TAJIRI ARUSHA AMSHANGAA MAKONDA - BILA WOGA AMUONESHA MADUDU ya KODI SERIKALINI - "MIMI ni BINADAMU"
Vložit
- čas přidán 13. 04. 2024
- TAJIRI ARUSHA AMSHANGAA MAKONDA - BILA WOGA AMUONESHA MADUDU ya KODI SERIKALINI - "MIMI ni BINADAMU"
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Makonda amekutana na wadau wa utalii na watendaji Wakuu wa Sekta hiyo Mkoa wa Arusha na kufanya nao kikao chenye lengo la kusikiliza kero na changamoto zinazoikabili sekta hiyo. Kikao hicho kimefanyika kwenye ukumbi wa Mkuu wa Mkoa wa Arusha Aprili 13, 2014.
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Acheni uongo basi wazee
With Makonda kila kitu kita kuwa sawa. I believe
This business man is very bright person.
Uko vizuri mkuu
We baba SIKUJUI ILA UMETUHESHIMISHA WAFANYA BIASHARA WOTEEEEE NCHI NZIMAAAA🎉
Xafiii
MAKONDA you will ALWAYS be higher. Mungu amekupa. Hakuna atakaenyang'anya.
The guy can be termed as brilliance of the highest order🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Safi sana Mweshimiwa Paul makonda piga kazi Baba Mungu yupo na wewe
Broo makonda unaongoza vizuri sana one day iwishi uwe raisi wajamhuri , sipendi siasa lakini wanifanya nichome bando juu Yako, mungu akulinde.
Makonda uko kiwango Sana,unarejesha matumaini yaliyokuwa yamepotea,big up.
Nakuombea mhe, Mungu akupe Urais wa Tanzania
Namkubali sana makonda ni mchapa kazi kwa vitendo sio maneno manenoo,Mungu atulibdie makonda wetu
ukipata mentor km uyu mbaba aise future yako n guarantee hongera mzee so smart
its process, kafika hapo katengenezwa ila viajana kwa sasa ujuaji mwingi sana. yuko smart sana nakubaliana na wewe.
dah hapo makonda umeongea nakubali kazi hii serikali inafukuza wawekezaji sanaa kwa njaa za wafanyakazi wa serikali
Tatizo kila sector n ccm hamuwez kutoboaa maana hamuwez kuchukuliana hatua , at de end of Time mtakufa vibaya sana kwa laana
Makonda amefanya watu huru,wanatiririka bila woga.big up makonda.ndio maana Rais kukupeleka arusha
Arusha Kuna watu wanafaa kua Raisi km huyu mzee❤❤❤
Yupo sawa makonda simamiya hao watu wanajitambuwa
Huyu Business man tuko vizuri Sana.Bravo makonda
Mungu akuinue akulinde makonda
Safiii sana sema kaka usiogope majizi ni mengi sana huko serikalini
Makonda mungu akuzidishie umri mlefu, nakupenda sana🌹
😂😂😂Faza kiboko..yan anavielelezo vyote🔥🔥
Ana
Kahwaafe
Nataman uwe rais wa hii nch kaka
Asante sana mama kizi mkazi watu wanafaidika sana kwenye uongozi huu😢😢😢
Makonda ni future Vice PM halafu baaaaaaaaaaaaade huko Mr. Pres
Hii hati safi Arusha walipataje
Kile kihoteli kidogo Kile 😂 Kweli Maisha hayana usawa
Ahahaa Kibo et kihotel kidogo😂
Hawezi kuji sifia nayo ni njia ya kuto pigwa kodi kubwa kubwa harafu pia wachaga huwa wasiri sana ila pesa huwa wanazo..kimya kimyaaa.😂😂
Hehehehehe
Huyo Mzee mbona kama mzungu@@jeremiapeter683
Ila hii nchi yetu ina mifumo ya ulipaji kodi wenye masharti ya ajabu ni ya kichaa tu ndo anaweza kuyakubali
Huyu nduguye tu safi kbsa alimshangaza hata Gavana
Lifanyie kazi hilo mheshimiwa Makonda
Huyu Baba safiii🤝
Very friendly 🤗🤗
Nakubali baba makondaaa piga kaziiii🎉
4ever grateful to u makonda🎉
Ila serikali yetu jaman
Big up kaka chapa kaziiii.
Uzidi kuwa juuuu kila siku
Mwenyezi MUNGU yu pamoja nawe namuona raisi wangu wa future una MUNGU hakika
Great
Hatari sana
Atari sana mama
Aisee mkuu pambania wananchi na mungu akusimamie
Mkuu wa mkoa wangu huyu jamani❤❤
Big up makonda
Mshua yuko very smart 🙏
Vizuri kabisa
Ana uelewa mkubwa sana!!
Hongera makonda
Chambulo yuko vizuri anaga kona kona bos safi sana
mungu akulinde makonda uonemwenyewe majizi
Wezi sana
Hofu ya mungu itawale ndani ya mioyo yenu
Umepigwa men
Kibooo
Kazi mnayo
Nchi yetu nawatu wanaimba Sana
Safi sana tajiri
Taji
Duuuuh kazi ipo wapigaji wapo kila mahala bila juhudi binafsi Kwa uongozi wa namna hii kodi hazikusanywi Kwa uaminifu tutakaoumia ni wananchi Kwa TOZO na laini za simu ooooh nchi yangu Tanzania makonda pekeako utaweza? Hiyo ni arusha tu na mikoa mingine vipi?😢😢😢
Muogopeni mungu muwe na hofu yangu
Hotel of owner is very bright person there very smart
Mchaga hadhulumiwi kabisa.
😢😮
Duuuu seeeee ih noma mpka cotrooo heeeee
Huyu ni mtu mzuri sana, pole kwa changamoto zote
❤❤
Piga kazi kaka songa mbele Mungu anakusudi na wewe
Mwanaume yupo kazini 🙏🙏🙏
Mpaka hapo makonda nakupa bigap nyingi sana
Mkaburu mtu smart sana na haogopi 🙌🏽
Et mkaburu🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@@LugyPlanNdo jina lake uku chuga wanamwita kabiru😅😅
Makonda 🎉🎉🎉🎉🎉
😎
Huyu brother yupo vizur sana
❤
Tuwaombee viongozi woootee waadilifu mungu awalinde ila hawa wezi mungu atashughulika nao pia
Jamani! “We need more operator. We need more hotel….” Kiingereza kigumu sana.
Machawa kwenye ubora😢😢
Online
Mm napenda uigizaji kuimba naweza na ninazo singo 15 naitaji sapota
Opera Sana mkuu
Shughulika mzee tumbua Kuna jipu hapo litafutie majani ya mnavu litumbuke haraka😮😮
Wakiona unawaumbua sana watakuhamisha, lakini usipunguze speed, waumbue tu bila kujali vyeo vyao mh
Mazingira ya rushwa
Anaefanya kazi kwa haki hazibiwi,maana kazi zake zinaonekana na watu wanazifurahia,SI muda mrefu wasiotupenda walakahoi sisi, wataibua Mambo juu ya Makonda.
Tunawaomba mpeni Makonda nafasi atuhudumie sisi wanyonge.
Ubunge unakufaa mheshimiwa
Nimefurahi kazinzito makonda piya ikumbushe serikari wilaya ya ukerewe mkowani mwanza wasanii tunateswa tunashindwa kuitangaza tz kupitia sanaa zetu
Makonda Mungu akulinde,mimi mu kongomani,lakini napenda kazi ukonafanya wewe JPM🇨🇩🇨🇩
Wazirudishe pesa zako
Wajipange vizuri😅
Is not a problem makonda aah boss😂😂😂😂😂😂
Duuu
Hiii nchi ngumu sana, kutoka kwenye umasikini labda miaka 500 ijayo ndo
Ayo yakosehemu nyingi
Wallaah natamani makonda awe au bc
Mh Makonda nakutalia jumapili njema
Du 😢
hahahaha kigugumizi chamoto ndiyo izoo unaletewa uzitatuwe
Heko
Mwamba unaweza sana makonda pambana kaka unajua kufanya kazi kwa kujitolea na ubunifu.
Mwehishimuwa rahisi hajakosea kukutuma Arusha pambana mweshimiwa
Huyu jamaa serikali wamchukue atawasaidia sanaa
Dah 😂😂😂 nacheka lakini
Wapigaji watampinga anachofanya 😢
😂😂😂kimeumana