Assalam Aleikum shukuran sana kwa maelekezo ya upishi wa Vitumbua, ombi langu tuandikie vipimo vyote kwa maandishi sababu vipimo ni muhimu sana ukizidisha kitu mambo yote yataharibika baada ya kupika kitumbua huenda wakanitambua.
Asante kwa darasa nataka kufahamu kama unga wamchele unaweza kusaga na kuutunza kama wakusonga ugali nikawa natumia kidogo kidogo nikitaka kupika vitumbua??
kama nina blenda naweza loweka mchele kwa muda naukiwa laili nikachanganya navitu vingine nkasaga pamoja baadae nikapata mchanganyiko wavitumbua ?? natakakujua kama inaruhusiwa asante
Habari nilijaribu kusaga na blender wangu ukawa na chenga ndogondogo wewe unafanyeje vyakwako visiwe na chengachenga au ni maandalizi gani ktk kuandaa mchele huo hata wakati wa kublend visiwe na chengachenga chengachenga kwa ndani?
Asante blenda yako ni ya aina gani ili nikainunue kama hiyo. Asante
Asante sana dada vitumbua vizuri kabisa ❤❤
Sauti tu inaonyesha wewe ni mpishi. Hongera. 👍👍
Wonderful, love this jirani.
A Santa dada kwa vitumbuwa mimi nataka unionyeshe ngisi ya kupika sabusa.zahunji.or kusukuma
Vitumbuwa vyako vizuri sana.mashallah. na ukitumia mchele wa mspembe ama pia vitumbuwa vinatoka kama hivyo vizuriiiiiiii mashallah.
Asante sanaaaaa dada kwa kutufundisha mungu akubariki sana
Uko vzri sana nimekupenda sana nimejifunza
Ahsante kwa pishi la vitumbua ,nitajaribu leo.
Asant
MashaAllah recipe nzuri sana
Asante dada kwa kushea na sisi
Wooow❤❤❤vizuri alafu visafi Tena havina mafuta mengi nitajaribu🎉
Umetisha vitumbua vitumbua sana
Rahisi sana dear size ,,simuxt nazi
Vinaonesha maashallah😋😋😋
Asante kwa kushare na sisi
Tanx dear...tunasubria bagia sasa
Hongera dada umenitamanisha,
ما شاء الله👌
Mmm looks so sweet
Asantee Sana nimejifunza
Looks delicious 😋😋😋
Assalam Aleikum shukuran sana kwa maelekezo ya upishi wa Vitumbua, ombi langu tuandikie vipimo vyote kwa maandishi sababu vipimo ni muhimu sana ukizidisha kitu mambo yote yataharibika baada ya kupika kitumbua huenda wakanitambua.
Ametaja apo vipimo
Asante Sana kwa upichi wako mzuri
Good job hongera
Masha allah hadi raha
Very nice dear..
Safi kweli sikujua kama unaweza kutumia yai
Asante sna upishi wako mzur ntajalb kupka
Love your recipe
. Hatari za leo ninataka Kutengeneza vitumbua naomba kutumia mchele gani vitumbua vyangu viww vizuri.
vizur sana
Uko vizuri, kwa hili darasa sasa nataka kuanza biashara hii mtaani kwangu.
Mroki Mroki all the best my friend. Tutaongea zaidi
Kuna video ya bhajia
Hapa umeonyesha jinsi ya kutumia maji kuna wengine wanatumia uji wa sembe je inakuwa na kwa kutumia maji waweza kupika vitumbua vya biashara
Maa Shaa Allah
Upo vizuri sana
Uko vizuri sana ila nina swali je unatoa mafunzo on line na ni kiasigani
Shuklani dada🙏
Mbona hujatumia nazi? Dear
maa shaa Allah nzuri bila Nazi wow
Nice vitumbua
Masha Allah
Vitumbua vizuri sana.kwanini wengine wantia Nazi au uji.
Um Muntasire nazi inanoga
Um Muntasire uji rabda wanao fanya biashara ndo wanapendelea
Very nice, kindly share accurate measurements
Nimependa
Maashaa allaah
Asante nimependa makeshift yako
Asante kwa darasa nataka kufahamu kama unga wamchele unaweza kusaga na kuutunza kama wakusonga ugali nikawa natumia kidogo kidogo nikitaka kupika vitumbua??
nmekuelewa sn my dear
So nice
Shukran
Mchele gani ni mzuri kwa vitumbua, nimejaribu wa Jasmine havikutoka vizuri
@kilimanjaro flavour
Mi natumia jasmine labda kuna kitu una kosea
Thank you
Shukurani
Asante kwa somo nimepika Leo vimetosa safi ila samahani nauliza nipunguze nini au niongeze nini ili nipate kitumbua laini sana?
Sorry vimetoka
Good job
Nikitumia vyombo vya kawaida naomba nielekeze
asante
umepikia kwenye jiko gani??
Katuni
Thank you for sharing
You welcome Dear
unaosha maji unamwaga au
Emma Lukuvi yes unaosha kwanza mchele kwanza, halafu unaweka maji mpaka yafunike mchele baada ya masaa 8 una usaga
Asante
Kama haina blends unafanyeje
Mom big up
Hongera sanaaa
Ni vizur sanaa🥰
Wengine wanachanganya na unga wa ngano ila wewe sijaona uweke hapo inakuaje au si lazima
Asante saana dada nmekuelewa vzur asante kwa kushare nasi ubarikiwe🙇
Asante!! Umetumia kikombe kipi cha kupimia? Please post picha
Lilian Nagery unaweza tumia mchele nusu kilo sio lazima kikombe
Can you please write the excat measurements in the recipe instead of only saying it in the vedio only
Measurements are in the description box
Oh! Vp kwawale ambao wanatumia kusaga unga wao mashineni ndo aanze kuuandaa process nizipi?
Kuna mama Kaseya kuhusu mkutumia Michele wa mapembe huo ni upi na unatoka seems gani ya nchi
Moto kwenye jiko kiasi gani
Salma Malipula medium
Salma Malipula medium, but inategemea unatumia jiko la aina gani though
👍
Tunaomba vipimo kamili vya mchele
mchele ni aina gani
Naomba kuuliza ñilazima kuweka nazi
Je umetumia mchele upi?Na kipimo ulichotumia ni kikombe au?
leo kamil amesema vikombe 3
Sukari ya Brown hauwezi kutumia?
Musijaribu kupika vitumbia na maji,vimekukutaaa😂
Naomba namba yako Dada
Kuweka tui silazima au havitiwi tuwi
Habiba Abdallah mi situmii tui kama unataka unaweza
Ahsante kwa kushare nasi! Na pia naomba kuuliza? Umenunua wapi hicho kikaangio? Thx
Flora Nkya Mimi nauza
Flora Nkya reply me if you want napatikana dar es salaam sinza! 🙏
Hawezi kukuambia, wewe nenda kariakoo vipo vingi
@@devothajoseph5386 Je uko nchi gani maana na mimi nataka kununua
Masaa matatu mbona me huwa hata lisaa haliishi unakuta mchanganyiko umeshaumuka vyakutosha
Je pishi hili huwezi kutumia maziwa?
Thanks for the video! I will try it !
Can I make it with brown rice?
Honorine Uwase yes you can
sio lazima nazi
Ukovizurisana
Naomba unipe Somo hili na Mimi nitengeneze?.mwasiliano Yako tafadhali, vifaa vyote ninavyo ila Kila nikijaribu vinaharibika tuu
Sasa somo si hilo hapo kwemye vidoe jamani🤦♀️
Dada nilazim uwena hicho kikaango?
Zayn Salma lazima chuma cha kitumbua...if you google vitumbua maker utapata
My friend no coconut milk is it OK?????
vinavutia kwakweli je lazima kublend Mchele je nikipeleka kwa machine
Oliva Daniel ni sawa tuu
Napenda kujuwa vitumbuwa huwa havihitaji nazi?
Chaguo lako, kama unataka nazi unawza kuweka nzi badala ya maji
Na mimi Leo Najaribu
Maana kila nikipika vitumbua vinaharibika
Ngoja Leo nijaribu recipe yako then ntakujuza
kama nina blenda naweza loweka mchele kwa muda naukiwa laili nikachanganya navitu vingine nkasaga pamoja baadae nikapata mchanganyiko wavitumbua ?? natakakujua kama inaruhusiwa asante
Thank you for the recipe but could you please make an English version.
Kids Tv sure I will
⁰⁰⁰⁰0000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000
Je kama natumia unga wa mchele naumuaje
Huu alioumua ndio wa mchele
Naomba namba ya sim jmn
Nimependa mapishi yako
write the measurement
Dada hiyo khamira ya haraka ni nusu saa tu unaumuka we unasema msaa ma 3 😲
Habari nilijaribu kusaga na blender wangu ukawa na chenga ndogondogo wewe unafanyeje vyakwako visiwe na chengachenga au ni maandalizi gani ktk kuandaa mchele huo hata wakati wa kublend visiwe na chengachenga chengachenga kwa ndani?
Blenda ziko tofauti, Mimi ya kwangu inasaga vizuri hadi uji una lainika kabisa. Blenda yako ndio shida
My friend please the sound is very low
Kama niasubui unaloweka saangapi
Je kama ninunga TU utauloweka?
Yes, kama ni unga tuu weka viungo vyako kama iliki sukari na hamira kama unataka kuweka mayai weka halafu acha unga uumuke
MashaAllah
Nimependa mapishi yako dada ila mi nina shida ya flapein, je naipataje
Nunua Amazon ila matunda ni madogo
Kama sina iriki nifanye je ??
Asnte saana tumejifunza
Hukorogei uji?