Mkate wa Mayai - Kiswahili
Vložit
- čas přidán 10. 01. 2017
- Mahitaji:
Unga wa ngano mweupe - MUG 1
Mayai - MUG 1
Sukari 1/2 ya mug
Chumvi - kidogo
Hiliki ya kusaga - 1/4 au 1/2 kijiko kidogo ( utakavyopenda)
Vanila au arki utakayopenda - kijiko 1 kidogo - Jak na to + styl
IF YOU WISH TO WATCH THIS RECIPE IN ENGLISH KINDLY FOLLOW THIS LINK czcams.com/video/JejWiOQsfhE/video.html
Wow this is beuty spoken
Flix zone
A. Alaykoum Fathiya natamani nikuone live mimi huwa nakuja sana Muscat.
Watu kama hawa mungu awape kipaji hichi hichi kipika asaaa raha sana
Shukran, Amin 🙏🏽
Asante sn mamy nazidi kujifunza upishi wako nakupenda sn huna choyo yakutufundisha
Ma Shaa Allah mngu akuzidishie na mapishi yako sister unatueleza vizuri sana step by step thanks a lot lovely lady we love you 🏆🏆🏆🏆🏆💐💐💐💐👑👑👑👑💋💋💋
Shukran, love you too
Aroma of zanzibaa shukran saana kwa maoishi mashaallah
Maa Shaa ALLAH, Tabaaraka ALLAH! Shukran Jazeelah
Thnx my jana nilipika mkate Wa kusuka Wa kuku yani ulitoka wow kesho napika Wa mayai
Alhamdulilah, hongera
MashaAllah those are blessed hands!! May Allah bless you more Allahuma ameen yaa rabb
Shukran, amin ya Rabb
Iv kwakutumia gesii yakawaida inawezekana
Kama unajua kuoka keki kwa gesi unaweza kupika hii ila mimi sijui, pita kwa shuna's kitchen ameonyesha utaalamu huo
for the first time nimejaribu hii recipe na nimeweza all thanks to u mamy unaelekeza vizur sana Allah akulipe kher inshallah kwa somo hili
Hongera, you are welcome .
Perfect.
Nimesoma kitu. Sikuwa najua unafaa kuweka mayai the same quantity with unga. Asante.
That's the secret to perfection
mashaAllah nice Wallah shukran habibty kwa mapishi zaidi
Mashallah Dada unafundisha vizuri ubarikiwe na mola akupe afya njema
mashallha nakuenda kukufata mapish yako mungu akupe afiya na akuzidishiye utupe faida na sisi
Amin kwetu sote. Ahsante sana
Asante sana dada nami nitsjifunza kupika mkate wamayai
sawa nashukuru mkate umepikika vizuri mungu akupe maisha marefu ishallah
Shukran, amin kwetu sote
mashaallah Bi Dada,mkate mzuri sana
masha allah mungu haku - bariki inshallah
Mashallah Tabarak Allah Alhamdullilah ♥️ huu ndio mkate wa mayai asli na hivyo ndio vipimo walokua wanatumia bibi zetu now approximately will be about 139 years if she would be alive today ! She died when I was like 9 years ! She was 72 years then!
Keep up the good work we better stick to the original 👏 if we start to change will loose all our East African Swahili cuisines! Thanks for sharing. Cooking is passion my too!
Shukran, I appreciate your support
Mashallah mamy umeifufua ndoa yangu kwa mabishi Asante Sana mumy
mashallah mkate mzuri sana na mm nikipika huwa napima vipimo kama hivyo ulivyopima wewe lakini sijawahi kuweka chumvi nataka nijaribu nione ladha yake ikoje unavutia sana mashallah 😋😋😋asante kwa kutuongezea ujuzi.
Chumvi ni kidogo sana, inasaidia kufanya viunge vyengine (ladha) zijitokeze uzuri
Nafurahi sanaa kwa kutufunza mapishi mazuri na yenye ladha tnk
iko sawa tu, asante kwa mapishi yako
mashaa Allah Tabaraka rahman
umesema unawaeza kutumia kipimo hiki keki
Siagi Kiasi gani
Shukran, nimekusudia keki ya aina yoyote yaani kama fruit keki yani kuijaza au kupamba ukisha maliza kupika , siagi nzito kidogo kwa ufanyaji wa aina hii. Angalia kwenye chanel yangu zipo keki kama utapenda kujaribu
mashaa Allah shukran habibty
Jazaka Allah elfu kheri
Allah atakulipa jazaa yako Kwa mafunzo yako
Allah akubarikiii
Shukran , AMIN
Saada Rashid Amin. Maana wengine wakijua kupika huwa wana ubinafsi Sana kuwafundisha wasojuwa Kama Mimi , shukran tu Sana sis aroma Zanzibar+254
Mashallah Allah aibariki mikono yako
All the way from USA🇺🇸
AHSANTE SANA KWA MKATE WA TAMBI...ALLAH AKUJALIE AFYA UTUFUNDISHE ZAID....AMIN ...HIYO NI SADAKA JUU YAKO.SHUKRAN
SHUKRAN , AMIN KWETU SOTE
thanks my sst Kwa somo lako
Masha Allah napenda Sana mafunzo yako my mungu akupe maisha malefu
mashalla hongera maa kwa kutupa upishi
My friend you r smart. Asaantee.
Mashaallah tabaraq rahman Allah akujaalie hbbty huna choyo
Alhamdulilah
Allah ibarik 😍 fiik .
sukali nimaalu kwa mkate tu sio hii tunayo tumia kwaida
Ni sukari ya kawaida tu sijatumia maalum
shukran sana aroma alla h barik kwa kutupa ujuzi
Aww vipi Hali yako jamani leo nafuraha mno nimejitahidi hiyi cake imetokeya uzuri sana tu kama yako asante sana mungu akuraishisiye makaziyako ukuwekeye nawepesi ndani yafamiliyako masha allah
itunge noura raya Mashallah hata Na Mimi nimefurahi sana hongera kwa jitihada yako.
ahsante sana
Masha allah ni mzuri sana
Mashaallah nimependa
Masha Allah 😘
This is how I learned to make Mkate wa Mayai too. My Mum is your Fan.
Thank you for your support ❤
Asante San dada nimejifunz meng kutok kwako Allah baric u
Mashallah shukran jakallah kheir nimetumia your recipe na mkate umetoka👌👌👌
Alhamdulilah, hongera
Asanta kwa,somo, Nzuri sana
Shukran nimejaribu kwa kipimo chako cha sukari ulikuwa mzuri lakini wanataka kidogo nizidishe sukari
Mwagia juu kama nilivyofanya mie hapo kwasababu hii ni sponge vipimo vyake vinakua hivi nakhofia ukiongeza usitoke vizuri
shukran nimejaribu mkate umetoka👌👌
Wow..ahsante kwa kunijulisha, thanks for your support
oohk nishaelewa inshallah will try thanks😘
Ahsante sana HABIBTY kwa mkate wa sinia bi mo
Shurkan kwa support
Mashaallah allah akubarik
Mashaallah🙏🙏hongera mamy nimeelewa👏👏
asante did yetu
asante dada yetu
My Mom tried ur recipe and it came out so perfect mashallah.. she hasnt tried this long time ago. Jazakallah.
Alhamdulilah thats wonderful to know. Thank you for your feedback.
Aroma of Zanzibar im gona try this tomorrow inshllh.. i do baking .. like birthday,wedding cakes but never baked this mkate wa mayai before.. isnhllh will give my feedback tomorrow.. hopefully itoke uzuri.
Inshallah, if you are baker this should not give you problems
Safi sana unaelekeza vizuri,asante
weww yam yam yamey😄 😄 😄
Masha Allah
Maa sha allah
Ma Sha Allah nimejaribu ime tokeya perfect 👌 thank you 🌹
MaashaAllah
Mashaallah
Ma shaa Allah
manshaa Allah
Nimepata fuzo mama gazaja allah kheri
Ukichoma uu mkate unaweka moto juu na chini ama nimoto wachini tu
Moto wa juu na chini
Thanks
hongera sana kwamapishi mazuri
I love your english.
asante sana wanisaidia mdogo wako sana mungu akuweke.
Shukran, amin kwetu sote
Maa shaa allah
Mashallah just followed your recipe and I made my first sponge cake and turn out so yummy 😋
So glad! Mashallah
Nimefanya wa mayai 4 ,sahi alhmdllh umetokea vizuri kwa jiko la makaa, shukran mpenzi Allah akubarik
Hongera kwa jitihada....mambo kuandaa tu au vipi. Ahsante kwa dua njema , amin kwetu sote
@@aromaofzanzibar kuandaaa mpango mzimaa ,Amin yaraby
Asante sana Aroma mkate umetoka vizuri.
Mashaalah. Sasa kama sina machine yakukandia
Tumia mchapo
Shukuran sana
nmeifunza ahsante sana
I like this thanks for uploading
Most welcome
MashaaAllah
nisawa nimeupenda
Mashaallah mkt mzr
Its yummy and perfect recipe, jazak Allah khairun.
🙏🏽😘🌹
Masha Allah shukrn
Mkate mzuri sana
Shukran sana
Naomba umetuonesha keki
je kama sipendi kutia maziwa
kipimo kinabadilika Jee?
Shukran sana
Allah atakulepa
duniani na akhera
mapishi mzuri
Maziwa kwenye keki si kwa ladha ni kwa kufanya keki iwe nyepesi na kukata harufu ya mayai pia
Asante sana kwa huu mkate! Nitakupa majibu nikishaupika dadangu
Waiting.......
asante daa kwa ufundi ,hongera
I love you love you love you love you love you love you love you Aroma u r the best women mwaa💋 nisha pika vingi tu kutoka kwako na nikikosea naagalia pishi lako wow am so like it😋 now I know how to cook it😋
Thank you darling for your support
Mashaallahu unafanya mkate wamayai km mm nnavyofanya
Mapishi ndio hayo hayo
Samahan dada nimeona pale baada ya kuchanganya mayai ,sukan na chumvi kwenye mashine rangi ilikuwa kawaida tu lkn baada ya kufikia sehem anachanganya unga wa ngano nikaona yale mayai alochanganya mwanzo yamekuwa rangi nyeupe amechanganya na tui au
mashaAllah
halima sio laxim mashine zamani napika keki kw mkono ilikua hamna mashine n inavimba n kua nzuri
Sio lazima mashine , mchapo unafaa pia
Thnk u i tried it en it came out so well en yummy
napenda huu mkate na chai.
Moto uwe ngapi dia
Ahlam Said Nimesema hapo 350F/180C kiasi dakika 25mpka 30
Asante sana kwa shule ya mapishi
mashaallah ma
MashaAllah Allah akuzidishie, mm ni shabiki wako na bado tunakusubiri utuletee mapishi
Inshallah
Kiukweli natamani ningelikuwa karibu nawe najifunza mapishi mengi sana
Shukran Allah akubarik twakupenda
Ahsante sana. Amin
MashaAllah
I love u mpz yani , and what makes ur video more unique is how you say ok yani napenda hatareee thanks mno recipes zako ni msaada kwa wengi
Thank you for your wonderful support
Harrieth Barnabas
Riziki Hamadi 😂😂😂
Ahsante Mamy nimeshapika mapishi mengi kupitia kwako mungu akuzidishie inshallah
Amin, ahsate for your support
Awesome recipe I tried and was yummy
asante sana Dada nilikuwa nnausuburi huu upishi kwa ham .jazaka llahu llkheyr
Mimi kila nikijaribu mkate ulikua unarud kumbe kuupiga kwa nguvu wakati wa kutia unga ndio sababu, in sha Allah nitaupika tena.
Ngoja namileo nijalibu kuupika
mashaallah kwa kweli niuangalia leo huu mkate nikaupika khaa waarabu wameupenda sana big up maaa
Shukran, mashaalah
MashAlla MashAlla MashAlla