JINSI YA KUPIKA MAINI YA N'GOMBE MALAINI - KISWAHILI
Vložit
- čas přidán 8. 09. 2024
- Mahitaji :
Maini ya n'gombe 1.5 Lb/ 680gms
Kwa kuroweka
Unga wa giligilani - kjk 1 cha chai
Unga wa bizari nzima kjk 1 cha chai
Pilipili ya unga nyekundu - kjk 1 cha chai
Pilipili manga ya unga - kjk 1 cha chai
Chumvi kiasi
Kitunguu thom na tangawizi mbichi - kjk 1 kikubwa
Maji ya ndimu au limao
Mafuta ya hali zetu au yoyote ya kupikia - kjk 1 na nusu
Mahitaji ya mchu
Mafuta ya kupikia vjk 2 vikubwa
Vitunguu maji vilokatwa kiasi kikombe 1
Tomato zilokatwa kiasi kikombe 1
Bizari ya nzima (uzile) ya unga - 1/2 kjk
Bizari ya unga wa giligilani - 1/2 kjk
Kitunguu thom na tangawizi mbici - vjk 2 vidogo
Pili pili boga za rangi - kama utapenda
Majini ya dhania/kotmiri kwa mapambo kama utapenda
Video intro Zanzibar Spice Market by Farhat Abbas www.youtube.co...
Video Intro Mombasa spice market by Chef Farouk Amboka
www.instagram....
Music courtesy / contemplative-middle-e...
This is English and Kiswahili channel where you will find cuisine from around the world
IF YOU WISH TO WATCH THIS RECIPE IN ENGLISH PLS FOLLOW THIS LINK czcams.com/video/fyxN4P9f7d4/video.html
JINSI YA KUPIKA MKATE WA KUSUKUMA ( CHAPATI) czcams.com/video/ke92xZiScjQ/video.html
Aroma of Zanzibar Allah akuzidishie
البحث
May Allah bless you Sis.
Aroma of Zanzibar
swahili gospel
MashaAllah Tabarakallah... leo ndo nimejua Mapishi ya Maini yana wenyewe. Miaka yangu yote leo ndo najua Maini yarowekwa na Maziwa Siki ama Ndimu kutoa Uchafu na wa ndani.. shukran sana Allah Akujaze
Shukran, Amin kwetu sote
Woow lovely,One day will try this JzkAllah khair
Hi,i really love watching your cooking your explanations are very clear.
diamond songs
Masha Allah recipe nzuri😋❤
MashaaAllah huu ni ujuzi mpya nimejifunzaa Allahibariqfii habibbty
Upishi wako ni mzuri sana kwanza unavutia machoni pili bila ya kula unahisi ni chakula kizuri sana ahsante aroma of zanzibar
Ahsante sana
Bwana, hongera kwa mapishi matamu
Huwa sili maini but I'll definitely try this recipe. Love from 254
Somo yangu mzito mzito..... thanks for coming through with this. Mine were always tough....will try this soon in sha Allah
Inshallah utapenda
Mashaallah nimependa
Waoooooooo Asanteeeeee sanaaaaaaaaaa dadake Tunashukuru sana nimefurahia pish la leo
Ma shaa Allah.....lazima nijaribu hii aina ya upishi. Nnavyopenda maini si kwa udenda kunitoka!😚😚😙
Wooow very nice I love it!sikujua unaeza osha maini na maziwa evn dimu thanks sana will try this😛😛😝
Shukran
asante dada nimepika leo yamekua mazur pianakupenda sana kwakua najua kamasijaelewa nikikuuliza waweza nijibu shukran sana ndugu
Asante Masha Allah
Nashukuru sana dada kwa recipe hii nzuri sana ya maini, ambayo sikuwahi kuipika, yaani jinsi ulivyoelekeza kwa kweli dada yangu wewe ni mzuri kwenye mapishi, yaani kuloweka maini kwa maziwa nilikuwa sijawahi lakini nilivyopika yalikuwa mazuri yaani yalinukia vizuri kwa viungo maridhawa pia hayakuwa na metalic taste kama hapo zamani nilipokuwa nikiyapika yaani yalikuwa lainiii. Kwa kweli tulifurahia na familia kwa wali wa nazi. Mwenyezi Mungu akubariki sana kwa kutuelimisha na akutunze kwa afya njema ili uzidi kutuelimisha
Hongera kwa jitihada zako pia, nimefurahi kuwa umejaribu na umependa na kuona tofauti yake.
uuuuwiii yaani Mimi napenda jama nimependa sana mapishi yako
Nzr
I have become such a fun.my kitchen now is heaven thanks to your recipes.thank mammy
Most welcome thank you for your support
Mashallah dear napenda sana kuangali mapishi yako na leo nitapika naamini itakuwa tamu sana allah akuzidishie
Shukran dear Amin
Yummyy tabarakkallah
Bismilah 😋
Asante sana kwa video yako nzuri mrembo
mungu akubarikii dada ukowapi angalauu unifundishee upishi wako naupendaa sana
Nie nipo America
woow sikua najua kma waroeka kwa maziwa na hzi method zote shukran
Pili pili zetu limau yetu hebu tuone maini yetu kama iko tayari nusu haikurudi kwa sufuria yani dada wewe mmmh sawa bana "asante kwa mafunzo mazuri ya upishi"
Maini huenda vizuri sana na ugali😀👍🏾!
Sanaaa na ugali na juice ya baridiii unasahau shida za dunia kidogo
Nop, chapati
Inapendeza sana
@@catykyz7668 ni hatari utamu wake hauelezeki
O
Asanti kwa mapishi hayo yamenisaidia sana
Mashallah nzuri kweli habibti ntajaribu kupika hivyo shukran
ukovizuri dd
Masha Allah napenda sana kufatilia mapishi yako hongera sana mamy
waoh nice sana dadaangu
We mdada nakupenda unajua kuelekeza
Ahsante sana
Nikuerewa nzuri sana
Ahsante sana
Mashallah mashallah nime enjoy kwa kweli
Ma Shaa Allah,i tried the recipe and it came out perfectly...thank u soo much
Most welsome dear, glad you enjoyed the recipe
Mashallah
Mremboooo wa mimi, nimerudi, tena kwa main mimi, aaaah umenikunaaa, asante sana Dada. Ubarikiwe.
Karibu sana, ulipotea
Yummy yummy Lakini hio kitunguu hujakata kidogo vile waeleza 😀😀😀😀😀
Mashallah I wish ungekua jirani yangu ningekua na enjoy mapishi Bora yenye afya mate yanitoka mwaaah Asante kwakushare
Karibu dada it's a very simple meal to prepare
I love that👌
Me too!
Asante sana somo zuri naomba kujua siki ni nn na kingereza
While vinegar
Video yangu imenipita Leo nimechelewa kuangalia,mashallah Asante Sana nice
Hujachelewa bado , thanks for your support
Your hubby is soo Lucky..
Good job mama 👏
In Shaa Allah nitapika kama wewe ni mapishi mazuri nimependa na ninakubali hayana harufu Allah akupe khair kwani hii ni sadakatul jaria,mtu akifanya biashara ya chakula na akifaidika na wewe unapata thawabu ameen
Nzuri sn kwa mapshi mamy zuu v
Yaaani Dada hongera sana Leo nimekula chakula kitamu sana barikiwa sana endelea kutupa maujuzi
Ahsante sana, hongera pia kwa jitihada zako
Asante
Maa Shaa Allah
Usually I trade cooking liver but I followed this recipe it was mwaa.
I'm glad you like it
Asallaam alykum. Shukran sana kwa pishi. Nimepika leo alhamdullillaah. Maini yalikuwa Matamu.
Hongera
Shukran Allah akulinde na adui wasiokupenda.
Amin kwetu sote, shukran
Shukran auntie kwa recipe hii Allah akujaze Kheri
Mashallah ntapika kwa style hii nimeipenda
Hongereni kwa mapishi aroma mpo juu
Nakukubali
Maa shaa Allah habibty najifunza nikiwa lebanon Allah akujaalie umri mrefu Aamiiyn
Shukran, ahsante kwa support
Masha Allah
Nimependa sana tena nimepika nimatam jmn dah ahsante
Karibu sana
Nilijaribu it was delicious thanks alot madam
Ahsante sana 😍
yummy nitapikia mume wangu inshallah
Ma shaa Allah nimeipenda sana
Very nice
Maaaasshaaallaaah.. Chakula kitamu na sauti tamu..ushindwe tu kunenepa
Kunenepa ndio shida kweli
Machallh 👍
Mashallah mie napenda maini lakini nikipika yanakua dry ishallah nitajaribu hivi
Safi sana maini mi ningekula na mkate wa boflo tamu sana
Nimekubali my dia
Nice madam
Hongera dada kwa kutuelimisha.pia hebu tufundishe jinsi ya kupika dagaa tonge la kupaka. Wengi linatupiga chenga tunalifuruga tu.
Inshallah nitajitahidi
Ahsante sana
Jamani Nimependa sana naitaji shule
Safi
I will try this soon. Looks yummy
Hope you enjoy
Asante Dada angu mashaallah
Nice
MashaAllah mummy Ahsnt my nimepata na ufundi wa maziwa mummy nashkuru bwana Hata akila nyumba kubwa kama hajala kwangu hashibi
Mashallah!
Sauti ya sister fey hiyo
Love you aroma
Hii ni nzuri sana hongera dada
Ahsante sana
I missed this one
It tried it it was amaizinggg
Thanks for your feedback, glad to hear you enjoyed it
Asante saaaaana....😙😙😙😙😙😙
Hujambo dadangu?Nashkuru sana kwa mafunzo ya upishi wa maini 👏👏👏👍🙌🙌🙌
Alhamdulilah , karibu dear
Unga wa giligilani unaitwaje kwa kingeleza
@@naimamussa9778 cumin powder, samahani ndio kwanza naona hii comment
@@aromaofzanzibar shukran dada
Tamu kweli nimeipenda
shukran habinty
Nime jaribu very delicious 👌 thank you 😘
MaashaaAllah kwa chapati
MashaAllah ukhty looks yummy... Will try this
Mashallah ❤❤
Thank you so much Allah akubarik
Most welcome, you have my mother's full name Munira Mohammed ❤❤
@@aromaofzanzibar hahah wow
Safi my, Yaan imenikuna hapa nilipo Full Maudenda kumwagika
Pole kwa maurenda itabidi uingie yikoni haraka😂
Shukran habibty kwa mapishi mazuri maini nilikua siyapendi lakini kwa upishi huu Inshaallah yanaonekana na matam nitajaribu Inshaallah
Inshallah, sio watu wengi wanapenda maini
Mashallah nice
ahsante saana
Waaaaow looking mwaaaah
Thank you so much God blee u
Shukran
Assalam alaikum upo sehem gani dd napenda mapish yako mashaAllah upo nchi gan
Aleikum Musalaam, mie nipo Marekani
Nichukue na mm nije marekani jamaniiii
Woow na nmeandaa maini this evening nngejua nngeangalia b4 I cook thou sio mwsho I will try next tym
Thanks sis😍
Asante sanaaa
Leo nimejua new method ya kusafisha maini ,nilikuwa. Sikujua kama waeza kutumia maziwa 😂 tnx am your fan
Sam Sal me pia sikujua
From your kitchen to my kitchen thank you so much
Most welcome
Asnte kwa kutufunza