Najua kitu kimoja! Rais hapangwi na kutangazwa na nabii ye yote hilo ni jambo la KIKATIBA. Jukumu letu ni Kumwomba Mungu awaongoze wapiga kura kumpata yule ambaye ni chaguo lake. Mungu ndiye awawekaye Viongozi, hata Askofu Gwajima anajua hilo. Ewe nabii, acha kuwachonganisha Watanzania, Watanzania waongozwe na Mungu kupitia katiba yao! Hata Madhehebu ya dini hatupangiwi Viongozi na nabii bali tuna katiba zetu na Mungu hutupatia Viongozi kupitia utaratibu huo wa katiba na si vinginevyo!!!
Ni sawa kwako unaye yasema.. Nabii huyo atakaposema uongo apigwe mawe afe. Nisingependa owe hi yo kwako bali na iwe baraka. Mimi ninakushukuru ktk hayo yote. Usitamke neno baya kwa MKUU wako ni sawa kama umemtukana kwake yeye. Paulo lisema sikujuwa ndugu zangu imeandikwa, usimtukane MKUU wa wakuu wako... Matendo 23:1-5.na iwe kama ulivyo nena isipo kuwa hivyo..!! ni hatari kwako duniani na mbinguni.
Hayo yawezakana kabisa. Sasa kama sadaka inatolewa kwa Siri, ungefanya hivyo kwa raisi wako. Ungemuomba Mungu akupe nafasi ya kumuona yeye hashindwi. Yote ni mwema, Ubarikiwe.
Hivi kweli unaamuaje kutuma mjumbe apeleke sadaka na kuitangaza?! Kwani ni harambee au zaka! Kama ni yatima,wajane,ama makanisa machanga yanayosali kwenye vibanda pia mtu humtolea Mungu kimya kimya,na wenye uwezo pia humtolea Mungu kimya kimya, iweje basi mjumbe aseme nimetumwa nilete sadaka?! Harambee sawa...
Hakuna Mahali anadanganya,mimi namuelewa vizuri sana huyu Mtumishi wa Mungu.Na kama unaona anadanganya nawe uje na proof yako kwa kile alichokuambia Mungu kuhusiana na hayo.
Hivi nyinyi kazi yenu ni hii au wewe ni mtu wa kundi la siri umetumwa kutuletea propaganda ili mje mfanye uharibifu na kwanini kila siku mtabiri ni wewe
Mungu akupe zaidi mtume
Continue declaring the word of god in order to continue maintaining peace in Tanzania land
Amina mtumishi wewe ninabii sio waziiri au mtumishi wa seikali upo sahihi kusema hayo hazarni
Continue
Hii sababu ni nini kukosa makao maalum hasa kwa raia akiangalia ni mtumish wa MUNGU vizur tu.
Una leta uchochezi
Hata kama ujumbe niwaaibu Mungu akisema niwahadhara lazima uwe wa hadara
Una abari Magufuli alipita wapi
Toa ujumbe bila hofu ya mtu kupokea au la.
Hapo tu pa Mama anaenda kuanguka muda wowote, naona na yeye ameona akahisi akitumia njia ya kanisani atakuwa salama.
Pole pole japo kuna ukweli kidogo!
mungu akulinde mtumishi
KWA HIYO WEWE UNAONGEA NA MUNGU MAMBO YA SIASA TUU. NDIYO KITENGO CHAKO ULICHOPEWA NA BWANA?😮
Amos 3:7. Yoeli 2:28.
Kama kaambiw aseme wa nini anyamaze?
Mtumishi sema kama uliyogizwa usiche neno tupone
Huwezi kuwafikia kwa upesi hao uliopewa jumbe zao, endelea kutoa ushuhuda badala kufanya siri
Kama ni kwani kakwambia uende siri?
Nashindwa kukuelewa sasa gwajima badala ya kuwa rais atakuwa makamu wa rais
sasa una simama wap
J
Ooh
Samia ni raisi 2025 sio Gwajima
Najua kitu kimoja! Rais hapangwi na kutangazwa na nabii ye yote hilo ni jambo la KIKATIBA.
Jukumu letu ni
Kumwomba Mungu awaongoze wapiga kura kumpata yule ambaye ni chaguo lake. Mungu ndiye awawekaye Viongozi, hata Askofu Gwajima anajua hilo.
Ewe nabii, acha kuwachonganisha Watanzania, Watanzania waongozwe na Mungu kupitia katiba yao!
Hata Madhehebu ya dini hatupangiwi Viongozi na nabii bali tuna katiba zetu na Mungu hutupatia Viongozi kupitia utaratibu huo wa katiba na si vinginevyo!!!
Watu wanaingia na kutoka tangu Uhuru! Hakuna laana Wala Nini. Waziri Mkuu Uingereza anabadilika Kila wakati: wamelaaniwa??!
Fungua code basi tujue
Mungu anahekima kuliko wote ingestaili siri Mungu angeagiza siri
Upo vizuri sana kutasfiri ndoto
Ni sawa kwako unaye yasema.. Nabii huyo atakaposema uongo apigwe mawe afe. Nisingependa owe hi yo kwako bali na iwe baraka. Mimi ninakushukuru ktk hayo yote. Usitamke neno baya kwa MKUU wako ni sawa kama umemtukana kwake yeye. Paulo lisema sikujuwa ndugu zangu imeandikwa, usimtukane MKUU wa wakuu wako... Matendo 23:1-5.na iwe kama ulivyo nena isipo kuwa hivyo..!! ni hatari kwako duniani na mbinguni.
Hayo yawezakana kabisa. Sasa kama sadaka inatolewa kwa Siri, ungefanya hivyo kwa raisi wako. Ungemuomba Mungu akupe nafasi ya kumuona yeye hashindwi. Yote ni mwema, Ubarikiwe.
Hivi kweli unaamuaje kutuma mjumbe apeleke sadaka na kuitangaza?! Kwani ni harambee au zaka! Kama ni yatima,wajane,ama makanisa machanga yanayosali kwenye vibanda pia mtu humtolea Mungu kimya kimya,na wenye uwezo pia humtolea Mungu kimya kimya, iweje basi mjumbe aseme nimetumwa nilete sadaka?! Harambee sawa...
😂😂😂😂😂😂heeeeeh ulisema gwajima atajuwa
Rais,sasa
Mungu mmegeuka tena???
Sikiliza vizuri...utaelewa kilichosemwa
Kweli...watu hawasikilizi vizuri...
Hakuna UDINI Tanzania. WanaNchi hatutaki!!
We usisemee watanzania jisemee mwenyewe acha upambe kaa na ujinga wako na uelewa wako mdogo
Rafiki unatudanganya
Hakuna Mahali anadanganya,mimi namuelewa vizuri sana huyu Mtumishi wa Mungu.Na kama unaona anadanganya nawe uje na proof yako kwa kile alichokuambia Mungu kuhusiana na hayo.
@@benignajosephwatendewao2065 umesoma vema kichwa cha habar? Kwanin kichwa cha habar ipishane na maelezo?
Hivi nyinyi kazi yenu ni hii au wewe ni mtu wa kundi la siri umetumwa kutuletea propaganda ili mje mfanye uharibifu na kwanini kila siku mtabiri ni wewe
Utoe ukipofu wako kama auko vizuri na MUNGU jua uo ujumbe autaupata kaa kimya
Continue declaring the word of god in order to continue maintaining peace in Tanzania land
Kwanini mpaka Leo waliokuwa wafanyakazi wa iliyokuwa hotel 77 ya Arusha madai yao mpaka Leo yamechelewa kutoka?
Acha utoto kwani mambo ya hotel yanaingilianaje na unabii kama auna la kuchangia nyamaza