Wali wa mandi | Mapishi rahisi ya wali wa mandi na nyama laini yakuchambuka

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 05. 2021
  • #waliwamandi #muttonmandi #rukiaskitchen
    Website:rukiaskitchen.com
    Instagram: rukias _kitchen
    Facebook: Rukias kitchen
    Cookpad: Rukias kitchen.
    English recipe press the link ➡️ Mutton mandi rice | How to make tasty mutton meat mandi rice | #Muttonmandi #Mandi. • Mutton mandi rice | Ho...
    Mahitaji ya nyama:
    Miguu wa kondoo
    Kitunguusaumu na tangawizi vijiko 2
    Limau 1
    Mafuta vijiko 3-4vya kula
    Garamasala kijiko chakula
    Paprika kijiko chakula
    Chumvi
    Pilipilimanga kijiko kidogo
    Manjano kijiko kidogo
    Meat masala kijiko chakula
    Mahitaji ya wali :
    Mchele vikombe 2
    Mdalasini
    Karafuu
    Pilipilimanga nzima
    Iliki
    Bayleaves
    Zabibu
    Kitunguusaumu punje 2
    Lozi
    Mafuta
    Maji
    Zafran /rangi ya machungwa
    Vitunguu maji 2

Komentáře • 105

  • @RukiaLaltia
    @RukiaLaltia  Před 3 lety +9

    If you would like to watch this video in English language press the link ➡️

  • @nuryslam6544
    @nuryslam6544 Před rokem +6

    Bibie nyama inachemshwa kwanza kisha supu yake inatumiwa kupika wali kisha utaweka nyama iliyoiva kwa oven....😅😅😅

  • @najlaskitchen1572
    @najlaskitchen1572 Před 3 lety +9

    Rukia nakupenda Sana dadangu..huna choyo ma sha Allah Asante Kwa somo zuriiii Allah barik fiki ❤️❤️❤️❤️

  • @salmaalhumy4848
    @salmaalhumy4848 Před 3 lety +1

    Mandi yako okey nzury basi ulitowa mafuta ya nyama nyingi mandi itakuwa nzury zaidi na tamu ikiwa haolewi mafuta ya nyama itakuwa ina ladha tamu zaidi na shukran sana kwa mandi nzuri

  • @shuwehaharuna6309
    @shuwehaharuna6309 Před rokem

    Masikini Sisi tutaishia kuangalia Tu maana huo uwezo wa kununua mahitaji xx

  • @zuhurarajabu6379

    Bby naomba utuleleteee recipe hiyo hiyo ya nyama lakini kwa air fryer

  • @allymuntu4643

    Umetumia mchele gani

  • @NduwimanaZena

    Naomba dada uniandiye ivyo viungo ili ni viandike Allah atakulipa kheri

  • @mariangala4185
    @mariangala4185 Před 3 lety +2

    Nyama inakuwa tayari after how long?

  • @Husna_laltia
    @Husna_laltia Před 3 lety +5

    MashaAllah hilo nofu si kwa style hio 🤤😋👌😂

  • @MaulidAli-ih9lf

    Video Nzuri Sana Asante Kwa Mapishi Ya Mandi Shida Hatuna Oven Tunapikaje Nyama ?

  • @munnykara4649
    @munnykara4649 Před rokem +1

    Masha allah umenivutia insha allah ntajaribu

  • @ghhhhy1812
    @ghhhhy1812 Před 2 hodinami

    Mashaallah

  • @NabahanySwahabah
    @NabahanySwahabah Před 21 dnem

    Mashallah

  • @vumiliahamisi7046
    @vumiliahamisi7046 Před 3 lety +4

    Maashaallah

  • @dydahskitchen6907
    @dydahskitchen6907 Před 3 lety +4

    Ma shaa Allah mate yanitoka hii mpaka niipike in shaa Allah

  • @magdalenewakio6876
    @magdalenewakio6876 Před 3 lety

    Mapishi ya hali ya juu..thanks Rukia

  • @violakabare7885
    @violakabare7885 Před 2 lety +1

    Wooh looks very delicious

  • @marthafredy429
    @marthafredy429 Před 2 lety

    Mashalaa uko vizuri my Mungu akubariki sana

  • @lulufnns5468
    @lulufnns5468 Před 2 lety +1

    Mashallah yammy 👌