SAMBUSA ZA KUKU KWA KUTUMIA MANDA ZA MAFUTA
Vložit
- čas přidán 1. 05. 2019
- Sambusa za kuku
Vidari 2 vya kuku vya kiasi
Kijiko 1 kikubwa cha bizari ya uzile ya unga ( bizari nyembamba)
Pilipili manga ya kusaga ya unga kijiko 1 kikubwa
Kijiko 1 kikubwa cha vitunguu thom na tangawizi mbichi ilosagwa
Kijiko 1 kikubwa unga wa giligilani
Pilipili ya unga kiasi
Chumvi
Ndimu 1 au 2
Vitunguu maji 1 kikubwa
Carrot 1 kubwa
Majani ya kotmiri/dhania/giligilani - fungu 1
Pilipili za kuwasha utakavyopenda
Chumvi kiasi
Aroma of Zanzibar social media
/ fathiya.ismail
/ aromaofzanzibar
Video intro Zanzibar Spice Market by Farhat Abbas czcams.com/users/results?searc...
Video Intro Mombasa spice market by Chef Farouk Amboka
faroukambok...
Music courtesy / contemplative-middle-e...
This is English and Kiswahili channel where you will find cuisine from around the world - Jak na to + styl
IF YOU WOULD LIKE TO WATCH THIS RECIPE IN ENGLISH KINDLY FOLLOW THIS LINK czcams.com/video/CQJqjB8XdSA/video.html
Mashaallah tabraka Allah nakutaia maadalizi mema ya kuupokea mwezi wa ramadhani bi aroma na waislamu wote duniani amen
AMIN KWETU SOTE YA RABB
MashaAllah ngoja nijaribu inkaa tamu sana 😋😋😋 Allah akuzidishie hbbty
MashaAllaah majumati ya maradhan Alhamdulillaah
Shukran daer Ukthy😍😍😍
Masha Allah
Masha Allah looks so yummy
Nice recipe for Ramadan
Mashaallah , A.O.Z. Nimefurahi kwa mapishi ya sambusa
Shukrani sana kwa kweli hii hii chicken samosa filling ni 🔥 😋 sana, nilitengeneza yaani matokea yalikuwa mazuri sana. Mungu akuzidishie
Ahsante sana nashkuru umeipenda
Shukran habibty kwa kutufunza mapishi mazuri yenye ladha ya kizanzibar nakutakia Ramadhani yenye kheri na barka
Tamuuuu Nzuriiii Saaana
Wow! Thank you looks delicious a must try.
MashaaAllah shukran habibbty , rabby akuhifaziii uzidi kutujuzaa, nakutakia Ramadhan mubaraq in advance ww na familia yako♥♡♥Allahibariqfiii
Thankyou my favourite youtube channel
Mashaa ALLAH twasubiria izp manda za mafuta. 😋😋
Mashaallah Ramadhan Mubarak
maashaallah habibty MUNGU akubariki ramadhan karim
Nakupenda wallah unanipa upishi mzur na mie kupika ndo mambo yangu hakika umenipata
Nimependaaa
Asalam Aleikum. Ramadhan Karim mashaallah
Very delicious thanks
رمضان كريم
Greetings from Yemen
asante sana 😍😘💜💜💜💖💖💖
Mashallah Dada crunch and yummmyyy
Shukran dear cha mapishi yako
MashaaAllah, looks crunchy and yummy,shukran dada,ila mimi najaribu sana kutengeneza manda nafeli,sijui ni aina ya unga ninaotumia😌
Pole sana jee umeumia recipe hii , ninay nyengine pia angalia labda itakusaidia
💯🙌mashallah
Shukran
Wow nice 🙏🙏
asante dear😍
Mashallah
Mashaallah
Auntie I love that you’re wearing kanga ❤️ Ramadan Mubarak.
Jazaakillah Khayr
Thank you😚 Wishing u all Ramadhan Mubarak
Thank you, same to you
MashaAllah
Mashlh
Hakika unajua kupika,Asante sana nitajaribu na mm😋
Assalamu aleikum warahmatullahi wabarakatuh. Mashaallah napenda sanaa mapishi yakoo. RAMADHANI MUBARAKKK KWA WOTEE 😍
Amin
Asante Kwa mapishi matamu
Jazakallah khayran
Amin
Nakupendea hapo tu my dear uko vizuri mashallah mwenye jiko lako nakupenda sana habibty ntamuomba mungu na mie inshallah asante 🤤
Shukran, Inshallah M.Mungu akufanyie wepesi
Masha allah.. jazaka allah kheri. Ramadhan kareem aunty
Shukran, same to you
Kila nikiangalia video zako najifunza kitu... Sasa mamy kuna kitu inaitwa lasagna naomba ufanye video jmn.. Barikiwa Sana mamy
Inshallah nitaleta
Yaan mapishi yako ni very simple mamy, nayafatilia sana, had mmewangu anapenda how nnavimpikia kumbe nmeibia kwako, wallah mmeangu afurah sana nkumpikia bt its bcz of you, thanx and ALLAH bless you dear
Alhamdulilah, hujaiba dada umejifunza hapa feel free kupika unachotaka
Yaan umenifunza mengi sana, Alhamdulillah,
مبارك عليكم شهر رمضان
Mashaallah habibty😜
كل عام وانتم بخير و رمضان كريم
😋
first comment
YEEEE!
napata shida sana katika kufunga sambusa kila nikifunga zakatika
Pole sana nikitu kunata practice ni kujaribu mpaka utazowea
Yaan huyo kuku alivyoiva na binzari unaweza kuhairisha kupika sambusa jamani,,Hongara sana kwa mapishi,
Kweli huyo mtamu hivyo hivyo
Mashallah, mm naomba recipe ya hizo manda please
Jamani nimesema recipe inakua inshallah video ilikua ndefu imebidi niikate
@@aromaofzanzibar sawa habibty shukran
Carrots naweka mbichi au na kaanga kiasi??
Shukran kwa mapishi mazuri Yammy.
Nimeweka mbichi
السلام عليكم ورحمة الله وبركاته ما شاء الله تعالى ياريت تكتبي المقادير باللغه الانجليزيه اقل شي مشكوره
Please note theres an English version of all my videos on the link provided on link provided czcams.com/video/CQJqjB8XdSA/video.html
Pls can write the names of these spices in english? Thank u
Please follow the link to the English version is pinned on top
Why are you adding 3 sheets?
Because I like it thick and crunchy
A/alaykum huyu kuku ulimchuna ngozi ama?
Ndio
Mm nikipika Sambusa vitunguu navipasha moto kwanza jee nilazima
Sio lazima, mimi napenda hivi hivi vibichi vitaiva wakati wa kukaanga
In shaa Allah Leo nitafanya maana Huwa Nikipasha vitunguu moto nikija kuchanganya na nyama vitunguu vina fanya maji maji nitajaribu hivyo maana na weka za Friza kwa Ajili ya Ramadhan
Iyo gundi ni unga wa ngano n maji tu??
Ndio Kama nilivyo onyesha na kueleza hapo kwenye video
Hyo pilipili nyeupe unaitengenezaje mamii?
Hiyo ni chatine , angalia humu kwenye channel yangu nimeshaweka recipe
@@aromaofzanzibar Oooh sawa asante.
Can someone translate to English
Please follow the link right on the top it will take you to english version
Sorry, manda hizi ni zile za kubabua?
Ndio hizo nitaleta haraka inshallah video ilikua ndefu sana
Poa dera
Mashallah Dadaa ramadhani Mubarak
MashaAllah