Hili hapa tamko la Handeni kuhusu kuja wananchi wa Ngorongoro

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024
  • Baraza la madiwani la halmashauri ya wilaya ya Handeni mkoani Tanga,kwa kauli moja limeridhia kuwapokea wageni kutoka wilayani Ngorongoro kuja kijiji cha Msomera kwaajili ya makazi mapya, kupisha shughuli za utalii.
    Wakizungumza kwenye kikao cha kawaida cha baraza hilo wamesema ujio wa wananchi wa Ngorongoro kwao ni fursa hivyo wanawakaribisha na watapewa ushirikiano kuhakikisha wanafurahia maisha.

Komentáře • 1