Mkate wa sembe | Jinsi yakuoka mkate wa mayai wa sembe | Mkate wa mayai | Collaboration.
Vložit
- čas přidán 26. 07. 2020
- #mkatewasembe #mkatewamayaiwasembe #mapishirahiyakiswahili
Website:rukiaskitchen.com
Instagram: rukias _kitchen
Facebook: Rukias kitchen
Cookpad: Rukias kitchen
English version press the link ➡️Sponge cake | How to make moist & soft Swahili spongecake (Mkate wa sembe recipe) ➡️ • Sponge cake | How to m...
Mahitaji:-
Unga wa ngano kikombe 1
Unga wa ugali kikombe 1
Maziwa kikombe 1
Sukari kikombe 1
Mafuta kikombe nusu
Vanilla
Mayai 4
Baking powder kijiko 1 kidogo
Vileja vya cornflakes kutoka kwa mapishi ya Zanzibar link ➡️ • vileja vya cornflakes/...
For more swahili videos follow ➡️ / @mapishiyazanzibar
➡️ / @husna_laltia
➡️ / @eastafricanfoodsrecip... - Jak na to + styl
If you would like to watch this recipe in English press the link ➡️ czcams.com/video/rkzmYfKpbMc/video.html
MashaAllah . Thank you for sharing.
Maashallah
Mashallah ❤❤
Mashaallah! Asantee dear
Maanshaa allaah,keep going❤❤❤❤❤❤❤
Mashallah. Shukran habibty mmeufnya leo umekua mzur na mtamm alhamdullillah. Huu ni zaid ya mkate wa mayai.from to day nitkua sipend mkte wa mayai nitkua nfnya huu
Awww karibu sana
Masha Allah habibty pambe kabisa unanikumbusha mbali mkwe wangu anaupenda balaa kwa chai ya maziwa usintanie ❤❤
Kabsa habibty kwa chai huu 😋😋👌
Wow yummy., the recipe is the best
Thank you
Mashallha pishi zur Sana allha akuweke tupate jifunza
Ameen 🤲
Mashaallah,shukran Dada uwe na Eid Mubarak.
Na ww pia na family yako
Moto uwe mkali au mdogo mdogo na juu na chini au chini tu halafu juu au uke ju na chini
Niliujaribu nikapata good result ubarikiwe sana my dear
Asante sana ❤️
Nitumie namba yako
Jee ukitaka mkubwa vipimo vp inakua
Mashaallah umetoka vzury shukran da
Shukran habibty
The last time I eat this in miaka 8 iliopita.
U jaribu tena dear hauna kazi
Naweza kutumia brenda?
nauliza swali hpa nimeifanya lkn nasubir keki niitpwe ili niweke hiii haitokuwa na tatiz lllte
Weka gram mana hiko kikombe hatui kina ujazo gani
Kwan ukieka siagi ukitoa mafuta hauwi huwa
Mashallah je ninaweza kupaka cream kwa juu ?kwasababu ninataka kufanya order za cake lakini siko deep thanks for your video bye
Hapana
Recipe ya keki zipo tayari zenye cream
Matamu kwa chai ya maziwa
Kabsa habibty 😋😋👌
Jee kama unataka kufanya mara 2 ya hivo afanye vipimo kama hivo kila mitu mara 2 2 au
Ndio