MKATE WA NAAN WA SIAGI NA KITUNGUU THOM ( BILA HAMIRA)
Vložit
- čas přidán 15. 10. 2018
- Naan
Unga wa ngano mweupe vikombe 4 /512gms , ½ kg
Sukari vijiko 2-3 vya chai
Baking powder ½ kjk cha chai
Baking soda ½ kjk cha chai
Chumvi kiasi ½ - 1 kjk cha chai
Unga wa bizari nzima ( uzile) kjk 1 chai chai - sio lazima
Maziwa ya mtindi mazito ½ kikombe
Mafuta ya kupikia vjk 2 vikubwa
Maji ya kikombe 1/236ml
Kitunguu thom kilosagwa ½ kjk cha chai
Kwa kupa juu
Siagi vijiko 3-4
Kitunguu thom cha kusaga kiasi kjk 1 cha chai au zaidi
Naan
Unga wa ngano mweupe vikombe 4 /512gms , ½ kg
Sukari vijiko 2-3 vya chai
Baking powder ½ kjk cha chai
Baking soda ½ kjk cha chai
Chumvi kiasi ½ - 1 kjk cha chai
Unga wa bizari nzima ( uzile) kjk 1 chai chai - sio lazima
Maziwa ya mtindi mazito ½ kikombe
Mafuta ya kupikia vjk 2 vikubwa
Maji ya kikombe 1/236ml
Kitunguu thom kilosagwa ½ kjk cha chai
Kwa kupa juu
Siagi vijiko 3-4
Kitunguu thom cha kusaga kiasi kjk 1 cha chai au zaidi
Aroma of Zanzibar social media
/ fathiya.ismail
/ aromaofzanzibar
Video intro Zanzibar Spice Market by Farhat Abbas czcams.com/users/results?searc...
Video Intro Mombasa spice market by Chef Farouk Amboka
faroukambok...
Music courtesy / contemplative-middle-e...
This is English and Kiswahili channel where you will find cuisine from around the world - Jak na to + styl
Asent it seems very nice i will try
Nice, masha allah
Masha'Allah. Nice
Maa shaa Allah yummy
IF YOU WISH TO WATCH THIS RECIPE IN ENGLISH KINDLY FOLLOW THIS LINK czcams.com/video/V7xhFyUh-sw/video.html
JINSI YA KUPIKA MCHUZI WA ADESI ZA NAZI czcams.com/video/lmyj540L9-8/video.html
😍😍😊mashallah
Wallah huwa nakupenda ukhty fathiya allah akuzidishie napenda sana darsa zako
Shukran, najitahidi
Nice mashallah
Mashallah
Masha Allah in Shaa Allah weekend ndio menu shukran
Maa shaa Allah
Maashallaah
MashaAllah 😘😘😋
Asante saana Dada yangu maana nilikuwa na hamu ya kujuwa kutengeneza mkate huu. Mungu akubariki.
Shukran mungu akupe afya
Masha allah habibity me nayapenda sana mapishi yk😘😘
Shukran
Afwan
Mashallah shukran kwa upishi daa 😘😘
shukuran mashall napenda mapishiwako shukuran mungu akupeumri mrefu uzindikukufahamisha
MashaAllah
Shukran habibty
Shukran habibty inshaa allah nitajaribu,nitakupa matokeo
asante sana nmependa recip yako 😋
SHUUUKRAN HBBTY
Zilitokea nzuri sana Za Huku Kansas, asante nashukuru.
Hongera, hata mimi huku nafurahia.
Thank you
Mashaallah very nice Shukran jazakaallah
Amin
Acha Nile tu kwa macho.. Mapishi mazuri
si uingie jikoni tu 😂😆
Shukran ni nzuri sana mola akupe affya habibti
Shukran, amin kwetu sote
Mashaallah Allah akubariki my dear
Shukran, amin kwetu sote
Shukran hun jazakallah
Amin
Asante MC Sana dada asante kwa mapishi
Karibu dear
Jamani dada angu umenikosha kweli. Napika this weekend. Ningepika leo ila nimejikuta Sina butter. What a meal jamani😍😍😍😍😍😍😋😋😋😋😋
Its ok, you will do fine
Allah akubariki na azidi kukupa afya njema ili tuendelee kula vizuri Inshaa Allah
Shukran, Amin kwetu sote
MashaAllah mzuri Leo ndio nimeona Kama sina chuma cha kupindua naweza kutia kwenye oven Kwanza nipike juu alafu nitie kwenye oven maana chuma changu kitaangusha mkate
Unaweza
mashallah Allah azid kukuongoza
Shukran, Amin kwetu sote
Assalamu aleikum. Mashaallah yummy yummy. Shukraaan habibty. Allah akuhifadhi 😘
Aleikum Musalaam, amin kwetu sote
Shukran sana mimi naomba tueleweshe kupika kashata za nazi na ufuta
Inshallah, mie vitu hivyo sipiki sana pita Shuna's kitchen anaweza kuwa nayo
asante my dear yan apa skuiz mume anakula kitu kitam yote from you thanks mpenz
Hongera dear
MashAllah!
Mzuri sana( is that correct?)
❤️🌺
Absolutely!
Shukran aroma of Zanzibar Allah akupe afya uzidi kufundishwa, mi naweaza kukanda unga ucku alafu asubuhi nikamalizia kusukuma na kuchoma? Thanks
Afwan, dear mimi sijawahi kuweka mda mrefu hivyo , kama unaona hutokua na mda asubuhi labda kanda asubuhi ongeza yogurt kiasi kijiko na upunguze maji , weka kwa nusu saa tu halafu uchome
dea nikimosa je baking soda
MashaAllah mapishi mazuri.. Maziwa Lala na Yogurt si ni Vitu tofauti? Maziwa Lala ni Curd sio? So hapo umetia Curd ama Yogurt?
Yougurt na curd ni kitu kimoja dear majina tofauti,
@@aromaofzanzibar i see shukram sana!
Naomba utufundishe jinsi yakuandaa fandat yakeki nyingi za nje sielewi nakuomba mama angu
Dada mimi situmii fondant kwenye caki dear
Hii cream of tarter nikitugan
cream of tartar unga wake kama baking soda inasaidia wakati wakufanya vitu vya ute wa mayai kama royal icing, ulikua unataka kuitumia kwa kitu gani
Salaam nikikanda kweny machine je.
Yes dear unaweza
Naeza kitumia Magarine instead ya Butter?
Ndio unaweza kwa pishi hili
dadangu. in. penda. ku. kukula. chakula. wewe. umepika. I. know. you. food. is. the. best.
Ahsante sana
@@aromaofzanzibar naweza kutumia blueband habibty txn malipo yako kwa Allah watoto wangu wanafurahia sana chakula chako Allah akubariki Amiiin
@@rahmaallytnxkwaubuyu3071 kwa kweli sijawahi kutumia blue band lakini sidhani kama itakua na tofauti mbaya
naweza kutumia blue band baada ya siagi
Yes dear you can
Aslaam alaykum adesi ndo ile dengu nzima?
Ndio lakini xipo Aina nyingi
je kamhuna baking soda
Baking powder haihitajiki hapa
Mm naomba no y fathiya Ismail plzzzzzzzzz
Fathiya Ismail...sitoi namba yangu mitandaoni jamanii, nifate instagram au niletee email nitakupa..aromaofzanzibar@gmail.com
nikikosa *
Baking soda inasaidia kufanya naan iwe laini
@@aromaofzanzibar ok dea ntajarb kutafuta
Mashallah