před 3 lety

    🥰🥰

  • @daviddouglas8943
    @daviddouglas8943 Před 7 měsíci

    Bashite kama Bashite 😂, Hebu rusidha vyeti vya Makonda mwenyewe kwanza, Daud Bashite wa Kolomije.

  • @awesasaladi5948
    @awesasaladi5948 Před 3 lety +2

    Mh paul makonda alikua kiongozi anayejiamini sana jitahidi kaka urudi kwenye uongozi sipati furaha ninapokuona huna cheo mkuu

  • @frankkaijage9726
    @frankkaijage9726 Před 3 lety

    Makonda big up.kwa kweli Dar kumepoa kabisa .Tumetambua umuhimu wako

  • @florakweyunga4490
    @florakweyunga4490 Před 8 měsíci

    10/10/2023.yaani Mkoa huu wa Dar ni mgumu saaana.lakini uliweza kakangu.wanao kuchukia wakajitundike.

  • @ussyhamza5011
    @ussyhamza5011 Před 3 lety +1

    Mh, Makonda Upo Juu Sana.

  • @eddymatrix8704
    @eddymatrix8704 Před 3 lety

    Basi haaaya

  • @chalodavid4537
    @chalodavid4537 Před 2 lety

    The real son of Our Legendary Lt JPM

  • @lidyateddy6950
    @lidyateddy6950 Před 7 měsíci

    Umenitia nguvu😢😢😢

  • @innocentwilliam1214
    @innocentwilliam1214 Před 3 lety +2

    Alisema wakufunzi wanafundisha angali hawawezi kuongoza hata panya!!!! Duuu

  • @BETConlineTVTZ
    @BETConlineTVTZ Před 3 lety +3

    huyu jamaa ana akili sana amini nawaambieni tutamuona mbali

  • @erastonicholas5589
    @erastonicholas5589 Před 3 lety +1

    Wewe umeenda kulima kujificha mihela ulio piga . Eti kilimo kabla ya uongozi mbona kulikua hulimi?hunaga rafiki mbona riziwani ulitenda ukasema muuza unga wewe damu za watu Zina kusubiri mumeua Sana

  • @rashidijaziru3279
    @rashidijaziru3279 Před 3 lety

    Gd

  • @raymonadsaliboko3068
    @raymonadsaliboko3068 Před 2 lety

    Ukosawa

  • @queenlinda255
    @queenlinda255 Před 3 lety +3

    Umeivaa kaka akili imekuwa zaidi na zaidi

  • @shukurually8769
    @shukurually8769 Před rokem

    Mwambie arudi tn kugombea kigamboni tunamuitaji sn huyu aliopewa dhama hana jipya

  • @lusajomwaipopo5042
    @lusajomwaipopo5042 Před 2 lety

    Ujasusi wa uchumi ktk inchi hii ndiyo shida

  • @djpassovertz..tunaishimaramoja

    So umesomea jina Gani Daudi Bashite au jina la kununua?Paulo Makonda wa wahaya?

  • @rugijofrey3685
    @rugijofrey3685 Před 3 lety

    Mh umeongea point sana

  • @magdalena7223
    @magdalena7223 Před 3 lety +2

    Kila sk kilio changu hy mtu awepo ktk uongozi tena maana hk kichwa simchezo tumemis uwepo wako baba

  • @fatmakombo7584
    @fatmakombo7584 Před 3 lety

    Wewe tayari ushakula maisha waachie wenzio shida utakayopata Una kiburi sana mzee

  • @alfayowangwe6651
    @alfayowangwe6651 Před rokem

    Kiunongozi namkubali

  • @stamelistameli8461
    @stamelistameli8461 Před rokem

    Na kupenda makonda

  • @epimackoscar25
    @epimackoscar25 Před rokem

    Mbali na mapungufu uliyonayo kama binadamu lakini una vitu vingi ambavyo vijana wenzio tunajifunza kutoka kwako

  • @majutosanaelias4307
    @majutosanaelias4307 Před 3 lety +1

    Hamna msomi apo ni nguvu tu

  • @hoseabigaye5787
    @hoseabigaye5787 Před 3 lety

    Ukipta fursa yakwenda nenda 💪

  • @zaym7769
    @zaym7769 Před rokem

    Ndio maana nilikukubali sana na kukutetea sana japo nilitukanwa sana.

  • @frankkassongo6639
    @frankkassongo6639 Před 3 lety

    I love you my brother

  • @hamisinyanga4579
    @hamisinyanga4579 Před rokem

    Paulo makonda ni puntin wa afrika lakini hawakumuelewa lakini sasa .putin wa urusi kaiga.kwa paulo makonda.

  • @geraldluiso6792
    @geraldluiso6792 Před 3 lety +1

    Makonda is best to me

  • @godfreymlay6069
    @godfreymlay6069 Před 2 lety

    Utakoma kujuwa hiyo PHD yako omba sana mungu vinginevyo utaipatia jela itoshe mm kusema kila ufalme una mwisho wake

    • @Tony999-gu8qg
      @Tony999-gu8qg Před rokem

      Ach a ushamba

    • @shijamasunga204
      @shijamasunga204 Před 7 měsíci

      Leo ni tarehe 20 /10/2023 sema tena ulichokisema Enzi hizo 😂😂😂😂

  • @hassanabazar9411
    @hassanabazar9411 Před 3 lety

    Makonda kama makonda

  • @mustafajumajuma2226
    @mustafajumajuma2226 Před 3 lety +1

    Huna lolote kujikosha tu

  • @emmanuelsamba2571
    @emmanuelsamba2571 Před 2 lety

    shida ya wabongo fikra zao zinakariri siasa ni unafki nasio taaluma

  • @moshiomarymnyeda8907
    @moshiomarymnyeda8907 Před 3 lety +2

    Mama atakurudisha muda si mrefuu 🇹🇿🇹🇿🙏🙏🙏

  • @seifmohamed836
    @seifmohamed836 Před 3 lety +1

    Kwani mpk shv analindwa na police ama yuko peke yake au ndio full ulinzi🤔🤔🤔

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad1802 Před 3 lety +1

    Ulikosea sana kuwashutumu watu na kuwataja majina hadharani kua wanuza madawa ya kulevya au wanatumia na ukatoa amri waekwe ndani nakushauri uombe radhi

    • @amriamraan2612
      @amriamraan2612 Před 3 lety +1

      Chizi wewe , awaombe radhi wauza unga? Au baba yako nae muuza sembe?

    • @jentlikuse5719
      @jentlikuse5719 Před 3 lety

      Alikua sahh 2 wewe unafulahia kutuletea kutuulia ndugu zetu afya zao hata mungu hajatuagiza

    • @jentlikuse5719
      @jentlikuse5719 Před 3 lety +1

      Una ufinho w akiri wewe binafsi ulifaidika n nini kwa uza unga na ndio mufrisi nhie

    • @ndogoroedson9438
      @ndogoroedson9438 Před 3 lety

      Mjinga ww! Awaombe radhi wauaji au ulikuwa ni mmojawapo?

    • @chescomnyangali8601
      @chescomnyangali8601 Před 3 lety

      Huna akili wewe huwezi kutetea wauza madawa wanaharibu familia zetu

  • @benny4345
    @benny4345 Před rokem

    Tell him it is "Globally" not "Grobale". Negotiations ni "profession" na siyo Professionals. And he is enrolled at one of the top 5 Universities 😆😆

  • @joachimmgina2847
    @joachimmgina2847 Před 3 lety

    No no up

  • @benny4345
    @benny4345 Před rokem

    Stop glorifying criminals! That guy is a criminal!

  • @frankkassongo6639
    @frankkassongo6639 Před 3 lety +2

    PhD baba join our world. Welcome to the world of PhD

  • @nenadurra8477
    @nenadurra8477 Před 3 lety +2

    We support you Makonda, you are better than anybody, believe me!

  • @enickosanga4921
    @enickosanga4921 Před 2 lety

    I WEASH uwe mkuu wa mkoa wowote tz

  • @AbdulnuruMbaraka-me9ri

    KIJANA NIMEKUELEWA NA NATAMAN ULUD KUNDINI.

  • @milomohamed7201
    @milomohamed7201 Před 2 lety

    Huyu ni kiongozi mjinga na ataendelea kuwa mjinga iwapo hatajirekebisha.
    Ndani ya Dar hamna kitu alivhokifanya zaidi ya kupandikiza chuki miongoni mwa jamii. Foolish kabisa DAUD ALBERT BASHITE

  • @naitwahazina6433
    @naitwahazina6433 Před 3 lety

    Kaa ukijua watanzania tunakupenda sana

  • @waheedahtanzania4912
    @waheedahtanzania4912 Před 3 lety +1

    Natarajia 2025 Inshaallah uje kuwa Rais WETU wa Tanzania maana una kila sifa mashallah

  • @joviangeofrey866
    @joviangeofrey866 Před 3 lety

    Kilimo ndiyo kila kitu ila mje niwauzie miche ya vanilla

    • @aminaadam9914
      @aminaadam9914 Před 3 lety

      Tutafutane kwa maongezi juu ya kilimo cha vanilla. Niko kenya

  • @jayjay4313
    @jayjay4313 Před 3 lety

    Kumbe ni kozi. Diploma miaka 3, mazee. Diploma za kozi kama tukianza kila mtu atoe zake, kuna watu wanazo mia humu🤣🤣🤣, ukisoma we kausha tu na vyetu vyako kavitumie ukiomba kazi. Bongo kwa kicki shikamoo.

    • @masungamashauri4070
      @masungamashauri4070 Před 3 lety

      Wewe unafikiri unamzidi Makonda ,nadhani wewe ndio kausha. Makonda tunamiss uongozi wake ndani ya Jiji la Dar es salaam

    • @jayjay4313
      @jayjay4313 Před 3 lety

      @@masungamashauri4070 Uongozi na vyeti, havihusiani. Au wewe unaona vyeti ni maajabu. Nyamaza ianzie kwako. Tembea kama umekosa maada.

    • @veronicamlali9669
      @veronicamlali9669 Před 3 lety

      Jay Jay mnafiki inawezekana umetoka ktk familia ya kichawi kwani mtu akionesha alichokua nacho unaumia nini

    • @jayjay4313
      @jayjay4313 Před 3 lety

      @@veronicamlali9669 Nyau we, Hujui kusoma hujui kuelewa. Wewe imekuuma nini mpaka uingie humu. Umeroga umeshindwa, ndo mana unaropokwa tu. Kenge we.

  • @thobiasshikome1480
    @thobiasshikome1480 Před 3 lety

    Wewe njoo misungwi unachelewa

  • @shedrackamos4021
    @shedrackamos4021 Před 3 lety +2

    Moja ya Viongozi ninao wakubali Sana endelea kusoma Kiongozi naamini PHD unaipata Kama yalivyomalengo yako

  • @seifmohamed836
    @seifmohamed836 Před 3 lety

    Kwani wewe makonda umemaliza kazi yako ama uliachiswa kazi yako kwa tamaa zaubunge na wana ccm wakakupiga chini 🔥🔥🔥🔥Kigamboni hatr

    • @amriamraan2612
      @amriamraan2612 Před 3 lety

      Babu vp umetumwa? Kama huna zuri la kuongea bora ukae kimya maana chuki hazitokufikisha popote.

    • @mashimbazephania3511
      @mashimbazephania3511 Před 3 lety

      Aliachishwa au aliacha akaenda kugombea? Kwani kupata na kukosa kuna shda? Jtasmini.

  • @wazirmasokola5951
    @wazirmasokola5951 Před 3 lety +1

    Unao usubutu wakufanya maamuzi uogopi ukilipanga jambo zuri lenye tija..ninaimani na ww

  • @audaceleroi1370
    @audaceleroi1370 Před 3 lety

    Natamani nikuone tena kwenye uhongozi

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 Před 3 lety +1

    Darasa la saba tu ilikushinda sembuse phd.

    • @ndogoroedson9438
      @ndogoroedson9438 Před 3 lety +1

      Msenge ww! Kwa hiyo Kama la Saba lilimushinda aliongozaje mkoa ndyo ujinga mlionao

    • @joshuaandrew386
      @joshuaandrew386 Před 3 lety

      Walioshindwa huwa wanamaneno MENGI yasiyo na kichwa wa miguu

  • @afropatriot7769
    @afropatriot7769 Před 3 lety +2

    Natumain pia umejifunza jinsi ya kuanzisha Mambo ambayo unaweza kuyamaliza kwa akili bila kukurupuka,vile vile kuheshimu watu na kutokua na Ego

  • @queenmwasanguti2370
    @queenmwasanguti2370 Před 3 lety

    Turudishieni malouda wetu

  • @edwinnyabikwi560
    @edwinnyabikwi560 Před 3 lety +1

    M

  • @fredrickjohn8412
    @fredrickjohn8412 Před 3 lety

    Zero braini inaongea pumba, bado anandoto ya kuwa kiongozi , mshenzii kweli

    • @nyakymedia8405
      @nyakymedia8405 Před 3 lety +1

      Kama ulivyo mshenz kula kulala ww unatukana genius

    • @fredrickjohn8412
      @fredrickjohn8412 Před 3 lety

      @@nyakymedia8405 utaishia kusikiliza pumbaa tu za huyo ndg yako. Kama alikua kiongozi bora leo yuko wapi. Alitumia mkono wa chuma kwenye ukuu wa mkoa tu vp angekua waziri si angemaliza watu, hujielewi ww unaemsapot

    • @salimucvales7495
      @salimucvales7495 Před 3 lety

      Ulichokiandika unaona kiko sawa watu wengine uelewa mdogo.

    • @wilsonrwekaza6247
      @wilsonrwekaza6247 Před 3 lety

      Unamatatizo wewe

    • @fredrickjohn8412
      @fredrickjohn8412 Před 3 lety

      @@wilsonrwekaza6247 vijana washamba sana nyie, mnafuata mkumbo bila kujisimamia wenyewe, mtaongea sana mtaishia kutukana mitandaoni tu ukweli unauma. Makonda ni zero braini hawezi kubadilika hata asomeje

  • @alisele5299
    @alisele5299 Před 3 lety +1

    Makonda kiongozi; mambo madogo tu & Nidhamu ndio vilivyo mkwamisha, Viva makonda

  • @rashidijaziru3279
    @rashidijaziru3279 Před 3 lety

    Gd

  • @seifmohamed836
    @seifmohamed836 Před 3 lety

    Kwani mpk shv analindwa na police ama yuko peke yake au ndio full ulinzi🤔🤔🤔