VISHETI VINALIWA NA KAHAWA SIKU ZA EID NA SIKU ZOZOTE ZELE PIA UNAWEZA KULA KWA CHAI UKITAKA PIA! LAKINI CHAI INA SUKARI NA VISHETI VINA NA SUKARI PIA! LAKINI KWA KAHAWA NI UZURI ZAIDI👌"
VISHETI LIWA SIKU ZA EID SIO MWEZI WA RAMADHAN! VINALIWA AS A TAQADUM NA KAHAWA SIO TEA SHAI) TEA) CHAI) ALWAYS VISHETI HULIWA KWA KAHAWA👌 VISHETI VINALIWA KILA SIKU SIO LAZIMA IWE EID" NI KAMA TAQADUMU KWA KAHAWA VINALIWA NA SIO CHAI! LAKINI UKITAKA CHAI UNALIA PIA!
Hiki ni kipindi cha maisha ya mtu sio mapishi 😂😂 yan watu wamejaa kwa comment hawajaelewa kipi kaeka wapi kiasi gani maana umebase kumuliza maswali kuhusu maisha yake than what she is preparing
JE UNATAKA KUPIKA NASI WASILIANA NASI (0765-92 64 58)
Nitakutafuta my dear
Munaongea sana, punguza maneno na huzingatie kupika
😂😂😂😂😂
Allah akulipe umeniongezea kitu Kuhusu kutokuchemsha siag maana ni kweli vinakatika kwenye shila❤🙏
Siz. Pls jitahidi nguo. Yako mikono ikunje kidogo .
Na kg1 ngano, siagi robo ni nyingi. Inapunguzwa kdg.
Mashallah kazi za ndani uarabuni zimekusaidia kujifunza Mapishi ❤❤
Alikua arabuni
Pishi zuri ila zingatia kuvaa nguo ya mikonomifupi unapokuwa unapika kuzingatia usafi.
Napenda visheti mno dada samahani naomba kujua ukiweka yai je vinakaa mda Gani bila kuharibika
Mapish au maisha ya mpishi duuh too funny
Nimeenda naomba unielekeze vizuri besti.
sukari sjaelew ulivotia👌
Shila😂
Siagi na Samli ni vitu viwili tofauti
Mm mtu ananikwaza akianza kusema meme 😡 kwan kula vishet lazm umpikie mume? Mm napika na nakula na wanangu uku tunachek move ni safi sana ❤
😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂
😂😂😂
ManshaAllah shukran uyu dada anafanana na Layla
Mashallah Mashallah ❤❤❤
Upishi wa visheti, nimependa masha a Allah, ila ingependeza zaidi vikaliwa na kahawa
Mashallah shukrani tumepata mengi ❤
Asante sana hapo kwa baking likua sijui mimi likua naeka sasa nimejua
Mashallah hongera sana
Kwakweli maongezi nimengi kuliko vitendo
VISHETI VINALIWA NA KAHAWA SIKU ZA EID NA SIKU ZOZOTE ZELE PIA UNAWEZA KULA KWA CHAI UKITAKA PIA! LAKINI CHAI INA SUKARI NA VISHETI VINA NA SUKARI PIA! LAKINI KWA KAHAWA NI UZURI ZAIDI👌"
Mashallah Tabaraka Lwah ❤️
Miaka 5 watoto 5 😮mashallah mpemba wa dar
Asante mi itaniongezea kipato
Asante sana
Mnaongea sana kuliko kufany tunachoangalia bwana
Kanaongea sn Acha wenye ujuzi waongeye ayo yakuliza watoto ayatuhusu
Huweki hamira ama magad soda
Acha kuongea fany a ukichiambiw Yanmhhhhhh 😢 mnaboa sana hmfai
Hongera Sana
Manshallah madam brembo
Safiii sanaa.💥💥💥 good job 👍🫶
Umetumia maji moto au baridi
Aiseee mnaongea mpaka mnakera mmmmh
Mgonjwa tupu sukari sukari,chemsha muhigo magimbi kunywea chai
💖
Siagi ya visheti inayeyushwaa.
❤❤❤
Thanks
Nauliza ukitia mayai haviharibiki kwa haraka
❤
Shila 😂
VISHETI LIWA SIKU ZA EID SIO MWEZI WA RAMADHAN! VINALIWA AS A TAQADUM NA KAHAWA SIO TEA SHAI) TEA) CHAI) ALWAYS VISHETI HULIWA KWA KAHAWA👌 VISHETI VINALIWA KILA SIKU SIO LAZIMA IWE EID" NI KAMA TAQADUMU KWA KAHAWA VINALIWA NA SIO CHAI! LAKINI UKITAKA CHAI UNALIA PIA!
🙏👍😋
MashaAllah kazi mzuri lakin kunja nguo yako
Mbona visheti na juice havi endani kabisa visheti mwenziwe ni kahawa
Haswaaa na Siku ya Eid ndio Vinaliwa Na Sio Mwezi wa RAMADHANI 😢... Visheti mwezio Kahawa
Hmn kila mtu na mapendekezo yake vpnz
@@asilahassan9965 Yaani Anasemea kuwa visheti mwenzake Kahawa Habibty
Kweli haviendi na juice muhimu kujua uhalisia wa vyakula
Siyo Kila mtu anakunywa kahawa
Visheti kwa kahawa
Sasa tusikue mazungumzo au?
Sukari muka weka vipi ndani ya Visheti?
Sor sijaelewa, ivo visheti hujaweka baking soda wala baking powder?
Baking powder unaweka.
@@user-dx6dm6lh1i sawa na baking soda hauweki ?
@@ashurajengela3926 huweki
Dada brembo maashallah... Dada asnath💜💜💜💜
Tuambie umetumia maji yamoto au baridi,lkn pia umetumia baking powder?
Baking powder unaweka
Maji kawaida
Hiki ni kipindi cha maisha ya mtu sio mapishi 😂😂 yan watu wamejaa kwa comment hawajaelewa kipi kaeka wapi kiasi gani maana umebase kumuliza maswali kuhusu maisha yake than what she is preparing
Hadi nguo inaingia kwa bakuki la ngano
😂
Samahani kilo unauzaje
Hiki kipindi huwa kinaonyweshwa siku gani kwa wenye azam
Kila siku ya Jumatano Saa 11 Jioni, Jehova Jire Tv. Kingamuzi cha Azam kwenye Other Channel Namba 006
Nimependa usafi na mpangilio nzurii wa Kila kitu
Too much talking mnaboesha
Mbadala wa siagi
Asante sana
❤❤❤
❤