MANENO MAZITO ya WAZIRI MKUU - MAKAMU MPANGO kwa MAKONDA na VIONGOZI WALIOAPISHWA na RAIS SAMIA...

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 3. 04. 2024
  • MANENO MAZITO ya WAZIRI MKUU - MAKAMU MPANGO kwa MAKONDA na VIONGOZI WALIOAPISHWA na RAIS SAMIA...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Komentáře • 54

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Před 2 měsíci +1

    JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...

  • @eldabwaga4170
    @eldabwaga4170 Před měsícem

    Mungu mfinik makond kwa damu ya yesu kristo kipenz cha wanyong makonda ❤❤❤

  • @mussathomasdossa4687
    @mussathomasdossa4687 Před 2 měsíci +4

    Makonda mtetezi wa wanyonge mungu akutangulie utafika mbari

  • @meryshekoloa961
    @meryshekoloa961 Před 2 měsíci +1

    Mamaangu kipenzi changu makonda ni kioo cha jamii naamini anatengeneza ushuhuda kwa dini zetu imani zetu tumuombee tutunze hii ni tunu ya taifa mfano wa kuigwa mungu tenda muujiza juu ya mtumishi wako pour makonda Amina

  • @ZablonKitutu
    @ZablonKitutu Před 2 měsíci +12

    Hapo wote towatch kwasab ya makonda

    • @emmanuelmlowe-ew7gx
      @emmanuelmlowe-ew7gx Před 2 měsíci

      Nikweli hata mimi nimefungua kwasababu ya makonda tu

    • @emmanuelmlowe-ew7gx
      @emmanuelmlowe-ew7gx Před 2 měsíci +1

      Nawatu saivi wakitaka clip yake ifunguliwe lazima ahusishe makonda au aweke picha ya makonda

    • @emmanuelmlowe-ew7gx
      @emmanuelmlowe-ew7gx Před 2 měsíci

      Siunaona,wamwandika makonda lakini hatujasikia makonda akitajwa,makonda jabari ya mjini

  • @shakaurembo477
    @shakaurembo477 Před 2 měsíci +10

    Makonda wewe ndio jicho la wanyonge taifa linakutegemea sana🎉

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 Před 2 měsíci +1

      Hivi unyonge ni ni ni na wanynge ni watu wa namna gani?

    • @user-nx9cu8gt5s
      @user-nx9cu8gt5s Před 2 měsíci +2

      We ng'ombe Rudi darasani utaelewa

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 Před 2 měsíci

      @@user-nx9cu8gt5s Mwambie, watu wamepoteza uwezo wa kufikiri na kujitambua, Wanaendekeza akili za uchawa!

    • @seifkulwa3346
      @seifkulwa3346 Před 2 měsíci +1

      Kabisa, mwamba huyu!

    • @romanilyimo
      @romanilyimo Před 2 měsíci

      ​@@user-nx9cu8gt5s😊😊😊😊 umetisha

  • @lingwamalagila3003
    @lingwamalagila3003 Před 2 měsíci +7

    Kwa nini Makonda tu Mti wenye matunda ndo unaopigwa mawe

  • @YusufLubangula-yn6tq
    @YusufLubangula-yn6tq Před 2 měsíci +5

    Ukiona kilamtu anamsema MAKONDA Ujue wanamuomea wivu Kwakazizake Anachokisubutu yeye wao hawakiwezi🤔 MAKONDA Anacheza Kama mchezaji kiungo Anashuka nakupanda🤔😊😊

  • @JosephMatingash
    @JosephMatingash Před 2 měsíci +1

    Aiseee

  • @officialkiberabhai
    @officialkiberabhai Před 2 měsíci +4

    Makonda piga kazi

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv4473 Před 2 měsíci +1

    Makonda for me

  • @user-kr8uw1co7v
    @user-kr8uw1co7v Před 2 měsíci +1

    Makonda Mungu akulinde ww ni mtetezi wa wanyonge

  • @user-bq9me7st6z
    @user-bq9me7st6z Před 2 měsíci +1

    Makonda mtetez wawanyonge mungu akutunze

  • @EMMANUELKAZIMOTO-ev4mu
    @EMMANUELKAZIMOTO-ev4mu Před 2 měsíci +1

    Makonda ni kipawa chake Mungu amemjalia

  • @mathiasSeth-fg4tm
    @mathiasSeth-fg4tm Před 2 měsíci +1

    Uyo ndio kiongozi wetu makonda

  • @rev.livingstoneelihuruma-fk7es

    Hakika! Shda kubwa sana ya watu wengi Duniani ni kutozingatia viapo vyao.

  • @juliusmafuru2141
    @juliusmafuru2141 Před měsícem

    😊😊😊😊😊😊

  • @ZablonKitutu
    @ZablonKitutu Před 2 měsíci +1

    Jicho la wengi

  • @rev.livingstoneelihuruma-fk7es

    Exactly! Kiongozi hapaswi kutengeneza migogoro,Bali wajibu wake ni kutatua migogoro --Ni Hatari Kwa kiongozi kutengeneza KERO au kuwa KERO Kwa Raia

  • @simongwandu7392
    @simongwandu7392 Před 2 měsíci +4

    Makonda jicho la nchi na Arusha na lahayati JPM

    • @romanilyimo
      @romanilyimo Před 2 měsíci

      Jicho la nchi? Nchi hipi hiyo we umemuona makonda tu fala kweli ww

    • @simongwandu7392
      @simongwandu7392 Před 2 měsíci

      @@romanilyimo usipende matusi sijakutukana ni mawazo yangu matusi ya nini
      Uendelee kutukana hadi mwisho wa maisha yako umelaaniwa kuliko hayawani wote

  • @user-wi8og3sv4j
    @user-wi8og3sv4j Před 2 měsíci

    Viapo hivyo vinandikwa mpaka kwa mungu,

  • @J4UPro
    @J4UPro Před 2 měsíci +1

    Zuhura upo vizuri sana

  • @rev.livingstoneelihuruma-fk7es

    Binadamu wote ni wanadhiri wa MUNGU Kwa Namna Moja au nyingine,hivo ni Lzma kuishi kwenye viapo vyetu.

  • @issahajjiira5411
    @issahajjiira5411 Před 2 měsíci

    Makonda Wewe una Nyota kubwa sana

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv4473 Před 2 měsíci

    "Mazingira ya nchi yameharibika nendeni mkarudishe nchi iliko kuwa "by dr mpango.huyu makamu angekuwa waziri bibi angemtumbua

  • @user-ig4in5ut9k
    @user-ig4in5ut9k Před měsícem

    Mkiwa mnaapa utasema kweri matendo ss ndio kazi mtu antibacterial pesaro mpaka anabebea kwenye begi

  • @simongwandu7392
    @simongwandu7392 Před 2 měsíci

    Mbona Waziri Mkuu mstaafu Frederick Ttuway Sumawe huwa haalikwi

  • @lingwamalagila3003
    @lingwamalagila3003 Před 2 měsíci

    Naomba munisaidie nahitaji kuonana na Mama Rais wa Jamuhuri ya Muungano

  • @nurumohammed1310
    @nurumohammed1310 Před 2 měsíci

    Mama samia makonda ni mpambanaji acha kusikiliza hao wanao muita jini makonda ni mfanya kazi mahili

  • @damsonwilson5202
    @damsonwilson5202 Před 2 měsíci

    .

  • @sultansallah8772
    @sultansallah8772 Před 2 měsíci

    Ni kungatwa na kupulizwa

  • @user-vv4wo5fu9t
    @user-vv4wo5fu9t Před 2 měsíci

    Majaji wa mchongo rushwa kuluka tanzania akuna sheria uongo mtupu akuna uwadil8fu kila siku watu wanazul8miwa tuuuu

  • @archnidquasar7314
    @archnidquasar7314 Před 2 měsíci

    Chuki zenu kwa Makonda mfyuuu

  • @msatibongonyuzi14
    @msatibongonyuzi14 Před 2 měsíci

    Yani makamu wa raisi kapooa😂😂😂😂

  • @EMMANUELKAZIMOTO-ev4mu
    @EMMANUELKAZIMOTO-ev4mu Před 2 měsíci +1

    Makonda kipawa chake Toka tumboni mwa. Mama yake maneno ya Mungu ya nnne makonda ni mbegu

  • @karolikisaka8991
    @karolikisaka8991 Před 2 měsíci

    Sijawahi ona makonda akiiheshimu katiba ya nchi akiwa mkuu wa mkoa wa dar akiwa mwenezi wa ccm
    Alikiuka kitu kinaitwa chain of command