KABABU ZA NYAMA / BEEF CABAB

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 05. 2020
  • INGREDIENT
    250gm raw mince meat
    250gm read cooked mince meat
    4 boiled eggs, cut each in to 4 pieces
    1 tablespoon black pepper
    1teaspoon hole Cummins
    1 teaspoon coriander seeds
    1tablespoon chilli flakes
    1 cup bread crumb or (5 slices of bread)
    Handful coriander
    1 meadium onion chopped
    1 green pepper
    1 tablespoon Garlic and ginger
    Salt
    2 egg + 2 tablespoons water
    Oil for frying
    COCONUT CHUTNEY
    1 cup coconut
    3 leaves mints
    Half lime or lemon juice
    Salt
    1 hot chilli

Komentáře • 117

  • @SKY-fk3fz
    @SKY-fk3fz Před rokem

    Mashaallah you are talented

  • @luluwasalim4041
    @luluwasalim4041 Před 4 lety +1

    Mashaallah nzuri

  • @suhanaali1270
    @suhanaali1270 Před 3 lety +3

    masha'Allah ❣️

  • @tumaomar8999
    @tumaomar8999 Před 3 lety +1

    MashaAllah habibty

  • @maryamsultan2546
    @maryamsultan2546 Před 3 lety +2

    Mashallah

  • @fauziaismail5346
    @fauziaismail5346 Před 4 lety +1

    Mashaallah

  • @fatmashimbwa7359
    @fatmashimbwa7359 Před 3 lety

    Mashallah muonekano poa kabisa

  • @safiyaalrawahi7526
    @safiyaalrawahi7526 Před 3 lety

    thank you I liked ur recipe very good

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim8293 Před 2 lety

    Mashallah tabarak Rahman shukran ukhty 🥰🥰🥰🇴🇲

  • @salhaabdallah3528
    @salhaabdallah3528 Před 4 lety

    mm naomba recipe ya haluwa

  • @salhiyarashid9300
    @salhiyarashid9300 Před rokem

    ❤Mashallah

  • @sanurakhamis8705
    @sanurakhamis8705 Před 4 lety

    Super😍😋

  • @luluabdulaziz8556
    @luluabdulaziz8556 Před 8 měsíci

    Tabaraka Allah

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim8293 Před 2 lety +1

    Tuletee mapishi mapya ya ramadhani ukhty shukran habibty

  • @Fadiafeisal
    @Fadiafeisal Před 8 měsíci

    Yummmy❤

  • @ummrus6951
    @ummrus6951 Před rokem

    Allahumabarik

  • @khalekichambo1131
    @khalekichambo1131 Před 3 lety

    Yummy, acha tuingie jikoni 🫕🥣

  • @Bee-e3v
    @Bee-e3v Před 3 lety

    Vizuri😊

  • @hidayamohammed3877
    @hidayamohammed3877 Před 3 lety +2

    Nimejifunza kitu mamy ahsante sana allah akubarik akupe kila lakher

  • @salhaabdallah3528
    @salhaabdallah3528 Před 4 lety +2

    maashaallah mungu akubarik

  • @user-vw2jp2ds8g
    @user-vw2jp2ds8g Před 8 měsíci

    Mashallah sauti yako km aroma of znz

  • @fkhalfan31
    @fkhalfan31 Před 4 lety +1

    Jazaakallah kheyr ukhty napenda mapishi yako hlf unafahamisha uzuri allah atakulipa kila la kheri na afya amiin😘😘

  • @Fauziajumaa84
    @Fauziajumaa84 Před 4 lety +1

    Mashallah pambeee sana habibty

  • @amalabdul8764
    @amalabdul8764 Před 4 lety +2

    Kababu nzuri ma shaa Allah na nimependezewa na vile yai ulivyoweka, habibty you are very creative,

    • @queenshibaskitchen9130
      @queenshibaskitchen9130  Před 4 lety

      Shukran auntie

    • @aiyamhassan1321
      @aiyamhassan1321 Před 3 lety

      @@queenshibaskitchen9130 spice umetia uzile na nn tufahamishe hivyo vingine

    • @queenshibaskitchen9130
      @queenshibaskitchen9130  Před 3 lety

      aiyam hassan mbona nimeandika kila kitu kwenye description hapo chini ya video kuna kama ialama cha ero rangi ya grey kibinye itakuwa recipe yote.

  • @safiaabubakar1120
    @safiaabubakar1120 Před 4 lety +4

    Mashaa Allah napenda mapichi yk auty Allah akuhifadhi mikono yako shukran 😘

  • @ilhamamer309
    @ilhamamer309 Před 4 lety +1

    Mashallah mapishi mazur tunafaidika.allah atakupa ujira wako🙏

  • @a.856
    @a.856 Před 4 lety +1

    Shukran dear🙏🏼

  • @faridamohammed9366
    @faridamohammed9366 Před rokem

    🥰🥰🌹

  • @khadijadarusi9033
    @khadijadarusi9033 Před 3 lety +1

    Naomba uniunge kwenye group lako mpendwa

  • @mohamedayda7756
    @mohamedayda7756 Před 4 lety +1

    Kama unavyo vya unga tayari izo spices haina haja kusaga tena ama vp, Mashaa ALLAH

    • @queenshibaskitchen9130
      @queenshibaskitchen9130  Před 4 lety +1

      Kama umavo va unga ni sawa tu. Hivi nlivo fanya inafanya kababu iwe na harufu nzuri zaidi lakin ukitia tayari za unga hamna neno dear.

  • @philomenamgohamwende6750

    Asante

  • @mwanamimihamisi7789
    @mwanamimihamisi7789 Před 3 lety

    A'aleykum, tunaweza tumia nyama mbichi tupu

  • @abdulhida8291
    @abdulhida8291 Před 2 lety

    Masha Allah, where are you?

  • @rayaali7551
    @rayaali7551 Před 3 lety

    Jamani uko wapiiii ili niwe mteja wakooo napenda mie mapishi yakooo

  • @latifaaqudaidy9397
    @latifaaqudaidy9397 Před 3 lety

    iyo nyama umeipkaa kwanza ndio ukamix au mbichi

  • @HadijaAbdul-cm8qv
    @HadijaAbdul-cm8qv Před rokem

    Samahani dada,vile viungo ulivyovisaga nimezijuwa pilipili manga na uzile tu naomba uniambie vile vingine vinaitwaje

  • @mwandawaali6260
    @mwandawaali6260 Před 7 měsíci

    urojo

  • @bekamatano9727
    @bekamatano9727 Před 2 lety +6

    Mbona husemi spices ulizo changanya mwanzo???

    • @carolynepeterzayumba6140
      @carolynepeterzayumba6140 Před rokem

      Exactly

    • @yasminamri2943
      @yasminamri2943 Před 4 měsíci

      Kuna cumin seeds, coriander seeds, black pepper seeds na chilli flakes. Kwa uzowefu wangu ndio nimeona

    • @queenshibaskitchen9130
      @queenshibaskitchen9130  Před 4 měsíci

      Uzowefu upi huo dear? Why usiwafshamishe wezio ukweli kuwa nimeandika kila kitu kwenye description hakuna nlichoonesha nikawa sijataja

    • @yasminamri2943
      @yasminamri2943 Před 4 měsíci

      @@queenshibaskitchen9130 nimejibu alivokua ndio maana nikasema " UZOWEFU... NIMEONA"... Meaning uzowefu wangu WA jikoni nimeona spices ulizoweka zile nzima nzima. Maybe nimekosea lugha.

    • @yasminamri2943
      @yasminamri2943 Před 4 měsíci

      @@queenshibaskitchen9130 kisha mm sikusoma description Huenda ndio same mistake as mdau alieuliza.

  • @sakhiyasaif5897
    @sakhiyasaif5897 Před 4 lety

    Habbty nimefanya kababu kama hivo sijui mushkila gani zimefunguka zote

    • @queenshibaskitchen9130
      @queenshibaskitchen9130  Před 4 lety

      Habibty nimejibu kwenye msg za nyuma, kama umefata kila kitu nlivo fanya, itakuwa nyama yenyewe ina mafuta ndio inasababusha kufumka kababu lakin ungenitumia picha ningeweza kukusaidia zikifanya hivo ufanye nini.
      In shaa Allah nikitulia nitafanya video yengine niwaoneshe jisi yakufanya nyama ikiwa na mafuta.

  • @eshaliwowa5458
    @eshaliwowa5458 Před rokem

    Spaice Gani umetumia

  • @hamidagulam3558
    @hamidagulam3558 Před 4 lety +1

    A.a,moto wa kukaangia kababu wafaa uwe mkali ama wa wakiasi?

  • @barkesaid7200
    @barkesaid7200 Před 4 lety

    Asalam aleikum warahmatullahi wabarakatu nimezijaribu zimemumunyika zote motoni sijui what went wrong. Kwenye mchanganyiko huweki yai??

    • @queenshibaskitchen9130
      @queenshibaskitchen9130  Před 4 lety +1

      Dear siweki yai, umefata nilivofanya? Mana nyama ikiwa mbichi nusu na nusu ilokaushwa haiwezi kumungunyuka kababu, pia huweza hufanya kufumka tu ikiwa nyama yenyewe ina mafuta mengi jarubu kufuata maelekezo kamili habibty.

    • @barkesaid7200
      @barkesaid7200 Před 4 lety

      Ntajaribu tena kesho In Sha Allah

    • @queenshibaskitchen9130
      @queenshibaskitchen9130  Před 4 lety

      In shaa Allah lakin please fata step by step nlivofanya na hakikisha nyama ipo kavu, nyama nzuri ni ta steki ilosafi

  • @rayaali7551
    @rayaali7551 Před 3 lety

    Soryy hukutwambia aina za spice majina yake ili tuzielewe ni spice gani na ganii ulizo kasngas?

    • @queenshibaskitchen9130
      @queenshibaskitchen9130  Před 3 lety

      Nimeziandika kwenye description below nenda kwenye grey arrow chini ya video mkono wa kulia click itakuja full recipe

  • @aminahariri2058
    @aminahariri2058 Před 3 lety

    Spays ni nn

  • @mohamedaayda6060
    @mohamedaayda6060 Před 4 lety

    Niulize aunty, kababu zikiachana inakuwa nn tatizo?

  • @cutiethuma9931
    @cutiethuma9931 Před 4 lety

    Mimi ndo sijaskia ama hujaeleza kuh hizo spices umesaga. Whats in there

    • @queenshibaskitchen9130
      @queenshibaskitchen9130  Před 4 lety

      What do you mean? Nimeleza kama nimesaga bada nishazipasha moto. Angalia uzuri dear

    • @cutiethuma9931
      @cutiethuma9931 Před 4 lety

      @@queenshibaskitchen9130 am sorry I meant hivyo viungo ulivyopasha moto ni nini na nini...
      Thank you

    • @queenshibaskitchen9130
      @queenshibaskitchen9130  Před 4 lety

      Dear nimeandika DESCRIPTION BELOW viungo vote angalia my dear.kuna ero upande wa kulia chini ya vido click utapata ingredients zote

  • @rehanadawood6377
    @rehanadawood6377 Před 3 lety

    Pls make again this vedio

  • @noufalalfalahi6491
    @noufalalfalahi6491 Před 3 lety

    Mashallah inaonesha tamu.
    Tufundishe space yako nini na nini unaweza kukaanga

  • @lucianamadanyila9247
    @lucianamadanyila9247 Před 3 lety

    Naomba msaada aliyeelewa aniandikie spice ambazo zimetumika hapo mwanzoni sijaelewa vizuri.

    • @queenshibaskitchen9130
      @queenshibaskitchen9130  Před 3 lety

      Dear spice nimeziandika zote chini ya video mkono wa kulia kuna Kilama cha grey kibonyeza utapata majina ya spice nlotumia ok

  • @azizandwata7725
    @azizandwata7725 Před 3 měsíci

    Kwaiyo kabab unachoma hvyo hvyo au lazima uchovye kwenye yai bichi mpnz

    • @queenshibaskitchen9130
      @queenshibaskitchen9130  Před 3 měsíci

      Sijafaham suala lako. Ila kuna kababu aina ya 2 pia angalia huenda ukapata jibu lako.

    • @azizandwata7725
      @azizandwata7725 Před 3 měsíci

      Namaanisha ukishafanya viduara hvyo ndo unatia kwny mafuta au unachovya kwny mayai halafu ndo unatia kwny mafuta

    • @queenshibaskitchen9130
      @queenshibaskitchen9130  Před 3 měsíci

      Dear si nimeonesha stap zote? Angalia vizuri please. Hivo nlivofanya ndivo navofanya. Kama hutaki kuchovyia kwenye yai angalia beaf kebab recipe 2 nimekweka last month.

  • @sherrybavuai9422
    @sherrybavuai9422 Před 4 lety

    Kwenye kuchanganya hutii yai la kupiga

  • @rahmaabdulrasul9504
    @rahmaabdulrasul9504 Před 3 lety +1

    kwann kabab zangu mimi zinatoboka nakosea wapi?

  • @najatjuma8855
    @najatjuma8855 Před 2 lety

    Izo spices nini na nini mbona hujataja

    • @queenshibaskitchen9130
      @queenshibaskitchen9130  Před 2 lety

      Jamani muwe mnasoma waelezo kwenye video na comments plz watu wanauliza suala hilo hilo, angaliaa kwenye discrimination kilakitu nimeandika.

  • @tumatuma6478
    @tumatuma6478 Před 4 lety

    huchanganyi na yai bichi ndani'

    • @queenshibaskitchen9130
      @queenshibaskitchen9130  Před 4 lety

      Nop sitii mie kama mlivo sema lwa video hiyp nusu nyama mbichi ndio inafanya mchanganyiko wangu ushikane

  • @cutiethuma9931
    @cutiethuma9931 Před 4 lety +1

    Maji yanasaidia nini kwa yai

    • @queenshibaskitchen9130
      @queenshibaskitchen9130  Před 4 lety +2

      Ukitia maji kwanza inspunguza kufanya mapovu mengi kwa mafuta pili kababu zinakuwa na muoneshe mzuri kama unavoona yai limekaa kama nyuzi nyuzi halija cover kababu yote ikaka kama kachori. Hope umefaham

  • @alhamdulillahalhamdulillah7529

    Allah akubaarik Habibty illa napenda kujua hizo spies

  • @aminahariri2058
    @aminahariri2058 Před 3 lety

    Spays ni nn?

  • @Fauziajumaa84
    @Fauziajumaa84 Před 4 lety

    Lazima nyama uichemshe nusu au unaweza usiichemshe au ukachemsha yote

    • @queenshibaskitchen9130
      @queenshibaskitchen9130  Před 4 lety +5

      Uzuri uchemshe ikiwa nusu ndonlivo fanya, au ikiwa yote pia sawa lakin ikiwa mbichi kabisa tabuyake inafumka sana kababu na ukipata nyama ina mafuta ndio halass huna kababu kavu kama hujachemsha japo nusu yake.

  • @alsam4881
    @alsam4881 Před 4 lety +1

    Leo nimejaribu kupika egg chop lakini zangu zimefunguka Sijui nimekosea wapi dear naomba unijulishe.

    • @queenshibaskitchen9130
      @queenshibaskitchen9130  Před 4 lety +1

      Kama umefata maelekezo yote, basi inawezekana nyama yenyewe inamafuta mengi inafanya hivo.

    • @alsam4881
      @alsam4881 Před 4 lety

      @@queenshibaskitchen9130 ok Shukran kwa kunijibu, basi ni kweli inawezekana kuwa nyama ilikuwa ina mafuta.

    • @nanamohamed6525
      @nanamohamed6525 Před 4 lety

      Kama nyama inamafuta unafanyaje

  • @mrsally5583
    @mrsally5583 Před 3 lety

    Ndo utuoneshe sasa nyama

  • @laylatali9203
    @laylatali9203 Před 4 lety

    Unashushia na mirinda baridi apo mambo yanakuwa bul bul

  • @rukiyasaburi1979
    @rukiyasaburi1979 Před 2 lety

    Aslam alekum pls nitumiye number yako mm aunty Rukiya

  • @azizayusufu8352
    @azizayusufu8352 Před 3 lety

    Balsam ndio nn nielekeze sijaelewa

  • @yahyasaid586
    @yahyasaid586 Před 2 lety

    Spicy ulizo kanza moto ungezitaja zote 🤷‍♂️

    • @queenshibaskitchen9130
      @queenshibaskitchen9130  Před 2 lety

      Uzuri ungeangalia recipe kabla kuuliza nduguyangu, kila kitu nimeandika kwenye description below

  • @user-tq8tj8jz8o
    @user-tq8tj8jz8o Před rokem

    Mashallah

  • @ndabihawenimanaalice12
    @ndabihawenimanaalice12 Před 3 lety +2

    Mashallah