HANDENI KUMENOGA: ENEO WATAKAPOHAMISHIWA WAMASAI WALIOKUBALI KUONDOKA NGORONGORO, NYUMBA NZURI BALAA
Vložit
- čas přidán 25. 08. 2024
- HANDENI KUMENOGA: ENEO WATAKAPOHAMISHIWA WAMASAI WALIOKUBALI KUONDOKA NGORONGORO, NYUMBA NZURI BALAA
Serikali imeendelea kujenga makazi kwa ajili ya wananchi walio tayari kutoka kwa hiyari ndani ya mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro, Makazi hayo yapo wilayani Handeni Mkoani Tanga.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...
Hongera serikali
Mashallah
Mungu awabariki sana viongozi wetu mna nia nzuri na wananchi
Narrow minded
Mtangazaji uko vizuri sana. Hongera sana serikali kwa hatua hizi
Mwandishi msomi! 😃😃
Karibuni Tanga
Ok🔥🔥🔥🔥🙏🙏🙏
Serekali imefanya vizuri sana
Kiukweli Ardhi inarutuba mazingira ni mazuri tuache maskhara ni Seven salama sanaa
L
jamani Mimi Niko tayari kwenda uko andeni
Mashallah Mungu awajaalie uongozi wetu nchini.
Pumba
Zikibaki tuambieni. Tuko tayari hata kwa kulipia.
Waliohamishwa jema 2007 wako wapi???
Hii serikali inawadhulumu Wamasai kwa ardhi yao
Mbona pazuri"kwanini wanang'ang'ania?
Home sweet home
Hivi hizo nyumba nzuri kweli na wewe unasema nzuri, nyumba nzuri unaijua mil 60 unapata nyumba nzuri sana....masai kwa akili yako kashindwa kujenga nyumba ya milioni 70? Mtu anadumisha mila zake tu, hana haja na mabati...mtu ana ng'ombe 100,200,500,1000 unajua bei ya ng'ombe mmoja? Ni ng'ombe 20 kati ya 200 alionao wanajenga nyumba ya kifahali sana. Na wewe mtangazaji unasema nzuri nzuri kwa mlengo upi?. Haya ndio nilikua nasema wamasai pale kwao ni zaidi ya aridhi ni zaidi ya nyumba, ni zaidi ya umeme....lile eneo linabeba historia ya jamii yao, mila zao, desturi zao, imani zao....kuwataja hapo ni kuua haya hivi yanawaingia kweli au mnazungumza maashallah tu Bila kufikili?
SAMIA UPO VIZURI DADAANGU!
Umetumwa 😂😂
jengeni,shure,na,hospital
Hahaha hawo. Masai wa mchongo waliopelekwa hukoo dah siham tz 😂😂🙌🙌
Hakuna atakaeondoka ngorongoro
Pengine serikali ingewapa matrekta matano na kuwatengenezea bwawa kubwa la kunywesha mifugo yao. Kama Ngorongoro walizuiwa kulima Handeni kilimo kinaruhusiwa
Shule ya msingi na sekondari vipi?
Umeme je umefika
Mᴀsʜᴀᴀʟʟᴀʜ
Hakuna hata mto, kuna kuna mashamba pia maana yake ni ardhi ya wenyewe
Kama kuna mashamba vita ingine itaanza tena maana ufugaji na mashamba ni hatari mno
@@leokamil6284 we umeona shamba hapo? Kuna misitu tu hapo
Serikali yetu Hongera kwa maamuzi hayo. Angalizo ufugaji unahitaji nyasi inayofaa kwa malisho na maji kunywesha mifugo, je kunamkakati wa kupanda malisho bora na miundo mbinu za maji au kuwa na maeneo ya kuchungia kwa mzunguko kuruhusu uoto wa nyasi malisho za asili vyanzo vya maji? Vinginevyo itakuwa vigumu wafugaji kutulia kwenye nyumba hizo kwa kuwa ubora wa maisha yao ni kutegemea mifugo na siyo kutulia wakati mifugo inaendelea pukutika kutokana na uhaba wa malisho na maji.
Ng'ombe wengi.... Lakini umasikini... Faida gani?... Nawaza... 🙆♀️🙆♀️
@@j.c.maxima816 kilicho kigumu hapo ni tafsiri ya umaskini, tunayo aina nyingi, fedha, rasilimali, akili, chakula, amani nk ipi hasa. Wanasema umaskini ni ulinganifu i.e. relative term.
Du waende tu
Mimi naona uku ni fulsa kuliko kule kabisa.
Wawe wapole easier Kama wa kirosa na kwediboma maana ni wagonvi
Sasa mpaka watu wanajenga hizo nyumba mulikuwa hamuwaoni?.
Acheni wamasai wahishi na wanyama sivyo nyinyi kabila linkine mtawinda wanyama mumalise vile mumemalisa kwenu
Kaeni NAO WAMASAI muongee NAO!; Hii kulazimishana HADI damu za watu zinamwagika hazileti pICHA nzuri Kwa TAIFA LETU!;
Serekali iyo sio poa kuwatoa. Watu waliosoea sehemu hiyo pia kaeni mkijua Masai na wanyama pori wanasikilisana
Kama wanagoma hao wamasai c wachukuwe wanya woote wagorogoro wawa waperekwe huko haden tuone Kama hao watabakia apo
Toka acha ukuma sisi ni watu wa kutengenezewa nyumba?
Wewe sio mmasai au basi no laiyoni mmsai halisi ananidhamu sana kutukana hovyo siyo jadi yao sasa hapo kosa la serikali liko wapi tena wamshukuru sana Mama yetu mwendazake kavunjia watu nyumba kimara bila fidia yoyote na wengi walipoteza maisha acha huo ujinga uliopitiliza
@@haroldtarimo3115 we shetani mkubwa unamhitaje hayati magufuli mwendazake kiongozi alioweka Tanzania heshima,. Ni nguruwe wewe tena ajabu ningeju uko wap ningekukuta tuje kuzungumza haya na siyo mtandaoni!!!!?? Ngorongoro ni yetu ha2jaifamia hata kidogo,. Ila Kwakua Raisi tulienae anaubaguzi wa kutosha anatuangaisha, ila ngorongoro hatung'atuki ng'o,. Acha atekeleze huu ubaguzi wake mungu atatusaidia
Hivi Wamasai ni Watanzania au ni mzigo wa Watanzania? Wanalishwa wao... Wanajengewa nyumba wao... Kwa nini? Kwa uzalendo upi na Nchi hii ? Mama Samia umekosea... Ungewafukuza kabisa na kuwaacha wajitegemee wenyewe kama sisi pia tunavyojitegemea...
@@loomoniolesasi6123 Nakwambia wewe sio mmasai umejificha tu kwenye kivuli Cha wamasai ambao kiuhasilia serikali imewapendelea
Natamani tungekutana ndio nione utanifanya Nini mjinga mkubwa wewe
watu wanaboreshewa maisha wewe unaleta ujinga wako endelea kutukana lakini hii ni awamu ya sita saga sumu unywe Mama ni juujuu zaidi
Mmasai uliyehongwa unatukanaee, nchi yetu bhana, we we ungekuwa huku Dubai ushechinjwa mapeeeeeeema
Haya mambo ya ajabu sana, yani unawatoa watu ktk asili yao, unawapereka wasipopajua, why hakukuwa na mazungumzo, why all this, hawa watu wako Kolongoro ever since??!
Unamaana gani kuhusu asili. Tuache hiyo misemo. Makabila mengi ya Africa yamehama kutoka sehemu moja hadi sehemu nyingine. Mfano Ngoni wametoka South Africa hadi Namtumbo, Masai wametoka maeneo ya Turkana Kenya hadi Tanzania. Pare na Chagga wametokea maeneo ya Kenya. America wametokea Europe na Africa. Sasa hivi hapa Tanzania Wapare na Wachagga wapo Turiani, nk nk
muda ingine nyie watanzania fikirieni we tangu lini ujengewe nyumba bhan na ww uongo mtupu
Kati ya hizo nyumba na wewe nani Muongo? Nenda sukamahela Manyoji watu wamejengewa nyumba bure, Zanzibar watu wapo walojengewa nyumba. Sasa unachobisha nikipi? Mbona Binadamu hamnajema kilakitu ninkubishaaaa tuuu mpk ukitawazwa utasema umeshika mavi nani alikutuma huku upo kitandani hoi hata kuinuka huwezi..
Haki za Binadamu haziko hivo, na mtanataka kuwaondoa kwa msingi upi?!?!