KUTENGENEZA POPCORNS ZA RANGI🍿COLOURED POPCORNS (2021)
Vložit
- čas přidán 2. 03. 2021
- KITENGENEZA POPCORNS ZA RANGI BILA MASHINE YA POPCORNS 🍿😋
📌Socials
Instagram @ikamalle
Tiktok. Ika Malle
Email 📧 phenomenalika@gmail.com
🎬 VIDEO ZINGINE NZURI
-Jinsi yakutengeneza Chochote
-Kutengeneza BISKUTI za Chocolate
-Kutengeneza Keki ya chocolate
-Kutengeneza BISKUTI na Sufuria
#bountychocolate #ikamalle
Asante, Ika - Jak na to + styl
Asante dada saiv napata mia miambili kupitia ww nakupendaa
Karibu sanaa
@@ikamalle asante mpenz
Ahsante napenda kujifunza jinsi yakupikakrips za viazi
Ika wewe ni fundi. Asante sana Kwa mapishi rahisi
Fantastic!!
Thank you Haika umesaidia sana wajasiriamli.
Masha Allah
Shukran mamii nimepika ni tamu balaa . Mwenzio nilikuwa natia Shira km vile kalmati bac zinaganda nashindwa hata kuzila . Kweli usilolijue ni sawa na usiku wagiza
Asnt my nimejifunza popcorn za rangi barikiwa
Asante Ika, unatusaidia sana
Wow nmependa hzo zarangi
Nzur sana dada
Asante sana umenitoa ushamba umenifungua macho,barikiwa.
Karibu dear ♥️
Shukrani Sana nilikuwa kila nikitengeneza zinaungua,Leo nimejua sababu nilijua naziacha bila kuzitikisa au kuzichanganya,ubarikiwe sana
🥰🥰🥰
Thanks
Ahsante
Nimependa sana
Great Video Love ❤️
Thank you kymmiee
asantee
Sio sir haika nakupenda sana mungu akulinde
Amen….. Ubarikiwe na wewe
Wooow Ahsante
Karibu sana dear
Great video 🥰
Thank u dada 🥰
Mashallah
Ahsante kwa mafunzo
Karibu
😋😋😋😋
Sante ika
Tunaweza kutumia sufuria za kawaida? Mi natamani kupika za biashara na je vipimo vya rangi kwa mahindi kg 1 inakuwaje?
Asnte sn nimeshajua ntajaribu
Je kama natengeneza kwa mashine ntachanganya vip ??
Rangi zinapatikana wp
Izo rangi ukienda kununua unaulizaje?
Kwa wale wenye mashine ndog 2kitaka kutengeneza za rangi inakuwaje?
Da haika naomba unisaidie mm nikitengeneza popcorn zinaishia kuungua ss sijui nakosea wapi
Kwahiyo haifai kutumia maindi ya kawaida kama hayo hukupata?
Ubarikiwe mpnz yan nnavypondenda popcorn cant wait kutengeneza za rangi😋
Nnaweza kutumia rangi ya maji?
Siku jaribu ya maji
Ni nzuri Sana jamani rangi hizo naweza kuzipata kwenye maduka gani?
Ni mahindi gani haya mahindi ya lishe au
Ni mahindi ya lishe unatumia
Mi nataka kupikia kwenye sufulia yakawaida je nitafanikiwa
Zikiwa nyingi je kama kilo moja nawek kiasi gani rangi
Dada haika za kwangu kila nikitengeneza zinaungua shida ni nn😢😢
Dad iyo rang ndo zile zakachor tuelez vizury mmy
Kama hauna rangi alaf unataka kutengeza pepkoni za sukari
We dada unajua jamani..hongera Sana Kwa kutufunza nitampikia binti yangu Leo ntakutumia mrejesho Instagram 🤤🤤😋😋
😋😋
Naomba namba Ako dada Haika tafadhali ety ngependa kuwasiliana na wewe
Hii rangi ya bisi inaitwaje sasa
Hayo maendi ya kutengeneza yanauzwaje dukani au yanaitwaje ukifika dukani
Mahindi ya bisi
Mbn za kwangu zinaungua😢😢
Izo rangi nazipata api jamani
Hey dear... wasiliana na @mziwanda_bakers (anaziuza)
Maindi unaloweka
Hapana