Chila Kiswahili
Vložit
- čas přidán 19. 06. 2016
- Mahitaji:
Mug 1 mchele ( roweka usiku kucha
au kiasi masaa 6)
Tui la nazi 1 mug au nazi ya unga
vijiko vikubwa 7 changanya na maji
mug 1
Sukari vijiko 3 vikubwa au 4 kama
hutofanya tui
Hamira kijiko 1 kikubwa
Hiliki ya unga nusu ½ kijiko kidogo
Mahitaji ya tui la nazi
Tui mug 1 au vijiko vikubwa 6 vya nazi
ya unga changanya na maji
Maziwa ya unga vijiko 3 vikubwa
Unga wa ngano Kijiko 1 kikubwa
Sukari vijiko vikubwa 3 - Jak na to + styl
Mashallah nipenda ufahamishaji wako mana wengine mapozi kibao mpaka kichefu chefu ila wewe mashallah nimependa
Shukran
Ahsant bibie kwa mapishi ya Ramadani :)
Baarak Allahu Feekum
My favourite na maziwa-kahawa! Be more blessed, Aroma of Zanzibar..
Thank you for your support
wallah ninafarijika sana napia nimepata kujua mengi kupitia kwako Allah akubariki sana
Shukran, Amin kwetu sote
Aslm nimejaribu leo kupika chila mashallah zimetoka vizuri my husband amezipenda sana thank alot dear
ALKM SALAAM, MASHALLAH NAMIE PIA NIMFURAHI unaweza kunieltea kwenye instigram aroma of zanzibar au aromaofzanzibar@gmail.com
Mapishi yako mazuri mashallah
MashaAllah yni na jifunze mengi kutoka kwako. ..shukran sanaa .
Shukran
Thanks for your recipe🌷🌷
wooow naenda Sana'a mapishi yako
Thank you sister May Allah bless you for sharing your knowledge
Thank you, Amin. Thank you for your support
Mashallah umenisaidia mapishi mengi thnks
Ma sha Allah!Asante sana..Jazakallahu khayr
Amin ya ukhty
I love your voice and how composed you are.I love your cooking
Thank you so much 🙂
Thank you very much dear.. Good luck 👍🏼
MashaAllah I like it yummy yummy
I really like Zanzibar chila
💗💗💗shukran Sana wallahi
Shukran habbty leo in shaa a Allah ntajaribu
Mkate naupenda huu😘😘
Mashallah na je kama huna naz
Nazi muhimu kwa ladha
mm nazipenda sana chila asante kwa kutujuza upishi huu wiki ijaayo inshaallah nitajitahid nipike chila
iNSHALLAH
Ma Shaa Allah habbty
Shukran kwa mapishi
Nimejifunza mapishi mengi kupitia wapishi wetu nyie wazuri
Ahsante sana
MashaAllah ☺️ unaelezea mtu anaelewa uzuri Allah abarik mikono yako
Shukran 🙏🏽
Allah Akulipe khayir nzuri Ma sha Allah
Shukran, amin kwetu sote
Maashaallah, shukran
Mashaallah, Asante mpnz nimetengeza leo chila zimetokea nzuri tamu Yani nimejiramba na iyo sauce ya jui ubarikiwe Sana,maana sikuamini
Shukran, umenitamanisha na mimi. Hongera
mashaa Allah kila la kher
Amin
Asant sna nazipika leo insha'Allah.
asante sana kwa mapishi yako mazuri nimeyapenda umenifurahisha sana mapishi ya donat nilikuwa naumiza kichwa ss kazi kwangu kupika shukran mungu akupe afya njema
Shukran wewe kwa kua na mie, nimefurahi kujua kwamba mapishi umeyapenda x ahsante kwa dua njema
Mashaallah habibty chila zako nzuri
Shukran
Wwwaawww👌bless you
Thank you, Alhamdulilah
upishi mzuri aana
Mashallah wanikumbusha bibi angu wa tanga na Mimi saiv najivunia kuujua upishi huu
Alhamdulilah
Masha Allah sis Allah bless you always 🙏🙏🌹🌹🌹 I have learnt alot Nani mejifunza kupika from you I will always be greatful to you, especially the biriani 😋😋😋👌👌👌it's simple and one can learn haraka Sana
Thank you so much
napenda sana chakula chako najifunza mengi
Shukran
Thankx nimizitafuta sijaziona haswa
Mashaa Allah
Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatuh , , shukran sana , me nimejaribu masha Allah tam sanaa nyam nyam , Allah akuzidishie
Asante saaana.
I'm going to make this for dinner today
Enjoy your dinner
you promised to post Tambi ya oven after August. Eagerly waiting
Inshallah I will post please bear with me I have a lot to do right now
mashallwah
nmejalubu nmeweza
woow MashaAllah
shukran
Shukran 😍🤗
Manshallah
Hauweki engg
Sio lazima
Hey , Thanks for the great work you are doing . Please put up a video on how to cook vermicelli .Thanks
Thank you for your support dear , will try my best for that
Thank you .I am in love with your channel .Baraka.
Hv mchele unapma b4 kuroeka oukwisha roeka ndiowapima natakakuroeka ucku nijarb kesho inshallah
Moza Salim Mchele unapima kabla hujaroweka
Asante my mom allah atakabal dua zko zote ameen
Shukran
Yaani nimejifunza mengi ktk mapishi yako 😘Mungu wetu akubariki kwa video zako
Bila wewe watoto wangu na mume wangu wasingeweza kula vizuri uwiiii! Asante sana bless u
Shukraan
👌👌👍👏👏👏
ahsante
Mashallah
👌👌👌
Ok shukran
Ok shukran mama
🙏❤️
Ok thanks
Thanks a lot it's helpful
😍😍
🤗👌🤩
na chila sisi watu wa Mombasa tunaita vibibi
👍
That true
Kachanganyo hii huyu hiyo.ni vibibi chila huweki tui ikishaiva
@@dazuuhmd819 nikweli kabisa
Ok dear
barakallah fik lakini tafadhali.. increase the sound.....Allah yu khalik.i love your program.
OK thanks for letting me know
Shukrani mama ila nimesikia unataja magii ipii hiyo mama naomba unieleweshe
Magi yaani hicho kikombe cha manjano kikubwa nilotumia
Assalaam alaykum warahmatullah wabarakatuh JazakiLLAH khayran nmejaribu kuupika alhamdulillah umetoka vizur lakn haujatuna kama wako ukawa una layers sijui tatizo hapo utakuwa ninii
Alkm Musaalaam , fanya mchanganyiko wako uwe mwepesi kidogo una jua michele na tui tofafauti kila mahali
hayaa khayr shukran
Asalam alaykum ss dada angu ni frayimpen gan nzr kwakuchomea
Chagua la kiasi tu sio zito wala jepesi
Unajuwa dada mashallah
shukran mama penda xana
Shukran
mm mama unajitahidi kwa mapishi
naomba utuletee pishi la uji wa mchele
ok nshasoma comment nmepata jibu shukran saana
Shukran.am going to try
Wallah Allah akubaarik.sio killa mtu anaweza kusema mambo ama ujuzi wake
Amin kwetu sote
naomba uje Uni tembele.
Inshallah, wewe uko wapi
Na pia waweza tia yai?
naomba kuulza ikiwa utatumia ule unga wa mchele hamna shida katik kupika
Ni kitu kujaribu uone kama utapenda mie bi nafsi sipendi naona inagandana kama ugali lakini wenhine wanapenda hivyo
Umetumia mchele Aina gani
Mchele wa basmati
shukraan mayai naweza kutia au nisiweke
Sabrina Sadiq haina haja ya yai kama unataka basi tia ute tu sio yai kamili
Shukran auntie. ...naomba recipe ya anjera
Mimi sijafanya video ya anjera bado
In shaa Allah. ....naomba ufanye ukipat wasaa
Tunaweza kutumia unga wa mchele
Mie sijawahi kutumia unga wa mchele kwa hivyo itabidi ujaribu uone vipi itakua
you've just got another subscriber...
Thanks for your support
Shukran maana napenda kuona vakula adim kama hivi vikipikwa napata kujifunza aiseee
Karibu sana
Michele wa Aina gani
Mimi natumia basmati
Thanks sister
You’re welcome 😊
Asee yan nko kama shule na daftar uwii
Sio vibaya
shukran mola akupekila lakheri
Amin kwetu sote
Hi can i store the butter and use it the next day?plz answer
Kitanga tunaita vibibi
Naupnd San uo mkte
I wish you have arabic translation. I like watching your channel.
I wish but I do not have such knowledge
Thanks mumy
Yani nimepata utofauti
C'est possible d'avoir une version en français français s'il vous plaît 😁
I dont speak french dear but I am working on subtitles
Assalam Alaykum aunty naomba maelekezo ya meat cake shukran
Alkm Salaam, meat cake ntafanya wiki inayokuuja tukijaaliwa Inshallah
Nice recipe mashaAllah..my question is why don't you flip it on the other side pia iwe brown?will there be a difference if i brown the other side too?
Thanks , thers no difference but the beauty of chila is those holes on the top , if you flip it I think thats what they call vibibi
This is vibibi czcams.com/video/9ThM49xhtKU/video.html
Nataka kujua mkate wa mchele lain
Mkate wa mchele nimeshaweka , tafadhali angalia kama ndio mlaini au vipi
Allah akubariki utufunze mengi
Amin kwetu sote
aroma chila kupika kwa jiko la Gesi inanishinda naon moto mkali najitaidi kupunguza moto bado moto kati mkali?ni lazima kuweka mafuta katika flampen
Moto kama unahisi mkali pia unaweza kutafuta chuma kizito ili zi si ungue, mafuta yanasaidia zi sigande chini kwenye frying pan
OK shukran habt Umeme better ?
Amena
Naomba kujua kwa sasa hii mikate mchele gan ni mzur kutumia maana kila mchele naona unatoa mikate inayonata kwenye meno
Ni vivigumu sana kuna michele ya aina nyingi lakini kizamani hasa walikuwa wanasema utumi mchele mkukuu lakini mie natumia mchele wa kawaida tu
Mbona zangu zakatika Katika
Pole sana, labda unga mwepesi sana
Dada unaishi wapi nikufate maaa I learne many recipes from you Allah bless your tutorial
Ahsante sana Rashid mie nipo USA, thanks for your support