Mapishi ya mandi ya kuku - Wali wa kuchambuka
Vložit
- čas přidán 15. 02. 2019
- ✔Full recipe here;👇 shunaskitchen.co.uk/mapishi-y...
✔Angalia recipe yote hapa;👇 shunaskitchen.co.uk/mapishi-y...
✔For business enquiry only : shunaskitchen@gmail.com
_____________________________________
✔More videos to watch;
🔴✅jinsi ya kupika keki ya machungwa/ Orange cake video 👉 • ORANGE CAKE / KEKI YA ...
🔴✅ Jinsi ya kupika chapati laini na za kuchambuka bila kukanda unga sana/ How to make no knead soft chapatis 👉 • Jinsi ya kupika chapat...
🔴✅ Jinsi ya kupika cake laini ya kuchambuka / How to make delicious and fluffy cake 👉 • Jinsi ya kupika cake l...
🔴✅Jinsi ya kuchoma kuku bila kutumia oven wala mkaa / How to roast chicken without oven or charcoal grill 👉 • Jinsi ya kuchoma kuku ...
🔴✅jinsi ya kupika pudding ya mchele / Rice pudding 👉 • Mapishi ya pudding ya ...
🔴✅ Jinsi ya kupika mkate wa mchele kwa kutumia unga wa mchele / Rice flour bread 👉 • Jinsi ya kupika mkate ...
🔴✅ jinsi ya kutengeneza Icing sugar mwenyewe nyumbani / How to make icing sugar at home 👉 • Jinsi ya kutengeneza I...
#mandi #mapishi #shunaskitchen #jifunzemapishi
Masha Allah mtamu , shukran dear
MashaAllah nimeipenda receipt yako shukran sis 🥰
Mashallah msafi sana ukipika na hodari na sauti yako mashallah na 100% unafahamisha uzuri shukran
MashaAllah my dear , Jazakallah kheir
Mashallah it came out delicious! Thanks for the recipe
Ahsante sana mamito 😍
Mashallah thanks for recipe 😍 I was wondering how I can cook such delicious food..
maashaallah nzuri sana mandi MUNGU akubarik
Maa shaa Allah 😘 shukraan habibty
😋😋so yummy mashallaah mungu akubariki dada
Ma shaa Allah yummy 😋
Maa shaa Allah
Masha Allah wali mzuri Sana
I really like it
Wonderfull!!!!!!
And amazing😍😍😍
Woooow....hi nitapikia madam wangu mwarabu
Shukrani dada
MashaAllah yummy yummy
Thanks for this wonderful recipe.
Shukran
Masha allah
Shukrani
Mapishi yako mazuri Shuna!!! Asante sana!!
Asante pia my dear :)
Masha Allah
Waoo mashallal recp yote haifunguki inasema finish domain sijaelewa ndio kitu gani
Mashaallah unafahamika vizur
You are the best.
Wow, looks so yummy
Nzuri sana
Mashaallah
Mashallah mashallah Allahu bareek my shuna!!!you are the best one
Nimependa mandi yako rahisi shukran
Nice and lovely
Asante jazakallah khayran sis...🤲
Shukran dear :)
Mashallah very nice
Aaaaw I will try
What a lovely voice
Thnx dear
Asante sana my dear sister
Màshallah 😋 shukran habibty 😘
Afwan dear :)
Nataka nijaribu leo inshaallah tuekee na mandi ya nyama hbbty😚
Nmtam nimeupika leo, shukran sana
Asante sana 😊
Mashalllaah
The best Gandhi waw
Yummy
Yummy yummy Ma Sha Allah 😍😍😍
Thank you sweetheart ❤❤
Mashallah mtamu
Mashaa Allah nilikua nalisubir ili pish
Shukran sana my dear :)
Ma Shaa Allah,asante dear
😋😋😋😋
MashaAllah. Yummy 😋🙌🏽👌🏽👏🏼👍🏽
Mashallah yummy yummy😍 allah akubariki
MashaAllah thnk u mpenzi
Can u please give a receipy of a choclate cake and it's toppings
Maasha ALLAH TabarakaAllah Sister... ntaijaribu hii nikupe Feedback kwenye IG In Shaa Allah.
In shaa Allah dear shukran sana
I like how you handle the whole proses of making your food.. Well done sis
Thanks alot my dear :)
P
Llppookkkko pplpppppllllpppokokkmn
Waoooh
Masha Allah kufukiza Mafuta inasaidia nn
Inaweza harufu na taste nzuri
Shukran nazidi kujifunza
hi new sub from U.S.A
Hi, Thank you :)
Masha Allah Shuna 🥺 I cant wait kutengeza chakula hiki
Hey sis
Hvi huo mkaa huwa n mkaa wa kawaida or ni kuna mkaa special
N the food z awesome
Mkaa ni maalum kwa kufanyia shuhuli ndogo ndogo kama izo, asante sana :)
Alafu unaweka udi sasa au ili kufukiza
Mchele gani huu dada nataka nipike mwenyewe Wife afurahi
Mashallah hii ni Michele ipi
Mchele*
Unatumia mchele gani dada
Helloo😋😋
First comment😍😍😍
First kureply 😍😍
Ni kuiva au kuwiva?
Jinsi ya kupika wali mandi
Thanks mom wa 2kukoment
Thank you dear
Samahan kufukiza inasaidia nn??
Where are your recipie
Kama hauna oven huwez kutumia mkaa?
Unaweza :)
nimependa kufukiza oil kunaongeza nn
Mchele naeza tumia wa kawaida au kuna mchele special jaman
Km huna almond unafanyaje
je kama huna mkaa utatumia nini
Je ukipika na mkaa pia utaeka kaa katikatika kama ulivyoeka na kunyunyizia mafuta @shuna’s kitchen
Ndio, kama kuku umechoma na mkaa, mwisho unaweza kumtia tu kwa wali ukafunika lkn ukipenda unaweza kufukiza pia
Shuna's Kitchen ok shukran
Tunasubir b la nyama y ngombe au mbuzi
Lakini huo mkaa kama hutaweka test itapungua???
Taste ya kufukiza hutoipata, labda kama kuku utamchoma na mkaa mwisho umuweke kwenye wali ufunike kama nilivyofanya, still harufu inaweza tofautiana
Hogera kipezi
zabibu kavu je zinapashwa
Fh
MashaAllah ❤️
Mashaalla allaakuzidishiye ujuzi
Huo Mkaa unaitwaje au ni wa kawaida.
Unaweza kutumia mkaa wowote dear
Shuna's Kitchen Asante but hapa UK mkaa huwa unaharufu sio nzuri kuna mkaa special?
Masha Allah
Yummy
Thank you :)
😋😋😋😋