FURSA ZAONEKANA MSOMERA, MWANAMAMA ALIYEHAMA NGORONGORO ANAMILIKI ARDHI BODABODA NA MGAHAWA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 20. 04. 2023
  • Ni mwanamama huyu Christina petro ambaye awali alikuwa akiishi katika Hifadhi ya Ngorongoro mkoani arusha, kabla ya kuchukua hatua ya kuhama kwa hiari katika hifadhi hiyo.
    Sasa anaishi katika kijiji cha msomera mkoani Tanga, anaeleza kuwa amechelewa hivyo imemlazimu kuongeza kasi ya kutafuta fursa kwani alipokuwa hifadhini, hakumiliki chochote na alipohamia Msomera sasa anamiliki ardhi, Bodaboda pia amefungua eneo la kuuza chakula

Komentáře • 2