Jinsi Ya Kutengeneza Karanga Za Mayai Tamu Kwa Urahisi.
Vložit
- čas přidán 27. 12. 2022
- Mahitaji
Karanga vikombe 4
Sukari grams 70
Chumvi kijiko 1 Cha chai
Vanilla kijiko 1 Cha chai
Mayai 3
Maziwa ya unga vijiko 2 vya chakula
Mafuta ya kukaangia
Unga wa ngano vikombe 2
#Karangazamayai #tengenezakarangazamayai #karangazamayainyumbani #kupikakarangazamayai #karangakukaangazamayai
Akina uko vizuri dada
Asante sana dear
Nzuri sana lakini mbona kinachoonekana kwenye picha na ulichopractice ni tofauti,nilijua ni karanga fulani hivi naiona madukani ni ya nazi na ni mviringo iko coated sana nahisi sijui ni machine ndo inafanya mana zote zinalingana
Mpenzi Asante sana . Na karibu sana kwenye channel yangu. Ukitaka upate round Nzuri kama diamond karanga. Ukishachekecha kutoa unga. Chukua karanga moja moja zungusha kwenye mkono. Utengeneze duara. Zinatoka vizuri sana . Nutaonyeaha video muda si mrefu utaona
Nice nimependa
Asante sana kipenzi. Ubarikiwe sana
Hongera na asante najifunza
Asante sana dear. Nashukuru sana
Ahsant sn kwa somo,MUNGU akubaliki sana
Asante sana kipenzi. Tubarikiwe sote
Asantee kwa somo lako
Nashukuru pia sana.
Asante mpendwa wangu nimependa
Asante sana mpendwa. Karibu Tena na tena
❤ Asante kwa somo
Asante sana kipenzi. Karibu tena
Asanteee❤
Asante sana dear. Na pia karibu
Asante nimejifunza je vip kama sina maziwa ya unga na vanila naweza tumia unga na sukari na mayai pekee
Ndio mpenzi. Unaweza kutumia na zikatoka Nzuri tu. Karibu sana kwenye account yangu
Barikiwa nitafanya jaribio la kuzikaanga
Tubarikiwe wote kipenzi. Asante Kwa kupita kwenye page yangu. Usisahau kushare tafadhari
Asante unajua kufundisha mno
Asante sana mpenzi
Anaelekeza taratbu ad Raha hatua Kwa hatua ❤️💃🙏
Asante sana dear
Asante kwa somo zuriiii ubarikiwe
Asante sana kipenzi. Tubarikiwe sote
Asante.
Asante pia sana dear Kwa kua hapa. Ubarikiwe. Usiache kushare please
Santeeeeee
Karibu sana dear. Asante pia sana sana kunipa support
🔥🔥🔥
Asante kipenzi
Asante SoMo zuri maelekezo yameeleweka karanga kilo mbili unaweka mayai mangap
Asante sana sana kipenzi na karibu sana ..Weka Mayai 4 tu
Pia naomb kuuliza nini kinachofanya coat ya karanga kuwa na rangi ya maziwa dear??
Asante dada, uliweka unga wote na ile mix ya mayai?
Karibu sana dear. Ndio dear niliweka ila badae nikacheka kuondoa unga uliobaki.
Nmejifunza kitu kikubwa sana ..nime subscribe pia lv❤
Oooh kipenzi Asante sana sana na ubarikiwe sana sana. Karibu sana. Nashukuru sana
Sorry best vipimo vya unga na sukari my dear hujatuambia
Bila samahani dear. Asante sana
Mahitaji
Karanga vikombe 4
Sukari grams 70
Chumvi kijiko 1 Cha chai
Vanilla kijiko 1 Cha chai
Mayai 3
Maziwa ya unga vijiko 2 vya chakula
Mafuta ya kukaangia
Unga wa ngano vikombe 2
PIA UKITAKA VIPIMO ANGALIA CHINI YA VIDEO HUA NAWEKA KIPENZI. Asante sana
Kama hutojali naomba mawasiliano yako ya simu
maziw umewek mud ghn may
Salama kipenzi. Maziwa ya unga nimechanganya na unga wa ngano.
We kuelekeza bdo
Asante kwahiyo hujaelewa? Karibu tena
Kwan wapi hujaeewa
Asante dear
Kama situmii maziwa ya unga je maziwa ya maji nitatumia kiasi gani kwa karanga kilo1
Hapana usiweke maziwa ya maziwa ya unga. Tunaweka maziwa ya unga kwenye unga wa ngano ili kuleta ladha tu mpenzi ila sio lazima
Dada unga na maziwa ni kiasi gani
Salama dear. Maziwa ni vijiko 2 vya chakula na
unga vikombe 2
🙏🏾
Je unatumia karanga mbichi au zlee zilizotengenezwa
Salama wangu. Karanga tumia mbichi tu ila ukitaka kuwekea Mayai zilizokaangwa inawezekana pia ila Sasa inabidi uwe shapu sana kwenye kuziepua ili zisiungue ndani. Mana zinakua tayari zimeshakaangwa. Asante sana
Aina gan ya sukar umetumia
Ya brown dear
nimejifunza kitu asante,,,kama hauna maziwa je?? unaweza kutumia ngano tu na hvy viungo vingn??
Sio lazima maziwa mpenzi.
asante sana,,,nilijaribu na zimekuwa nzuri bila maziwa na nimeanza kuuza
@user-zj5xg8fu4t Asante sana mpenzi. Nimefurahi sana. Hongera sana kipenzi .
Mimi huwa ngono haizibi karanga yote msaada plz
Da zubeda mm Niko najifunza ila sms yako nilivyo ona nimechekaa ngano dada sio ngono🤣🤣🤣 amsory lakin
Pole mpenzi. Ukishaweka unga zimwagie Tena unga wa Mayai. Alafu weka Tena ngano. Samahani dear comment niliiona ila sikielewa. Nisamehe sana kuchelewa kujibu
Kwa kilo moja ya karanga naweka mayai mangapi?
Salama dear. Weka mawili mpaka 3.
Je kwa wanaotumia baking powder unaweka kwa wakat Gani
Baking powder changanya na unga dear. Ila usiweke nyingi sana weka 1/2 au 1/4 kijiko Cha chai tu
Samahani naomba kujua kazi ya baking powder kwenye karanga
Inasaidia karanga kua na rangi Nzuri na pia inazifanya kukauka vizuri. Kua crispier
Vanila kiasi gani mamy
Kijiko 1 cha chai dear
@@MisosimitamuC Nashukulu sn sn,nimekupenda bure kwani sio mchoyo💕
Asante sana dear. Umenifanya nifurahi sana. Love u ❤️
kama huna unga wa maziwa unaweza tengeneza bila?
Ndio wangu. Unaweza tengeneza bila kuweka unga wa maziwa na zikawa Nzuri tu. Karibu tena sana
kama hauna ovena unaacha kwenye jua kwa dk ngapi
Oven sio lazima kipenzi. Anika kwenye jua mpaka zikauke kabisa.
@@MisosimitamuC ok ahsante sana
Asante pia wangu. Karibu
Naomba namba zako madam
Naomba Instagram handle yako nikudm mpenzi
@@MisosimitamuC Yunjohn67
@@eunicejohn5520 poa dear nakutumia
Sukari naeka kias Gan??
Salama dear. Sukari ni gramu 70 au vijiko 5 vya chakula . Mahitaji mengine haya Sukari grams 70
Chumvi kijiko 1 Cha chai
Vanilla kijiko 1 Cha chai
Mayai 3
Maziwa ya unga vijiko 2 vya chakula
Mafuta ya kukaangia
Unga wa ngano vikombe 2Mahitaji
Karanga vikombe 4
Ahsant dr
Karibu na Asante sana kipenzi
Vipimo plz
Mambo dear. Karibu sana misosimitamu
Mahitaji
Karanga vikombe 4
Sukari grams 70
Chumvi kijiko 1 Cha chai
Vanilla kijiko 1 Cha chai
Mayai 3
Maziwa ya unga vijiko 2 vya chakula
Mafuta ya kukaangia
Unga wa ngano vikombe 2
mwalimu nimekupenda buree kabisa,kwa kutenga muda wakujibu na kuelekeza, barikiwaa
@@VerogTz Asante sana dear
Vanila ya unga inafaa?
Inafaa dear Tena hiyo itapendeza zaidi