TAJIRI ARUSHA AMSHANGAA MAKONDA - BILA WOGA AMUONESHA MADUDU ya KODI SERIKALINI - "MIMI ni BINADAMU"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 04. 2024
  • TAJIRI ARUSHA AMSHANGAA MAKONDA - BILA WOGA AMUONESHA MADUDU ya KODI SERIKALINI - "MIMI ni BINADAMU"
    Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Makonda amekutana na wadau wa utalii na watendaji Wakuu wa Sekta hiyo Mkoa wa Arusha na kufanya nao kikao chenye lengo la kusikiliza kero na changamoto zinazoikabili sekta hiyo. Kikao hicho kimefanyika kwenye ukumbi wa Mkuu wa Mkoa wa Arusha Aprili 13, 2014.
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Komentáře • 254

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Před měsícem +12

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @AlhajiIssa-jb9hr
    @AlhajiIssa-jb9hr Před měsícem +27

    This business man is very bright person.

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS Před měsícem +15

    We baba SIKUJUI ILA UMETUHESHIMISHA WAFANYA BIASHARA WOTEEEEE NCHI NZIMAAAA🎉

  • @salatielmwakyambiki8383
    @salatielmwakyambiki8383 Před měsícem +7

    MAKONDA you will ALWAYS be higher. Mungu amekupa. Hakuna atakaenyang'anya.

  • @liverpoolfootballclub9985

    The guy can be termed as brilliance of the highest order🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @user-pm7pj6zi6q
    @user-pm7pj6zi6q Před měsícem +17

    Safi sana Mweshimiwa Paul makonda piga kazi Baba Mungu yupo na wewe

  • @StephenMaduhu-sn2dl
    @StephenMaduhu-sn2dl Před měsícem +15

    Broo makonda unaongoza vizuri sana one day iwishi uwe raisi wajamhuri , sipendi siasa lakini wanifanya nichome bando juu Yako, mungu akulinde.

  • @mwljosephmlitas
    @mwljosephmlitas Před 7 dny

    Makonda uko kiwango Sana,unarejesha matumaini yaliyokuwa yamepotea,big up.

  • @PETERSONMTEMBEI-wt6vx

    Nakuombea mhe, Mungu akupe Urais wa Tanzania

  • @mconedimple5364
    @mconedimple5364 Před měsícem +1

    Namkubali sana makonda ni mchapa kazi kwa vitendo sio maneno manenoo,Mungu atulibdie makonda wetu

  • @amanikafonogo9695
    @amanikafonogo9695 Před měsícem +5

    ukipata mentor km uyu mbaba aise future yako n guarantee hongera mzee so smart

    • @peterkolam8193
      @peterkolam8193 Před měsícem

      its process, kafika hapo katengenezwa ila viajana kwa sasa ujuaji mwingi sana. yuko smart sana nakubaliana na wewe.

  • @user-kl5yn6tq1u
    @user-kl5yn6tq1u Před měsícem +2

    dah hapo makonda umeongea nakubali kazi hii serikali inafukuza wawekezaji sanaa kwa njaa za wafanyakazi wa serikali

  • @lucasmwiga2656
    @lucasmwiga2656 Před měsícem +3

    Tatizo kila sector n ccm hamuwez kutoboaa maana hamuwez kuchukuliana hatua , at de end of Time mtakufa vibaya sana kwa laana

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx Před měsícem +18

    Makonda amefanya watu huru,wanatiririka bila woga.big up makonda.ndio maana Rais kukupeleka arusha

  • @noelahmartine6625
    @noelahmartine6625 Před měsícem +2

    Arusha Kuna watu wanafaa kua Raisi km huyu mzee❤❤❤

  • @user-zd9dh6ml4l
    @user-zd9dh6ml4l Před měsícem +14

    Yupo sawa makonda simamiya hao watu wanajitambuwa

  • @neemacocorico2022
    @neemacocorico2022 Před měsícem +3

    Huyu Business man tuko vizuri Sana.Bravo makonda

  • @nikodemmwahangila3334
    @nikodemmwahangila3334 Před měsícem +5

    Mungu akuinue akulinde makonda

  • @Vuvuzelaz1
    @Vuvuzelaz1 Před měsícem +3

    Safiii sana sema kaka usiogope majizi ni mengi sana huko serikalini

  • @shemelaruhinda6113
    @shemelaruhinda6113 Před měsícem +1

    Makonda mungu akuzidishie umri mlefu, nakupenda sana🌹

  • @jei_maimu6957
    @jei_maimu6957 Před měsícem +21

    😂😂😂Faza kiboko..yan anavielelezo vyote🔥🔥

  • @denisjoel1592
    @denisjoel1592 Před měsícem +10

    Nataman uwe rais wa hii nch kaka

  • @user-yr8er5fv6g
    @user-yr8er5fv6g Před měsícem +2

    Asante sana mama kizi mkazi watu wanafaidika sana kwenye uongozi huu😢😢😢

  • @kabletv
    @kabletv Před měsícem +3

    Makonda ni future Vice PM halafu baaaaaaaaaaaaade huko Mr. Pres

  • @leonardjohnson2058
    @leonardjohnson2058 Před měsícem +7

    Hii hati safi Arusha walipataje

  • @weslaus7750
    @weslaus7750 Před měsícem +20

    Kile kihoteli kidogo Kile 😂 Kweli Maisha hayana usawa

    • @njaujustin56
      @njaujustin56 Před měsícem +1

      Ahahaa Kibo et kihotel kidogo😂

    • @jeremiapeter683
      @jeremiapeter683 Před měsícem +6

      Hawezi kuji sifia nayo ni njia ya kuto pigwa kodi kubwa kubwa harafu pia wachaga huwa wasiri sana ila pesa huwa wanazo..kimya kimyaaa.😂😂

    • @abdihassan562
      @abdihassan562 Před měsícem

      Hehehehehe

    • @HassanHamza-qx9cm
      @HassanHamza-qx9cm Před měsícem

      ​Huyo Mzee mbona kama mzungu​@@jeremiapeter683

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri6524 Před měsícem +5

    Ila hii nchi yetu ina mifumo ya ulipaji kodi wenye masharti ya ajabu ni ya kichaa tu ndo anaweza kuyakubali

  • @richardhosea8827
    @richardhosea8827 Před měsícem +14

    Huyu nduguye tu safi kbsa alimshangaza hata Gavana

  • @menelus911mene5
    @menelus911mene5 Před měsícem +3

    Lifanyie kazi hilo mheshimiwa Makonda

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr Před 16 dny

    Huyu Baba safiii🤝

  • @officialshelomwangole256
    @officialshelomwangole256 Před měsícem

    Very friendly 🤗🤗

  • @erefeconc
    @erefeconc Před měsícem

    Nakubali baba makondaaa piga kaziiii🎉

  • @user_asak2023
    @user_asak2023 Před měsícem

    4ever grateful to u makonda🎉

  • @fhugghi4109
    @fhugghi4109 Před měsícem +8

    Ila serikali yetu jaman

  • @johnjohansen3073
    @johnjohansen3073 Před 29 dny

    Big up kaka chapa kaziiii.
    Uzidi kuwa juuuu kila siku

  • @user-px7ef5oc2x
    @user-px7ef5oc2x Před měsícem

    Mwenyezi MUNGU yu pamoja nawe namuona raisi wangu wa future una MUNGU hakika

  • @MohamedSalumMtumwene
    @MohamedSalumMtumwene Před měsícem

    Great

  • @mbiu023
    @mbiu023 Před měsícem

    Hatari sana

  • @user-se9no4rg3k
    @user-se9no4rg3k Před 26 dny

    Atari sana mama

  • @yasinimalya4001
    @yasinimalya4001 Před měsícem

    Aisee mkuu pambania wananchi na mungu akusimamie

  • @judithkirenga9977
    @judithkirenga9977 Před měsícem

    Mkuu wa mkoa wangu huyu jamani❤❤

  • @yusuphbendera7544
    @yusuphbendera7544 Před měsícem

    Big up makonda

  • @paschalsanya8339
    @paschalsanya8339 Před měsícem

    Mshua yuko very smart 🙏

  • @PastormwangazaKelvinlaurian

    Vizuri kabisa

  • @cosmasduxo7809
    @cosmasduxo7809 Před měsícem +2

    Ana uelewa mkubwa sana!!

  • @stevekayala6569
    @stevekayala6569 Před měsícem

    Hongera makonda

  • @user-xh3es4ws9w
    @user-xh3es4ws9w Před měsícem

    Chambulo yuko vizuri anaga kona kona bos safi sana

  • @NeemaGirbert
    @NeemaGirbert Před 24 dny

    mungu akulinde makonda uonemwenyewe majizi

  • @Optionxll_Playz1
    @Optionxll_Playz1 Před měsícem +1

    Wezi sana

  • @user-ex8jm1wg6q
    @user-ex8jm1wg6q Před měsícem +1

    Hofu ya mungu itawale ndani ya mioyo yenu

  • @mangimosha95
    @mangimosha95 Před měsícem

    Umepigwa men

  • @sirongamollel7032
    @sirongamollel7032 Před měsícem

    Kibooo

  • @BeniJohn-xd3cn
    @BeniJohn-xd3cn Před měsícem +1

    Kazi mnayo

  • @mnolamanyendi4956
    @mnolamanyendi4956 Před měsícem +6

    Nchi yetu nawatu wanaimba Sana

  • @charzlyimo381
    @charzlyimo381 Před měsícem

    Safi sana tajiri

  • @shijandobehe4953
    @shijandobehe4953 Před měsícem +1

    Duuuuh kazi ipo wapigaji wapo kila mahala bila juhudi binafsi Kwa uongozi wa namna hii kodi hazikusanywi Kwa uaminifu tutakaoumia ni wananchi Kwa TOZO na laini za simu ooooh nchi yangu Tanzania makonda pekeako utaweza? Hiyo ni arusha tu na mikoa mingine vipi?😢😢😢

  • @user-ex8jm1wg6q
    @user-ex8jm1wg6q Před měsícem

    Muogopeni mungu muwe na hofu yangu

  • @ayubzaka1598
    @ayubzaka1598 Před měsícem

    Hotel of owner is very bright person there very smart

  • @user-lc2em8uz6z
    @user-lc2em8uz6z Před měsícem +10

    Mchaga hadhulumiwi kabisa.

  • @RehemaMrope-fw1zy
    @RehemaMrope-fw1zy Před 27 dny

    😢😮

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758 Před měsícem +3

    Duuuu seeeee ih noma mpka cotrooo heeeee

  • @eddechriss2664
    @eddechriss2664 Před měsícem

    Huyu ni mtu mzuri sana, pole kwa changamoto zote

  • @gloryedson9311
    @gloryedson9311 Před měsícem

    ❤❤

  • @mc.dr.nnyaka
    @mc.dr.nnyaka Před měsícem

    Piga kazi kaka songa mbele Mungu anakusudi na wewe

  • @user-lt7yx2ms7h
    @user-lt7yx2ms7h Před měsícem +13

    Mwanaume yupo kazini 🙏🙏🙏

  • @ChiristinaKapinga
    @ChiristinaKapinga Před měsícem

    Mpaka hapo makonda nakupa bigap nyingi sana

  • @frankahhm
    @frankahhm Před měsícem +2

    Mkaburu mtu smart sana na haogopi 🙌🏽

    • @LugyPlan
      @LugyPlan Před měsícem

      Et mkaburu🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @upendotarimo2965
      @upendotarimo2965 Před 25 dny

      ​@@LugyPlanNdo jina lake uku chuga wanamwita kabiru😅😅

  • @hamisimtaki5680
    @hamisimtaki5680 Před měsícem

    Makonda 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @emmanuelzao
    @emmanuelzao Před měsícem

    😎

  • @saididodi3988
    @saididodi3988 Před měsícem +4

    Huyu brother yupo vizur sana

  • @BarakaBaraka-wm9ok
    @BarakaBaraka-wm9ok Před měsícem

  • @geofkabo7843
    @geofkabo7843 Před měsícem

    Tuwaombee viongozi woootee waadilifu mungu awalinde ila hawa wezi mungu atashughulika nao pia

  • @user-hz7wp4kk7e
    @user-hz7wp4kk7e Před měsícem

    Jamani! “We need more operator. We need more hotel….” Kiingereza kigumu sana.

  • @timothkatwela
    @timothkatwela Před měsícem +1

    Machawa kwenye ubora😢😢

  • @simiyujustuswafula337
    @simiyujustuswafula337 Před měsícem

    Online

  • @RamadhaniMgeta
    @RamadhaniMgeta Před měsícem

    Mm napenda uigizaji kuimba naweza na ninazo singo 15 naitaji sapota

  • @LucasMasalu-pn3ls
    @LucasMasalu-pn3ls Před měsícem

    Opera Sana mkuu

  • @TengejaJames
    @TengejaJames Před 21 dnem

    Shughulika mzee tumbua Kuna jipu hapo litafutie majani ya mnavu litumbuke haraka😮😮

  • @JaneJennifer-zk7bk
    @JaneJennifer-zk7bk Před 27 dny

    Wakiona unawaumbua sana watakuhamisha, lakini usipunguze speed, waumbue tu bila kujali vyeo vyao mh

  • @donatusngowi2267
    @donatusngowi2267 Před měsícem

    Mazingira ya rushwa

  • @ConsolataBageni-ir6mb
    @ConsolataBageni-ir6mb Před měsícem +1

    Anaefanya kazi kwa haki hazibiwi,maana kazi zake zinaonekana na watu wanazifurahia,SI muda mrefu wasiotupenda walakahoi sisi, wataibua Mambo juu ya Makonda.
    Tunawaomba mpeni Makonda nafasi atuhudumie sisi wanyonge.

  • @StanleyMwaipopo
    @StanleyMwaipopo Před 11 dny

    Ubunge unakufaa mheshimiwa

  • @RamadhaniMgeta
    @RamadhaniMgeta Před měsícem

    Nimefurahi kazinzito makonda piya ikumbushe serikari wilaya ya ukerewe mkowani mwanza wasanii tunateswa tunashindwa kuitangaza tz kupitia sanaa zetu

  • @BienvenueBisimwa-rn9rn
    @BienvenueBisimwa-rn9rn Před měsícem +1

    Makonda Mungu akulinde,mimi mu kongomani,lakini napenda kazi ukonafanya wewe JPM🇨🇩🇨🇩

  • @ivankadaudi8161
    @ivankadaudi8161 Před měsícem +3

    Wazirudishe pesa zako

  • @MbozyoEntertainment
    @MbozyoEntertainment Před měsícem

    Wajipange vizuri😅

  • @Qtep-eb3og
    @Qtep-eb3og Před měsícem

    Is not a problem makonda aah boss😂😂😂😂😂😂

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum7156 Před měsícem

    Duuu

  • @husseinbongo7447
    @husseinbongo7447 Před měsícem +1

    Hiii nchi ngumu sana, kutoka kwenye umasikini labda miaka 500 ijayo ndo

  • @JastiniKaijage
    @JastiniKaijage Před měsícem

    Ayo yakosehemu nyingi

  • @DianaWilly-mr2pf
    @DianaWilly-mr2pf Před měsícem

    Wallaah natamani makonda awe au bc

  • @grecemichael7567
    @grecemichael7567 Před měsícem

    Mh Makonda nakutalia jumapili njema

  • @liliansuzymlay9398
    @liliansuzymlay9398 Před měsícem

    Du 😢

  • @abdallahmsham-eb7jz
    @abdallahmsham-eb7jz Před měsícem

    hahahaha kigugumizi chamoto ndiyo izoo unaletewa uzitatuwe

  • @PatriceSobera
    @PatriceSobera Před měsícem

    Heko

  • @user-er4vg2tv3x
    @user-er4vg2tv3x Před měsícem

    Mwamba unaweza sana makonda pambana kaka unajua kufanya kazi kwa kujitolea na ubunifu.

    • @universitylink
      @universitylink Před měsícem

      Mwehishimuwa rahisi hajakosea kukutuma Arusha pambana mweshimiwa

  • @toremanase4162
    @toremanase4162 Před měsícem

    Huyu jamaa serikali wamchukue atawasaidia sanaa

  • @daudibukwimba4226
    @daudibukwimba4226 Před měsícem

    Dah 😂😂😂 nacheka lakini

  • @denismakweba3870
    @denismakweba3870 Před měsícem

    Wapigaji watampinga anachofanya 😢

  • @GabrielSkyMtanzania
    @GabrielSkyMtanzania Před měsícem

    😂😂😂kimeumana