Jinsi Ya Kutengeneza Karanga Za Mayai Tamu Kwa Urahisi.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 12. 2022
  • Mahitaji
    Karanga vikombe 4
    Sukari grams 70
    Chumvi kijiko 1 Cha chai
    Vanilla kijiko 1 Cha chai
    Mayai 3
    Maziwa ya unga vijiko 2 vya chakula
    Mafuta ya kukaangia
    Unga wa ngano vikombe 2
    #Karangazamayai #tengenezakarangazamayai #karangazamayainyumbani #kupikakarangazamayai #karangakukaangazamayai

Komentáře • 96

  • @PriscalKisenah
    @PriscalKisenah Před 19 dny

    Akina uko vizuri dada

  • @edithbudebah5505
    @edithbudebah5505 Před měsícem +2

    Nzuri sana lakini mbona kinachoonekana kwenye picha na ulichopractice ni tofauti,nilijua ni karanga fulani hivi naiona madukani ni ya nazi na ni mviringo iko coated sana nahisi sijui ni machine ndo inafanya mana zote zinalingana

    • @MisosimitamuC
      @MisosimitamuC  Před měsícem +1

      Mpenzi Asante sana . Na karibu sana kwenye channel yangu. Ukitaka upate round Nzuri kama diamond karanga. Ukishachekecha kutoa unga. Chukua karanga moja moja zungusha kwenye mkono. Utengeneze duara. Zinatoka vizuri sana . Nutaonyeaha video muda si mrefu utaona

  • @shemsasaid384
    @shemsasaid384 Před rokem +2

    Nice nimependa

  • @aureliaaugustinomsoma7327

    Hongera na asante najifunza

  • @fatumadugulu351
    @fatumadugulu351 Před rokem +3

    Ahsant sn kwa somo,MUNGU akubaliki sana

  • @knasso
    @knasso Před rokem +2

    Asantee kwa somo lako

  • @veronicamabula5124
    @veronicamabula5124 Před rokem +1

    Asante mpendwa wangu nimependa

  • @josiamsomba4671
    @josiamsomba4671 Před 6 měsíci +1

    ❤ Asante kwa somo

  • @ZainabJuma-iy3qt
    @ZainabJuma-iy3qt Před 10 měsíci +1

    Asanteee❤

  • @VioletyTemu-ps8sv
    @VioletyTemu-ps8sv Před měsícem +1

    Asante nimejifunza je vip kama sina maziwa ya unga na vanila naweza tumia unga na sukari na mayai pekee

    • @MisosimitamuC
      @MisosimitamuC  Před měsícem

      Ndio mpenzi. Unaweza kutumia na zikatoka Nzuri tu. Karibu sana kwenye account yangu

  • @MariamuMkama
    @MariamuMkama Před měsícem +1

    Barikiwa nitafanya jaribio la kuzikaanga

    • @MisosimitamuC
      @MisosimitamuC  Před měsícem

      Tubarikiwe wote kipenzi. Asante Kwa kupita kwenye page yangu. Usisahau kushare tafadhari

  • @magrethmsami6320
    @magrethmsami6320 Před 2 měsíci +1

    Asante unajua kufundisha mno

  • @Wsdddjsssnd
    @Wsdddjsssnd Před rokem +3

    Anaelekeza taratbu ad Raha hatua Kwa hatua ❤️💃🙏

  • @olivabata287
    @olivabata287 Před rokem +2

    Asante kwa somo zuriiii ubarikiwe

  • @user-gf7ef3yd1z
    @user-gf7ef3yd1z Před měsícem +1

    Asante.

    • @MisosimitamuC
      @MisosimitamuC  Před měsícem

      Asante pia sana dear Kwa kua hapa. Ubarikiwe. Usiache kushare please

  • @user-nh1jv8yl5j
    @user-nh1jv8yl5j Před 10 měsíci +1

    Santeeeeee

    • @MisosimitamuC
      @MisosimitamuC  Před 10 měsíci

      Karibu sana dear. Asante pia sana sana kunipa support

  • @neemashaabancakes
    @neemashaabancakes Před rokem +3

    🔥🔥🔥

  • @elizabethhaule8989
    @elizabethhaule8989 Před rokem +1

    Asante SoMo zuri maelekezo yameeleweka karanga kilo mbili unaweka mayai mangap

    • @MisosimitamuC
      @MisosimitamuC  Před rokem

      Asante sana sana kipenzi na karibu sana ..Weka Mayai 4 tu

    • @elizabethhaule8989
      @elizabethhaule8989 Před rokem

      Pia naomb kuuliza nini kinachofanya coat ya karanga kuwa na rangi ya maziwa dear??

  • @angeliqueChris
    @angeliqueChris Před rokem +2

    Asante dada, uliweka unga wote na ile mix ya mayai?

    • @MisosimitamuC
      @MisosimitamuC  Před rokem

      Karibu sana dear. Ndio dear niliweka ila badae nikacheka kuondoa unga uliobaki.

  • @Tiktoks86254
    @Tiktoks86254 Před 2 měsíci +1

    Nmejifunza kitu kikubwa sana ..nime subscribe pia lv❤

    • @MisosimitamuC
      @MisosimitamuC  Před 2 měsíci

      Oooh kipenzi Asante sana sana na ubarikiwe sana sana. Karibu sana. Nashukuru sana

  • @hosealema8157
    @hosealema8157 Před 11 měsíci +1

    Sorry best vipimo vya unga na sukari my dear hujatuambia

    • @MisosimitamuC
      @MisosimitamuC  Před 11 měsíci

      Bila samahani dear. Asante sana
      Mahitaji
      Karanga vikombe 4
      Sukari grams 70
      Chumvi kijiko 1 Cha chai
      Vanilla kijiko 1 Cha chai
      Mayai 3
      Maziwa ya unga vijiko 2 vya chakula
      Mafuta ya kukaangia
      Unga wa ngano vikombe 2
      PIA UKITAKA VIPIMO ANGALIA CHINI YA VIDEO HUA NAWEKA KIPENZI. Asante sana

    • @mwingirah7141
      @mwingirah7141 Před 2 měsíci

      Kama hutojali naomba mawasiliano yako ya simu

  • @evalineemmanuel8178
    @evalineemmanuel8178 Před 4 měsíci +1

    maziw umewek mud ghn may

    • @MisosimitamuC
      @MisosimitamuC  Před 4 měsíci +1

      Salama kipenzi. Maziwa ya unga nimechanganya na unga wa ngano.

  • @adolphmwangoje2887
    @adolphmwangoje2887 Před 5 měsíci +1

    We kuelekeza bdo

  • @pendosamwel
    @pendosamwel Před 2 měsíci +1

    Kama situmii maziwa ya unga je maziwa ya maji nitatumia kiasi gani kwa karanga kilo1

    • @MisosimitamuC
      @MisosimitamuC  Před 2 měsíci

      Hapana usiweke maziwa ya maziwa ya unga. Tunaweka maziwa ya unga kwenye unga wa ngano ili kuleta ladha tu mpenzi ila sio lazima

  • @angeliqueChris
    @angeliqueChris Před rokem +1

    Dada unga na maziwa ni kiasi gani

  • @abdulmsham381
    @abdulmsham381 Před 11 měsíci +1

    Je unatumia karanga mbichi au zlee zilizotengenezwa

    • @MisosimitamuC
      @MisosimitamuC  Před 11 měsíci

      Salama wangu. Karanga tumia mbichi tu ila ukitaka kuwekea Mayai zilizokaangwa inawezekana pia ila Sasa inabidi uwe shapu sana kwenye kuziepua ili zisiungue ndani. Mana zinakua tayari zimeshakaangwa. Asante sana

  • @rosemaryrobert788
    @rosemaryrobert788 Před 24 dny

    Aina gan ya sukar umetumia

  • @user-zj5xg8fu4t
    @user-zj5xg8fu4t Před 2 měsíci +1

    nimejifunza kitu asante,,,kama hauna maziwa je?? unaweza kutumia ngano tu na hvy viungo vingn??

    • @MisosimitamuC
      @MisosimitamuC  Před 2 měsíci +1

      Sio lazima maziwa mpenzi.

    • @user-zj5xg8fu4t
      @user-zj5xg8fu4t Před 2 měsíci +1

      asante sana,,,nilijaribu na zimekuwa nzuri bila maziwa na nimeanza kuuza

    • @MisosimitamuC
      @MisosimitamuC  Před 2 měsíci +1

      @user-zj5xg8fu4t Asante sana mpenzi. Nimefurahi sana. Hongera sana kipenzi .

  • @zubedamohammed-nk4kv
    @zubedamohammed-nk4kv Před 5 měsíci +2

    Mimi huwa ngono haizibi karanga yote msaada plz

    • @rachellameck8236
      @rachellameck8236 Před 2 měsíci

      Da zubeda mm Niko najifunza ila sms yako nilivyo ona nimechekaa ngano dada sio ngono🤣🤣🤣 amsory lakin

    • @MisosimitamuC
      @MisosimitamuC  Před 2 měsíci +1

      Pole mpenzi. Ukishaweka unga zimwagie Tena unga wa Mayai. Alafu weka Tena ngano. Samahani dear comment niliiona ila sikielewa. Nisamehe sana kuchelewa kujibu

  • @veronicamabula5124
    @veronicamabula5124 Před rokem +2

    Kwa kilo moja ya karanga naweka mayai mangapi?

  • @elizabethhaule8989
    @elizabethhaule8989 Před rokem +2

    Je kwa wanaotumia baking powder unaweka kwa wakat Gani

    • @MisosimitamuC
      @MisosimitamuC  Před rokem

      Baking powder changanya na unga dear. Ila usiweke nyingi sana weka 1/2 au 1/4 kijiko Cha chai tu

    • @user-ht6mb1gl4c
      @user-ht6mb1gl4c Před 29 dny +1

      Samahani naomba kujua kazi ya baking powder kwenye karanga

    • @MisosimitamuC
      @MisosimitamuC  Před 29 dny

      Inasaidia karanga kua na rangi Nzuri na pia inazifanya kukauka vizuri. Kua crispier

  • @fatumadugulu351
    @fatumadugulu351 Před rokem +1

    Vanila kiasi gani mamy

    • @MisosimitamuC
      @MisosimitamuC  Před rokem +1

      Kijiko 1 cha chai dear

    • @fatumadugulu351
      @fatumadugulu351 Před rokem +1

      @@MisosimitamuC Nashukulu sn sn,nimekupenda bure kwani sio mchoyo💕

    • @MisosimitamuC
      @MisosimitamuC  Před rokem

      Asante sana dear. Umenifanya nifurahi sana. Love u ❤️

  • @hakimkim8447
    @hakimkim8447 Před 4 měsíci +1

    kama huna unga wa maziwa unaweza tengeneza bila?

    • @MisosimitamuC
      @MisosimitamuC  Před 4 měsíci +1

      Ndio wangu. Unaweza tengeneza bila kuweka unga wa maziwa na zikawa Nzuri tu. Karibu tena sana

  • @treshynyalusy5674
    @treshynyalusy5674 Před rokem +1

    kama hauna ovena unaacha kwenye jua kwa dk ngapi

  • @eunicejohn5520
    @eunicejohn5520 Před rokem +1

    Naomba namba zako madam

  • @sophiaramadhan2995
    @sophiaramadhan2995 Před rokem +1

    Sukari naeka kias Gan??

    • @MisosimitamuC
      @MisosimitamuC  Před rokem

      Salama dear. Sukari ni gramu 70 au vijiko 5 vya chakula . Mahitaji mengine haya Sukari grams 70
      Chumvi kijiko 1 Cha chai
      Vanilla kijiko 1 Cha chai
      Mayai 3
      Maziwa ya unga vijiko 2 vya chakula
      Mafuta ya kukaangia
      Unga wa ngano vikombe 2Mahitaji
      Karanga vikombe 4

    • @sophiaramadhan2995
      @sophiaramadhan2995 Před rokem +1

      Ahsant dr

    • @MisosimitamuC
      @MisosimitamuC  Před rokem

      Karibu na Asante sana kipenzi

  • @agnesmgodogodo
    @agnesmgodogodo Před 3 měsíci +1

    Vipimo plz

    • @MisosimitamuC
      @MisosimitamuC  Před 3 měsíci

      Mambo dear. Karibu sana misosimitamu
      Mahitaji
      Karanga vikombe 4
      Sukari grams 70
      Chumvi kijiko 1 Cha chai
      Vanilla kijiko 1 Cha chai
      Mayai 3
      Maziwa ya unga vijiko 2 vya chakula
      Mafuta ya kukaangia
      Unga wa ngano vikombe 2

    • @VerogTz
      @VerogTz Před 3 měsíci +1

      mwalimu nimekupenda buree kabisa,kwa kutenga muda wakujibu na kuelekeza, barikiwaa

    • @MisosimitamuC
      @MisosimitamuC  Před 3 měsíci

      @@VerogTz Asante sana dear

  • @salmakayeke2747
    @salmakayeke2747 Před 4 měsíci +1

    Vanila ya unga inafaa?