Video není dostupné.
Omlouváme se.
BIRIANI YA NYAMA YA MBUZI - KISWAHILI
Vložit
- čas přidán 21. 04. 2017
- Mahitaji ya kuoreka nyama:
Nyama pound 2 /907 gms
Vitunguu pound 2 /908 gms red
Kifungu cha kotmiri 1
1/4 kifungu cha majani ya nanaa
Vijiko 2 vikubwa thom ilosagwa
Kijiko 1 kikubwa tangawizi mbichi
ilosagwa
Vijiko 3 vikubwa nyanya nzito ya
kibati
Kijiko 1 kikubwa pilipili ya manga ya
unga
Kijiko 1 na 1/2 kkikubwa bizari ya
Biriani
Kijiko1 kikubwa chumvi
Kikombe 1 yogurt/mtindi
Zaafarani -
Vijo 2 vikubwa mafuta ( ulokaangia
vitunguu
Mahitaji ya wali
Pound 2 / 907 gms mchele wa
Basmati
Viungo vya bizari nzimaikwa kiasi
Kijiti cha mdalasino 1, Karafuu 3 , hiliki
za kijani 5 green, majani ya bayleaf 2
Hiliki nyeusi kubwa 1
Chumvi kijiko 1
Maji ya mawardi vijiko 2
Zaafarani
Pound 1 /450 gms mbatata kama
utapenda
Majani ya kotmiri
Bizari za biriani • Bizari za biriani - ki...
Samli • Clarified Butter/ Ghee...
Kachumbari • Kachumbari - Kiswahili
Naipenda Aroma of Zanzibar because its all about the food. Yani naona pishi step by step sio MTU anafundisha kupika anajionesha yeye video nzima... Keep it up
Ahsante sana, mie naona star wa hii chanel ni mapishi sio mimi
Masha allah shukran jazzakallahu lkheri
maashaa allah. Biriani hii nimeipenda. Ntajaribu jumapili nione. sooo excited!
Hongera sana yaani Biriani ndio chakula ninachokipenda sana na mara ya mwisho kula Biriani nzuri kama hiyo uliyopika ilipikwa na wahindi nilijilamba saana,Recipe yako ni nzuru na simple nitapika siku moja,Nitakwambia imekuwaje,bado sijapika Dumpling ila nimeshanunua mahitaji yote....mda tu nizipike...keep it up tufundishe mama mwanamke jiko bwana.
Ahsante, hii ni mchanganyiko wa kihindi na Zanzibar so the best of the best..au vipi, take your time usisahau kurudi na matokeo vipi x
MashaAllah shukran mpenzi
thnk u anty Allah akubariki
JazakaAllah swry....wallahi i have been waiting for this😘😘😘
masahaallah nimepnd
asante..just shukran
thanks for the information it is really educative
Ahsante sana kwa mapishi mazuri.
Perfect timing! lol! Thanks madame!
Shukran swrylove Aroma of Zanzibar
Asantee kipenz allah bariq ❤
mashallah shukran dadat
wow inaonekana nzuri haswa,
Mashaallah chakula kizur sn naipend znz kwa mapishi
MAASHAaallah
Shukran Aunty......Kwa kusambaza hiyo elimu.
Asante,video nzuri.. na naomba video ya biriani ya ng'ombe
Masha Allah
mambo ni motoo...
mm mm mm . delicious thanks for sharing
Yumyum
Thank you ma it's help alot😍😘
Tafadhali usifanye video ukiwana homa. Inaharibu ladha. Video zako nazipenda.
Sikua na homa hizi video huwa na record may be 2 to 3 weeks ahead of time before I do a voice over, I must have had a cold when I did a voiceover
So nice greetings from kenya am going to try this. Asante sana
I love the way they make great Biriani, Mungu akubariki
Ahsante sana, amin kwetu sote
mashaAllah... ur truly an amazing.
Thank you dear, just sharing what I know and love
Shukrani my dear 😍
thanks habbty
asante my mungu akuzidishie iman yako uzidi kututowa kiza cha macho
Inshallah
Thanx kwa mapishi Mungu Akubariki sana
wooooah delicious
nime furahia sana hii recipes asante sana kwa kunipatia ujuzi, mwenyezi mungu akubariki sana aunt kwa kutoa ujuzi wa watu wengi.
Nashkru sana kwa kujiunga na mie, ahsante kwa dua njema. Amin kwetu sote
Shukran
Asallaam alykum. Nimepika upishi huu. Chakula kilikuwa kizuri. Shukran
Mashaallah!
Ahsante
Jazaaki Llahu Khayran!
Metal Combat mashallah
mashaallah
woow
Mashaallah
shukrani mamy
nakupenda we we Dada ubarikiwe sanaa
Ahsnate sana, amin kwetu sote
nimeweza asante sana my
Mashallah, hongrea
Mashaallah,nimependa sana hii.Barakillahu fiyk. Nitaifanyia kazi inshaallah
Shukran, Inshallah
thank you so much for sharing this recipe! Allah akubariki sana! Shukrani tena!
Shukran wewe kwa kupitia mitaa hii, ahsante kwa dua njema
Aroma of Zanzibar English please
shukran sana habbty nimepika mchana very yummy ubarikiwe mamy
Mashallah , mambo fasta fasta hapo. Shukran kwa kunijulisha nimefurahi umeipenda
Asante ddaty birhan ya mbuzi nilikuwa naingoja kwa hamu shukran sana Allah akupe afya amiin😘
Khadija Mbuta You are welcome dear
Aroma of Zanzibar 6
shukran
Shukran habibty ramadhani Mubarak tuletee mapishi mapya
Inshallah najitahidi mie mpia nna majukumu
Yummy yummy
Asante,kwa kweli nitaijaribu mimi hii recipe. Naipenda biriani.
Hongera na nimefurahi kujua umeipenda sana x ubarikiwe
nc
Naomba utufundishe vileja vya tende habibty inshaaAllah
Allah akulipe kher kutufamisha akuzidishie ujuz zaid
Amin kwetu sote
Recipe nzuri sana, Asante.
Thank you for stopping by Doris
Mashaallah unajua kupika
Nice
hmmm tasty thx
nyc
Fathiya, you've just created my twin's birthday dinner! My son wants this! 😊
dewdropinn4 Aww that's wonderful x be blessed and Wish him a happy birthday
Aroma of zanzibar
mashaAllah shukran simple nimeona Leo this recipe and I truly like them.
Shukran
Ur the best
Thank you!
@@aromaofzanzibar welcome dia u deserve it
sante sana kwa recipe yako ..tajaribu ..inshaallah..plz tuweke recipe ya chatne kama ya nazi na ukwaju ...inshallaah.
Shukran, chatni ya ukwaju sijafanya lakini ya nazi ipo hapa kwenye hii link czcams.com/video/iNVW_rsDeak/video.html
Thanks Darling mob love from Kenia
Quite a technical dish to cook.
Absolutely but its worth it
Napenda sifuria zako unanunua wap plz, masha allah, napenda Sana unavyo pika
Shukran, sijui wewe unaishi wapi lakini mimi nimeletea kutoka Oman yanauzwa kwenye TV commercial kutoka KOREA , yanapatikana kutoka Amazon pia jina lake ni HAPPY CALL
Aroma of Zanzibar mm naishi London, Amazon? 😳 Bas nitacheki in shaa allah, Shukran aunty allah akubarik kwa juhud zako za kutufundisha ujanja wa jikoni 😘 😘
Amazon London utapata pia , you are welcome dear x be blessed
thenk you
Ahsante kwa mapishi mazuri je mchele wa kyela unafaa kwa pishi la biriani
Kwa kweli siufahamu huo mchele ndio gani, unaweza kutumia pishori
@@aromaofzanzibar basmat haupatikani pishori pia haupatikani mchele wa kawaida ninamaanisha Ahsante
@@bettykajuna9071 pole dear basi kama huna ndio itabidi utumie wa kawaida tu
Napenda mapishi yako Mara kwa Mara hujaribu na kupata kitu kizuri ila nakwamishwa na majani ya giligilani,hiriki ya kijani,na binzari,kuipata ni shughuli,ukiomba sokoni binzari wapewa masala je vina mwingiliano
Soko gani unakwenda dear kama ni dar na Zenji vitu vyote hivyo vipo kariakoo nimeona spices zinauzwa zimefungwa mbali mbali
Asalamu aleykum warahmatulahi wabarakatu mashaaAllah nzuri sanaaa 👌👌👌shukraaan habibty Allah akubariki na kila la kheri akujaaliye amiin
Shukran, Amin
Aroma of Zanzibar
Tamu Sana.Nilizoea kupika wali kando na rojo kando Sasa nitapika hivyo Shukran.
Vyote ni sawa tu, mapishi yapo mengi
asante Sana dada... nitajitahidi nipike kwenye sikukuu hii ya eid...
Inshallah
ongera kwa mapishi mazuri
my mm keki bado inanisumbuwa
Pole sana, kitu gani hasa kinasumbua , kuna video nimeeleza kwa urefu jinsi ya kuoka cake, zipo 3 tafuta humu kwenye profile yangu "baking basics" zipo Kiswahili na english pia
Masha Allah nimependa, naomba recipe ya zarda
Zarda nido kitu gani
Mchele tu but hua inasukari na bizari nyembamba kama sijakosea, siijui kwa jina ingine
Sijawahi kuona
Mashallah yummy tuweke na chains rais please
Ndio wali gani huo dear
Wali wa kichina chein rais
Salam aleikum anty ,Habibty ukiwa na nafasi tufundishe mandazi ya kubake ok.shukran
Inshallah
Mashaa Allah ukuweka mtindi kwenye mchuzi wa biriani? Au sio razima
Nimeweka na ni lazima ndio unaleta ladha ya mchuzi wa biriani
jamani so wonderful, ingredients za kisawhili ziengine zanipita, kotmiri ni nini
Kotmir ni dhania
aroma your great in what you do but ingredients in english. will help as alot.
Thank you dear, please note that all my videos are in both languages and you will find the list of ingredients in the description box, here' the English version czcams.com/video/Vk6fUQUJbRo/video.html
Nzuri
Nzuri
Wewe mkali sana kuliko wengine hawatowi maelezo kwa kina
Sasa kama mtu hatoi maelezo haina faida kufundisha mapishi ni maonyesho tu
😍😍😍
Thanks dear, nime try hii recipe, ila biryani yang imekua chachu, sijui nakosea wapi?
Kwa kweli sifahamu , labda viungo ulotumia vimesababisha
Mapishi tunapenda unyonge unaturudisha nyuma ukipata jiwe huna chikichi
Nafahamu lakini hivi ni vyakula vya kinumbani hamna kiungo cha kigeni humo hata kimoja
Hongera Dada mm Niko Zanzibar nanichef pia ktk hotel naweza pata darasa zaid nakuona live nakwavitendo? Brigita naitwa.
Sorry dear mie nipo Marekani siishi Zanzibar but naweza kukusadia nitakvyoweza kama una maswali au any tips uliza tu
salam aleikum mashaallah unafudisha vzr anty ht mm napenda sana kupika samahani anty unaweza kunipata no yako
Alkm salaam, mimi siwezi kutoa number yangu hapa nifate intigram kwa jina la aroma of zanzibar au niletee email aromaofzanzibar@gmail.com
What is girgirani in English? Thanks for all you do
Coriander
Aroma naskia nja
Pole sana
@@aromaofzanzibar sand me chakula I am in Somalia
Mashallah tafadhali daa naomba unandikie hivo vitu vyote hili nivijue nikienda kununua nijue nitachukua nn hususani hayo majani ndo siyajui yanapatikana wapi mi mkenya natamani kujua kupika lkn siijui kabisa plz reply 2 me
Viungo vyote na vipimo niandika hapo chini kwnye description box chini ya tarehe
Aroma of Zanzibar ahasante sana dadangu wacha nijaribu
Yani hata kama hujui kupika pilau ukiingia CZcams tuuu unaweza mara moja lakini uwe na kichwa chepesi
Hata kichwa kigumu pia utajua 😉😉
Naomba kujua jinsi ya kupika Sambaro ile pilipili ya embe na pilipili ndefu kwaajili ya biryan
Nikipata mda nitaleta
tofauti ya black cardamom n green ni ipi?zote ni iliki ama?hiyo ya black ipo unguja?
Aswadikul Amin Zote ni hiliki hizi black cardamon zinatumikana sana kwa mapishi ya kihindi , hii black harufu yake tofauti kama ya ukali hivi sina uhakika kama inapatikana Zanzibar , kama huna it's OK
asalam alykum warhmatullah samahan Mamy iyo yoghart unayotia kweny birian ni ya aina gani kwasababu zipo nyingi?
Tafuta ilokua nzito tu inafaa yoyote inategemea na brand huko ulipo
Aroma of Zanzibar asante Mamy mi nipo Dar es salaam ukiulizia yogat wanakupa aina nyingi sana na ladha tofauti tofauti mfano ya vanilla nk je hizo zinafaa?
Usininune zenye flavour kama za vanilla au zenye sukari nunua plain kabisa ilokua haina kitu
could we please have the ingredient in english/kiswahili for future recipes???thank you
Mercy all my videos are in both languages, here's the link to the English version czcams.com/video/Vk6fUQUJbRo/video.html
Thank you..i love your recipes
Aroma asante sana lakini naweza kutumia mchele wa kawaida niko Dar
Unaweza lakini basmati utapendeza kwa biriani
@@aromaofzanzibar Asante sana
Aroma of zanzibar nauliza marination yako ni lazima uweke kwa refrigerator?
Mie naweka kwenye fridge kwasababu ilikua moto sana sitaki chakula kiharibike na hasa kea vile nna marinate kwa mda mrefu
@@aromaofzanzibar Thanks from Nairobi
Namis kufundishwa jisy ya kupik vitumbuw
Pole lakini mbona recipe ya vitumbua ipo zamani sana au sijakufaham
Naomba utufundishe jinsi ya kupika mkate wa vibibi
Inshallah nitajitahidi
Hizo mboga za majani kwa jina jigine zinaitwaje anaye juwa naomba plzzz anambie
Viungo vyote nilivyotumia nimeandika hapo chini kwenye description box