Jinsi ya kupika mkate wa nyama (swahili pizza/zanzibar pizza) |farwats kitchen |♡♡♡
Vložit
- čas přidán 10. 04. 2022
- MAHITAJI
Unga wa ngano vikombe 2
Maji kikombe kasrobo (3/4)
mafuta kijiko 1 kikubwa
chumvi kiasi
Nyama 1/2kg
kitunguu thomu 1tsp
chumvi kiasi
pilipili manga 1tsp
mdalasini 1tsp
bizari nyembamba 1tsp
Vitunguu maji 3 vikubwa
pilipili boga 1
Dania 1
Carrot 1
Mayai 6
Instagram @farwats_kitchen
Email: saidfarwata@gmail.com
Nataka kujifundisha mapishi kutoka kwako nafanyeje
Easy peasy recipessss .... 🥰🥰🥰 rnd hii mpk we shangaza folks kwa nyumba 😜
Wallah nimependa sn nataka nijifunze namu❤
waaleykhm mussalam mpenzi shukran kwa recipe
Mashallah mapishi mazuri
Mashaallah Allah abarik mikono yko sijakula lakini ni tamu ajab ❤
Asante sana kwa recipe nzuri sana ❤️
A.a,kikombe unachotumia kwa vipimo ni kile cha 250ml Ama?
Mashaallah mungu Akubariki Akuhifadhi Nakila lashri
Mashallah I followed your instructions mkate wangu ulitokelezea mwah
Mashallah
Mashallah Dada Allah akubarikie imani yako inshaAllah Aamiin
MashaaAllah MashaaAllah MashaaAllah tabarakallah
Mashallah tanx for the recipe
❤
mashallah...
Mashallh
Today's lunch. Was easy to follow and everyone loved it. Highly recommend 👍Shukran for the recipe
Masha ALLAH I will try
Thanks swry MashaAllah