- 315
- 9 992 165
HABARI KIGANJANI
Canada
Registrace 18. 05. 2021
''SAMIA SULUHU HASSAN FOR PRESIDENT 2025'' ❤
PLEASE SUBSCRIBE 🙏 ... STAY CONNECTED 💪
PLEASE SUBSCRIBE 🙏 ... STAY CONNECTED 💪
MZOZO MKUBWA WAIBUKA BAADA YA TUNDU LISSU KUPIGWA RISASI MUDA HUU....
#tundulissu #chadema #godblesslema #ccm #chamachamapinduzi #mbunge #tanzania
zhlédnutí: 4 075
Video
GHAFLA TENA TUMEPOKEA TAARIFA HII NZITO SANA KUHUSU PAUL MAKONDA JIONI HII,,JIONEE MWENYEWE
zhlédnutí 10KPřed 2 měsíci
#paulmakonda #makonda #chadema #ccm #chamachamapinduzi #arusha #tanzania
KIMEUMANA ARUSHAA.! CHEKI GODBLESS LEMA ALIVYO MTIKISA PAUL MAKONDA,AMSHUKIA VIKALI UTASHANGAAAAA
zhlédnutí 5KPřed 2 měsíci
#paulmakonda #chadema #godblesslema #tanzania
MZOZO MKUBWA WAIBUKA: GODBLESS LEMA AMVURUGA VIBAYA WAZIRI MKUU,AMCHANA MAKAVU HADHARANI BILA KUOGOP
zhlédnutí 2,2KPřed 2 měsíci
#godblesslema #chadema #arusha #tanzania
HABARI ZA MUDA HUU: KIGOGO AFICHUA SIRI HII NZITO SANA BAADA YA CCM KUWACHAGUA AKINA JOKATE,AWAPINGA
zhlédnutí 13KPřed 2 měsíci
#kigogo #ccm #chamachamapinduzi #tanzania
GHAFLA TENA: TUMEPOKEA TAARIFA MBAYA SANA KUHUSU MBUNGE OLE SENDEKA.!,,MJADALA MZITO WAZUKAAAA
zhlédnutí 6KPřed 2 měsíci
#mbunge #mjadala #tanzania
TAARIFA MPYA NA MBAYA SANA IMETUFIKIA MUDA HUU KUHUSU PAUL MAKONDA,,,KILICHOMKUTA,,,DAH...!!!
zhlédnutí 17KPřed 2 měsíci
#makonda #gsm #tanzania
TAARIFA: OLE SABAYA NDIO MRITHI WA PAUL MAKONDA CCM,,,
zhlédnutí 2KPřed 2 měsíci
#sabaya #ccm #chamachamapinduzi #paulmakonda #tanzania
BREAKING: HATIMAE MRITHI WA PAUL MAKONDA CCM AMEPATIKANA,,,NI HUYU...JOKATE MWEGELO
zhlédnutí 3,6KPřed 2 měsíci
#ccm #chamachamapinduzi #tanzania
TAARIFA MPYA NA MBAYA SANA IMETUFIKIA MCHANA HUU,,,VILIO VYATANDA KILA KONAA,,,NCHI NZIMA YAZIZIMAAA
zhlédnutí 12KPřed 2 měsíci
#kifo #tanzia #mbeya #mbeyacity #tanzania
HASIRA ZAMPANDA RAIS SAMIA HADHARANII.! HATIMAE AWAUMBUA ULE MTANDAO UNAOFANYA WIZI WA PESA ZA UMMA.
zhlédnutí 5KPřed 2 měsíci
#raissamiasuluhu #raissamiasuluhuhassan #tanzania
WAZIRI MKUU AKAMATA WEZI,,,WAPIGA HELA ZA UJENZI...!!!!!
zhlédnutí 1,7KPřed 2 měsíci
#wazirimkuu #tanzania
TAARIFA KUBWA SANA IMETUFIKIA JIONI HII: CHADEMA WAMWAMBIA RAIS SIRI NZITO SANA,WANAWINDA KITI CHAKE
zhlédnutí 2,5KPřed 2 měsíci
#chadema #raissamiasuluhu #raissamiasuluhuhassan #samiasuluhu #samiasuluhuhassan #tanzania
KIGOGO AIBUKA NA TAARIFA NZITO MCHANA HUU: AVUJISHA NJAMA ZA KUMPINDUA RAIS HADHARANI AWATAJA WAHUSK
zhlédnutí 26KPřed 2 měsíci
#kigogo #tanzania
UTEUZI MZITO WATANGAZWA MCHANA HUU,,,SABAYA...
zhlédnutí 7KPřed 2 měsíci
UTEUZI MZITO WATANGAZWA MCHANA HUU,,,SABAYA...
TAARIFA RASMI YA MBOWE KUJIUZULU UENYEKITI YATANGAZWA USIKU HUU...!
zhlédnutí 3,2KPřed 2 měsíci
TAARIFA RASMI YA MBOWE KUJIUZULU UENYEKITI YATANGAZWA USIKU HUU...!
SIRI NZITO: KIGOGO AMTAJA KIONGOZI MWINGINE MKUBWA NA NJAMA ZAKE ZA KUTEKA URAIS,,MAKONDA NDANI..!
zhlédnutí 6KPřed 2 měsíci
SIRI NZITO: KIGOGO AMTAJA KIONGOZI MWINGINE MKUBWA NA NJAMA ZAKE ZA KUTEKA URAIS,,MAKONDA NDANI..!
DUH KIMENUKAA.! UTEUZI KUHUSU SABAYA WAZUA GUMZO NCHINI NA KUPINGWA VIKALI,,,TAZAMA MPAKA MWISHO...
zhlédnutí 10KPřed 2 měsíci
DUH KIMENUKAA.! UTEUZI KUHUSU SABAYA WAZUA GUMZO NCHINI NA KUPINGWA VIKALI,,,TAZAMA MPAKA MWISHO...
BREAKING: DANIEL CHONGOLO ATEULIWA TENA.!,SASA NI MKUU WA MKOA SONGWE....
zhlédnutí 2,3KPřed 2 měsíci
BREAKING: DANIEL CHONGOLO ATEULIWA TENA.!,SASA NI MKUU WA MKOA SONGWE....
HATIMAE FREEMAN MBOWE AMEFIKIWA.! RASMI KUVULIWA UENYEKITI CHADEMA NAFASI ATAPEWA TUNDU LISSU..
zhlédnutí 3KPřed 3 měsíci
HATIMAE FREEMAN MBOWE AMEFIKIWA.! RASMI KUVULIWA UENYEKITI CHADEMA NAFASI ATAPEWA TUNDU LISSU..
KIMEUMANAA: HATIMAE MAWAZIRI HAWA SITA WATAJWA NA SIRI ZAO NZITO ZAWEKWA HADHARANI NA KIGOGO
zhlédnutí 5KPřed 3 měsíci
KIMEUMANAA: HATIMAE MAWAZIRI HAWA SITA WATAJWA NA SIRI ZAO NZITO ZAWEKWA HADHARANI NA KIGOGO
SIRI NZITO SANAA YAVUJA MCHANA HUU BAADA YA MAZISHI YA MZEE MWINYI,,,UTASHANGAAAAA
zhlédnutí 1,1KPřed 3 měsíci
SIRI NZITO SANAA YAVUJA MCHANA HUU BAADA YA MAZISHI YA MZEE MWINYI,,,UTASHANGAAAAA
TAARIFA: WAZIRI WA AFYA UMMY MWALIMU AJIUZULU.?,,,WANAHARAKATI WAMKALIA KOONI,,''ATOKEEEE
zhlédnutí 5KPřed 3 měsíci
TAARIFA: WAZIRI WA AFYA UMMY MWALIMU AJIUZULU.?,,,WANAHARAKATI WAMKALIA KOONI,,''ATOKEEEE
BREAKING: FREEMAN MBOWE TENA ATOA MANENO MAZITO BAADA YA KIFO CHA MWINYI,,,WENGI WAMWAGA MACHOZIII..
zhlédnutí 3,1KPřed 3 měsíci
BREAKING: FREEMAN MBOWE TENA ATOA MANENO MAZITO BAADA YA KIFO CHA MWINYI,,,WENGI WAMWAGA MACHOZIII..
HATIMAYE TAARIFA RASMI YATOKA USIKU HUU: SEHEMU ATAKAPOZIKWA MZEE MWINYI NI HAPA
zhlédnutí 7KPřed 3 měsíci
HATIMAYE TAARIFA RASMI YATOKA USIKU HUU: SEHEMU ATAKAPOZIKWA MZEE MWINYI NI HAPA
ALICHOKIFANYA RAIS WA KENYA BAADA YA KIFO CHA MZEE MWINYI,,,KENYA NZIMA YAZIZIMAAAAAAAA
zhlédnutí 3,9KPřed 3 měsíci
ALICHOKIFANYA RAIS WA KENYA BAADA YA KIFO CHA MZEE MWINYI,,,KENYA NZIMA YAZIZIMAAAAAAAA
Mungu atusadie
Unaongea sana
Acha uongo we fara
Polen sana,mung awatangulie
😢😢😢😢😢😢😢😢
Kwanini hamtaj huyo mkimbizi au na wewe unatugombanisha na serikali yetu kwamba haina umakini amtaje tu tu mwenyewe ss hatumjuwi
Kigogo
Uo ni uongo mpina hajafariki wajinga tuu mna toa tàarifa za uongo tuu
Uo ni uongo mpina hajafariki wajinga tuu mna toa tàarifa za uongo tuu
UKWELI upo %100 Sehemu ya ARDHI imeuzwa ONA loliondo.
Mimi ni mwana CCM DAMU DAMU Kwa HILI loliondo kuwafukuza Wamasi nakuwa Waarabu ARDHI hiyo sio sawa.kwa HILI WATANGANYIKA tupige kelele halikubaliki.
Wee pumbavu kajitangazie kifo chako kwanza!
Wasimue.mama.wa.watu.njamani
Kwanza wewe mnyarwanda ilijuwaje kujiingiza kwa siasa za krnya unataka kuleta mauwaji hapa kama ya rwanda wewe kwenda na mambo yako ya uongo wewe shetani kama kagame
Tamaa ni kitu baya kula haki Yako na uridhike tafadhali,, ii ni ni funzo kwa wote walio na cheo kama yake so take care,,🎉🎉🎉
Hii media inatumika sana kumchafua makonda,Mama usiwasikilize hawa wapiga majungu, Makonda sisi wananchi wanyonge tunamkubali,Muongezee madaraka makubwa zaidi mafisadi wapate kununa hadi nyuso zao zijikunje
Kigogo sikuzote akisema ujue hili jambo ni la kweli. Kwasasbabu ni mtu ambaye hatakagi jina lake lijulikane. Aminini anachosema. Kikubwa tunaomba Mh Makonda asimame na Mungu Mungu ndiye kimbilio lake
Hilo jambo lipo wazi serikali ijalibu kutenda haki hao wanaugonvi wa mda mlefu unao husu nyumba nani asiye juwa makonda anahasira ya kurudisha ile nyumba aliyetaka kuzurumu akiwa mkuu wa mkoa dar hizo ni hasira yeye alikuwa anatakuzuru hiyo nyumba kwa kutumia kivuli cha marehemu magufuli sasa imeshindikana ndiyo hizo hasira mzurumati huyoo kijana wa ccm sheria ifate mkondo
Huyuu makonda ninani katika tanzania hiii hilo nikosa kalifanya sasa tunataka. Tupate majibu huyu makonda kazowea kufanya vitu vya kutisha achukuliwi atuwa ukweli tunaitaji uwonekane
Amen
Mwandishi nenda kwenye pointi ya hiyo Siri siyo unazunguka kutumalizia mb zetu Fyuuu
Makonda chapa kazi kwa kufuta misingi ya majukumu yako.
Maaskofu wote ni ccm ndiomaana malasusa analaani kushambuliwa Kwa ole sendeka
Mbona kichwa Cha habari tofauti na kichwa Cha habari
Viongozi wengi wa dini ni wasakatonge tu (sadaka)!
Kama kweli ametolea neno tukio la Ole Sendeka ilashangaza na kukatisha tamaa. Kwamba inakuaje kiongozi huyu mkubwa wa dini kufanya hivyo wakati hakufanya wakati wa Lisu ambapo alikua zamu pia! Maana yake ni kutoona umuhimu au woga kama binadamu mwingine! Wakati ule tuliwajua Watumishi waliojitoa kutetea wanakondoo bila hofu,na walio dhaifu ama wasio na utume wa wito wakiwa kimya na kuacha watawala wafanye watakavyo bila kukemea uovu ule! Lisu na wahanga wengine wana haki sawa na thamani kwa Mungu kama sisi sote, haifai kubaguana katika taifa moja kwa itikadi, Vyeo, Ukwasi,dini,au dhehebu, Tukemee sote panapotokea bila hofu wala chuki. Mungu mbariki mama Tanzania na watu wake...
Haya maneno ni ya kweli au uzushi
Unatuchosha unazunguka sana
WEE MZEE KIKWETE VIPI MBONA UNAJIVUNJIA HESHIMA ?BADO UNATAKA KUAJIRIWA,BADALA YAKUTULIA KIMYA UNASHAURI PANAPO BIDI.MARA TUNASIKIA MKUU WA CHUO FULANI WACHIE VIJANA.UNALIAIBISHA TAIFA.UNALIPWA MSHAHARA,MKUBWA ML.80 MKE ML60 UBUNGE UNALIPWA MSHAHARA,POSHO KIBAO,MWANAWENU RIDHIWANI MBUNGE HIZI AJIRA NI ZA FAMILIA ? BADO UNATAKA KUAJIRIWA WE VIPI.HAWA WANYONGEAU FAMILIA YA WANYONGE HAINA MAANA HATA YA KUSOMA KWANI AJIRA ZOTE WANAKABA WATOTO WA WAKUBWA NA WASTAAFU WANATAKA KUAJIRIWA RISHA YA KIINUAMGONGO WANACHOPATA.NCHI INAENDA WAPI ? WANYONGE WAMESOMESHA KWA SHIDA AJIRA HAKUNA.WAZAZI NI MASKINI KWANI WAMEUZA KILA KITU SASA NI MASKINI HATA SH.200 HAWANA WANAOKUFA NJAA.
Makonda ageachwa kua mwenenzi kwa sababu yy anauwezo mkubwa sana wa kisiasa pili ana kubalika sana na watanzania ameachwa hadi kipindi cha ucha hizi kula nyingi ccnzigepatikana aliko mpleleka haja fanya vyema amludishe tena kua mwenyezi wa chama kwanza ni mtu anae kuamini na kujitambua nn anafanya alifiti sana kua mwenenzi wa chama huyo
Mnamtetea mwarabu atawasaidia nini makonda pigs kazi tuko nyuma yako sister Wallace hoi
Kila mtu ana kichwa na macho tuache tujionee mwenyewe. Makonda ni mtu moja maili sana Sema wapo wenye husda na chuki
Chukua maua yako kwa maelezo haya kuntu, hakina ukiuzika ukweli unaota kila mahali kama uyoga,hata anayeupotosha ukweli,huwa unaota hata katika kilindi cha moyo wake,na kumpa ufahamu mzuri...mtu akikupa mkate usimshukuru asiyekuepo mbele ya aliyekupa atautwaa na kumpa anayemshukuru mtoaji! Mungu akikunyima kibali na nuru,hata aliyekuzaa hakuoni!
Huyu mkimbizi amesha feli hataweza kushindana na Makonda huyu ni jeshi la mtu moja 🤣🤣🤣 Mwisho wa Lema ndo umefika sasa Makonda Karibu sana Arusha tunakusubiri jembe letu ❤❤❤
😮😮😮
Muhuuuuuuuu!!
Kama ni kweli umekosea mwaka,toa tano kwenye huo mwaka.Kwani hakuna MTU kichaa anae weza kuchezea Pesa zake kwa mambo ya 2030.
Unaweza kufikili unmpunguzia heshima makonda,lakini ukweli ni kuwa mnapiga chura teke,matokeo yake ni kumuongezea kasi,
Hakuna mtu wa kisasikraibu na hizo matangazo ya kipuzi unaongea vitu havipo
Ninyi nyote mnaoukataa ukweli wa upande wa pili, hamna tofauti na wale waliokataa agizo la Nuhu kutoka kwa Mungu aliye hai na kumcheka wakati anaijenga, lakini baadae walijuta na kujitegemeza kwa milima,miti,na miungu yao midogo, mwisho wote wakaangamizwa na gharika huku wakimlilia Nuhu awafungulie safina iliyofungwa na Mungu mwenyewe na kuishusha gharika!
Wacha maneno ya kinjinga
Aende zake hata akifanyaje ndo kashefika hapo makonda bora wangetuachia hapa Dar maana vibaka wamerudi yeye ndo kiboko yao halembi mtu
Hapo lema umejikanganya mwenyewe
Acheni Kuuza Habari za uongo Demotion kutoka Katibu Uenezi Ukuu wa Mkoa Mbona sio Demotion? Uhuru wa Habari ndiyo hii?
Wasimuuwe tu mama wa watu kama hawataki wamwambie awapishe tu jamLmani family's yake bado inamhitaji
Wewe ndo unashangaa
Umepoteza mda wangu bure, hovyooo
Wajinga watupu hao!
Njie wango
Hakuna kitu