MAKTE WA SEMBE - KISWAHILI
Vložit
- čas přidán 8. 04. 2023
- Mahitaji
Unga wa sembe vikombe 2 ( gram 250)
Sukari Kikombe 1 ( gram 200)
Pilipili Manga ya kutwanga kjk 1 na 1/2 cha kulia
Hiliki kjk 1 cha chai
Mdalasini kjk cha chai
Kungumanga ya unga ¼ kjk cha chai
Chumvi ¼ kjk cha chai
Maji vikombe 4 (946 ml)
Tui la nazi vikombe 2 ( 473 ml)
Changanya viungo vyote vizuri (isipokua tui la nazi ) changanya vizuri uhakikishe hamna maboje
Sukari ya kuunguza ½ kikombe ( gram 100)
THIS RECIPE IN ENGLISH • MKATE WA SEMBE ( Spice...
Aroma of Zanzibar social media
/ fathiya.ismail
/ aromaofzanzibar
Video intro Zanzibar Spice Market by Farhat Abbas czcams.com/users/results?searc...
Video Intro Mombasa spice market by Chef Farouk Amboka
faroukambok...
Music courtesy / contemplative-middle-e...
This is English and Kiswahili channel where you will find cuisine from around the world - Jak na to + styl
THIS RECIPE IN ENGLISH czcams.com/video/qXPCJ6uIOg4/video.html
Mashallah ❤❤❤❤ Asante naww
I remember I did this once wow ❤mashallah was yummmy
MaashaAllah mkate mzuri na unatukumbusha mbali tulipokua tukipikiwa na Bibi zanzibar lnshaAllah ntajaribu❤😊
❤جزاكم الله خيرا و احسن الجزء
Jazakallah khayran
Mashaallah
Shukran habibi very nice ma shaAllah
Mashaa Allah yummy yummy ❤
Mash allah umenikumbusha marehem bibi yangu
Nitajaribu vipimo vyako naupenda sana
Unajua kupika kinyumbani hamna vipimo maalum kwahivyo nimeamua kufanya hivi ni rahisi kukumbuka na kufundisha pia
@@aromaofzanzibar wallah allah anajua kwa kutufundisha bila malipo...
Malipo yako utayakuta kwa allah iwe ni sadaka jaria juu yako Allahuma Amin yarab ❤️❤️❤️
Mzuri
Mashaalaaa 😋😋
Mashallah
Jazakillah kheir ndio kwanza naona (na nausikia) mkate huu inshallah nitajaribu
Ww itakuwa mtt wa digital au watt wa 2000
😋😋😋😋😋
Masha Allah😋 kwa ambao hamjawahi kula huu mkate niwaambie tu huu mkate ni mtamu balaa. Jaribuni mtaniambia wenyewe 🤭
Naam waambie
@@aromaofzanzibar unga wa sembe ni unga wa sima?
Unaweza kupika kwa kutumia jiko la gesi!?
ndio , mie oven langu ni gedi sio umeme
Napika mkate huu tokea mwari ila ndiyo kwanza nipate kuoma utengenezaji mwengine
Tofauti ki vipi
Mm nilikua nachanganya unga tui na viongo vyote kama ulivyofanya alafu humimina kwenye sukari niliyounguza alafu sikorogi nachoma kwa kukisia kama keki ikiwa tayari hutoa so nimeamini mapishi ubunifu km kauliyako ulosema kwenye kipindi Cha Broo sky#SNS
@@ashminaabdulla8946 Basi namimi nitajaribu hivyo unavyopika wewe