JINSI YA KUTENGENEZA MANDA NYEPESI ZA SAMBUSA ZA KI ZANZIBARI
Vložit
- čas přidán 26. 04. 2019
- Nyama ya sumbusa
Nyama ya kusaga ya n’gombe pound 2. ½ /(kilo 1 na grams 300)
Bizari ya uzile ya unga ( bizari nyembamba) vijiko vikubwa 2 na ½
Pilipili manga ya kusaga ya unga kijiko 1 na ½ kikubwa
Mdalasini ya unga kijiko 1 kikubwa ( sio lazima )
Vitunguu maji pound 1.1/4
Majani ya kotmiri/dhania/giligilani - fungu moja kubwa au 2 madogo
Pilipili za kuwasha utakavyopenda
Chumvi kiasi
Vitunguu thom kiasi chembe 12
Tangawizi ukubwa wa kidole cha gumba (2)
Kwa Manda Za Sambusa
Unga wa ngano kikombe 1
Maji robo kikombe
Mafuta ¼ kijiko cha chai
Chumvi ¼ kijiko
Unga wa mchele wa kusukumia kiasi kikombe 1
Aroma of Zanzibar social media
/ fathiya.ismail
/ aromaofzanzibar
Video intro Zanzibar Spice Market by Farhat Abbas czcams.com/users/results?searc...
Video Intro Mombasa spice market by Chef Farouk Amboka
faroukambok...
Music courtesy / contemplative-middle-e...
This is English and Kiswahili channel where you will find cuisine from around the world - Jak na to + styl
IF YOU WISH TO WATCH THIS RECIPE IN ENGLISH KINDLY FOLLOW THIS LINK czcams.com/video/irUhhdRDXBw/video.html
Ma sha Allah
Asante sana dada Mungu akujalie ya heri na fanaka
Love you habibty ajuae subhana Allah akujaalie kher zoote akuepushe na shari zoote fi ddunia wal akhera Aamiin thumma
😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍ماااشاءالله تبارك الرحمن شكراً شكرآ شكرا حبيبتي على هذي الوصفه كنت ادورها وحصلتها عندك مشكوره 😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😘😘😘😘😘😘😘😘
Wow mashaa Allah our aunty Allah akujuze zaidi mapishi uwe na kipaji kikubwa zaidi ya hichi.. Ufurahi moyo wako uendelee hvi hvi kutufunza zaidi.. Ameen Allah bariq!
Asante sana nimepika leo mashallah imetoka vizuri kabisa shukran mungu akujaze kheri
Kwa hakika umefupisha vizuri na ni wepesi kufuata maelekezo. Maa shaa Allah! Utapokuja kwangu wifi nitakupikia sambuza km hizo uonje!
Mashaa ALLAH. tunasubiri na izo za kuku In shaa ALLAH. cant wait to c them😋
MaashaAllah umenifanya nione very easy kufanya..nitajaribu..nimependa sana..Ahsante
Mashaallah jazakallah khayran😋
Mashaallah aunty...unaelekeza vizuri sn kwny mapishi yako yote...Allah akujaalie kheri
Shukran habibty kwa kutufunza mapishi mazuri na matamu Allah akupe afya njema
Wow thank you.. Exactly what I was waiting for.
Shukran Sana my sister mungu akubariki InshAllah heri
Mashaallah tamu Allah akujaalie umri mrefu dada anim
MashaAllah nice recipe
MashaaAllah Allah akuzidishie afia na nguvu ya kutufunza
Mashaallah shkran bi arom 🤝🏻
Mubarik habibty kwa tunzo Allah akujaalie kila la kheri na cc tufaidike😘
Shukran sana kwa kutufunza mm nilikuwa nasumbuka sana kutengeneza manda.... n hongera aunt kwa zawadi..😘
Maa shaa Allah ni nzuri
Mashallah. Ahsante yaani nyumba yangu imejaa furaha kwa kupitia mafunzo yako sister. Mungu akujaze kheri.
Ma asha llah....
Mashallah kuna watu mmejaaliwa kipaji cha kupika
maashaallah habibty
Asante habibty Ramadhan yaja tuletee vyakula vizuri vizuri ili tuwapikie family upate na wew thawabu zako
Mashaallh nimependa sanaaa
Hongera kwa tunzo mama .......n Asante n mapishi yako 😘
Ur good mother indeed u rally good god blss u inshallah
Ramadan karim na asente sana kutu julisha hi mapishi. Tuna taja ma recipe za kwetu. Thumbs up.
We love you Aroma of Zanzibar.Congrats on the 100k award... you deserve it!!!
Noma sana
Mashaalah shukran dada
Masha Allah
Daaa nakuombea dua tu my sister Allah akulipe kwa elimu hii unayotupa🙏
Mashaallah nakuaminia kwa mapishi
Nakupenda an kwa maelezo ktk mapishi tunakukubali
Ma Shaa Allah aroma of Zanziba mapishi yako yote 👌😍
Naomba upishi wa msanif (mikate ya nyama)
Nice for Ramadhan
Thank you dear I have shared msanif may be 2 yrs ago just look for it on my channel you will find it
Shukran habibty
Waoooo nzur San
Good
Maa shaa allah unique method hongera
Thanks
😍 I'm trying this today
Woow my dear is so nice and im heye new frined i like it all u video🌷🌷🌷🌷😍😍😍
MashaaAllah wallahi video zako makini, rahisi na ni kwa haraka mtu kufahamuu, rabby akuhifadhiii na shukran sana kwa kutujuzaa Allahibariqfii♥♡♥.
Shukran , amin kwetu sote
@@aromaofzanzibar Allahummaa amiin
Maashaallah thank
Maashallwah sister mungu akupe umri na afya
Asante sanaa anty..uko vizuri!😙😍❤👏👍
Uko vizuri sana
Unafundisha vzr Dada asante
Ma sha Allah
Ahsante sana
A lot ingredients but is nice I like it!!!
Shukran baraaka Allah feekhi wa jazaaka Allahu khair for the wonderful recipe
Amin
Asante Sana Kwa hiyo recipe yako. Nilifunzwa nikiwa mdogo Sana na hivi majuzi nimeliza watu kama wanajua namna ya hizo Manda kuundwa lakini sikupata. Marehemu khala wangu alinifunza sasa nishajua kama unga WA Mchele unatumika wakati wa Kusukuma. Jazakallah. Allah SWT akubariki.
Amin 🙏🏽
Shukran dada
MaashaaAllah
Great tip👍🏼 uchomaji wa sambusa
Most welcome
Shukran
Shukran hua naogopa kutengeza manda nanunua lkn this time nitatengeza mwenyewe shukran sana
Mashallah 👍
Asante sana kwa video za Kiswahili na kwa kutuwekea maandishi ya vipimo mwishoni. Napenda sana kazi yako na nimekuwa nikikufatilia toka miaka kama mitatu iliyopita
Shukran, nimefurahi kusikia hayo
Asante sana nitawapiikia watoto
maa shaa Allah
MashaAllah,umetuonyesha kwa urahisi sana Allah akujaalie kila LA kheir na afya njema utonyeshe mapishi zaidi
Nimezipenda Asante dada
Napenda mapishi yako, recipe zako ni nyepesi, na unaeleweka.
Wow So Nice
Thanking you so very much. Lovely recipes here.Would love to make them.
Thanks for sharing
Love from Dar es salaam Tanzania ❤
Hapo sawa chef
Thank you great explanation I will give this a try😊🙏🏽
You’re welcome 😊
masha allah
Wow very nice 👍👌
Kiukweli dada unajua mapishi na kufundisha vizuri, usafi pia ktk uandaaji wako nimekupenda mnooo na kasauti kako jomoni 😘sijawahi angalia video zako nusu sauti na maandalizi ni kishawishi tosha. Barikiwa mommy 🙏
Ahsante sana, nashkuru kwa kunipa moyo
Many thanks sister for this long waited recipes. God bless our. Aameen
iko poa sana
Nakupenda aroma of zanzbar....huna story nyiiingi wakat wa kaz u go strait forward so u dont weste our time....mashaallah thnx
Ahsante kipenzi
Thanks for sharing
رمضان كريم
Greetings from Yemen
Most welcome, thank you for your support
asante dada napenda sna mapishi yko
Mashallah ukovizuri ant nimeipenda
Allah akubarikie Kila la heri
Shukrani
MashaAllah nakupenda wee mdada watuelimisha wallah
Ahsante
I did it thanks allot
Ahsante sist
I tried this recipe and my Samosa came out cruchy and yummy.. Thanks may Allah bless you
mashaallah, ahsante kwamafunzo Allah akupe umri mref
Yaaani we acha tuu Allah akulipe mummy kwa maujuz unayotupaa
Greetings from 'Canada
Shukran allah akupe affya. Nzuri sana
Hongera
Asante kwa mapishi mazuri,
Karibu
Thank dear
Mashallah Dada mungu hakuweke
amin
Nazuri Sana
Ma Shaa Allah you made it very simple.
mashallah
Mashallah
MashaAllah uwo mlio nlitamani niwe nazitafuna
Nikiri tu kuwa hili la kutumia unga wa mchele ni jipya kwangu ...asante sana
Mashaallah