HANDENI KUMENOGA: ENEO WATAKAPOHAMISHIWA WAMASAI WALIOKUBALI KUONDOKA NGORONGORO, NYUMBA NZURI BALAA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024
  • HANDENI KUMENOGA: ENEO WATAKAPOHAMISHIWA WAMASAI WALIOKUBALI KUONDOKA NGORONGORO, NYUMBA NZURI BALAA
    Serikali imeendelea kujenga makazi kwa ajili ya wananchi walio tayari kutoka kwa hiyari ndani ya mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro, Makazi hayo yapo wilayani Handeni Mkoani Tanga.
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Komentáře • 58

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum7156 Před 2 lety +5

    Hongera serikali

  • @welcometoeat165
    @welcometoeat165 Před 2 lety +4

    Mashallah

  • @ezekielmfikilwa3965
    @ezekielmfikilwa3965 Před 2 lety +1

    Mungu awabariki sana viongozi wetu mna nia nzuri na wananchi

  • @milkajm4762
    @milkajm4762 Před 2 lety +4

    Mtangazaji uko vizuri sana. Hongera sana serikali kwa hatua hizi

  • @dogodogo595
    @dogodogo595 Před 2 lety +1

    Karibuni Tanga

  • @OMBENIURASSA100
    @OMBENIURASSA100 Před 2 lety +1

    Ok🔥🔥🔥🔥🙏🙏🙏

  • @mwangaraza6709
    @mwangaraza6709 Před 2 lety +3

    Serekali imefanya vizuri sana

  • @salymkitumbika8644
    @salymkitumbika8644 Před 2 lety +1

    Kiukweli Ardhi inarutuba mazingira ni mazuri tuache maskhara ni Seven salama sanaa

  • @elizabethjakobo279
    @elizabethjakobo279 Před 2 lety +1

    jamani Mimi Niko tayari kwenda uko andeni

  • @fathimamct232
    @fathimamct232 Před 2 lety +2

    Mashallah Mungu awajaalie uongozi wetu nchini.

  • @petersilas4234
    @petersilas4234 Před 2 lety +1

    Zikibaki tuambieni. Tuko tayari hata kwa kulipia.

  • @landscapephotographer8385

    Waliohamishwa jema 2007 wako wapi???

  • @EliauMtishbi-os5ky
    @EliauMtishbi-os5ky Před 3 dny

    Hii serikali inawadhulumu Wamasai kwa ardhi yao

  • @abubakarikisuju80
    @abubakarikisuju80 Před 2 lety +1

    Mbona pazuri"kwanini wanang'ang'ania?

  • @jamilamohammed2771
    @jamilamohammed2771 Před 2 lety +1

    Home sweet home

  • @richardboaz-mashagospel2346

    Hivi hizo nyumba nzuri kweli na wewe unasema nzuri, nyumba nzuri unaijua mil 60 unapata nyumba nzuri sana....masai kwa akili yako kashindwa kujenga nyumba ya milioni 70? Mtu anadumisha mila zake tu, hana haja na mabati...mtu ana ng'ombe 100,200,500,1000 unajua bei ya ng'ombe mmoja? Ni ng'ombe 20 kati ya 200 alionao wanajenga nyumba ya kifahali sana. Na wewe mtangazaji unasema nzuri nzuri kwa mlengo upi?. Haya ndio nilikua nasema wamasai pale kwao ni zaidi ya aridhi ni zaidi ya nyumba, ni zaidi ya umeme....lile eneo linabeba historia ya jamii yao, mila zao, desturi zao, imani zao....kuwataja hapo ni kuua haya hivi yanawaingia kweli au mnazungumza maashallah tu Bila kufikili?

  • @matukutajuma156
    @matukutajuma156 Před 2 lety +5

    SAMIA UPO VIZURI DADAANGU!

  • @husseinhussen6836
    @husseinhussen6836 Před 2 lety +2

    jengeni,shure,na,hospital

  • @godfreysamson3069
    @godfreysamson3069 Před 2 lety

    Hahaha hawo. Masai wa mchongo waliopelekwa hukoo dah siham tz 😂😂🙌🙌

  • @rithaurassa
    @rithaurassa Před 16 hodinami

    Hakuna atakaeondoka ngorongoro

  • @benedictmrisho5947
    @benedictmrisho5947 Před 2 lety

    Pengine serikali ingewapa matrekta matano na kuwatengenezea bwawa kubwa la kunywesha mifugo yao. Kama Ngorongoro walizuiwa kulima Handeni kilimo kinaruhusiwa
    Shule ya msingi na sekondari vipi?

  • @kauryatechnical993
    @kauryatechnical993 Před 2 lety

    Umeme je umefika

  • @user-yp5mm2pg5s
    @user-yp5mm2pg5s Před 2 lety

    Mᴀsʜᴀᴀʟʟᴀʜ

  • @josephmoses5406
    @josephmoses5406 Před 2 lety +5

    Hakuna hata mto, kuna kuna mashamba pia maana yake ni ardhi ya wenyewe

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Před 2 lety +2

      Kama kuna mashamba vita ingine itaanza tena maana ufugaji na mashamba ni hatari mno

    • @itwaaky75
      @itwaaky75 Před 2 lety

      @@leokamil6284 we umeona shamba hapo? Kuna misitu tu hapo

    • @zachariamalley7076
      @zachariamalley7076 Před 2 lety +1

      Serikali yetu Hongera kwa maamuzi hayo. Angalizo ufugaji unahitaji nyasi inayofaa kwa malisho na maji kunywesha mifugo, je kunamkakati wa kupanda malisho bora na miundo mbinu za maji au kuwa na maeneo ya kuchungia kwa mzunguko kuruhusu uoto wa nyasi malisho za asili vyanzo vya maji? Vinginevyo itakuwa vigumu wafugaji kutulia kwenye nyumba hizo kwa kuwa ubora wa maisha yao ni kutegemea mifugo na siyo kutulia wakati mifugo inaendelea pukutika kutokana na uhaba wa malisho na maji.

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 Před 2 lety

      Ng'ombe wengi.... Lakini umasikini... Faida gani?... Nawaza... 🙆‍♀️🙆‍♀️

    • @zachariamalley7076
      @zachariamalley7076 Před 2 lety +1

      @@j.c.maxima816 kilicho kigumu hapo ni tafsiri ya umaskini, tunayo aina nyingi, fedha, rasilimali, akili, chakula, amani nk ipi hasa. Wanasema umaskini ni ulinganifu i.e. relative term.

  • @japhetlaizer3919
    @japhetlaizer3919 Před 2 lety

    Du waende tu

  • @charlesmugisha6529
    @charlesmugisha6529 Před 2 lety

    Mimi naona uku ni fulsa kuliko kule kabisa.

  • @superbillionairea5987
    @superbillionairea5987 Před 2 lety

    Wawe wapole easier Kama wa kirosa na kwediboma maana ni wagonvi

  • @saidipara4134
    @saidipara4134 Před 2 lety

    Sasa mpaka watu wanajenga hizo nyumba mulikuwa hamuwaoni?.

  • @saidimuemanuel301
    @saidimuemanuel301 Před 2 lety

    Acheni wamasai wahishi na wanyama sivyo nyinyi kabila linkine mtawinda wanyama mumalise vile mumemalisa kwenu

  • @johnmangaga4949
    @johnmangaga4949 Před 2 lety

    Kaeni NAO WAMASAI muongee NAO!; Hii kulazimishana HADI damu za watu zinamwagika hazileti pICHA nzuri Kwa TAIFA LETU!;

  • @menaurukivuyo6796
    @menaurukivuyo6796 Před 2 lety

    Serekali iyo sio poa kuwatoa. Watu waliosoea sehemu hiyo pia kaeni mkijua Masai na wanyama pori wanasikilisana

  • @bachutamwita4518
    @bachutamwita4518 Před 2 lety

    Kama wanagoma hao wamasai c wachukuwe wanya woote wagorogoro wawa waperekwe huko haden tuone Kama hao watabakia apo

  • @loomoniolesasi6123
    @loomoniolesasi6123 Před 2 lety

    Toka acha ukuma sisi ni watu wa kutengenezewa nyumba?

    • @haroldtarimo3115
      @haroldtarimo3115 Před 2 lety

      Wewe sio mmasai au basi no laiyoni mmsai halisi ananidhamu sana kutukana hovyo siyo jadi yao sasa hapo kosa la serikali liko wapi tena wamshukuru sana Mama yetu mwendazake kavunjia watu nyumba kimara bila fidia yoyote na wengi walipoteza maisha acha huo ujinga uliopitiliza

    • @loomoniolesasi6123
      @loomoniolesasi6123 Před 2 lety

      @@haroldtarimo3115 we shetani mkubwa unamhitaje hayati magufuli mwendazake kiongozi alioweka Tanzania heshima,. Ni nguruwe wewe tena ajabu ningeju uko wap ningekukuta tuje kuzungumza haya na siyo mtandaoni!!!!?? Ngorongoro ni yetu ha2jaifamia hata kidogo,. Ila Kwakua Raisi tulienae anaubaguzi wa kutosha anatuangaisha, ila ngorongoro hatung'atuki ng'o,. Acha atekeleze huu ubaguzi wake mungu atatusaidia

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 Před 2 lety +1

      Hivi Wamasai ni Watanzania au ni mzigo wa Watanzania? Wanalishwa wao... Wanajengewa nyumba wao... Kwa nini? Kwa uzalendo upi na Nchi hii ? Mama Samia umekosea... Ungewafukuza kabisa na kuwaacha wajitegemee wenyewe kama sisi pia tunavyojitegemea...

    • @haroldtarimo3115
      @haroldtarimo3115 Před 2 lety +2

      @@loomoniolesasi6123 Nakwambia wewe sio mmasai umejificha tu kwenye kivuli Cha wamasai ambao kiuhasilia serikali imewapendelea
      Natamani tungekutana ndio nione utanifanya Nini mjinga mkubwa wewe
      watu wanaboreshewa maisha wewe unaleta ujinga wako endelea kutukana lakini hii ni awamu ya sita saga sumu unywe Mama ni juujuu zaidi

    • @peternyambo1439
      @peternyambo1439 Před 2 lety

      Mmasai uliyehongwa unatukanaee, nchi yetu bhana, we we ungekuwa huku Dubai ushechinjwa mapeeeeeeema

  • @kellyrockmediarockland469

    Haya mambo ya ajabu sana, yani unawatoa watu ktk asili yao, unawapereka wasipopajua, why hakukuwa na mazungumzo, why all this, hawa watu wako Kolongoro ever since??!

    • @jonathanmnyone4003
      @jonathanmnyone4003 Před 2 lety

      Unamaana gani kuhusu asili. Tuache hiyo misemo. Makabila mengi ya Africa yamehama kutoka sehemu moja hadi sehemu nyingine. Mfano Ngoni wametoka South Africa hadi Namtumbo, Masai wametoka maeneo ya Turkana Kenya hadi Tanzania. Pare na Chagga wametokea maeneo ya Kenya. America wametokea Europe na Africa. Sasa hivi hapa Tanzania Wapare na Wachagga wapo Turiani, nk nk

  • @thomassilamoy1520
    @thomassilamoy1520 Před 2 lety

    muda ingine nyie watanzania fikirieni we tangu lini ujengewe nyumba bhan na ww uongo mtupu

    • @godfreymasele8853
      @godfreymasele8853 Před 2 lety

      Kati ya hizo nyumba na wewe nani Muongo? Nenda sukamahela Manyoji watu wamejengewa nyumba bure, Zanzibar watu wapo walojengewa nyumba. Sasa unachobisha nikipi? Mbona Binadamu hamnajema kilakitu ninkubishaaaa tuuu mpk ukitawazwa utasema umeshika mavi nani alikutuma huku upo kitandani hoi hata kuinuka huwezi..

  • @kellyrockmediarockland469

    Haki za Binadamu haziko hivo, na mtanataka kuwaondoa kwa msingi upi?!?!