Mamy asante sana nimejaribu lakini mkate wangu haujaumuka nahisi nimekosea kwenye hamira au kwa sababu sikuweka bread improver?? ila umetoka mtamu nashukuru sana ubarikiwe
Jaman madam mm nimejifunza vingi na nimejarib lakin mkate mara kadhaa unanishinda unakuwa mgumu juuu hauwez kukaa hata siku 2.😭😭 Halaf naomba kuuliza ninapooka kitu chochote kwenye umeme yaan oven ile ac inatakuwa iwe inapuliza? bado cjajua sana🙈
Habari dada mwalimu anafundisha vizuri samahan kuna eneo sijaelewa kuseti timer alivoweka dakika Saba Hadi kumi hapohapo amewasha kwenye hamsini hii inakuaje
Unaweza kukaaa siku ngp usiharibike? Kwa mf. Kama umeamua kufanya mikate ya biashara? Na kama huo uliooka Kwenye pan ndefu huwa unauza bei gn kama ni mikate ya kuuza? Ulipo gawa donge baada ya kuumuka ukapima Kwenye mzani, ulipima uzito sawa kwa sawa ndio ukagawa Kwenye tins hizo tofauti? Au kuna tin ilizidi?
Wewe ni mwalimu Bora dada ❤❤❤❤
Darasa zuri hongera 😍
Dada🥰🥰
Kazi nzuri
Asante sana dada wa mziwanda bakers umenifundisha vitu vingi mashaallah
Asant kwa darasa zuri samahan kuna eneo sijaelewa nisaidie ulivo set timer 7 dak hadi 10 hapo hapo unasema timer 50 hapo nisaidie
asanti sana
Wow!! Ahsante dear leo acha nijaribu kwa vitendo
Hapo upate bulbend kwa chai ya maziwa.hadi Raha tamu😋😋 Ma Sha Allah Shukrn Habbity.🌷
Asante my dia nimejifunza sana
Mashaallah yani nakupenda vle unatufungisha hatuwa kwa hatuwa shukran sna
Shukran dear
Hongera Sana Dada wa mziwanda. Samahani unga nzuri kwa mikate Ni Upi dear
Mashallah
Shukran sana sister
Ahsante kwa darasa zuri
Ahsante mwaya nimejaribu nimeweza
kazi nzuri dada.
mashaallah
Safi wewe ni mwalimu bora sana
Asante Sana mziwanda kwa recipe yenu nimejaribu kuifuatilia vilivyo
Shukran na karibu sana
Shukran sana dada yangu
Napenda sana mafundisho yako
❤❤❤👏👏🙏
Mashaallah mzuri sana
🙏
Yaan ww dada nakupenda😍 Bure wallah una mapishi mazur mpak nataman nikuone.🤣
Nice😍😍😋😋
Waoh ntaijaribu hii, asante
Karibu
Hongera
Asante mpenzi
Unaelekeza vzr dada .
Thanks mumy
Nitajaribu dear
Nice
Yummy yummy
Nakupenda sana mziwanda❤️
Ahsante sana dear
Shukran ukhty
🥰
Salaaala! Napenda mapishi yako sana.
Shukran karibu sana
Darasa zuri sana
Mashallah Allah akupe kheri in shallah
Jazakal Allahu kheri
Hello mom I love you recipe I would love to learn I'm from kenya I need machine
Mamy asante sana nimejaribu lakini mkate wangu haujaumuka nahisi nimekosea kwenye hamira au kwa sababu sikuweka bread improver?? ila umetoka mtamu nashukuru sana ubarikiwe
Masha Allah shukran kwa mapishi naomba picha ya bread pruver nione Mimi sijui
Kweli ata mimicjui
Kwenye maduka ya keki
Dada nimekuelewa ,,uko vzr sana
🥰🙏
Asante madam mie ni mgeni naomba urudie siku nyingine
Ahsante sana nimejaribu mkate umetokea vizuri.
❤❤❤❤❤
Jamani waweza tumia blue band
Thanks nimejaribu hio RECIPE it's so nice 😋😋😋
Nashukuru nimejifunza kuweka bread prover.
Karibu sana
Asatesana
Nimeelewa
Je huo mkate waweza uza sh ngapi?
Mashallah hongera dada kwa mapishi mazuri.je naweza kuipata wapi Bakery improver na ikoje please.
Ipo kama magadi laini na ina rangi ya cream
Umenisaidia sana kipenzi nimeweza kupika kwa usahihi wa vipimo MUNGU akubariki sana
Ameen karibu sana
Asante Sana kwa upishi wenu nauliza je waweza kutumia unga wwte kw kupika mkate?
Ndio wowote unafaa
Dada Mziwanda Bakers, aksante sana kwa maarifa yako. Kwa Dar, Bread Improver naweza kuinunua wapi tafadhali?.
Kaliakoo
Kwenye kukanda unga hutumii mafuta?
Asante Sana daa kwa upishi wako, je nauliza bread improver nilazima kuweka kw mkate.
Sio lazima saana
Hivyo vyombo vyakupikiya vinauzwaje
ASANTE SANA DADANGU MAHITAJI YOTE NNAYO NYUMBNI
Karibu tena dear
Nimejaribu Leo jaman cake imeiva vizur ila shida kwenye kupamba😂
Dada kam una Cha kupikia mkate wawez tumiq
Bread improve nini au mbadala wake ni nini?
Allah akulipe malipo mazuri, huna choyo mwenyewe
Amiin Yaa Rabb
Kabisa yani sio mchoyo Huyu dada, Mungu amzidishie kwakweli
Na mba kunavitu nahitaji please
Asnt nimejifunza hivyo mkate unakanda km inavyofanya maandazi sio
Sasa dada kama huna overall unaeza tumia hata jiko la mkaa
Unaweza bila shida
Mmh kwakweli nnafurah Sana unafundisha hatua kwahatua huna ubinafsi
Karibu sana
Bread improver inafaa kuweka kwenye keki?
Hapana dear haifai kwa keki
Dada Habari yako samahani lkn nimepika mkate Mara mbili zote unakua mgumu kwan nakosea wap?? Naomba unisaidie
Ukandaji wako fanya ulainike vizuri pale mwanzoni ,utapata mkate mzuri sana
Auweki blue bd ama mafuta
My unaweza unaweza tumia cake improver kwenye mkate?
Sijawahi kuitumia kwa mkate dear
@@mziwandabakers8297 Asante mamy nimepata leo mjini nitajaribu leo nikupe mrejesho mamaa
Mamy kikombe cha Maji ulichotumia ni ml ngapi? Mie nimetumia ml250 Maji yamekuwa mengi
hyo oven lita ngap na n bei gani.?
Lita 70 Germany 400,000
Jaman madam mm nimejifunza vingi na nimejarib lakin mkate mara kadhaa unanishinda unakuwa mgumu juuu hauwez kukaa hata siku 2.😭😭
Halaf naomba kuuliza ninapooka kitu chochote kwenye umeme yaan oven ile ac inatakuwa iwe inapuliza? bado cjajua sana🙈
Yaani feni ya oven ndio kazi yake kupepea automatic pika hii recipe utaipenda naimani
Leo ntawapikia binti zangu
Maa shaa Allah 😘😘
Unapika vijuri
Samahani hio tin ya mkate ni nchi ngapi na mkate wake unaweza uza bei gani
7"
Nisaidie ivi icing sugar inayo ganda wanatengenezaje msaada
Ipo nitawaelekeza zaidi
Tunaomba picha ya hiyo prov
Ni kama unga wa mihogo inaitwa bread improver
Mi naomba nijue maji vikombe viwili ni sawa na Lita ngapi sina vikombe ili nipime kwa lita
Nusu lita isijae sana ipungue kudogo
@@mziwandabakers8297 thanks
Badala ya maji naweza weka maziwa?
Ndio unakuwa poa sana
Vipimo Dada angu n unaweza tumia Kama vyakeki au
Na kwenye cake unaweza weka impruva
Hapana si improver hii ipo ya keki
Unaelekeza vzur ntaleta mrejesho
Habari dada mwalimu anafundisha vizuri samahan kuna eneo sijaelewa kuseti timer alivoweka dakika Saba Hadi kumi hapohapo amewasha kwenye hamsini hii inakuaje
Mangerin ndo nn?
Ni kama blue band,prestige,mo margarine nakadhalika sio vegetable oil lakini
Darasa nzuri
Unaweza kukaaa siku ngp usiharibike? Kwa mf. Kama umeamua kufanya mikate ya biashara?
Na kama huo uliooka Kwenye pan ndefu huwa unauza bei gn kama ni mikate ya kuuza?
Ulipo gawa donge baada ya kuumuka ukapima Kwenye mzani, ulipima uzito sawa kwa sawa ndio ukagawa Kwenye tins hizo tofauti? Au kuna tin ilizidi?
Pia nashukuru sana Kwenye video iliyopita ulinishauri ni bake moto 160 had 160 kwa lisaa nimejaribu na cake zangu zimetoka vzr sana
Pia naomba kuuliza ni baking powder gn nzuri sana kwa kuoka cake?
Unauwezo wa kukaa siku 4 mpaka tano tu..unaweza kuuza 1500 ,nimegawa kikubwa kidogo kama gram 50 kuzidi kwenye chombo cha mkate
Shukran dear karibu sana
Baking Powder nzuri ninayoipenda mimi ni zesta
Nice
Thanks Sana mziwanda bakers je Kama Sina oven ya ku bake huo mkate je Ninaweza kufanyaje ?
Tumia mkaa unafaa bila wasi