MANENO MAZITO ya WAZIRI MKUU - MAKAMU MPANGO kwa MAKONDA na VIONGOZI WALIOAPISHWA na RAIS SAMIA...
Vložit
- čas přidán 3. 04. 2024
- MANENO MAZITO ya WAZIRI MKUU - MAKAMU MPANGO kwa MAKONDA na VIONGOZI WALIOAPISHWA na RAIS SAMIA...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
Mungu mfinik makond kwa damu ya yesu kristo kipenz cha wanyong makonda ❤❤❤
Makonda mtetezi wa wanyonge mungu akutangulie utafika mbari
Mamaangu kipenzi changu makonda ni kioo cha jamii naamini anatengeneza ushuhuda kwa dini zetu imani zetu tumuombee tutunze hii ni tunu ya taifa mfano wa kuigwa mungu tenda muujiza juu ya mtumishi wako pour makonda Amina
Hapo wote towatch kwasab ya makonda
Nikweli hata mimi nimefungua kwasababu ya makonda tu
Nawatu saivi wakitaka clip yake ifunguliwe lazima ahusishe makonda au aweke picha ya makonda
Siunaona,wamwandika makonda lakini hatujasikia makonda akitajwa,makonda jabari ya mjini
Makonda wewe ndio jicho la wanyonge taifa linakutegemea sana🎉
Hivi unyonge ni ni ni na wanynge ni watu wa namna gani?
We ng'ombe Rudi darasani utaelewa
@@user-nx9cu8gt5s Mwambie, watu wamepoteza uwezo wa kufikiri na kujitambua, Wanaendekeza akili za uchawa!
Kabisa, mwamba huyu!
@@user-nx9cu8gt5s😊😊😊😊 umetisha
Kwa nini Makonda tu Mti wenye matunda ndo unaopigwa mawe
Kapigwa mawe na Nani?
Ukiona kilamtu anamsema MAKONDA Ujue wanamuomea wivu Kwakazizake Anachokisubutu yeye wao hawakiwezi🤔 MAKONDA Anacheza Kama mchezaji kiungo Anashuka nakupanda🤔😊😊
Dah umenena ukweli usiopingika
Aiseee
Makonda piga kazi
Makonda for me
Makonda Mungu akulinde ww ni mtetezi wa wanyonge
Makonda mtetez wawanyonge mungu akutunze
Makonda ni kipawa chake Mungu amemjalia
Uyo ndio kiongozi wetu makonda
Hakika! Shda kubwa sana ya watu wengi Duniani ni kutozingatia viapo vyao.
😊😊😊😊😊😊
Jicho la wengi
Exactly! Kiongozi hapaswi kutengeneza migogoro,Bali wajibu wake ni kutatua migogoro --Ni Hatari Kwa kiongozi kutengeneza KERO au kuwa KERO Kwa Raia
Makonda jicho la nchi na Arusha na lahayati JPM
Jicho la nchi? Nchi hipi hiyo we umemuona makonda tu fala kweli ww
@@romanilyimo usipende matusi sijakutukana ni mawazo yangu matusi ya nini
Uendelee kutukana hadi mwisho wa maisha yako umelaaniwa kuliko hayawani wote
Viapo hivyo vinandikwa mpaka kwa mungu,
Zuhura upo vizuri sana
Binadamu wote ni wanadhiri wa MUNGU Kwa Namna Moja au nyingine,hivo ni Lzma kuishi kwenye viapo vyetu.
Makonda Wewe una Nyota kubwa sana
"Mazingira ya nchi yameharibika nendeni mkarudishe nchi iliko kuwa "by dr mpango.huyu makamu angekuwa waziri bibi angemtumbua
Mkiwa mnaapa utasema kweri matendo ss ndio kazi mtu antibacterial pesaro mpaka anabebea kwenye begi
Mbona Waziri Mkuu mstaafu Frederick Ttuway Sumawe huwa haalikwi
Ha haha ha saytaa khaye
Huyu si alienda chadema akarudi kwa ccm kaharibu
Naomba munisaidie nahitaji kuonana na Mama Rais wa Jamuhuri ya Muungano
Jipe iman
Mama samia makonda ni mpambanaji acha kusikiliza hao wanao muita jini makonda ni mfanya kazi mahili
.
Ni kungatwa na kupulizwa
Majaji wa mchongo rushwa kuluka tanzania akuna sheria uongo mtupu akuna uwadil8fu kila siku watu wanazul8miwa tuuuu
Chuki zenu kwa Makonda mfyuuu
Yani makamu wa raisi kapooa😂😂😂😂
Padri kaka zake wote mapadri
Makonda kipawa chake Toka tumboni mwa. Mama yake maneno ya Mungu ya nnne makonda ni mbegu
Sijawahi ona makonda akiiheshimu katiba ya nchi akiwa mkuu wa mkoa wa dar akiwa mwenezi wa ccm
Alikiuka kitu kinaitwa chain of command
Kwendaaaaa wewe mwache makonda apige kazi