Video není dostupné.
Omlouváme se.
Pizza /Mombasa Pizza /Swahili Pizza /Mombasa Sreet Food /Mkate wa Nyama /Tajiri"s kitchen
Vložit
- čas přidán 11. 06. 2020
- RECIPE ZENGINE KAMA HIZI ⬇️.
Jinsi ya Kutengeza Cinnamon Rolls Tamu Sana /Cinnamon Rolls ➡️ • Cinnamon Rolls /Jinsi ...
Mahamri /Jinsi ya kutengeneza Maandazi ya Custard na Maziwa /Swahili Bread Recipe ➡️ • Mahamri /Maandazi ya C...
Mkate wa Mdalasini/ Jinsi ya Kutengeza Mkate wa Mdalasini na Zabibu / Cinnamon Raisin Bread➡️ • Mkate wa Mdalasini na ...
Jinsi ya kupika Maandazi Laini ya Nazi /Mahamri ya Nazi/ Coconut Bread /Mapishi Rahisi ya Maandazi ➡️ • Jinsi ya kupika Maanda...
Jinsi ya Kutengeza Mzinga wa Nyuki Tamu san / Honeycomb Bread ➡️ • Mzinga wa Nyuki / Hone...
Jinsi ya Kutengeza Mkate wa Mayai Mlaini Sana / Sponge Cake ➡️ • Mkate wa Mayai /Jinsi ...
Jinsi ya Kutengeza Burger Buns Laini Sana / Burger Buns ➡️ • JINSI YA KUTENGEZA NA ...
Mikate ya Mofa /Mikate ya Unga wa Sima ➡️ • Mikate ya Mofa/Muufo /...
Mikate ya Mchele / Vibibi/ Jinsi ya Kupika Vibibi vya Tui la Juu ➡️ • Vibibi vya Tui la Juu ...
Rice Bread /Mkate wa Kumimina / Jinsi ya Kupika Mkate wa Sinia➡️ • Mkate wa Sinia /Mkate ...
Skonzi /Mapishi ya Skonzi Tamu Ajabu /Scones Recipe ➡️ • Skonzi /Mapishi ya Sko...
Mikate /Jinsi ya Kupika Mikate ya Nyama Mitamu Sana /How to Make Stuffed Bowl Bread /Eid Special ➡️ • Mikate /Jinsi ya Kupik...
Pizza /Mombasa Pizza /Swahili Pizza /Mombasa Sreet Food /Mkate wa Nyama ➡️. • Pizza /Mombasa Pizza /...
FACEBOOK ➡️ / tajiris-kitchen-100334...
INSTAGRAM ➡️ tajiriskitchen?...
#mombasapizza #swahilipizza #tajiriskitchen #mapishiyakiswahili
Salad na Sosi yake Recipe 👇czcams.com/video/nOomWTx1Wfc/video.html
I love. It
Mashallah looks soo yummy 😋😋👌
Thanks, sister 🥰
Nzuri mashaAllah
MashaAllah ntajaribu insha'Allah 😋
Wow Masha Allah naijaribu Leo kupika natamani itoke iyo yako
Itatokea tu😊
I will try this
Asante sana
Safi sana
Ooh nice almost like Zanzibar pizza 💖
My favorite 😋😋😋
Kuna base pale sparki zauzwa daily nikitoka job lazima nipitie, thanks for the recipe ntaijaribu
Most welcome sister
Mashallah mate yanidondoka
maashallah zuri sana
Shukran sista sista😋
Maa Shaa Aallah
Shukran
Looks so yummy MashaAllah😋
Thank you
Mashallah Tabarakallah umujulia kweli Shukran
Asante na karibu sana😘
Masha'ALLAH
Shukran sister
salàm alekum mashallaah
Maashallah
Shukran Wifi
Masha Allah
Shukran
Mashaa Allah
Shukran
I love this one
Thank you
Mashallah
Shukran wifi
Nimependa thanks for the recipe
Karibu sana dear
Nipeni likes za new subcriber
Karibu sana 🥰
Asante sana... For accepting the challenge... Leo nimepika.. kama hapa pangekua na nafsi ya ku send photos ningetuma... Tamu kweli.. Mzungu amependa 😂!!!!
Shaqmatic. Karibu sana na nafurahi sana kuskia. Mzungu amejiramba 🤣🤣🤣
One of the famous snacks in Kenya Mombasa.. and my favorite too😋
Indeed 😋
Mashaallah
Shukran 😘
@@tajiriskitchenswahiliflavo1723 afwn
Looks Yummy😋😋😋
Thank you
Nitajaribu inshallah
Insha'Allah
Pishi zuri sanaaa nimelipenda
Asante sana
Hizo pizza shwari kabisa😋😋
Asante mrembo😘
Thanks for the easy tutorial 👏🏽👏🏽
Most welcome dear
Nice dear 👍
Thank you 😊
Thank so much for this.
Most welcome
Umefahamisha vizur nimeelewa nitajaribu inshaallah shukraan
Karibu sana dear
@Shaqmatic. Request yako hii.
Asante sana... 🙏🏾🙏🏾
Shukuran kwa mafundisho
Karibu sana
The water is warm or cold
Hii iko poa kabisa,kumbe silazima kubake,waeza kuchoma pia!
Yes, Asante sana.
Common sense: put the heavy side down first so that it’s easier to flip to the lighter side and the dough will have slightly hardened to keep the stuffing intact 🤦🏻♀️
Thanks for watching.
Mishono
A.a, nyama umetumia kiasi gani?
asnte una ujuzi we dada utamu mtupu
Shukran sana
Thanks sanaaaaa. Minced bila mafuta hapo ndipo umenichanua.
Karibu sana 😊
Hi Dada Tajiks!asante sana ningependa kujua kuhusu mspishi ya fruit salad s,wasalam H
Niko nayo recipe angalia kwa my videos utaiona
Magnificent lyvto hear from u bellowvit urs most frankly H
Thank you so much
Huo utamu... Basi tu!!
We need video ya good salads please
Iko kwa tayari, tafuta kwa videos zangu utaiona
Mercy Rono Here thelink czcams.com/video/nOomWTx1Wfc/video.html
Dhania is coriander not parsley.
Mi wanipunga tu ukisema utamu utamu zaidi😀
🤣🤣🤣 Cha tamu lazima tukisifu sister
Kima Ni kiasi gani
Unaweza kutumia size yoyote tu upendayo
dhania is coriander not parsley
Same thing dear. All are correct names.
Utamu mtupu dada
Kabisa tena 😄